Jussa:Nyie bandari tu mnapiga kelele sisi mmetupora kila kitu na kuwafanya Wazanzibari kuwa ombaomba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2023
  • Ismail Jussa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo akihutubia mkutano wa hadhara Paje, mkoa wa Kusini Unguja.

Komentáře • 61

  • @yurasa2551
    @yurasa2551 Před 5 dny

    Zanzibar inchi yanguuu naipenda sanaaa

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před rokem +3

    Yes Jussa

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Před rokem +5

    Naunga mkono Kama Kuna uwezekano kila nchi ijitegemee,wazanzibar wapewe nchi Yao na Tanganyika ibaki Tanganyika

    • @Mfundo272
      @Mfundo272 Před rokem

      Unaijua hatari yake??

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před rokem

      @@Mfundo272 Muungano haujafika hata miaka 60 madhara yake tutapata maendeleo Makubwa na tutakua na Nchi yetu km mwanzo

  • @hanifamohammed9941
    @hanifamohammed9941 Před rokem

    Absolutely🎉🎉🎉🎉

  • @florianrweikiza2852
    @florianrweikiza2852 Před rokem +1

    Upitie mkataba kabla ya kuubeza mh.nini maana ya Tanzania?

  • @MaaoudMasoud-xd3hj
    @MaaoudMasoud-xd3hj Před 11 měsíci

    Kwn wanangangania huku kwetu tuachen na maisha ye2 si mna kwen watanganyika mmeeka chenu kp semen tuwape mtuache na maisha ye2

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Před rokem +3

    Asante bro jussa fact

  • @JuwairiyaHassanKhamis
    @JuwairiyaHassanKhamis Před rokem +1

    Mh.jussa nakupnda bureee mpigakura wako 4:37

  • @khamisbedui3323
    @khamisbedui3323 Před 2 měsíci

    Kazi ni moja tu, imarisheni viongozi wa majimbo wawashawishi vijana wamiliki vitambulisho nanyi ng'ang'anieni tume iwe ya usawa

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 11 měsíci

    HAWATOSHEKI WANA NJAA WEZI NDIO UTAMADUNI WAO 😮😮😮😮

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před rokem +1

    Hakuna upinzani Zanzibari tena.

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Před rokem

    Mpaka masheikhe waliwauwa. Abdallha farissi

  • @josestudio4534
    @josestudio4534 Před rokem

    Huyu kiongozi anaongea ukweli kabisa japo mini mtu wa Tanzania bara

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Před rokem +1

    Wapige Nondo. Jusa babalao

  • @JeshuaNdulet
    @JeshuaNdulet Před rokem

    Asate sana

  • @MaaoudMasoud-xd3hj
    @MaaoudMasoud-xd3hj Před 11 měsíci

    Labda kuzd kutuua tumechoka

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před rokem +1

    Ngoja muungano muuvunje mtakata mapanga tunawajua sana

    • @salma0000
      @salma0000 Před rokem

      Andika kwa kiswahili basi tufaham

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 Před rokem

    Wacha tuangalie moveee mpk imalizee tujuwee mwishooo wake

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před rokem

    Huyu anapayuka 2 nikiwaulza wazanzibar kuwa mnamashamba

  • @rosemaryrosemary9154
    @rosemaryrosemary9154 Před rokem

    Nahuyu mmempa adhabu gani maana kaongea mpaka kapitiliza

  • @AbassAwesu
    @AbassAwesu Před 4 měsíci

    Pigeni kazi wazee wetu vijanatupopamojananyi

  • @plumbingtanzaniaplumber7570

    Njaa hizo

  • @user-cc2cz8mh9t
    @user-cc2cz8mh9t Před rokem +1

    Hakika ila ipo siku allaa atatufanyiaa wepesii

  • @AliSalum-hw8lw
    @AliSalum-hw8lw Před rokem

    Ajuae anajua tu jusa wewe unajua,%100000

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh Před 11 měsíci

    Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn

  • @agriphinasaidi5067
    @agriphinasaidi5067 Před rokem

    Sawa na sisi tumekubali wa tanganyika

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Před rokem +1

    Jusa babalao.

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Před rokem

    Kila mtu kivyake nogwa za Nini

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před rokem

    Sisi watanganyika tumeporwa Taifa letu kabisa na utambulisho wetu.

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Před rokem +1

    nje ya muungano hakuna znz utakuta kuna wapemba na waunguja pia hakuna watanganyika bali utakuta kuna wasukuma na wanyamwezi😮

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před rokem +2

      Kwani kabla 1664 ilikua haipo Zanzibar?

    • @bakariamour1024
      @bakariamour1024 Před rokem +2

      Ivyo ivyo iwe wapemba iwe waunguja au wasukuma ila tuachiwr Zanzibar yetu

  • @lazarojohn6256
    @lazarojohn6256 Před rokem

    Nas hatuwataki na tubaki rasilimali zetu tuone

  • @salimukimwaga
    @salimukimwaga Před rokem

    Kipi ulichoibiwa wewe bwabwaja nchi hii bahari ina kila kitu waje wapate kitu gani huko mnamvuruga aliewavusha

  • @plumbingtanzaniaplumber7570

    Kama vp kaeni huko zanzb mctuzngue kwa nyie nan

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před rokem +1

    Hatujawahi kuwashobokea nyie wa Zanzibar mkijitenga heri sana

    • @omarissa4373
      @omarissa4373 Před rokem

      Hamuwezi kuishi nyinyi bila Zanzibar hata Dunia nzima wanajua

    • @ikopwdjh694
      @ikopwdjh694 Před rokem

      Kabisa yajitenge tyu mana wanabwabwaja sana

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Před měsícem

      Wacha umama zanzibar mumeifanya shamba lenu

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Před rokem

    Hakuna zanzibari wara tanganyika

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 Před rokem

    umeporwa nn Jusa ndy maana ulipigwa

  • @TANZAFORUM
    @TANZAFORUM Před rokem

    czcams.com/video/ElFqTS-K5bg/video.html
    kauli ya waziri mkuu kuhusu sakata la bandari

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před rokem +2

    Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?

    • @othmansaid2059
      @othmansaid2059 Před 10 měsíci

      DHAMBI YA UTUMWA BADO INATUTAFUNA. MWALIM NYERERE ALIWAHI KUTAMKA KUMWAMBIA RAZA. "ANASTAAJABU KUONA MHINDI ANASEMA LEO HII'

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před rokem

    Waliopora mamlaka kamili ya zanzibar sio mzanzibari wala wazanzibari bali ni Watanganyika

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Před rokem

    Kweli bandarin tu hawana usingiz akili zimewaruka ila wamewapora wazaznzibar kila kitu na wenyeq weshakataa Ila bado wanazid kuwakandamiz

  • @khatibal-zinjibari6956

    MKATABA WA MUUNGANO
    NA
    MKATABA WA BANDARI
    Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika.
    Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika.
    WATANGANYIKA CHUKUWENI
    BANDARI NA TANGANYIKA YENU.

  • @Worldunite
    @Worldunite Před rokem +1

    Aliyewapora ni mzenji mwenzenu

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Před rokem +1

    Asante bro jussa fact