Mapya yaibuka kutokana na wananchi wa Ngorongoro kuhamishiwa Msomera

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Imeelezwa kuwa uoto wa asili umeanza kurudi kwenye hali yake ya kawaida katika Hifadhi ya Ngorongoro iliyopo mkoani Arusha kwenye maeneo ambayo wananchi wamehama kwa hiari.
    Akizungumza wilayani Handeni mkoani Tanga,afisa tarafa ya Ngorongoro Bahati Mfungo kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo Raymond Mwangala amesema mazingira yameanza kubadilika kwa wanyama kurejea kutokana na ongezeko la malisho.

Komentáře • 1