#BREAKINGNEWS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Watu 10 wamepoteza maisha leo Jumamosi Aprili 8, 2023 katika Kaunti ya Migori nchini Kenya kutokana na ajali ya lori ambalo inaelezwa lilifeli breki na kuparamia kijiwe cha bodaboda.
    Watu hao waliopoteza maisha inaelezwa ni vijana wa bodaboda waliokuwa wakisubiria wateja kwenye kijiwe chao.
    Taarifa ya awali kupitia mtandao wa Tuko nchini Kenya imeeleza kuwa lori hilo la kubeba mchanga, lilipoteza mwelekeo na kugonga kundi la bodaboda ambao walikuwa pembezoni mwa barabara wakisubiri abiria.
    Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema muda mfupi eneo hilo lilitapakaa damu na miili ya watu ambapo juhudi za kuwaokoa waliopata majeraja zilikuwa zinaendelea

Komentáře • 5

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem

    Subhanallah yani hujiuliza haya malori yanapatikana kwa njia ya halalii

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Před rokem

    Poleni wakenya

  • @CarbonChriphord-pv1wf
    @CarbonChriphord-pv1wf Před rokem +1

    Ee mngu okoa watu wako..

  • @lucymussaabinego1753
    @lucymussaabinego1753 Před rokem

    Lilikosa breki na kuppramia kijiwe....kuparamia

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Před rokem

    Basi huyo dereva wa loli watakua washamuua nayeye ,ukisababisha ajali hata kwa bahati mbaya Kama wewe ni dereva kimbia.