MASIKINI!! MBUNGE BWEGE WA ACT WAZALENDO AKATWA MGUU - "SIWEZI KUGOMBEA AFYA INADORORA"
Vložit
- čas přidán 15. 02. 2024
- MASIKINI!! MBUNGE BWEGE WA ACT WAZALENDO AKATWA MGUU - "SIWEZI KUGOMBEA AFYA INADORORA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi mzee wangu..nakupenda sana kutokea moyoni mwangu umekua mtetezi na msema kweli hukujali maslai yako umefanya kazi yako kwa ukweli na uwazi!!
Aiseee Mungu mabariki sana na kumpa maisha mrefu sana ..
🙏🙏🙏
Kumwonesha mgonjwa akiwa amebebwa siyo content nzuri
Unaumwa lakini bado unawapambania wanancho wako hongera sana
Mwanadamu hujamalizwa kuumbwa,Allah Ampe shifaa mzee wetu,lkn ugonjwa wa sukar umemaliza watu wengi sana
Pole Sana Boss Wangu Nakuombea MUNGU AKUPONYE
Rabii ampe shifaa yarabii msaidie mjawako alisimama kuwapigania wanyonge mbele ya wapenda dhuluma wasowahurumia raiya wao lakini bwege hakuogopa katika kipindi kigumu yarabii msaidi ndugu yetu
Allah akufanyie wepec upowe kwa rehma zake
Pole sana Mungu atakusaidia... Amen
Pole baba nakuombea kwa mungu akuponye kwa uruma yake 🙏🙏 ❤❤
Allah akujalie kher mzee wtu tunakupenda sana tena sana
Pole Sana.... Mzee Bwege..... Sema we are learning we are all under Ups and Down till late...
Pole sana mhe. Mwenyezi Mungu aendelee kukujalia afya njema
Polesana babaangu Allah akupeshifaa yaharaka inaumizakwakweli ila yote niqadar ya Allah
Pole sana mheshimiwa bwege
Kabla hujafa hujaumbika! Allah nipe subra na mwisho mwema. Allah mpe pozo mzee huyu. Na umlipe kwa hili.
Pole baba kwa mtiani ulioupata.mungu akupe shufaaa upone haraka.
Pole sana Mungu akujalie afya njema.
Ewe Mwenyewezi Mungu,yeyote atakae soma na kucomment hapa,Nakuomba umkinge na umuepushe na ugonjwa hatari sana wakisukari🙏🙏🙏.
Amin
Amin🙏
daaa maskini imekuwaje tena jamani?pole sana mzee wetu Bwege tunakupenda sana,Mungu akufanyia wepesi mkuu.
Namuomba Allaah akupe shifaa upone haraka kwa huruma zake Allaah
Pole mzee wangu mungu atakufanyia wepes
"Ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa Uumbaji"
Pole mzee wangu...Mungu akufanyie wepesi
Pole sana,Mungu atakujaalia afya njema.
Uyu mzee Allah amfanyie wepes nampenda sana' kwa ukweli ambao aliokua anaongea bungeni..... Allah akuhifazi na akupe umri mrefu wenye kher naww
🙏🙏🙏
Mheshimiwa huyu Mungu aendelee kumtunza katika Uweza wake🙏🙏🙏
Pole sana Mungu akujaalie afya njema
Pole sana mzee wangu, Endelea kumshukuru na kumuomba MUNGU.
Sukari ugonjwa mbaya sana Alafu Afrika tunauchuliya poa.
Allah akuendelee maradhi kwa ufalme wake.
sasa hivi dawa ipo huku zanzibar na wanapona tunawapelekea na wenzetu bongo na wanatumia
Sahihi kabisa, dawa zipo kabisa
@@sabihaibrahim143Dawa Inapatikanaje Dada, watu wanateseka sana
@@edson2450 ipoo ni mwani ule wa baharini watu wameshaujulia unasafirishwa sana huko watu wanatumi wiki tu utashukuru
@@sabihaibrahim143Wajapani wanakula mwani sana katika chakula chao cha kila siku, lkn mbona kuna idadi kubwa sana ya wagonjwa wa Kisukari? Kisukari hakiponi ila unaweza kukidhibiti kama utaifuata miko na kutumia dawa kama daktari atavyokuelekeza.
Dah pole sana mara ya mwisho ulikuja kunywa juisi kwangu
Bwege mungu akulinde sana na kukupa maisha marefu,tunakupenda. sana
Subhanallah 😢kweli hatujafa hatujambika,Allah ampe shifaa mzee wetu amiin,na ampe mwisho mwema.
