Nionavyo mimi, hii debate ilikuwa baina ya Profesa na mwanafunzi wa kitano cha 4. kwa kweli Polepole ni mchanga mno kuzungumzia siasa ya Zanzibar, hususan mbele ya Jussa. 1. Ameshindwa kujenga na kujibu hoja na masuali aliyoulizwa 2. Hakua na data (amekurupuka) 3. Amekariri hoja pasina kufanya research. 4. Amejikanyaga mno, bora angeingia mitini. du! aibu.
Vituo vyote uchaguzi ulikoleta utata kura zimearibika zihesabiwe kura ktk vituo vyingine atangazwe mshindi to move on na maisha yetu, Amani kwanza sio madaraka ya mtu.
Inashangaza sana ni aibu kuona mtu kama Pole pole alishiriki kutetea katiba ya wananchi leo anakuwa wa mwanzo kukandamiza maamuzi ya mananchi yaliyomo ndani ya katiba.Naona amejiondoshea hadhi ya kuaminika mbela wananchi.Mimi nafkiri amesha athirika na yale maradhi ambayo yaitwayo BORA TUMBO kama walivyoathirika miongoni viongozi au watala CCM.some advice for Pole pole "STAND FOR JUSTICE EVEN IF IT IS AGAINST YOUR SELF"
Nathan Augustine. Kiukweli kwa nimjuavyo H. polepole mteteaji wa katiba ya wananchi leo anakandamiza haki ya watanzania visiwani ni kituko na aibu kwa utu wake.pili leo anaukana pia uchaji Mungu wake anatetea uongo.Haingii kwenye akili za mtu yeyote kuwa polepole amebadilika hivihivi tu lazima kuna kitu au kuna makubaliano fulani na ccm.Ninachomuomba polepole amuombe Mungu msamaha kwa yeye kuhusika kuwakansamiza wazanzibari.
Polepole Umefeli...hilo suala la kisheria....Asiseme kilichotokea ZNZ hakiwezi kumalizwa na katiba au sheria....M/kiti wa tume hakulalamika kabla kwa Mujibu wa Sheria....hakujadiliana kivikao na wajumbe wake wa tume kuhusu tofauti alizosema na kupata uhalali wa kufuta uchaguzi....Sema kweli pole pole hata kama una Maslahi...!!...umeonyesha Upeo wako wa kishabiki kuliko kiuhalisia na kisheria....XIV.XXVI Over Mizinga brigade 💣 💥
Humphrey umejipotezea sifa ya kuwa msomi mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kisiasa kitaalaam . umekuwa ni sawa na mtoto wa darasa la nne anayesikia habari bila ya kuzifanyia research. TUONGOZWE NA UKWELI NA SI UTASHI WA KISIASA
Big up Sana jussa tunaona hasa kuwa mnaitetea zanzibar mungu atawalipa
Ismael jussa Allah amhifadhi
Nionavyo mimi, hii debate ilikuwa baina ya Profesa na mwanafunzi wa kitano cha 4. kwa kweli Polepole ni mchanga mno kuzungumzia siasa ya Zanzibar, hususan mbele ya Jussa.
1. Ameshindwa kujenga na kujibu hoja na masuali aliyoulizwa
2. Hakua na data (amekurupuka)
3. Amekariri hoja pasina kufanya research.
4. Amejikanyaga mno, bora angeingia mitini. du! aibu.
@abbas you are very right my brother..!
Hao jamaa damu zawatu zishawavaa kwenye nyoyo zao namikono kwaujumla acha mungu awape nguvu zaidi ili akawaadhibu zadi pia
Big up kwa JUSA
Vituo vyote uchaguzi ulikoleta utata kura zimearibika zihesabiwe kura ktk vituo vyingine atangazwe mshindi to move on na maisha yetu, Amani kwanza sio madaraka ya mtu.
Inashangaza sana ni aibu kuona mtu kama Pole pole alishiriki kutetea katiba ya wananchi leo anakuwa wa mwanzo kukandamiza maamuzi ya mananchi yaliyomo ndani ya katiba.Naona amejiondoshea hadhi ya kuaminika mbela wananchi.Mimi nafkiri amesha athirika na yale maradhi ambayo yaitwayo BORA TUMBO kama walivyoathirika miongoni viongozi au watala CCM.some advice for Pole pole "STAND FOR JUSTICE EVEN IF IT IS AGAINST YOUR SELF"
Polepole hapo umekwama
Nathan Augustine. Kiukweli kwa nimjuavyo H. polepole mteteaji wa katiba ya wananchi leo anakandamiza haki ya watanzania visiwani ni kituko na aibu kwa utu wake.pili leo anaukana pia uchaji Mungu wake anatetea uongo.Haingii kwenye akili za mtu yeyote kuwa polepole amebadilika hivihivi tu lazima kuna kitu au kuna makubaliano fulani na ccm.Ninachomuomba polepole amuombe Mungu msamaha kwa yeye kuhusika kuwakansamiza wazanzibari.
Atakae mshinda shujaa jusa mkono juu subutu hakun hakumshinda jusa kwa siasa jussa yupo juu popote
polepole unatetea chama chako sio haki kuwa mkweli ili uweze ku maintain reputation yako if you really care about hiyo reputation
mmmmm hpa kazi tyuu
Hapa kwenye mjadala huu ndio nimemuelewa polepole kinagaubaga Ni mtu wa namba gani?
Polepole Umefeli...hilo suala la kisheria....Asiseme kilichotokea ZNZ hakiwezi kumalizwa na katiba au sheria....M/kiti wa tume hakulalamika kabla kwa Mujibu wa Sheria....hakujadiliana kivikao na wajumbe wake wa tume kuhusu tofauti alizosema na kupata uhalali wa kufuta uchaguzi....Sema kweli pole pole hata kama una Maslahi...!!...umeonyesha Upeo wako wa kishabiki kuliko kiuhalisia na kisheria....XIV.XXVI Over Mizinga brigade 💣 💥
Humphrey umejipotezea sifa ya kuwa msomi mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kisiasa kitaalaam . umekuwa ni sawa na mtoto wa darasa la nne anayesikia habari bila ya kuzifanyia research. TUONGOZWE NA UKWELI NA SI UTASHI WA KISIASA
Polepole mamaa umebadilika lini jamani. Umeniboaje...
achaa