Mwanasheria Mkuu Zanzibar aibuka BMK, apiga kura kukataa Ibara muhimu Katiba inayopendekezwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 09. 2014
  • Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman leo ameibuka katika Bunge Maalum la Katiba na kupiga kura ya wazi ambapo alipiga kura ya hapana katika baadhi ya Ibara za rasimu ya Katiba. Hali hiyo iliibua maswali kwa baadhi ya wajumbe waliohoji kuibuka kwake leo wakati hakuwepo muda mwingi Bunge hilo lilipokuwa likiendelea.

Komentáře • 65

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +5

    Wana ccm mtatupeleka pabaya sana maana mawazo chanya hamyakubali hili ni tzz kubwa sana

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 3 lety +4

    ZANZIBAR kwanza mambomengine bada ishllah

  • @eddytech9215
    @eddytech9215 Před 9 lety +8

    big up attorney general

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 3 lety +6

    SAIVI AMEKUWA MAKAMO WA KWANZA

  • @nurisahim7898
    @nurisahim7898 Před 3 lety +6

    Mrisi wa hayati maalim seif

  • @Yussuphmm
    @Yussuphmm Před 3 lety +2

    Ndio makamo wetu mtiif 2021

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 Před 5 lety +7

    Ongera othman ww ni shujaaa wa kweli na mzalendo

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 6 měsíci +1

    Nampenda huyu mheshimiwa ❤

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 Před 5 lety +9

    Walitaka alinde maslah ya Ccm zanzibar na sio maslah ya Zanzibar Allah amlipe kwa wema wake Aamiyn

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      Bahati mbaya sana,Mungu hapimi wema wa mtu kwa upemba wake, au uunguja wake, au utanganyika wake,,,,,

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 Před 3 lety

      @@jumakapilima5674 na kwa bahati mbaya hujui unachokiongea. Pole

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@nohatredbutlove5786 majibu utayapata okt

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@nohatredbutlove5786 pole na wewe bahati njema okt iko karibu sana

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@nohatredbutlove5786 nafikiri sasa umeshapata majibu yako!!!!!

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo6055 Před 3 lety +3

    Wewe ni hifar sana juu ya Zanzibar

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 Před 4 lety +4

    CCM acheni kuwatishs wabunge

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 Před 5 lety +3

    Othman umejitahidi kuitetea Zanzibar japo utakua muasi kwa ccm.
    Tumeona lakini nadhani ifike wakati tuchagueni watu wenye elimu, hawa wapigaji zogo hawatatusaidia.

  • @topaviator
    @topaviator Před 3 lety +3

    Wasenge kweli hao wanaosema hafai
    Kumamae leo hii wale waliomcheka wanauza maandazi na huyo mlomzomea kesho anakwenda kuapishwa kua Makamu wa kwanza wa rais

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 Před 5 lety +4

    Ccm acheni kuwatisha wawakilishi wenu, mnamtisha mtu hadi anaogopa kusema ukweli, misimamo ya chama haitalisaidia taifa.

  • @goodlucksemba1145
    @goodlucksemba1145 Před 5 lety +3

    Kweli muungano huu ni wa mashaka mashaka !

  • @utaani1
    @utaani1 Před 9 lety +2

    Top man

  • @user-tn4tp5pe2i
    @user-tn4tp5pe2i Před 3 měsíci

    ccm ni sawa na gari bovu

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 3 lety +2

    Ccm ukiwapinga ukiwahupo pamoja nao wanakutoa wamewatoa waliofanya mapinduzi ya unafikii kuitakia zanzibar mamlaka kamili so mwanasheria kutolewa so ajabu ila kunahukumu badala madaraka anaejielewa hawezi kuwapamoja n ccm

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 6 lety +1

    Yahya Kassim Issa. Wewe mzeee umeptelea wapi?//.

  • @abdullaali8102
    @abdullaali8102 Před 6 lety +2

    Pan-Africanism or Pragmatism. Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Před 2 měsíci

    wengi walikuwa wakalia viti

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před rokem

    Hii ndo htr yakuchukua watu wa mtaani kwenye mambo yanayohitaji ELIMU.