Amiin
Aamin
Amiina yaraby alamina
Aamin
nimeskia uchungu sana ila yote nimapenzi ya Allah😭😭😭😭.
Huu ugonjwa wa sukari haunaga adabu kweli pole sana
شفاك الله
Pole sana mzee wangu. Mchangowakotu naukumbuksana bungeni da. Tunaanza upyaaaaaaaaa
Ddah!!! Pole sana mbunge bwege
Mwandishi hongera , maswali mazuri ka kipaparazi., pole mzee bwege ila usigombee Tena kaa pumzika
Pole sana mheshimiwa,kamuone dr.Abbas -kariakoo,atasaidia mguu wako kupona haraka
Subuhanallah. Pole Allah Ashifki
Pole sana Mzee wng,mungu atakuafu
Kaah hadi sura imepotea kabisa mungu wangu
Pole sana kiongozi Allah akufanyie wepesi
Pole sana mh. Mbunge
pole sana mweshimiwa
Mwenyezi Mungu akuponye kwa neema zake
Pole sana baba,mungu akupe heri ya kupona kidonda.
Kaah maskini,pole sana mbunge mbwege
Mungu atakuponya pole sana mzee wetu kama umeguswa na hali ya Mheshimiwa bwenge Gonga like hapa kuonesha umeguswa na hii hali plz
Sasa hii like unayoitaka inahusiana na nn na ugonjwa wa bwege
@@user-wr7io8lh6j ni umoja na kuguswa tu ili kila anoweka like huonesha alama ya uugwana
Wote tunaumizwa na taarifa mbaya na za huzuni sasa kwanin unatuletea hbr za like acheni ushamba wa namna hii
@@mosesmpesa9 umepanik kwani like inazidisha nini au inapunguza nini wewe ndomsha mbwa
hiyo ndio dunia hujafa hujaumbika.......dunia ni mapito....lnshaaAllahu Allah atakujaalia afya ilobora...
Allah akupe shifaa mzee wetu Amiin
Pole Sana Allah Akupe Tahfif
Pole sana
Allah Akuponye mzee wetu
Mungu akulinde
Subhanallah Allah akupe shifaa
Daaah! pole yake aisee kweli hujafa hujaumbika😭😭😭
Pole sana,BWEGE
Kweli alikuwa mbunge wa watu wake anatamika hata akiwa katika mazingira magumu Mungu akupe wepesi baba.
Pole sana mzee wangu,mola akupe subra
ALLAH JALA JALAAL AKUONGOZE NA AKUPE KILA LENYE KHERI MZEE WANGU 🤲 , WEWE NI SHUJAA KUNA SOMO KUBWA UNATUFUNDISHA HAPA 👏
Pole mzee wetu.
Dah pole Sana mzee sukar noma Sana
binadam bn tunapitia changamoto nying mno kwenye maisha yetu pole sana bwege mungu akupe afya njema
Pole sana mwamba
Daaah pole
uyu ni jembe langu namkubali mpambanaji sana Mungu akuweke mzee wangu
Pole sana mzee
Pole sana mbunge wangu mungu akuludishie afya Amina yaraby alamina
😂
Mungu ampee Nafuu zaid Mzee wetu❤️😓
Pole sana mheshimiwa. Mungu akutie nguvu wakati huu mgumu.
Allah akufanyie wepesi
Haaaaa baba mungu akulinde sana ndani ya maumivu makali,bado unalitumikia taifa na wananchi ni uzalendo mkubwa.
Pole sana mbunge wetu MUNGU akuondolee mitihani
+MUNGU+ amponye na kumtia nguvu YOHANA 14:14🙏🙌
Pole sana Mh ,Mungu akuponye kabisa
Pole sana kiongozi wetu
Daah pole sanaa
Allah akufanyie wepesi inshallah
Pole sana Mungu akufanyie wepesi
Mungu ndiye mjuzi
Pole Mh Bwege
Mungu akupe afya njema
Poleeee
Pole sana mheshimiwa
Pole sana mzee wetu Mungu akuponye
Pole Sana mzee wetu
Pole sana,namkumbuka sana Bwege
pole sana mzew mwenyezmungu atuhifadh na maradhi makubwa
Pole mzee
Pole sana mzee wetu.
Allah akufanyie shifaa inshaAllah
Bole sana baba
Pole sana mzee wangu. Niakuombea mungu upone harakaa?
Pole sana.
Mungu amfanyie wepesi Mzee Bwege
Pole mzee binafsi nakuombea afya njema
Pole sana mze wetu Mungu akutie nguvu😭🙏
Pole mh
Pole sana Mheshimiwa Bwege