Sugu na sakata la Ulimboka bungeni.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2012
  • Mbunge wa mbeya azua kasheshe bungeni na kutakiwa kufuta usemi wake wa Ulimboka alitekwa na .....
  • Auta a dopravní prostředky

Komentáře • 25

  • @johnleonardminja2644
    @johnleonardminja2644 Před 11 lety +2

    ndugu sugu,tuondolee hii gundu kwa wetu ndugu,ni kama upatu uliogandama na kutu,ama kudhubutu kuchukua kisu butu na na kumchinja wetu ndugu,kumuachia machungu,alipolindwa na mungu!ole wao majununi!

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Před rokem +1

    Au huyu mwenyekiti alishiriki kumteka ulimboka Nini !!

  • @thesmallkidume4158
    @thesmallkidume4158 Před 7 lety +2

    Duuuuh kazi kweli kweli!!!

  • @LiahQuinAfrican_Espresso
    @LiahQuinAfrican_Espresso Před 11 lety +5

    huyu mwenyekıtı ana jambo katıka suala la ulımboka!! haıwezekanaı kwanını apınge kukosolewa kwa serıkalı???
    hatu wezı kusonga mbele kama watu wata pıngwa katıka kusema walıcho kıjua na sıku zote lısemwalo lıpo kama halıpo laja!

  • @e.mwaipasitv8088
    @e.mwaipasitv8088 Před 11 lety +2

    safi sugu.mbeya huwa hatuna woga wewe upate wapi woga

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 Před 5 lety +1

    Dah zamani sana, bigup Suguu

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před rokem

    Sijui ni lini tutakuwa na bunge lenye wabunge kama sugu na wenzie. Tumemis sana amsha amsha hii

  • @abelabuza3863
    @abelabuza3863 Před 2 lety +1

    Big up sugu

  • @abeshem7322
    @abeshem7322 Před 12 lety +1

    Safi sana Sugu.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 9 lety +2

    Huyu mwenyekiti sijui kama akili yake ni nzima na kama ni nzima sijui kama yeye ni mzima. Tundu alisema kitu cha maana kumsaidia huyu mjinga anayeitwa mwenyekiti. Hili jamaa ni bwege na lilipaswa kuwa kwenye taasisi ya vichaa. Shame on you mwenyekiti laiti tungejua jina lake. Anaonekana hata hajui maana ya cheo ni dhamana. Ajabu anasema kuwa hawaruhusiwi kuropoka wakati yeye akipayuka.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před rokem

    Sijaona mwenyekiti aliyepwaya kama huyu. Nina hamu ya kuona maisha yake sasa yakoje baada ya miaka yote hiyo

  • @NeroForte_
    @NeroForte_ Před 9 lety +2

    HII sirikali kwelikweli

  • @zuchukopa1480
    @zuchukopa1480 Před 12 lety +1

    thax gud

  • @staphordmwaipopo7381
    @staphordmwaipopo7381 Před 8 lety +1

    poaaaaaa mr sugu

  • @lngwenya
    @lngwenya Před 12 lety +1

    kwa hili CDM mmefanikiwa kuwadanganya watu , lakini kumbukeni 'you can not fool all the people all the time'

  • @reinfridazinga108
    @reinfridazinga108 Před 8 lety +1

    huyu mwenyekiti NI mpumbavu sana

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem

    Mwenyekiti hydrocele kweli

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem

    Kila tusi zito naona halitoshi Kwa mwenyekiti

  • @hamadsaid5675
    @hamadsaid5675 Před 7 lety +1

    huyu mwenye kti anafcha ukwel

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @rebekamongo8817
    @rebekamongo8817 Před 6 lety +2

    mwenyekiti stupid

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před rokem

    Mwenyekiti useless kabisa