Mada Moto na Ismail Jussa Vs Pole Pole : Uchaguzi na Hali ya Kisiasa Z'bar - 06.11.2015

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2015
  • WASHIRIKI, ISMAIL JUSSA CUF ZANZIBAR NA HUMPHREY POLEPOLE CCM BARA

Komentáře • 20

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Před rokem +2

    Big up Sana jussa tunaona hasa kuwa mnaitetea zanzibar mungu atawalipa

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 10 měsíci +2

    Ismael jussa Allah amhifadhi

  • @abasamo
    @abasamo Před 8 lety +6

    Nionavyo mimi, hii debate ilikuwa baina ya Profesa na mwanafunzi wa kitano cha 4. kwa kweli Polepole ni mchanga mno kuzungumzia siasa ya Zanzibar, hususan mbele ya Jussa.
    1. Ameshindwa kujenga na kujibu hoja na masuali aliyoulizwa
    2. Hakua na data (amekurupuka)
    3. Amekariri hoja pasina kufanya research.
    4. Amejikanyaga mno, bora angeingia mitini. du! aibu.

  • @mcorama
    @mcorama Před 8 lety +1

    @abbas you are very right my brother..!

  • @kassim1262
    @kassim1262 Před 3 měsíci

    Hao jamaa damu zawatu zishawavaa kwenye nyoyo zao namikono kwaujumla acha mungu awape nguvu zaidi ili akawaadhibu zadi pia

  • @mwanaz3110
    @mwanaz3110 Před 8 lety +1

    Big up kwa JUSA

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga8358 Před 8 lety +1

    Vituo vyote uchaguzi ulikoleta utata kura zimearibika zihesabiwe kura ktk vituo vyingine atangazwe mshindi to move on na maisha yetu, Amani kwanza sio madaraka ya mtu.

  • @yusufahmef8500
    @yusufahmef8500 Před 8 lety +1

    Inashangaza sana ni aibu kuona mtu kama Pole pole alishiriki kutetea katiba ya wananchi leo anakuwa wa mwanzo kukandamiza maamuzi ya mananchi yaliyomo ndani ya katiba.Naona amejiondoshea hadhi ya kuaminika mbela wananchi.Mimi nafkiri amesha athirika na yale maradhi ambayo yaitwayo BORA TUMBO kama walivyoathirika miongoni viongozi au watala CCM.some advice for Pole pole "STAND FOR JUSTICE EVEN IF IT IS AGAINST YOUR SELF"

  • @ngumbosanga5359
    @ngumbosanga5359 Před 3 lety

    Polepole hapo umekwama

  • @nathankabugo8783
    @nathankabugo8783 Před 8 lety +1

    Nathan Augustine. Kiukweli kwa nimjuavyo H. polepole mteteaji wa katiba ya wananchi leo anakandamiza haki ya watanzania visiwani ni kituko na aibu kwa utu wake.pili leo anaukana pia uchaji Mungu wake anatetea uongo.Haingii kwenye akili za mtu yeyote kuwa polepole amebadilika hivihivi tu lazima kuna kitu au kuna makubaliano fulani na ccm.Ninachomuomba polepole amuombe Mungu msamaha kwa yeye kuhusika kuwakansamiza wazanzibari.

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim3840 Před 2 lety +1

    Atakae mshinda shujaa jusa mkono juu subutu hakun hakumshinda jusa kwa siasa jussa yupo juu popote

  • @awadhsaidkarama9806
    @awadhsaidkarama9806 Před 8 lety +2

    polepole unatetea chama chako sio haki kuwa mkweli ili uweze ku maintain reputation yako if you really care about hiyo reputation

  • @wasafitelevision7619
    @wasafitelevision7619 Před 8 lety

    mmmmm hpa kazi tyuu

  • @rashidkihiyo5932
    @rashidkihiyo5932 Před 3 lety

    Hapa kwenye mjadala huu ndio nimemuelewa polepole kinagaubaga Ni mtu wa namba gani?

  • @sumalago864
    @sumalago864 Před 8 lety +1

    Polepole Umefeli...hilo suala la kisheria....Asiseme kilichotokea ZNZ hakiwezi kumalizwa na katiba au sheria....M/kiti wa tume hakulalamika kabla kwa Mujibu wa Sheria....hakujadiliana kivikao na wajumbe wake wa tume kuhusu tofauti alizosema na kupata uhalali wa kufuta uchaguzi....Sema kweli pole pole hata kama una Maslahi...!!...umeonyesha Upeo wako wa kishabiki kuliko kiuhalisia na kisheria....XIV.XXVI Over Mizinga brigade 💣 💥

  • @sulaymuallyuthumaniy3061

    Humphrey umejipotezea sifa ya kuwa msomi mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kisiasa kitaalaam . umekuwa ni sawa na mtoto wa darasa la nne anayesikia habari bila ya kuzifanyia research. TUONGOZWE NA UKWELI NA SI UTASHI WA KISIASA

  • @finiasfidelis1475
    @finiasfidelis1475 Před 7 lety

    Polepole mamaa umebadilika lini jamani. Umeniboaje...