Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!
hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo
Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja
leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.
Ismail juma... Mswahili halisi... mwenye damu ya kuswali..nakukubali...from Tanga
Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤
ismail Jussa ladu next president of Zanzibar 2025 Inshaalaah
Inshalla mungu amhufathi
Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.
Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah
Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Wasio tetea wazanzibar wanafkii mungu atakulipa kwa kutetea haki z wazanzibar waliokua hawatetei wataulizwa n mungu
Hongera Maalim Jussa
Jussa kweli mzalendo wa zanzibar nimekukubali uko sawa uchafu wote wa madhalim umeuweka hazarani duuuu
Talent from zanzibar
HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE
Jussa ana akili za watanganyika 1000
safi jussa kwa kumpuuza mpuuzi wa ccm
Jusa anaakili nyingi sanaa
Jussa ooooooooyeyyyyyyyyyyyyyye ww ndio umeva kiatu cha maalim Seffu
Uyo ndo jusa. Sheria inelala na vijembe vimelala
Jusa mwanaume I salute u
Asante jussa waambie waelewe
Safi sana jussa Uhuru kwanza ukoloni baadae
I real appreciate in u, u did well
Ilifanywa kwa siri kwa kuwa hawakutaka wazanzibari waone kiini macho cha Nyerere.
Wakati umefike wazanzibar tusiwabinye tena wamekwisha shtuka
Karume hataki muongano alidanganywa kuja kushtuka nchi imetekwa nchi tajiri duniani zanzibari ilikuwa dolah halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe
Zanzibar kwanza
Big up jussa 👍
wapeni wazanzibari nchi yao aaa kelele kila siku jamani wazanzibari wanaumia
Maisha Zanzibar itabaki salama na Tanganyika itakuwasalama Kabisa" kwamwe watanganyika hawawezi kuiwacha Zanzibar"
hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo
@@pettermasika9120 .. Sasa kama wenyewe hawataki..???..kwan mnaumia muungano kuvunjika 😁😁
tumechokaaaaaaaa na muuungano usiyo kuwa na mashiko
Jusa nisawa nawabunge 100 was ccm
Jussa jussa jussa
Mh jussa huna mpinzani baba
Wasiokuelewa wana yao hao
Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja
pasua jusa pasua jusa
Jusaaaaaaaaaaa
Jussa
😅😅😅😅😅Tanganyika itawaliwe na Zanzibar 😅😅😅😅😅
Nakukubak jemb jusa upo sw tn cn
Kichwa hicho
muungano kwa wazanzibari na yanafanyika ni kitu cha msingi sana lakini kama kuna mapungufu ni vyema yalekebishwe lakini sio kuvunja ib
Mbona makelele matupu
Wambileeeeeee wasikileeeeeeee😇
Hongera mh jussa
ismail jussa
misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu
Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.
CCM ni wahaini kwa zanzibar
HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!
mmeona sultan kaja kutembelea sasa ngoja muungano uvunjike,,,,,,
Wambie hao wapumbavu wa CCM manake wote ni kambare
Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu
Jusa kama jusa na ubora wake
Aise Ismail Jusa ni hatari sana
leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu
Kweli bro kwa macho yngu naziona pesa kwenda dar
ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE
Better says Zanzibar must be independient.
Think before you done
Uyu sikuizi yuko wapi?? Jamani
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Jussa naumia sana kukosa nafasi serikalini huyu mtu mpambanaji sio mchezo lakini one day yess 🏃♀️🏃♀️
Kila jambo lina mwisho wake yataisha yote
hawa watu wazima lakin hawajielewi hata kidogo kam kuku
Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂
Jussa hamna kitu!!
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu