KAMATI YA MARIDHIANO SIX JUSSA JUSSA JUSSA 14 APRIL 2014

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2014

Komentáře • 76

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem +3

    Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.

  • @bilalikaoneka5080
    @bilalikaoneka5080 Před 2 lety +7

    Ismail juma... Mswahili halisi... mwenye damu ya kuswali..nakukubali...from Tanga

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +1

    Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤

  • @yunussabdall7234
    @yunussabdall7234 Před rokem +6

    ismail Jussa ladu next president of Zanzibar 2025 Inshaalaah

  • @MartinAloisMosha-ff8rb

    Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Před 19 dny

    Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 Před 5 lety +8

    Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!

  • @HassanKomango-o2d
    @HassanKomango-o2d Před 3 dny

    Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 4 lety +3

    Wasio tetea wazanzibar wanafkii mungu atakulipa kwa kutetea haki z wazanzibar waliokua hawatetei wataulizwa n mungu

  • @suleimansuleiman6522
    @suleimansuleiman6522 Před měsícem

    Hongera Maalim Jussa

  • @fathiyaally8631
    @fathiyaally8631 Před 2 lety +2

    Jussa kweli mzalendo wa zanzibar nimekukubali uko sawa uchafu wote wa madhalim umeuweka hazarani duuuu

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas9185 Před 3 lety +7

    Talent from zanzibar

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci +1

    HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci +2

    Jussa ana akili za watanganyika 1000

  • @mtunesalumu8359
    @mtunesalumu8359 Před 4 lety +4

    safi jussa kwa kumpuuza mpuuzi wa ccm

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Před 10 měsíci +1

    Jusa anaakili nyingi sanaa

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Před rokem +1

    Jussa ooooooooyeyyyyyyyyyyyyyye ww ndio umeva kiatu cha maalim Seffu

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před 8 měsíci +1

    Uyo ndo jusa. Sheria inelala na vijembe vimelala

  • @abdulmubason7542
    @abdulmubason7542 Před 9 lety +9

    Jusa mwanaume I salute u

  • @salhiaseifmohammed8670
    @salhiaseifmohammed8670 Před 8 lety +4

    Asante jussa waambie waelewe

  • @mussagweje8731
    @mussagweje8731 Před 4 lety +2

    Safi sana jussa Uhuru kwanza ukoloni baadae

  • @johnthobius4499
    @johnthobius4499 Před 8 lety +4

    I real appreciate in u, u did well

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 10 lety +4

    Ilifanywa kwa siri kwa kuwa hawakutaka wazanzibari waone kiini macho cha Nyerere.

  • @abdisalamimasoud3872
    @abdisalamimasoud3872 Před 10 lety +7

    Wakati umefike wazanzibar tusiwabinye tena wamekwisha shtuka

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Před rokem

      Karume hataki muongano alidanganywa kuja kushtuka nchi imetekwa nchi tajiri duniani zanzibari ilikuwa dolah halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe

  • @fatmahamed3285
    @fatmahamed3285 Před 5 lety +5

    Zanzibar kwanza

  • @cassidycarter3635
    @cassidycarter3635 Před 8 lety +5

    Big up jussa 👍

  • @hajijumaa362
    @hajijumaa362 Před 6 lety +6

    wapeni wazanzibari nchi yao aaa kelele kila siku jamani wazanzibari wanaumia

    • @pettermasika9120
      @pettermasika9120 Před 5 lety

      Maisha Zanzibar itabaki salama na Tanganyika itakuwasalama Kabisa" kwamwe watanganyika hawawezi kuiwacha Zanzibar"

    • @fahmyatrash7877
      @fahmyatrash7877 Před 5 lety +2

      hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo

    • @bilalikaoneka5080
      @bilalikaoneka5080 Před 2 lety

      @@pettermasika9120 .. Sasa kama wenyewe hawataki..???..kwan mnaumia muungano kuvunjika 😁😁

  • @bukhariabdullah4949
    @bukhariabdullah4949 Před 7 lety +4

    tumechokaaaaaaaa na muuungano usiyo kuwa na mashiko

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Před 11 měsíci +1

    Jusa nisawa nawabunge 100 was ccm

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 10 lety +4

    Jussa jussa jussa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před 4 lety +1

    Mh jussa huna mpinzani baba
    Wasiokuelewa wana yao hao

  • @zungubakathir1761
    @zungubakathir1761 Před 6 lety +3

    Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja

  • @siefkalfan8549
    @siefkalfan8549 Před 8 lety +3

    pasua jusa pasua jusa

  • @heritungaraza270
    @heritungaraza270 Před 10 lety +3

    Jusaaaaaaaaaaa

  • @daudhenry8909
    @daudhenry8909 Před 4 lety +2

    Jussa

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Před rokem +1

    😅😅😅😅😅Tanganyika itawaliwe na Zanzibar 😅😅😅😅😅

  • @nassorkhalfan-cl6pm
    @nassorkhalfan-cl6pm Před 11 měsíci +1

    Nakukubak jemb jusa upo sw tn cn

  • @zenj1986
    @zenj1986 Před 3 lety +2

    Kichwa hicho

  • @elastokaminyoge6512
    @elastokaminyoge6512 Před 6 lety +2

    muungano kwa wazanzibari na yanafanyika ni kitu cha msingi sana lakini kama kuna mapungufu ni vyema yalekebishwe lakini sio kuvunja ib

  • @ibrahimconte601
    @ibrahimconte601 Před měsícem

    Mbona makelele matupu

  • @hudaasaalim1333
    @hudaasaalim1333 Před 2 lety

    Wambileeeeeee wasikileeeeeeee😇

  • @abdulkhamis815
    @abdulkhamis815 Před 2 lety

    Hongera mh jussa

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety +1

    ismail jussa

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci

    misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před měsícem

      Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.

  • @Dawood96-mct
    @Dawood96-mct Před rokem

    CCM ni wahaini kwa zanzibar

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci

    HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!

  • @kapilimajuma6558
    @kapilimajuma6558 Před 6 lety +2

    mmeona sultan kaja kutembelea sasa ngoja muungano uvunjike,,,,,,

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 Před 5 lety +1

    Wambie hao wapumbavu wa CCM manake wote ni kambare

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem

    Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 Před 2 lety

    Jusa kama jusa na ubora wake

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 2 lety

    Aise Ismail Jusa ni hatari sana

  • @siefkalfan8549
    @siefkalfan8549 Před 8 lety +2

    leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před 4 lety

      Kweli bro kwa macho yngu naziona pesa kwenda dar

  • @RidhwanAmar
    @RidhwanAmar Před 10 lety +3

    ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 Před 4 lety +1

    Better says Zanzibar must be independient.
    Think before you done

  • @erickrichard3077
    @erickrichard3077 Před 3 lety

    Uyu sikuizi yuko wapi?? Jamani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 Před 3 lety

    Jussa naumia sana kukosa nafasi serikalini huyu mtu mpambanaji sio mchezo lakini one day yess 🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 4 lety

    Kila jambo lina mwisho wake yataisha yote

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 Před 5 lety

    hawa watu wazima lakin hawajielewi hata kidogo kam kuku

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před 7 měsíci

    Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 2 lety

    Jussa hamna kitu!!

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci

    wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga

  • @HassanKomango-o2d
    @HassanKomango-o2d Před 3 dny

    Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu

  • @HassanKomango-o2d
    @HassanKomango-o2d Před 3 dny

    Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu