Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake
Jamani huyu Samia anatupereka wapi mtu amezariwa roryoondo halafu leo unataka umhamishie wilaya korongwe kweli je kitovu Jake kilijozikwa ngorongoro utakihisha nachenyewe au makaburi ya ndungu zao mtayapakia nayenyewe kwenye marori na mabasi wazlimkuu usitake kuingia kwenye laana yawatanzania waliopewa alizi na mwenyenzi mungu waimiliki wao sio walabu wa omani waziri mkuu watanzania tulikupenda. sana usitake kuppteza heshima Yako aliokuajia malehemi jpm usikubali kuingia kwenye laana kama hiyo acha mama apambane mwenyewe tuone atafika wapi na hiyo hari
Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai
Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.
@@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk
Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe, Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn, Kumbe kibarua bado kizito. Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.
Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi
Kubabakeeeeeeeeeee komaeniiiiii hii ni inchiyenu
Msiondoke kwenu haki yetu sote wtz
Engukoi tayari
Ccm mna roho ngumu
Poleni ndugu zetu 😢
Samia sluu Hasan where are going to accommodate such people from ngorongoro are below to ngorongoro Arab can be lptantAnt than tanzania people life since 19 century Masai community belong to Tanzania national kukusikiliza jakaya kikwete outcome umepeleka nchi ktk sintafahamu hata nchi majibu yake
EBwan yesu tusaidiye mungu wetu Atuhami kwa jina la yesu
By
Mna hati miliki Sheria ya hifadhi inasemaje
.
Poleni wandungu. Xe2
Delilah kameza nchi Delilah hakua na huruma hata kidog???? Kumbukumbu murch 19 2021 ndo mwisho wa shaba kutoweka na kubaki aluminum?????
Nchi ishauzwa sitaki kusikia rais kafanya haya, ?????
Kesipa eminyora ake angaji eiyo
Wahamishe wanyama waache wamasai
Ee mungu ututete
Msijidanganye hakuna mwenye guvu kuliko serikali nakwasheria yetu hakuna mwenye aridhi tunaishi kama wapangaji serikali ikipahitaji inakulipa fidia
Ni shida
Ngorongoro kwa wamasai ni nyumbani,homeland,mother land, ancestors land, huwezi muondoa mtu nyumbani kwake bila program yakueleweka.
Aende mtu kuondoa mtu kama hajapigwa cme na rungu!🤣🤣🤣
Jamani huyu Samia anatupereka wapi mtu amezariwa roryoondo halafu leo unataka umhamishie wilaya korongwe kweli je kitovu Jake kilijozikwa ngorongoro utakihisha nachenyewe au makaburi ya ndungu zao mtayapakia nayenyewe kwenye marori na mabasi wazlimkuu usitake kuingia kwenye laana yawatanzania waliopewa alizi na mwenyenzi mungu waimiliki wao sio walabu wa omani waziri mkuu watanzania tulikupenda. sana usitake kuppteza heshima Yako aliokuajia malehemi jpm usikubali kuingia kwenye laana kama hiyo acha mama apambane mwenyewe tuone atafika wapi na hiyo hari
MUNGU awatete kwenye hili jamani Tz ni mali ya wote
Mambo ya loyal tour hayoooooo
Ardhi yote ya Tz ni Mali ya Umma, sisi raia ni wapangani tu,, tunaondoshwa kwa fidia ikiwa tunastahili,,
Wewe ni ng'ombe tu
Wakivunja chungu hao mtakiona mnaohusika kuwahujumu🙄🙄😏😏😏
Huu ni unyama, Rais Muislamu ameuza ardhi ya wamasai kwa Mfalme Muislamu Saudi Arabia,,,,jameni,,,
Una Hakika na unachokisema
Nawapa pole tu ndgu zangu,mtaondolewa
Ni vema Waziri Mkuu Ndugu majaliwa akashulika na ardhi ya kwao Mtwara, hawa wamasai washughulike na ya Loliondo Mungu aliyewapa hao Loliondo na yeye kumuweka Mtwara hakuwa mjinga. Majaliwa na kundi lao hawana veto ya land ya Tanzania. Big up wamasai
Samia wewe hauna maisha
Ndio kabsa mlipewa na mwana makundi
Mtzumia nyie washenzi Seririkan inawabembeleza dawa yenu inachemka
Dawa imeshawaingia
Mfyuuuuu,,,ungekuwa miongoni mwao ungeelewa,,Jambo usilolijua ni sawa na uck wa Giza,,,huelewi kaa kimya,aliyeshiba huwa hajui njaa iko vipi,.