  • @allybakar1488
    @allybakar1488 Před 6 lety +2

    nyinyi mnatk muendekeze udictetr tu half mnasem hkuchaguliwa mbon rais w znzbr rais alli mohd shein mwak 2015hkuchaguliwa saiv ndie rais wetu hii ni dunia tu

  • @allybakar1488
    @allybakar1488 Před 6 lety +4

    znzbr kwanz tunatk znzbr ytu

  • @ashuraatanas5967
    @ashuraatanas5967 Před 7 lety +5

    wa tz hawa wabunge wenu mbona wajinga sasa unamlazimisha mtu apige kura unayotaka wewe huo ni upuuzi

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 Před 4 lety +1

    Zanzibar niwajinga sana

  • @godfreyachireka3311
    @godfreyachireka3311 Před 9 lety +1

    VERRY GOOD

  • @salehabri6957
    @salehabri6957 Před 2 lety

    Samuel sitta wa ukweli, Mzee dawa

  • @alluuutamimi5436
    @alluuutamimi5436 Před 9 lety +5

    shujaa anabaki kuwa shujaa tu

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 5 lety

      alluuu tamimi hahahaaa ,,,mwisho akatumbuliwa!

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      @@jumakapilima5674 ,
      Kwani hakujua kua atatumbuliwa? Jamaa ni shujaa mpya wa zanzibar. Namfananisha na Maalim seif Sharrif!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      @@farhatfatma12 maalim seif wala siyo shujaa kama unavyodhani, maalim ni mnafiki anayewachuuza wajinga huku yeye akila kuku kwa mrija,,,,huku nyie wajinga mnabaki kupiga makofi, kiasi ambacho hata huyu mjinga mpya ameingia kingi!!

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      @@jumakapilima5674 ,
      Ni kweli na ndio sababu CCM mpaka leo wanatumia ma billion ya tax payer kumrudisha nyuma ili achukiwe na siwe na wafuasi .
      Mtu wa aina hiyo wewe na ccm wenzako munamwita mnafiki.
      Kuna link ya kura ya maoni sasa inatembea kupendekeza nani agombe uraisi zanzibar.
      Maalim amewapita wenzake kwa kura nyingi sana mpaka sasa, tena ni vijana.
      Anaemfwatia ni huyo Othman Masoud unamuona wewe pia kua tatizo kwa kuitetea nchi kule bungeni.
      Watu kama nyinyi mupo wachache duniani munao shindwa kutafautisha kizuri na kibaya.
      Maalim ataendelea kua shujaa wa nchi yetu ya zanzibar.
      Alikubali kupoteza nafasi nyingi za juu serikalini kutetea zanzibar yetu na uhuru wetu.
      Tunampenda wenyewe na nyinyi muna haki ya kumpenda mumtakae.
      Maneno yako hayaturudishi nyuma.
      Ramadhan Mubarak!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      @@farhatfatma12 ubwege huo,,,,maalimu huyohuyo ndio alimuuza Jumbe kwa Nyerere!!

  • @aliyaliya2040
    @aliyaliya2040 Před 2 lety

    Hamfanyinyi wanafiki

  • @pastoryconrad3075
    @pastoryconrad3075 Před 9 lety +2

    wasomi hasa wa sheria ni wajanja wajanja sana

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson129 Před 6 lety

    We pumbavu wa ccm

  • @mohammedkhalfan2085
    @mohammedkhalfan2085 Před 5 lety +2

    Kwa kweli CCM zanzibar wanatuuza kwa Watanganyika looo

  • @alfredsima7686
    @alfredsima7686 Před 6 lety

    katiba wap

  • @zachariamjungu6456
    @zachariamjungu6456 Před 9 lety

    Even if is democracy but this is a Hippocratic criticism because he didn't even participated the session to give his views as far as his status is concern.

    • @gangraa
      @gangraa Před 9 lety +2

      For the sake of argument, had he voted YES would they've raised the same criticism?

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 Před 3 lety

      @@gangraa point👌

  • @rajabmsenga7234
    @rajabmsenga7234 Před 9 lety +2

    Niwakati wa mabadiliko

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +1

    Mzembe huyu!!!

    • @rashidalihamad7228
      @rashidalihamad7228 Před 3 lety +1

      mzembe mama ako alietobwa na baba ako akakuzaaa wewe, zanzibar kwanza

    • @suleimanali9350
      @suleimanali9350 Před 3 lety +1

      @@rashidalihamad7228 Zanzibar fast 💖💌

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 2 lety

      @@rashidalihamad7228 unafirwa na baba yako wewe!!