Kwa CCM, Maridhiano ni kuwaachia wao kila kitu, asema mbunge na mwanasheria

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 35

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 Před 3 lety +6

    Kwanza huyo hussein mwinyi ni mnafiq ata kumshinda shein

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Před 3 lety +3

    Ccm nichama cha shetan hakijuw maana ya haki..kuuwa,kubaka ,kulawiti ndo ibada zao .Ila msisahau kuwa wana yafanya haya kwa maagizo ya wazungu..

  • @ridhwanfaki9738
    @ridhwanfaki9738 Před 3 lety +4

    Hakika tuliingia kwa sababu maalum na ninauhakika tutajitowa kwa sababu maalum.na kila mwenye ufahamu atafahamu ,ccm ni jini lilokubuhu linasubiri kupaazwa na mola mkwasi.maelezo yanajitosheleza shukraan Nd Ali Saleh.

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 Před 3 lety +1

      Ridhwan Faki naam hilo ndio wanalolisubiri kwa MMungu

  • @jokhaaliy3720
    @jokhaaliy3720 Před 3 lety

    Dr Hussein tunajua unayo malengo yakuijenga Zanzibar japokua kuaminika kua unamalengo na Zanzibar na wazanzibar nivigumu
    Ila kitakacho kusaidia kutekeleza yote hayo nikumuamin Allah
    Nakufuata misingi ya dini na kua na Imani na hofu juu ya Allah nakuamin kua tutaondoka ktk Dunia tutaulizwa kwakila tulichokifanya
    Dr Hussein ukiishi ukiwa na hofu ya Allah kila kitu kitaenda sawa

  • @nayingohamisi7312
    @nayingohamisi7312 Před 3 lety

    Mam

  • @salukanambali7009
    @salukanambali7009 Před 3 lety +1

    Huu ni muda wa kujenga nchi yetu ,,rais yuko vizuri sana kiweni na subra

    • @saidmpunga2752
      @saidmpunga2752 Před 3 lety

      Hana uzuri isipokua ana uzuri usoni ndani ya nafsi hana uzuri ni mnafik anaejificha lakini udhahir wake unaonekana live

    • @kobelochamanga9757
      @kobelochamanga9757 Před 3 lety

      Kwanini mlikubali kuingia serikali ya umoja ?

    • @abdillahhamad890
      @abdillahhamad890 Před 2 lety

      Dua twamuombea

  • @mohamedjuma7457
    @mohamedjuma7457 Před 2 lety

    Wew wacha kusema wapemba warudi kwao wewe kwenu unakujua Kama unakujua kwenu Basi huwezi kusema wapemba warudi kwao mbwa mkubwa wacha ujinga

  • @ridhwanfaki9738
    @ridhwanfaki9738 Před 3 lety

    Mtanzania halisi Hilo linakuja mbona suburi kidogo tu utaona wazanzibari wanavyojitambuwa powa moyo hilo linakuja,tunampuruzia tu mh Hussein mwinyi nadhani hajawafahamu wazanzibari maana yy alikuwa si mkaazi wa zanzibar ni wakuletwa na kwendazake.

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Před 3 lety

    Wassione sis miwajinga KudI haki zetu kama hawajatupa hapa watake wasitake iko siku watatulipa ..naamin wacheka lakn iko siku watalia na itakuwa hakuna wakuwasaidia..hakuna mtutu wa bunduki, Akhera..

  • @salukanambali7009
    @salukanambali7009 Před 3 lety

    Maridhiano halimaanishi ccm washindwe uchaguzi iwapo wazo ni hilo ,,kila siku kutakuwa na kelele ,,muafaka ni pamoja na ccm kushinda pemba na tanzania kwa ujumla

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim9570 Před 3 lety

    Zanzibar tuna unafiki mkubwa.

  • @abdillahhamad890
    @abdillahhamad890 Před 2 lety

    Umesema kweli baba

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Před 3 lety

    Wakitoka hakuna hasara Watoketu Nchi
    ita songa mbele

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim9570 Před 3 lety

    Mwinyi angepaswa kutenda haki. Baadae et mtu uyo uyo anasema anaogopa dhima kwa mugu. Hhhhhhhhhh.anamjejea mugu.

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe9187 Před 3 lety

    kura moja mtu mmoja , hili kweli linawezekana? Kumbuka Ali Saleh, wakati cuf inashinda majimbo Pemba utaratibu ulikuwa ni hivyo hivyo upande wa huko kwenu Pemba na ndio maana uchaguzi ulifutwa, au ili uchaguzi uwe huru na wa haki bi pale wanaposhinda wapinzani tu!

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 Před 3 lety

      Ulifutwa na nani? Jadili jambo kama mtu muelewa na mwenye ufahamu.

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe9187 Před 3 lety

    Hebu tupe mfano wa mfumo wa tume huru, iwe vipi kwa mfano, hao watendaji watoke wapi kwa Zanzibar hii, hata wasiwe ni wapenzi wa cuf, wazalendo au CCM, au ili iwe huru ungetarajia watoke cuf (wazalendo pekee?)

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 Před 3 lety +1

      Tume huru ya uchaguzi ndugu kwa nchi zinazokubali democracy basi mwenyekiti wa uchaguzi hachaguliwi ni raisi anachaguliwa ima na mahkama kuu au hata bunge iliyo huru sio mahakama za hapa kwetu ambapo jaji mkuu na majaji wa mahkama kuu huchaguliwa ni raisi kwa hiyo lazima watafuata maelekezo yake,... Kwa mfano mwengine kaka mimi na wewe tuna timu zetu tunataka kucheza mechi lakini mimi ambae ni mpinzani wako ndio nataka nimchague refa ninayamtaka mimi na iwe hivyo hata kama wewe mwenzangu humtaki katika hali hiyo haki haitapatikana kwani wewe hutajuwa mimi refa wangu nimemuandaa vipi kwa ajili ya kunipendelea mimi

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 Před 3 lety

    Mwandishi ni kio cha jamii.

    • @hasnakhamiskhamis2642
      @hasnakhamiskhamis2642 Před 3 lety +2

      Tanzania hakuna democrasia ni kivuli tu cha madicteta

    • @akilimali8726
      @akilimali8726 Před 3 lety

      Cha kufanya ni watu wote kuingia ccm na kukihujumu toka ndani...

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Před 3 lety

    Tunaloomba mwinyi awe mkweli wa wapinzani...

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Před rokem

      Hawezi kuwa mkweli na Mungu atamlaani maisha yake kwanza ufahamu hkn ccm mkweli

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 Před 3 lety

    Nyamaza ww basi wapemba rudini kwenu

    • @MohamedAli-en9xh
      @MohamedAli-en9xh Před 3 lety

      Hujitambui ww kwani wapemba hawana haki ndani ya nchi hii au
      Na iyo unguja haiwezi kuwa zanzbar bila ya pemba acha matusi ww huna kibali cha kimiliki nchi hii
      Pengne hao wapemba wana haki kulko ww ng’ombewee

    • @alliyrubea5731
      @alliyrubea5731 Před rokem

      Ww kwenu wapi!

    • @alliyrubea5731
      @alliyrubea5731 Před rokem

      Kwani kila anayeikataa CCM ni Mpemba