Waondoke waende wapi? Wamezaliwa hapo na wamekulia hapo, Kwa hiyo hii nchi imekuwa bora wanyama kuliko binaadamu au! Musituchanganye bwana hii nchi sio ya kwenu pekeenu, M/Mungu ameiumba nchi hii ni kwa ajili ya kila mtanzania. Au munahisi kuwa wamasai sio watu? Tambueni ya kuwa hao ni binaadamu kamili km walivyo baba zenu na mama zenu, sema wao wamejiamulia kuishi porini. Viongozi gani munanyanyasa raia nyie! Yaani munatusababisha mpaka tunakufuru kwa kutamani hayati magufuli arudi.
Kweli waende wapi jamani mungu wasaidie watu wako.
@@rukiasalum7628 Handeni wanajengewa nyumba na wanapewa ardhi ya kulima. Ngorongoro hawaruhusiwi kulima, wanaliwa na Simba, hawaruhusiwi kupaua nyumba kwa bati nk
Imagi waitenge arthi ya mababu zao zakale waipe warabu waitawale mimi kama mkenya niketaaa hiyo na nimeilaana
czcams.com/video/R2PjpcyRXkY/video.html
Kweli
Msaada wenu ni Mungu mkuu pekee yake. Amen.
Msikunali wanataka kuiba wanyama na madini ngorongoro Kuna madini tunajua
MBONA WAZARAMO WALIONDOKA DAR VIWANJA VIKAPIMWA??
Ushasema wazaramo kasaidie kuwa India basi wapo laki 7 na wote wapo tayari huwaga Kwa lolote c Simba wala chuo wanawajua
Nashauri ndugu zangu Wamasai Yeyote kati yenu atakaenda kinyune na makubaliano Yenu(msaliti) Mfuteni kwenye familia Yenu.. akakae na majaliwa ikulu..
Huyu Samia Hana hata aibu.
Msikubali kuondoka kabisa, hii nchi sio mali ya wachache nimali ya kila mtanzania. Wamasai hoyeee.
Safi sana wasiondoke hawa Ccm kama mashetani
Hoyee
Waje mjini
mtatokatu nyi ninani msitoke
Mbona tumeambiwa wamekubali kwa hiari yao wenyewe, Na hawa nao sio kati ya wale walio kubari kuhama jmn, Kumbe kibarua bado kizito. Mm ningeobwa ushauri ningewaambia hawa jamaa kweli wahame ila mtu achague mwenyewe mkoa anaouta tumuwekee makazi yake,kuliko kumwambia tutawapeleka mkoa flani hii hata mm sio sawa.
Tujali watu lakini pia tujali raslimali ambazo ndizo zinatuletea uchumi ili uwarudie watu. Tanzania ni nchi yetu sote. Huna haja ya kungangania sehemu inayoleta kipato na mahusiano na watu wa dunia ingine. Nakumbuka mwaka 1968/69 Wachaga walihamishiwa Kigoma na Morogoro kwa uhaba wa ardhi Kilimanjaro. Wamasai wahame kupisha Utalii uendelee kwa kasi
Wanadamu wanathamani wanyama na ndio maana tuliambiwa tuvitawale sio tutawaliwe na wanyama
Jipeni moto tu . Rudini kwenye manyata zenu. Ngorongoro waachieni wanyama . Wacheni siasa
Etengor enkop ichi too mbaa oo ngawochin lalewa, much love from baringo masai we stand together
Msikubali kabisa
Watu wachache wanahadaa nakubabaisha watzwengi kwasabbu yaubinafusi hawapendi raiawatz kufaidi matunda yanchi yawo ,huu niuhuni wamaccm tenaugaidi kwasheria zakimataifa,
Mama samia hapa umeingia cha kike hawa nawajua vizuri!
Mungu tuone Kijiji kihame wote sio haki kwel huoni uonevu mukubwa