Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA;17/8/2013;PART2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2013

Komentáře • 93

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 3 lety +9

    *Miaka 7 baadae baada ya kufukuzwa serikalini amerudi tena serikalini tena akiwa na cheo cha juu ama kweli haki haipotei na ukiwa mkweli kwenye kupinga dhulma kamamwe Mungu hatakuacha udhalilike*

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 3 lety +2

    Brooo you deserve being our president ✌️ may Allah be with you mheshmiwa makamo🤸 I see Maalim in you..

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot Před 4 lety +3

    Jamaa msomi sana mungu akuweke mpemba mmoja mwenye iman ya dini

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban4599 Před 3 lety +2

    uko vizuri sana kama walikufukuza safari umekuja kama makamo wa kwanza wa rais

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot Před 4 lety +2

    Jamaa msomi sana mungu amuweke kweli kweli haswa ila ipo siku mungu ata murudisha nafasi yake huyu zanzibar

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot Před 4 lety +1

    Honger sana

  • @saidseif2238
    @saidseif2238 Před 11 lety +3

    Safi sana mwanasheria

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 Před 3 lety

    Aisee!

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 Před 3 lety +1

    Haiwezekani jamani. Wazanzibar. Tujiamuliye mambo yetu wenyewe inatosha

    • @simonmagaigwa5496
      @simonmagaigwa5496 Před 3 lety

      Vunjeni tu huu muungano hata sisi hauna maana kwetu. Maana mmezidi kutusimanga.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 5 měsíci

    👊👍✌.

  • @mwigaali8800
    @mwigaali8800 Před 3 lety +1

    Zanzibar kwanza

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci

    Mzalendo kwa nchi yake na watu wake. Msikileze kwa makini na kutafakari. Mwanasheria mtulivu.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci

    Mtoa maoni yake hawezi kuwa mpumbavu. Anakupa mwanga ukashiriki vipi kama mtu unaekwenda kutetea mawazo na maoni yako. Watanzania tujifunze kuvumiliana pale tunapotofautiana mawazo, maoni na mtizamo. Hsitakaa itokee kusiwe na mgongano wa mawazo lakini meza ya mazungumzo itamaliza matatizo.

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili5289 Před 3 lety +1

    Kweli kabisa

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 10 lety +2

    Hao wanaojiita viongozi wetu wa CCM hawamsikii mwana sheria wao akisema au......

  • @colamboy5563
    @colamboy5563 Před 3 lety +3

    Jamaa msomi vibaya mpaka anakera hasa wambie ukweli lakin najua wajinga watanuna tu wameshazoea kutuibia so lakin wambie kila kitu kina mwisho wake

  • @jumamohamed9648
    @jumamohamed9648 Před 5 lety +1

    Huyu ametumbuliwa kwa sababu anaeleza ukweli lakini kama wewe bado uko usingizini huwezi kumuelewa huyu hata hao watu wa ccm kwa upande wa Zanzibar wanayaelewa lakini wanahofia watafukuzwa uanachama katika chama chao lakini ukweli wanaufahamu vizuri tu ,hata wewe unanishangaza sana bado uko usingizini mpaka leo 2018 sisi tunataka kuingia 2019 wenzako.wewe utaendelea kulala mpaka kitafika kiama .

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety

    zanzibar kwanza

  • @mnalagamnalaga7471
    @mnalagamnalaga7471 Před 3 lety +6

    Wasiyempenda kaja kivingine, makamu wa kwanza wa rais

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 3 lety +1

      Mamae nipo nasubiria litifuke tu uyu jamaa huwaga hana kumung'unya maneno af hana bbaaari wala nn

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Alikuwepo maalim na hakuwa na jipya, ndio atakuwa huyu!!

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 3 lety

      @@jumakapilima5674 oya ushawahi kunyonywa mkundu weee

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@abdulmohd6880 hahahaa,,,,, nishawahi si alininyonya mamaako katika Yale majambo yetu!!

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před rokem

    Huyu ndie Mpemba kama hujui

  • @solomonndenge1017
    @solomonndenge1017 Před 3 lety

    Sawa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci

    Ujasiri mkubwa ni kusikiliza

  • @shemsaroja6544
    @shemsaroja6544 Před 7 lety +2

    Kwa mtazamo wangu hakuna mtu atakae weza kuiongoza Zanzibar isipokua mwanasheria huyu,kama ata gombea urasi Zanzibar itakua imepata Raisi anae hitajika

    • @alphoncehanura3255
      @alphoncehanura3255 Před 5 lety +1

      Bahati mbaya sana sikio lililoonja asali ya muungano uliopo hawataruhusu mtu kama huyu apate platform ya kuexcute mawazo yake chanya.
      Ni kweli ana pointi nzuri sana.

    • @khamisjuma9993
      @khamisjuma9993 Před 4 lety +1

      Asante

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety

    zanzibar

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot Před 4 lety

    Mi nahisi bado zanzibar hawaja amuwa nini wafanye ila laiti kama zanzibar wata amuwa haswa chakufanya nini ili wa itete zanzibar yao miaka kumi ijayo zanzibar ipo pazuri sana

  • @shaibundame9642
    @shaibundame9642 Před 3 lety +2

    Othman ww unastaiki kuwa apo ulipo.

