Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn
Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?
MKATABA WA MUUNGANO NA MKATABA WA BANDARI Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika. Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika. WATANGANYIKA CHUKUWENI BANDARI NA TANGANYIKA YENU.
Zanzibar inchi yanguuu naipenda sanaaa
Yes Jussa
Naunga mkono Kama Kuna uwezekano kila nchi ijitegemee,wazanzibar wapewe nchi Yao na Tanganyika ibaki Tanganyika
Unaijua hatari yake??
@@Mfundo272 Muungano haujafika hata miaka 60 madhara yake tutapata maendeleo Makubwa na tutakua na Nchi yetu km mwanzo
Absolutely🎉🎉🎉🎉
Upitie mkataba kabla ya kuubeza mh.nini maana ya Tanzania?
Kwn wanangangania huku kwetu tuachen na maisha ye2 si mna kwen watanganyika mmeeka chenu kp semen tuwape mtuache na maisha ye2
Asante bro jussa fact
Mh.jussa nakupnda bureee mpigakura wako 4:37
Kazi ni moja tu, imarisheni viongozi wa majimbo wawashawishi vijana wamiliki vitambulisho nanyi ng'ang'anieni tume iwe ya usawa
HAWATOSHEKI WANA NJAA WEZI NDIO UTAMADUNI WAO 😮😮😮😮
Hakuna upinzani Zanzibari tena.
Mpaka masheikhe waliwauwa. Abdallha farissi
Huyu kiongozi anaongea ukweli kabisa japo mini mtu wa Tanzania bara
Wapige Nondo. Jusa babalao
Asate sana
Labda kuzd kutuua tumechoka
Ngoja muungano muuvunje mtakata mapanga tunawajua sana
Andika kwa kiswahili basi tufaham
Wacha tuangalie moveee mpk imalizee tujuwee mwishooo wake
Huyu anapayuka 2 nikiwaulza wazanzibar kuwa mnamashamba
Nahuyu mmempa adhabu gani maana kaongea mpaka kapitiliza
Pigeni kazi wazee wetu vijanatupopamojananyi
Njaa hizo
Hakika ila ipo siku allaa atatufanyiaa wepesii
Aamin
Ajuae anajua tu jusa wewe unajua,%100000
Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn
Sawa na sisi tumekubali wa tanganyika
Jusa babalao.
Kila mtu kivyake nogwa za Nini
Sisi watanganyika tumeporwa Taifa letu kabisa na utambulisho wetu.
nje ya muungano hakuna znz utakuta kuna wapemba na waunguja pia hakuna watanganyika bali utakuta kuna wasukuma na wanyamwezi😮
Kwani kabla 1664 ilikua haipo Zanzibar?
Ivyo ivyo iwe wapemba iwe waunguja au wasukuma ila tuachiwr Zanzibar yetu
Nas hatuwataki na tubaki rasilimali zetu tuone
Kipi ulichoibiwa wewe bwabwaja nchi hii bahari ina kila kitu waje wapate kitu gani huko mnamvuruga aliewavusha
Kama vp kaeni huko zanzb mctuzngue kwa nyie nan
Hatujawahi kuwashobokea nyie wa Zanzibar mkijitenga heri sana
Hamuwezi kuishi nyinyi bila Zanzibar hata Dunia nzima wanajua
Kabisa yajitenge tyu mana wanabwabwaja sana
Wacha umama zanzibar mumeifanya shamba lenu
Hakuna zanzibari wara tanganyika
umeporwa nn Jusa ndy maana ulipigwa
Wacha ujingaa😁😂
czcams.com/video/ElFqTS-K5bg/video.html
kauli ya waziri mkuu kuhusu sakata la bandari
Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?
DHAMBI YA UTUMWA BADO INATUTAFUNA. MWALIM NYERERE ALIWAHI KUTAMKA KUMWAMBIA RAZA. "ANASTAAJABU KUONA MHINDI ANASEMA LEO HII'
Waliopora mamlaka kamili ya zanzibar sio mzanzibari wala wazanzibari bali ni Watanganyika
Ccm waleshika madaraka ndio chanzo ya hayo na kutukwamisha kimaendeleo
Unavuruga amani hauna lolote mchonganishi ww
@@rosemaryrosemary9154wewe una tatizo la akili???
Kweli bandarin tu hawana usingiz akili zimewaruka ila wamewapora wazaznzibar kila kitu na wenyeq weshakataa Ila bado wanazid kuwakandamiz
Umeporwa nini?
MKATABA WA MUUNGANO
NA
MKATABA WA BANDARI
Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika.
Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika.
WATANGANYIKA CHUKUWENI
BANDARI NA TANGANYIKA YENU.
Aliyewapora ni mzenji mwenzenu
Asante bro jussa fact
Mhe Jussa sema ss tupo na ww
Sawant sawa haturidhiki na hali hii ya ukoloni wa Kitanganyika