Askofu Kivuyo atoa kauli hii wananchi kuhamishwa Ngorongoro

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Askofu wa Kanisa la Free Pentecost Church of Tanzania jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha Jackson Kivuyo amesema wapo wananchi ambao ni waumini wake wanaoishi eneo hilo wanahitaji msaada kwani wana hali ngumu ya kimaisha.
    Akiongea baada ya kuwasili katika kijiji cha Msomera Askofu Kivuyo amesema kuna wananchi wapo Ngorongoro,hawana shughuli yoyote ya kiuchumi ambayo inaweza kuwakwamua kimaisha,hivyo upo ulazima wa kusaidiwa ikiwezekana waletwe Handeni.

Komentáře • 1

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před rokem

    Kuna asilimia 75% ya ngorongoro kukosa watalii manake wazungu wanapo kuja wanakuja sababu ya wamasai sababu ya utamaduni Yao sasa Samia hajui,?????? Na Kuna hatari kubwa Sana wanyama wengi tukaamishia Kenya kwa majiki amazing????