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 3 lety

      Anactahiki kuwa zaidi ya hapo uyu yani anadizav ata kuwa presidaaa wetu uyu mjamaa

  • @colamboy5563
    @colamboy5563 Před 3 lety

    Ukitetea haki watu watakuona mjinga Sana lakinsishangai kumuona mjinga huyu jamaa maana hata maalim seif Shariff pia walimuona mjinga lakin alipokufa ndipo wakaoona thaman ya maalim seif

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot Před 4 lety

    Labda ZANTEL na saiv wana kesi mahakamani kwa nini hawalipi kodi hapa

  • @froma3732
    @froma3732 Před 2 lety

    Ndio hayo anosema ndio alikuwepo lkn MUNGU Alimuona mapema

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +1

    Ccm hawampendi mtu mkweli

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 Před 5 lety

    Haya basi natukubaliane sote tupike mashelii

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 Před 3 lety

    Huyu hawezi kufanya kazi yoyote ya maendeleo zaidi ya kupambana na Muungano.

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 3 lety

      Kwani wewe unapenda hii dhulma inayofanyika iendelee juu ya Zanzibar kuminywa katika kupata haki zake ,hayo anayozungumzia pia ni sehemu ya kuleta maendeleo ili Wazanzibar wajue haki yao ni ipi .

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před rokem

      Unamuogopa eee!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před rokem

      Hayo maendeleo hayaji Zanzibar bila ya kuondoka hili zimwi la Muungano na huyu usimfananishe na mpiga tembo yeyote wa Tanganyika na ndio maana amechaguliwa ktk nafasi nyeti ktk Serikali ya CCM na sasa Yuko Upinzani! na ikiwa unaona Hana hoja towa wewe tuone

  • @ibrahimali-xd3bw
    @ibrahimali-xd3bw Před 11 lety

    Huyu ni mfano mzuri wa mgombea binafsi kwa zanzibar.

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim9570 Před 3 lety +1

    sisi tunapambana kuipigania zanzibar kwa maslahi yetu na watoto wetu.ila kuna wazanzibar wajinga wao wapo radhi kwmba hii zanzibar ibaki ivi ivi kisa et ni robo yao ya mchele.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Anasumbuliwa na ubinafsi mkubwa,,,

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 3 lety

      Wewe unapenda kuona dhulma inaendelea kufanyiwa Zanzibar ,acha unafiki wako penye ukweli panastahiki kusemwa ili dhulma inayotendeka isitendeke tena.nchi mbili ziliungana kwa hiyo haina haja mmoja akamdharau mwengine .

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety +1

    Kumbe huyu bwana ni mpumbavu kiasi hiki!!!!!!!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Anasumbuliwa na ubinafsi sana huyu bwana, kumbe ndio maana ukatumbuliwa!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Na wewe unataka uchaguliwe kuwa rais?

    • @jumamohamed9648
      @jumamohamed9648 Před 5 lety +2

      Acha upuuzi wewe wabinafsi hao Watanganyika wanaotaka kila kitu kiwe chao wakipewa misaada kutoka nchi za nje wanachukua peke yao Zanzibar hawapewi ,wewe huyajui haya ,huyu anaeleza ukweli wala sio mchochezi .

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 5 lety

      juma mohamed akili huna wewe!

    • @jumamohamed9648
      @jumamohamed9648 Před 5 lety

      Wewe unazo akili ndio maana unakubali kudhulumiwa kitu chako ,hao ambao hawana akili ndio wanasema ukweli ili wale wanao fanya hiyo dhulma waache kufanya hivyo , haya wanayafanya wale wasio kuwa na akili lakini wale wenye akili wamenyakaa kimya ili waendelee kudhulumiwa,kwasababu kudhulumiwa mali zao kunawapendeza sana na wanalifurahia hilo .

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 5 lety

      juma mohamed huyu jamaa yako na wewe nyote hamna akili na ndio maana alitumbuliwa,,,,

    • @jumamohamed9648
      @jumamohamed9648 Před 5 lety

      Kaka usiwe kicha maji ,kuwa muelewa kama umelala umelala wewe ,natambua ya kwamba wewe unazo akili lakini akili hizo zitumie katika kuiondoa dhulma unayofanyiwa na sio kujiangamiza mwenyewe akaona ni sawa tu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety

    Huyu bwana kumbe alikuwa mpumbavu mno!

    • @bakariahmadi9645
      @bakariahmadi9645 Před 3 lety +1

      Wewe namba moja katika wahafidhina zanzibare

    • @mbarakaiddi8209
      @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +1

      Juma kapilima nyani haoni kundule yaani ww umeona ujinga wa huyu wakwako hujauona jamani mbona ccm wajinga wengi ivi nashindwa kuelewa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@mbarakaiddi8209 na wewe pia mjinga!!

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 3 lety

      @@jumakapilima5674 Ujinga wa kwako ni mkubwa zaidi hata dhulma inayofanyika pia huioni ,au wewe ndio hao wafanyaji wa dhulma zidi ya Zanzibar.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@jumamohamed3168 bwege wewe huna ulijualo!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 5 lety +1

    Anapandikiza chuki za kijinga,,,,!

    • @jumamohamed9648
      @jumamohamed9648 Před 5 lety +1

      Huyu hapandikizi chuki kaka anaeleza ukweli ,kaa chini uyafikiri anayoyaeleza utayajua hayo anayoyasema ,anayekuzulumu ndiye anayeleta chuki kwa makusudi ,kaka wewe bado upo kwenye usingizi huyajui yanayoendelea duniani.haaaaaa acha zako wewe.

    • @ibnismail8831
      @ibnismail8831 Před 3 lety +1

      Ww unaye mpinga huyu sio mzanzbar kichogo weee

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@ibnismail8831 hahahaa,,,, wewe flat mwenzangu, ukweli utabaki hivyo!!

    • @ibnismail8831
      @ibnismail8831 Před 3 lety +1

      @@jumakapilima5674 ww kichogo 2 huwa tunawaumiza vichwa snaa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@ibnismail8831 niambie "flat" mbona uko kimya sana, vichogo sisi tuko poa!