Kamati ya Maridhiano Six: MJUMBE WA KAMATI YA MARIDHIANO, MANSOOR YUSSUF HIMIDI; 31/08/2013

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 08. 2013

Komentáře • 30

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed216 Před 4 lety +4

    Anaeiangalia hii 2020 yupo bado

  • @faruukbinhemed8580
    @faruukbinhemed8580 Před 4 lety +2

    Hatuna budi kuwakumbuka makomadoo wanao pigania nchi yetu mung wabariki aamin

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety

    Allah ndie hakimu wa haki kwa waloyafanya karume n wezake wataenda kujibu n nyinyi munao halalisha mauwaji y 64

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Před rokem

    huyu kaka yetu akili nyingi mansur anajitambuwa safi sana

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před rokem

    Nimejikuta naangali kumbukumbuka hii

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety

    mansour

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 10 lety +1

    Muumini wa ,muungano wa heshima, usawa, na haki.

  • @ahmadalihaji1901
    @ahmadalihaji1901 Před 3 lety

    Est wazalendo

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki9914 Před 11 lety +2

    kkkk ccm 2015 mmeyataka wenyewe ati sera ya chama kweli kipofi siye yule asiyeona ni maumbile tu bali yule anayeona halafu akawa haoni ndiyo ccm wa zanzibar

  • @zanzibarwazanzibar8998
    @zanzibarwazanzibar8998 Před 11 lety +1

    asante sana wewe unaetuwekea video hizi
    zanzaibar kwanza daima

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 11 lety +1

    Tuwe mfano, Haina haja ya malumbano. Zanzibar kwanza.

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety

    Mapinduzi or mauwaji

  • @mohammedmuhammad7186
    @mohammedmuhammad7186 Před rokem

    Iavalava

  • @fatmajuma4998
    @fatmajuma4998 Před 4 lety

    Huna ubabe wanakuchezea tu wazanzibar fanya ivyo bara

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira3026 Před 4 lety

    du

  • @albusaidkhelef6655
    @albusaidkhelef6655 Před 6 lety

    kapilima BORA MUARABU kuliko utawala huu.

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 10 lety +1

    Hasama, chuki na ubaguzi tumezichoka na tumechaguwa matumaini.

  • @geraldnyamaiswe570
    @geraldnyamaiswe570 Před 3 lety

    Muungano wa Sirikali mbili hauwezi kuufanya Muungano huu uendelee; maana ya Muungano ni vitu 2 vinaunganishwa pamoja.Sasa Muungano huu inakuwaje wa Sirikali 2 yaani Sirikali ya Muungano na SMZ sasa huo Muungano ni kati ya SMZ na Sirikali ya Muungano.Serikali ya Tanganyika iliyofanya nchi hii kuitwa Tanzania serikali yake iko wapi!!Au Tanganyika ndiyo imechukuwa nafasi ya Muungano? ?

  • @kapilimajuma6558
    @kapilimajuma6558 Před 6 lety

    ngoja mwarabu arudi ,,,,

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka4782 Před 4 lety

    Bora warudi warabu Mana hawa wanawo tuwongoza nakuma tu nivibaraka watanganyika tumewachoka kuzulumiwa

    • @pettermasika9120
      @pettermasika9120 Před 3 lety

      Haki ya Mungu huu Mfumo ulio Changanya udogo wa Tanganyika na zanzibar haungoki hadi Mwisho wa Dunia, Kerere yoyote ni wa kupigwa hadi Afe, Mungu alisha Bariki kuchanganya UDOGO

    • @rastafare878
      @rastafare878 Před 2 lety

      Ni kweli

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 Před 4 lety

    Kusema ukweli siyo zambi jamani huyu ni mwana mapinduzi halisi na anauchungu na taifa lake

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira3026 Před 4 lety

    du