hatuondoki ngorongoro ni ardhi yetu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 90

  • @kirui1619
    @kirui1619 Před 2 lety +4

    Etengor enkop ichi too mbaa oo ngawochin lalewa, much love from baringo masai we stand together

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 Před 2 lety +4

    Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 Před 2 lety +9

    Huyu Samia Hana hata aibu.

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Před 2 lety +4

    Nashauri ndugu zangu Wamasai Yeyote kati yenu atakaenda kinyune na makubaliano Yenu(msaliti) Mfuteni kwenye familia Yenu.. akakae na majaliwa ikulu..

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 Před 2 lety +11

    Msikubali kuondoka kabisa, hii nchi sio mali ya wachache nimali ya kila mtanzania. Wamasai hoyeee.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 2 lety +3

    Msaada wenu ni Mungu mkuu pekee yake. Amen.

  • @hatari9591
    @hatari9591 Před 2 lety +4

    Mama samia hapa umeingia cha kike hawa nawajua vizuri!

  • @kimosamingwa3432
    @kimosamingwa3432 Před 2 lety +5

    Umoja ni nguvu 💪

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 2 lety +6

    Ndani ya mwaka mmja wanyonge wamekiona chamoto na bado

  • @daviskitta307
    @daviskitta307 Před 2 lety +4

    Sioo haoo tu natumai ipo siku watanzania wotee watasema kwa sauti moja kwanii watachoka maonezi na aza mafisadi wahuni wapigadili wanayotufanyia

  • @miseyeki9451
    @miseyeki9451 Před 2 lety

    Poleni wandungu. Xe2

  • @yonabilshan6424
    @yonabilshan6424 Před 2 lety +2

    Jamaa jeuri hawa

  • @barakamasai2397
    @barakamasai2397 Před 2 lety +3

    Mungu tuone Kijiji kihame wote sio haki kwel huoni uonevu mukubwa

  • @LemomoMollli
    @LemomoMollli Před 19 dny

    EBwan yesu tusaidiye mungu wetu Atuhami kwa jina la yesu

  • @rastafare878
    @rastafare878 Před 2 lety +3

    Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu

  • @denisnyantori3661
    @denisnyantori3661 Před 2 lety +2

    Safi sana maasai hio ni ardhi yenu

  • @AnoTarus
    @AnoTarus Před 6 dny

    Poleni ndugu zetu 😢

  • @frankmollel1085
    @frankmollel1085 Před 2 lety

    Ee mungu ututete

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 2 lety +5

    Wamasai hakuna kuondoka ktk ardhi yenu, Mafisadi wameshauza hiyo ardhi yenu

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před 2 lety +3

    Ardhi yote ya Tz ni Mali ya Umma, sisi raia ni wapangani tu,, tunaondoshwa kwa fidia ikiwa tunastahili,,

  • @ibnhassan9980
    @ibnhassan9980 Před 2 lety +4

    Masai wakila kiapo

  • @khadijahussen2615
    @khadijahussen2615 Před 2 lety +1

    Safi xna masai

  • @jumanneswala7707
    @jumanneswala7707 Před 2 lety +1

    Mambo ya loyal tour hayoooooo

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 Před 2 lety +1

    Ndio kabsa mlipewa na mwana makundi

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 Před 2 lety +2

    Wamasai komaeni nyinyi niwatanzania. Hii ni inchiyenu

  • @ibnhassan9980
    @ibnhassan9980 Před 2 lety +2

    Safi masai

  • @charleschoma4216
    @charleschoma4216 Před 2 lety

    Mna hati miliki Sheria ya hifadhi inasemaje

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 Před 2 lety +2

    Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe,
    Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn,
    Kumbe kibarua bado kizito.
    Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.

    • @mohamedlacha6515
      @mohamedlacha6515 Před 2 lety

      Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi

  • @janetnadauson2988
    @janetnadauson2988 Před 2 lety +1

    Msikubali kabisa

  • @rashidiwilliam8469
    @rashidiwilliam8469 Před 2 lety

    Wakivunja chungu hao mtakiona mnaohusika kuwahujumu🙄🙄😏😏😏

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 Před 2 lety +2

    Wanadamu wanathamani wanyama na ndio maana tuliambiwa tuvitawale sio tutawaliwe na wanyama

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 7 dny

    Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake

  • @safielfadhili8307
    @safielfadhili8307 Před 2 lety

    Ni shida

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t Před 4 dny

    Kubabakeeeeeeeeeee komaeniiiiii hii ni inchiyenu

  • @gibsonsoff4158
    @gibsonsoff4158 Před 2 lety

    Kiapo kama mbaya mbaya

  • @kelvinkosyando6297
    @kelvinkosyando6297 Před 2 lety

    Kesipa eminyora ake angaji eiyo

  • @glorynassary4399
    @glorynassary4399 Před 2 lety

    MUNGU awatete kwenye hili jamani Tz ni mali ya wote

  • @LesafariLukumay
    @LesafariLukumay Před 5 dny

    Engukoi tayari

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Před 2 lety

    Wahamishe wanyama waache wamasai

  • @salmaseif6284
    @salmaseif6284 Před 2 lety +9

    Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.

    • @rukiasalum7628
      @rukiasalum7628 Před 2 lety

      Kweli waende wapi jamani mungu wasaidie watu wako.

