kkkk ccm 2015 mmeyataka wenyewe ati sera ya chama kweli kipofi siye yule asiyeona ni maumbile tu bali yule anayeona halafu akawa haoni ndiyo ccm wa zanzibar
Muungano wa Sirikali mbili hauwezi kuufanya Muungano huu uendelee; maana ya Muungano ni vitu 2 vinaunganishwa pamoja.Sasa Muungano huu inakuwaje wa Sirikali 2 yaani Sirikali ya Muungano na SMZ sasa huo Muungano ni kati ya SMZ na Sirikali ya Muungano.Serikali ya Tanganyika iliyofanya nchi hii kuitwa Tanzania serikali yake iko wapi!!Au Tanganyika ndiyo imechukuwa nafasi ya Muungano? ?
Haki ya Mungu huu Mfumo ulio Changanya udogo wa Tanganyika na zanzibar haungoki hadi Mwisho wa Dunia, Kerere yoyote ni wa kupigwa hadi Afe, Mungu alisha Bariki kuchanganya UDOGO
Anaeiangalia hii 2020 yupo bado
Hatuna budi kuwakumbuka makomadoo wanao pigania nchi yetu mung wabariki aamin
Allah ndie hakimu wa haki kwa waloyafanya karume n wezake wataenda kujibu n nyinyi munao halalisha mauwaji y 64
huyu kaka yetu akili nyingi mansur anajitambuwa safi sana
Nimejikuta naangali kumbukumbuka hii
mansour
Muumini wa ,muungano wa heshima, usawa, na haki.
Est wazalendo
kkkk ccm 2015 mmeyataka wenyewe ati sera ya chama kweli kipofi siye yule asiyeona ni maumbile tu bali yule anayeona halafu akawa haoni ndiyo ccm wa zanzibar
asante sana wewe unaetuwekea video hizi
zanzaibar kwanza daima
Tuwe mfano, Haina haja ya malumbano. Zanzibar kwanza.
Mapinduzi or mauwaji
Iavalava
Huna ubabe wanakuchezea tu wazanzibar fanya ivyo bara
du
kapilima BORA MUARABU kuliko utawala huu.
Hasama, chuki na ubaguzi tumezichoka na tumechaguwa matumaini.
Muungano wa Sirikali mbili hauwezi kuufanya Muungano huu uendelee; maana ya Muungano ni vitu 2 vinaunganishwa pamoja.Sasa Muungano huu inakuwaje wa Sirikali 2 yaani Sirikali ya Muungano na SMZ sasa huo Muungano ni kati ya SMZ na Sirikali ya Muungano.Serikali ya Tanganyika iliyofanya nchi hii kuitwa Tanzania serikali yake iko wapi!!Au Tanganyika ndiyo imechukuwa nafasi ya Muungano? ?
ngoja mwarabu arudi ,,,,
U is crazy
Bora warudi warabu Mana hawa wanawo tuwongoza nakuma tu nivibaraka watanganyika tumewachoka kuzulumiwa
Haki ya Mungu huu Mfumo ulio Changanya udogo wa Tanganyika na zanzibar haungoki hadi Mwisho wa Dunia, Kerere yoyote ni wa kupigwa hadi Afe, Mungu alisha Bariki kuchanganya UDOGO
Ni kweli
Kusema ukweli siyo zambi jamani huyu ni mwana mapinduzi halisi na anauchungu na taifa lake
du