Joseph Molel
Joseph Molel
  • 1
  • 155 427

Video

Komentáře

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t Před 22 dny

    Kubabakeeeeeeeeeee komaeniiiiii hii ni inchiyenu

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před 22 dny

    Msiondoke kwenu haki yetu sote wtz

  • @LesafariLukumay
    @LesafariLukumay Před 23 dny

    Engukoi tayari

  • @AlexChawe
    @AlexChawe Před 24 dny

    Ccm mna roho ngumu

  • @AnoTarus
    @AnoTarus Před 24 dny

    Poleni ndugu zetu 😢

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 25 dny

    Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake

  • @LemomoMollli
    @LemomoMollli Před měsícem

    EBwan yesu tusaidiye mungu wetu Atuhami kwa jina la yesu

  • @isayalaisaki8366
    @isayalaisaki8366 Před rokem

    By

  • @charleschoma4216
    @charleschoma4216 Před 2 lety

    Mna hati miliki Sheria ya hifadhi inasemaje

  • @miseyeki9451
    @miseyeki9451 Před 2 lety

    Poleni wandungu. Xe2

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety

    Delilah kameza nchi Delilah hakua na huruma hata kidog???? Kumbukumbu murch 19 2021 ndo mwisho wa shaba kutoweka na kubaki aluminum?????

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety

    Nchi ishauzwa sitaki kusikia rais kafanya haya, ?????

  • @kelvinkosyando6297
    @kelvinkosyando6297 Před 2 lety

    Kesipa eminyora ake angaji eiyo

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Před 2 lety

    Wahamishe wanyama waache wamasai

  • @frankmollel1085
    @frankmollel1085 Před 2 lety

    Ee mungu ututete

  • @hasanichengula68
    @hasanichengula68 Před 2 lety

    Msijidanganye hakuna mwenye guvu kuliko serikali nakwasheria yetu hakuna mwenye aridhi tunaishi kama wapangaji serikali ikipahitaji inakulipa fidia

  • @safielfadhili8307
    @safielfadhili8307 Před 2 lety

    Ni shida

  • @deongusaru5803
    @deongusaru5803 Před 2 lety

    Ngorongoro kwa wamasai ni nyumbani,homeland,mother land, ancestors land, huwezi muondoa mtu nyumbani kwake bila program yakueleweka.

  • @Nabillsilver9338
    @Nabillsilver9338 Před 2 lety

    Aende mtu kuondoa mtu kama hajapigwa cme na rungu!🤣🤣🤣

  • @coolgirlmargapeter6178

    Jamani huyu Samia anatupereka wapi mtu amezariwa roryoondo halafu leo unataka umhamishie wilaya korongwe kweli je kitovu Jake kilijozikwa ngorongoro utakihisha nachenyewe au makaburi ya ndungu zao mtayapakia nayenyewe kwenye marori na mabasi wazlimkuu usitake kuingia kwenye laana yawatanzania waliopewa alizi na mwenyenzi mungu waimiliki wao sio walabu wa omani waziri mkuu watanzania tulikupenda. sana usitake kuppteza heshima Yako aliokuajia malehemi jpm usikubali kuingia kwenye laana kama hiyo acha mama apambane mwenyewe tuone atafika wapi na hiyo hari

  • @glorynassary4399
    @glorynassary4399 Před 2 lety

    MUNGU awatete kwenye hili jamani Tz ni mali ya wote

  • @jumanneswala7707
    @jumanneswala7707 Před 2 lety

    Mambo ya loyal tour hayoooooo

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před 2 lety

    Ardhi yote ya Tz ni Mali ya Umma, sisi raia ni wapangani tu,, tunaondoshwa kwa fidia ikiwa tunastahili,,

  • @rashidiwilliam8469
    @rashidiwilliam8469 Před 2 lety

    Wakivunja chungu hao mtakiona mnaohusika kuwahujumu🙄🙄😏😏😏

  • @victormathenge943
    @victormathenge943 Před 2 lety

    Huu ni unyama, Rais Muislamu ameuza ardhi ya wamasai kwa Mfalme Muislamu Saudi Arabia,,,,jameni,,,

