Msomera wakabidhiwa gari la wagonjwa,Msando atoa maagizo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Albert Msando ameagiza kuanza kutumika kwa kituo cha afya kilichojengwa na serikali katika kijiji cha Msomera,ambapo kitamaliziwa wakati wananchi wakiendelea kupata huduma.
    Mkuu huyo wa wilaya amesema hayo wakati akikibidhiwa gari la wagonjwa pamoja na pikipiki kutoka uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro na kusema kuwa,kutokana na baadhi ya majengo kukamilika ianze kutoa huduma.

Komentáře •