#TAZAMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Idadi ya wakazi wanaohama kwa hiyari yao katika eneo la Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro imeongezeka kwa kasi zaidi kufikia wakazi elfu moja mia nne na themanini na nane (1488) katika kaya miambili tisini na mbili tofauti na kasi uhamaji iliyokuwepo awali.
    Idadi hiyo imefikiwa baada ya leo hii kuondoka kundi la 12 lenye kaya 61 wakazi 310 pamoja ja mifugo 2213 huku miongoni mwao wakiwa ni viongozi wa dini, viongozi wa siasa pamoja na wakuu wa taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Komentáře •