  • @amenipasanga9865
    @amenipasanga9865 Před 2 lety

    Nawapa pole tu ndgu zangu,mtaondolewa

  • @rosemarymwakitwange6257

    Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai

  • @collinsparkire2258
    @collinsparkire2258 Před 2 lety

    Samia wewe hauna maisha

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 Před 2 lety

    Ndio kabsa mlipewa na mwana makundi

  • @abubakarmwasumilwe7070

    Mtzumia nyie washenzi Seririkan inawabembeleza dawa yenu inachemka

    • @amenipasanga9865
      @amenipasanga9865 Před 2 lety

      Dawa imeshawaingia

    • @happinessjacob2512
      @happinessjacob2512 Před 2 lety

      Mfyuuuuu,,,ungekuwa miongoni mwao ungeelewa,,Jambo usilolijua ni sawa na uck wa Giza,,,huelewi kaa kimya,aliyeshiba huwa hajui njaa iko vipi,.

  • @salmaseif6284
    @salmaseif6284 Před 2 lety

    Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.

    • @rukiasalum7628
      @rukiasalum7628 Před 2 lety

      Kweli waende wapi jamani mungu wasaidie watu wako.

    • @jonathanmnyone4003
      @jonathanmnyone4003 Před 2 lety

      @@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk

    • @Sahra3718
      @Sahra3718 Před 2 lety

      Imagi waitenge arthi ya mababu zao zakale waipe warabu waitawale mimi kama mkenya niketaaa hiyo na nimeilaana

  • @nyandakamunya8859
    @nyandakamunya8859 Před 2 lety

    czcams.com/video/R2PjpcyRXkY/video.html

  • @nyandakamunya8859
    @nyandakamunya8859 Před 2 lety

    Kweli

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 2 lety

    Msaada wenu ni Mungu mkuu pekee yake. Amen.

  • @olembetonga7341
    @olembetonga7341 Před 2 lety

    Msikunali wanataka kuiba wanyama na madini ngorongoro Kuna madini tunajua

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 2 lety

    MBONA WAZARAMO WALIONDOKA DAR VIWANJA VIKAPIMWA??

    • @jestonelazaro6543
      @jestonelazaro6543 Před 2 lety

      Ushasema wazaramo kasaidie kuwa India basi wapo laki 7 na wote wapo tayari huwaga Kwa lolote c Simba wala chuo wanawajua

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Před 2 lety

    Nashauri ndugu zangu Wamasai Yeyote kati yenu atakaenda kinyune na makubaliano Yenu(msaliti) Mfuteni kwenye familia Yenu.. akakae na majaliwa ikulu..

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 Před 2 lety

    Huyu Samia Hana hata aibu.

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 Před 2 lety

    Msikubali kuondoka kabisa, hii nchi sio mali ya wachache nimali ya kila mtanzania. Wamasai hoyeee.

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 2 lety

    Waje mjini

  • @paulomartin5715
    @paulomartin5715 Před 2 lety

    mtatokatu nyi ninani msitoke

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 Před 2 lety

    Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe, Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn, Kumbe kibarua bado kizito. Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.

    • @mohamedlacha6515
      @mohamedlacha6515 Před 2 lety

      Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 Před 2 lety

    Wanadamu wanathamani wanyama na ndio maana tuliambiwa tuvitawale sio tutawaliwe na wanyama

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Před 2 lety

    Jipeni moto tu . Rudini kwenye manyata zenu. Ngorongoro waachieni wanyama . Wacheni siasa

  • @kirui1619
    @kirui1619 Před 2 lety

    Etengor enkop ichi too mbaa oo ngawochin lalewa, much love from baringo masai we stand together

  • @janetnadauson2988
    @janetnadauson2988 Před 2 lety

    Msikubali kabisa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 2 lety

    Watu wachache wanahadaa nakubabaisha watzwengi kwasabbu yaubinafusi hawapendi raiawatz kufaidi matunda yanchi yawo ,huu niuhuni wamaccm tenaugaidi kwasheria zakimataifa,

  • @hatari9591
    @hatari9591 Před 2 lety

    Mama samia hapa umeingia cha kike hawa nawajua vizuri!

  • @barakamasai2397
    @barakamasai2397 Před 2 lety

    Mungu tuone Kijiji kihame wote sio haki kwel huoni uonevu mukubwa