    • @jonathanmnyone4003
      @jonathanmnyone4003 Před 2 lety

      @@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk

    • @Sahra3718
      @Sahra3718 Před 2 lety

      Imagi waitenge arthi ya mababu zao zakale waipe warabu waitawale mimi kama mkenya niketaaa hiyo na nimeilaana

  • @Nabillsilver9338
    @Nabillsilver9338 Před 2 lety

    Aende mtu kuondoa mtu kama hajapigwa cme na rungu!🤣🤣🤣

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety

    Delilah kameza nchi Delilah hakua na huruma hata kidog???? Kumbukumbu murch 19 2021 ndo mwisho wa shaba kutoweka na kubaki aluminum?????

  • @ejulaizerjulaizer128
    @ejulaizerjulaizer128 Před 2 lety +1

    Lekisongo mikiyelo iye

  • @AlexChawe
    @AlexChawe Před 5 dny

    Ccm mna roho ngumu

  • @hasanichengula68
    @hasanichengula68 Před 2 lety

    Msijidanganye hakuna mwenye guvu kuliko serikali nakwasheria yetu hakuna mwenye aridhi tunaishi kama wapangaji serikali ikipahitaji inakulipa fidia

  • @isayalaisaki8366
    @isayalaisaki8366 Před rokem

    By

  • @collinsparkire2258
    @collinsparkire2258 Před 2 lety

    Samia wewe hauna maisha

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 2 lety

    Waje mjini

  • @nyandakamunya8859
    @nyandakamunya8859 Před 2 lety

    Kweli

  • @deongusaru5803
    @deongusaru5803 Před 2 lety

    Ngorongoro kwa wamasai ni nyumbani,homeland,mother land, ancestors land, huwezi muondoa mtu nyumbani kwake bila program yakueleweka.

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 2 lety +1

    MBONA WAZARAMO WALIONDOKA DAR VIWANJA VIKAPIMWA??

    • @jestonelazaro6543
      @jestonelazaro6543 Před 2 lety

      Ushasema wazaramo kasaidie kuwa India basi wapo laki 7 na wote wapo tayari huwaga Kwa lolote c Simba wala chuo wanawajua

  • @amenipasanga9865
    @amenipasanga9865 Před 2 lety

    Nawapa pole tu ndgu zangu,mtaondolewa

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před 4 dny

    Msiondoke kwenu haki yetu sote wtz

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety

    Nchi ishauzwa sitaki kusikia rais kafanya haya, ?????

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 2 lety

    Watu wachache wanahadaa nakubabaisha watzwengi kwasabbu yaubinafusi hawapendi raiawatz kufaidi matunda yanchi yawo ,huu niuhuni wamaccm tenaugaidi kwasheria zakimataifa,

  • @juliuslemomolaizer8237

    .

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před 2 lety

    Wengine wanaburuzwa wala hawataki wana ham yakutoka

  • @robertemanuel7026
    @robertemanuel7026 Před 2 lety +1

    Hv

  • @hassanmbwama4252
    @hassanmbwama4252 Před 2 lety

    Sasa kimaasai bira

    • @hassanmbwama4252
      @hassanmbwama4252 Před 2 lety

      Bira tafsiri manayake Nini siyo wote ni wamasai bwana mwandishi umemechrmuka hapo

    • @yonabilshan6424
      @yonabilshan6424 Před 2 lety

      Masai muwe m a kini mabomu

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 2 lety

    Hawandiomilazaokuishimsituninawanyama namsaumilanimtumwa haondiowatubadowanazingatiamila sisiwenginetuliingiauzunguni

  • @victormathenge943
    @victormathenge943 Před 2 lety

    Huu ni unyama, Rais Muislamu ameuza ardhi ya wamasai kwa Mfalme Muislamu Saudi Arabia,,,,jameni,,,

  • @kassimualli1600
    @kassimualli1600 Před 2 lety +1

    Tokeni mbugani acheni ujinga nyinyi

    • @peterdaiman5813
      @peterdaiman5813 Před 2 lety

      Nyee mmevamia wanyama mnataka wanyama waishi wapi

    • @mbebesisilayo2511
      @mbebesisilayo2511 Před 2 lety

      Kassimu alli toka wewe sisi tuache hapa hapa si mnatuita sisi masai ni maliasili na utamaduni ile wengine imeshashindwa sisi masai.

    • @davidtuya9586
      @davidtuya9586 Před 2 lety

      Wanyama si bora kuliko wanadamu waache waishi huko hatuwezi kutawaliwa na wanyama mnyama asinipangie pa kuishi Mimi ndo nampangia mnyama pa kuishi maana namtawala

    • @jestonelazaro6543
      @jestonelazaro6543 Před 2 lety +1

      Njoo tutor tukutoe umama

  • @paulomartin5715
    @paulomartin5715 Před 2 lety +1

    mtatokatu nyi ninani msitoke

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Před 2 lety +1

    Hem serekali iwaache Hawa binadamu.kwani Hawa binadamu .nawanyama pori bora Nani dhamani.

  • @abubakarmwasumilwe7070

    Mtzumia nyie washenzi Seririkan inawabembeleza dawa yenu inachemka

    • @amenipasanga9865
      @amenipasanga9865 Před 2 lety

      Dawa imeshawaingia

    • @happinessjacob2512
      @happinessjacob2512 Před 2 lety

      Mfyuuuuu,,,ungekuwa miongoni mwao ungeelewa,,Jambo usilolijua ni sawa na uck wa Giza,,,huelewi kaa kimya,aliyeshiba huwa hajui njaa iko vipi,.