Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai
Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe, Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn, Kumbe kibarua bado kizito. Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.
Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi
Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake
Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.
@@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk
Wanyama si bora kuliko wanadamu waache waishi huko hatuwezi kutawaliwa na wanyama mnyama asinipangie pa kuishi Mimi ndo nampangia mnyama pa kuishi maana namtawala
Etengor enkop ichi too mbaa oo ngawochin lalewa, much love from baringo masai we stand together
Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai
Huyu Samia Hana hata aibu.
Nashauri ndugu zangu Wamasai Yeyote kati yenu atakaenda kinyune na makubaliano Yenu(msaliti) Mfuteni kwenye familia Yenu.. akakae na majaliwa ikulu..
Msikubali kuondoka kabisa, hii nchi sio mali ya wachache nimali ya kila mtanzania. Wamasai hoyeee.
Safi sana wasiondoke hawa Ccm kama mashetani
Hoyee
Msaada wenu ni Mungu mkuu pekee yake. Amen.
Mama samia hapa umeingia cha kike hawa nawajua vizuri!
Umoja ni nguvu 💪
Ndani ya mwaka mmja wanyonge wamekiona chamoto na bado
Sioo haoo tu natumai ipo siku watanzania wotee watasema kwa sauti moja kwanii watachoka maonezi na aza mafisadi wahuni wapigadili wanayotufanyia
Poleni wandungu. Xe2
Jamaa jeuri hawa
Mungu tuone Kijiji kihame wote sio haki kwel huoni uonevu mukubwa
EBwan yesu tusaidiye mungu wetu Atuhami kwa jina la yesu
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
Safi sana maasai hio ni ardhi yenu
Poleni ndugu zetu 😢
Ee mungu ututete
Wamasai hakuna kuondoka ktk ardhi yenu, Mafisadi wameshauza hiyo ardhi yenu
Ardhi yote ya Tz ni Mali ya Umma, sisi raia ni wapangani tu,, tunaondoshwa kwa fidia ikiwa tunastahili,,
Wewe ni ng'ombe tu
Masai wakila kiapo
Safi xna masai
Mambo ya loyal tour hayoooooo
Ndio kabsa mlipewa na mwana makundi
Wamasai komaeni nyinyi niwatanzania. Hii ni inchiyenu
Safi masai
Mna hati miliki Sheria ya hifadhi inasemaje
Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe,
Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn,
Kumbe kibarua bado kizito.
Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.
Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi
Msikubali kabisa
Wakivunja chungu hao mtakiona mnaohusika kuwahujumu🙄🙄😏😏😏
Wanadamu wanathamani wanyama na ndio maana tuliambiwa tuvitawale sio tutawaliwe na wanyama
Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake
Ni shida
Kubabakeeeeeeeeeee komaeniiiiii hii ni inchiyenu
Kiapo kama mbaya mbaya
Kesipa eminyora ake angaji eiyo
MUNGU awatete kwenye hili jamani Tz ni mali ya wote
Engukoi tayari
Wahamishe wanyama waache wamasai
Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.
Kweli waende wapi jamani mungu wasaidie watu wako.
@@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk
Imagi waitenge arthi ya mababu zao zakale waipe warabu waitawale mimi kama mkenya niketaaa hiyo na nimeilaana
Aende mtu kuondoa mtu kama hajapigwa cme na rungu!🤣🤣🤣
Delilah kameza nchi Delilah hakua na huruma hata kidog???? Kumbukumbu murch 19 2021 ndo mwisho wa shaba kutoweka na kubaki aluminum?????
Lekisongo mikiyelo iye
Ccm mna roho ngumu
Msijidanganye hakuna mwenye guvu kuliko serikali nakwasheria yetu hakuna mwenye aridhi tunaishi kama wapangaji serikali ikipahitaji inakulipa fidia
By
Samia wewe hauna maisha
Waje mjini
Kweli
Ngorongoro kwa wamasai ni nyumbani,homeland,mother land, ancestors land, huwezi muondoa mtu nyumbani kwake bila program yakueleweka.
MBONA WAZARAMO WALIONDOKA DAR VIWANJA VIKAPIMWA??
Ushasema wazaramo kasaidie kuwa India basi wapo laki 7 na wote wapo tayari huwaga Kwa lolote c Simba wala chuo wanawajua
Nawapa pole tu ndgu zangu,mtaondolewa
Msiondoke kwenu haki yetu sote wtz
Nchi ishauzwa sitaki kusikia rais kafanya haya, ?????
Watu wachache wanahadaa nakubabaisha watzwengi kwasabbu yaubinafusi hawapendi raiawatz kufaidi matunda yanchi yawo ,huu niuhuni wamaccm tenaugaidi kwasheria zakimataifa,
.
Wengine wanaburuzwa wala hawataki wana ham yakutoka
Hv
Sasa kimaasai bira
Bira tafsiri manayake Nini siyo wote ni wamasai bwana mwandishi umemechrmuka hapo
Masai muwe m a kini mabomu
Hawandiomilazaokuishimsituninawanyama namsaumilanimtumwa haondiowatubadowanazingatiamila sisiwenginetuliingiauzunguni
Umeandika kama upo darasa la pili
@@marksulle6120 ni shida 😅
Huu ni unyama, Rais Muislamu ameuza ardhi ya wamasai kwa Mfalme Muislamu Saudi Arabia,,,,jameni,,,
Una Hakika na unachokisema
Tokeni mbugani acheni ujinga nyinyi
Nyee mmevamia wanyama mnataka wanyama waishi wapi
Kassimu alli toka wewe sisi tuache hapa hapa si mnatuita sisi masai ni maliasili na utamaduni ile wengine imeshashindwa sisi masai.
Wanyama si bora kuliko wanadamu waache waishi huko hatuwezi kutawaliwa na wanyama mnyama asinipangie pa kuishi Mimi ndo nampangia mnyama pa kuishi maana namtawala
Njoo tutor tukutoe umama
mtatokatu nyi ninani msitoke
Hem serekali iwaache Hawa binadamu.kwani Hawa binadamu .nawanyama pori bora Nani dhamani.
Umesahau punda afe mzigo ufike?
Mtzumia nyie washenzi Seririkan inawabembeleza dawa yenu inachemka
Dawa imeshawaingia
Mfyuuuuu,,,ungekuwa miongoni mwao ungeelewa,,Jambo usilolijua ni sawa na uck wa Giza,,,huelewi kaa kimya,aliyeshiba huwa hajui njaa iko vipi,.