LISSU: LEMA Hana SABABU ya Kuomba Radhi- "BODABODA SIO AJIRA, WANGAPI WANAKUFA na KUKATWA MIGUU?''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • LISSU: LEMA Hana SABABU ya Kuomba Radhi- "BODABODA SIO AJIRA, WANGAPI WANAKUFA na KUKATWA MIGUU?''
    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefunguka kuhusiana na kauli ya Lema juu ya bodaboda...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 34

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před rokem +1

    Bodaboda ni kazi Kama Kaz nyengine na ninasema hivyo kwa sababu Mimi ni bodaboda pia nimefanya kaz ya hii zaid ya miaka sita Sasa na nimefanya Mambo mengi sana na sijawahi kuvunjika hata mkono na hata nikipata ajali kwa hii Kaz yangu ni mungu ndio kanipigia kifo changu kiwe hivyo Kwa hio tusikatishane tamaa katika kutafuta maisha

  • @joshuabartonpolelaab4985

    Huu ndo uchambuzi yakinifu Kama mlikua hamjui😂😂😂😂😂😂 duh hatari

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Před rokem +1

    Mtangazaji yuko vizuri

  • @santiagobernabeu1611
    @santiagobernabeu1611 Před rokem +1

    Ee kweli TUNDU LISSU ni akili kubwa sana

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před rokem

    Hii kazi ya boda boda ni Kaz kama Kaz nyengine acheni kutukatisha tamaa na ninasema haya Kwa sababu Mimi ni boda boda na nimefanya Mambo mengi sana kupitia hii kazi yangu ya bodaboda na huu ni mwaka wa sita sasa naifanya hii kazi ya boda boda na ikitokea kama ndio kifo changu kimeandikwa kufa Kwa ajali ya bodaboda sitaweza kukizuiya maana tunasema ajali kazini

  • @Kasonadi-hp1lv
    @Kasonadi-hp1lv Před rokem

    Boda boda na magari wapi watu wamekufa wengi. Lisu puuuuuu

  • @EagleCrown-pb9qv
    @EagleCrown-pb9qv Před rokem

    Bodaboda sio ajila na wale wazungu unaowasujudia mbona wamegeuka machinga kule Los Angeles wanapanga nyanya za mafungu chini hiyo nayo ni ajila?

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před rokem

    risk ipo hata kwenye siasa

  • @anodearsulusi7536
    @anodearsulusi7536 Před rokem

    Hakuna kazi duniani isiyo na risk haipo

  • @JayJay-qc1ky
    @JayJay-qc1ky Před rokem

    🤪🤪 mimi toka lema aseme ukwl kuhusu kazi yetu.. nimeiacha kbs na boxer ygu nimeuza 🤪. Lema akisema😂 kitu kinakua 😂😂😂. sasa nyie wenzangu niliowaacha na mmnashinikizwa na Ccm kusema kua nyie ni ma AFISA USAFIRISHAJI.. shauri zenu sitaki kuongea sana ila kila la kheri na mjue hamtakiwi mema nyie na hao watu wa Ccm… nimekaa pale, mmtakuja nisimulia 🤪🤪.

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před rokem

    Maana tunao mifano anayotoa hayana mantiki kwa sababu kufa kupo tu na Kuna kazi zinasababisha vifo vya watu wengi kuliko bodaboda tena huwa wanakufa makundi kwa makundi

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před rokem

    Kwani tundulisu kaajiriwa na nani tunataka kujua na anafanya kazi gani

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před rokem

    Wewe tundulisu ni mwana siasa wanasiasa wangapi wamekufa kwa ajili ya siasa mbona huchochei siasa ya vyama vingi iondoke na bado unangangania kugombea uraisi Hali ya kua huna hata afya ya kuweza kuongoza nchi kwa sababu ndipo unapopata ugali wako basi tafadhali unatakiwa kuheshimu kazi za wenzio

  • @johannesrwiza
    @johannesrwiza Před rokem

    Bodaboda wenyewe wanadharau kazi yao. Wengi hawapendi ile kazi wanafanya sababu ya shida tu

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem

    Asiombe Radhi na Ndio kuta zimekala Chali. Atafute kazi ya Kufanya kwani kupiga makelele ya siasa hakukaliki tena

  • @franciskayombo4656
    @franciskayombo4656 Před rokem

    Alieona Lana na anatamanikuja kuwa kiongozi njoo na suruhisho

  • @franciskayombo4656
    @franciskayombo4656 Před rokem

    Wangapiwanafanya viwanda vyatumbaku na wanakufa kwa tb hawaonekani

    • @kennedkaaya5998
      @kennedkaaya5998 Před rokem

      Anae fanya kaz kiwandan jua analipiwa NSSF, WCF akiumia kikitokea chochote bima zake izo zinamlipa,,,acha kukaza fuvu wewe vitu vingine ukiuliza tumia akili kuuliza we kwa akili yako boda boda unaiyona ni kaz ,, nyie ndio mnafanya taifa lionekane lina mataira

  • @franciskayombo4656
    @franciskayombo4656 Před rokem

    Anamatatizo ya akiri huyo

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Před rokem

    Hawa hamna kitu hawa,hata Kama wangetuletea mamilioni kila mtanzania lakini kwa kusapoti ushoga wote ni wapumbavu tu hamna lolote,hawana ujasiri hata wakulikataa Jambo Hilo wanapoulizwa,kitu ambacho ni uthibitisho wanasapoti

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 Před rokem

      Sasa wew bodaboda sio ajira.
      Ila hiyo Kazi ngumu

    • @estambuya3901
      @estambuya3901 Před rokem

      Huna lolote la maana kaa kimya!

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Před rokem

      Ndugu, hebu eleza ni wapi wanaposapoti ushoga!

    • @msafirimiracle6613
      @msafirimiracle6613 Před rokem

      @@Expedito2512 fuatilia interview zote wanazoulizwa kuhusu ushoga,alafu Kama unazingatia Mambo utajua wanasapoti au la,au niambie Ni interview gani aliyowahi kuulizwa kiongozi wa chadema akaonyeshwa kukerwa na kitendo Cha ushoga na kukilaani?

    • @msafirimiracle6613
      @msafirimiracle6613 Před rokem

      @@estambuya3901 ukweli unauma,tulia tu dawa iingie

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem

    Huyu mwandishi wa habari Huna Kazi zaidi ya kwenda kwenye nyumba za watu kutafuta habari. Chama kimeshachungulia Shimo hakuna mtu ana nafasi tena

  • @franciskayombo4656
    @franciskayombo4656 Před rokem

    Chama chake kimekosa Sera kwenye hirokundi lknwanalihitaji kupitamaerezo