ndugu sugu,tuondolee hii gundu kwa wetu ndugu,ni kama upatu uliogandama na kutu,ama kudhubutu kuchukua kisu butu na na kumchinja wetu ndugu,kumuachia machungu,alipolindwa na mungu!ole wao majununi!
huyu mwenyekıtı ana jambo katıka suala la ulımboka!! haıwezekanaı kwanını apınge kukosolewa kwa serıkalı??? hatu wezı kusonga mbele kama watu wata pıngwa katıka kusema walıcho kıjua na sıku zote lısemwalo lıpo kama halıpo laja!
Huyu mwenyekiti sijui kama akili yake ni nzima na kama ni nzima sijui kama yeye ni mzima. Tundu alisema kitu cha maana kumsaidia huyu mjinga anayeitwa mwenyekiti. Hili jamaa ni bwege na lilipaswa kuwa kwenye taasisi ya vichaa. Shame on you mwenyekiti laiti tungejua jina lake. Anaonekana hata hajui maana ya cheo ni dhamana. Ajabu anasema kuwa hawaruhusiwi kuropoka wakati yeye akipayuka.
ndugu sugu,tuondolee hii gundu kwa wetu ndugu,ni kama upatu uliogandama na kutu,ama kudhubutu kuchukua kisu butu na na kumchinja wetu ndugu,kumuachia machungu,alipolindwa na mungu!ole wao majununi!
Au huyu mwenyekiti alishiriki kumteka ulimboka Nini !!
Duuuuh kazi kweli kweli!!!
huyu mwenyekıtı ana jambo katıka suala la ulımboka!! haıwezekanaı kwanını apınge kukosolewa kwa serıkalı???
hatu wezı kusonga mbele kama watu wata pıngwa katıka kusema walıcho kıjua na sıku zote lısemwalo lıpo kama halıpo laja!
safi sugu.mbeya huwa hatuna woga wewe upate wapi woga
Dah zamani sana, bigup Suguu
Sijui ni lini tutakuwa na bunge lenye wabunge kama sugu na wenzie. Tumemis sana amsha amsha hii
Big up sugu
Safi sana Sugu.
Huyu mwenyekiti sijui kama akili yake ni nzima na kama ni nzima sijui kama yeye ni mzima. Tundu alisema kitu cha maana kumsaidia huyu mjinga anayeitwa mwenyekiti. Hili jamaa ni bwege na lilipaswa kuwa kwenye taasisi ya vichaa. Shame on you mwenyekiti laiti tungejua jina lake. Anaonekana hata hajui maana ya cheo ni dhamana. Ajabu anasema kuwa hawaruhusiwi kuropoka wakati yeye akipayuka.
Sijaona mwenyekiti aliyepwaya kama huyu. Nina hamu ya kuona maisha yake sasa yakoje baada ya miaka yote hiyo
HII sirikali kwelikweli
thax gud
poaaaaaa mr sugu
kwa hili CDM mmefanikiwa kuwadanganya watu , lakini kumbukeni 'you can not fool all the people all the time'
huyu mwenyekiti NI mpumbavu sana
Mwenyekiti hydrocele kweli
Kila tusi zito naona halitoshi Kwa mwenyekiti
huyu mwenye kti anafcha ukwel
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
mwenyekiti stupid
People's power asante kamanda
Mwenyekiti useless kabisa