TOBAA YARABI .JUSSA TENA NA SEREKALI YA MAPINDUZI MHH KWA MADONGO HAYA EBU TAZAM UONE KINACHOENDELEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 06. 2023
  • Join this channel to get access to perks:
    / @rvsonlinetv
    JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
    #HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
    Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
    Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
    RVS SQUAD YETU
    WAANDISHI NA WANA HABARI :
    1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
    2.YUSRA SAID SHAABAN
    3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
    4.CHRISTOPHER MARTIN
    CAMERA MAN :
    1.SEIF PUCHE
    2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
    3.UST KHATIB SALUM
    4. HARITH
    5.HAFIDH OMAR
    EDITOR :
    1. SAID KOMBO ALI
    2.SEIF PUCHE
    HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
    == JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
    ⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
    TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
    👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
    FACEBOOK: / rvsteamhb
    INSTAGRAM : / rvstv2020
    TWITTER : / online_rvs
  • Zábava

Komentáře • 46

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před rokem +10

    Nauvunjike marehemu karume wamemuuwa baada ya kujuwa anataka kuuvunja muungano wanalazimisha hatutaki muunganoooooo

  • @hulukasefu
    @hulukasefu Před rokem +2

    mimi mtanganyika naona sawa ukivunjika kwa sababu znzibar kuna utamaduni wa heshima za ksiramu sasa tumewaingiria watu wa bara sasa rana tupu visiwani mungu awabariki na hekima yenu amina?

    • @hajikhatibhaji9434
      @hajikhatibhaji9434 Před rokem

      tupo pamoja na wewe ata ukivunjika tutaishi pamoja tushakua ndugu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před rokem +2

    HATUUTAKI MWISHO CHUMBE VIZIWI WANAFIK MAJAHIL MOTO UNAWASUBIRI IN SHAA ALLAH AMEEN

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před rokem +4

    Well said Mr Jussa

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 Před rokem +3

    Jussa ni kiongozi wa kweli

  • @sadih5333
    @sadih5333 Před rokem +6

    Haya ulio malizia mimi ndio nanayo taka kuyasikia

  • @MohdOthman-yz2wv
    @MohdOthman-yz2wv Před 3 měsíci

    Vizur sana wape ukweli nakuaminia

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 5 měsíci

    MA SHAA ALLAH . Kama baba yake akihutubiya mbele ya. MMALAWI Karume 1967/68/1/70. MA SHAA ALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abuubakarhaji2078
    @abuubakarhaji2078 Před rokem +4

    Kweli bwana jusa

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu Před rokem +1

    Jussa hongera ,mameno yako ni msumari

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Před 9 měsíci

    Mama samia hoyeeee

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 Před 3 měsíci

    Mhshikiwa Riami na yy yupo wapo??? Namkubali sana naye chuma!!!

  • @abdiomanzanz1655
    @abdiomanzanz1655 Před rokem +3

    Safi sana wape vipande vyao watangayika kama hawataki na uvunjwe hatuutaki muungano na umezungumza mda mchache sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon7881 Před rokem

    Duh, 😀

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před rokem

    💯🙏

  • @alihaji215
    @alihaji215 Před rokem +2

    Uvunjike tuu agh

  • @khatibal-zinjibari6956

    Hoja za Ismail Jussa hazihojiki bila ya Mabunduki kutoka Tanganyika.

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Před rokem

    Bendera JUU ya bendera...duuu

  • @MaulidAli-cq4nf
    @MaulidAli-cq4nf Před 7 měsíci

    Kamuulize mama ako

  • @zahiribrahim8319
    @zahiribrahim8319 Před rokem

    Bwana we hebu maneno yako yawe na nasaha usizungumze kwa hasira tena kwa sote ok...Good luck 😅😊😇🥰😇

  • @maryamahmed1753
    @maryamahmed1753 Před rokem

    Paje

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 Před 3 měsíci

    Na tuanze tartiiiiiiib na kutafuta mifumo ya FIFA Zanzibar. Ausio

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Před rokem +2

    Umewapa yawapasayo muheshimiwa yanaridhisha hata Mimi nikiitafuta Ili niwambie kauli hii lkn sikua nayo shukraan mh. Jussa

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Před 9 měsíci

    Ccm hoyeeeeèeeeee

  • @7675kio
    @7675kio Před rokem

    Mimi ni Mtanganyika halisi lakini napenda muungano. Nchi za Afrika zinatakiwa kuungana ili ziwe na nguvu dhidi ya mabeberu. Wasiojielewa wanabeza muungano na wanataka uvunjike. Malalamiko ya pande mbili yanaonyesha tu mapungufu ya Muungano ambayo yanatakiwa kufanyiwa kazi lakini sio kuuvunja. Wanasiasa kama hawa ambao wanapiga makelele tuwapuuze. Hivi Watanganyika wananufaika vipi na Muungano huu? Badala ya kupapmbana na madui wanaotufanya tuwe maskini tunapambana na Muungano?

    • @MaulidAli-cq4nf
      @MaulidAli-cq4nf Před 7 měsíci

      Mnadanganyana nyie nigombee peke yangu rais hamshindi

  • @user-oi5bi8sc1g
    @user-oi5bi8sc1g Před rokem

    Ulifanyika wapi huu mkutano

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 Před rokem

    Acheni porojo hii inchi ni ya mapinduzi kwahiyo kaeeni kimya

  • @aliabdallah5183
    @aliabdallah5183 Před rokem +1

    Shehe siasa hizo zamaneno ya kijinga zimepitwa nawakati

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Před 9 měsíci

    Kwenda mnafik mkubwA ww huna maana mwehu KUCHUU ww sura kma ngamia mwitu fala sana ww sengee mkubwa weyeee

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Před 17 dny

      Nyinyi ccm ni watu mulio kuw hamuna akili mana nynyi no wavamizi Zanzibar

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem

    Ivi ww mpuuzi alie kuambia watanganyika wanataka uo muungano ni nani? Labda ao ccm , nyinyi ndo mnanufaika Bara uku mnanunua ardhi wabunge wenu tunawalipa, kazi yenu porojo tu,

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Před 17 dny

      We chizi nini izo ela tuna waletea ss zanzbr mbwaa nynyi

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před 17 dny

      @@SuleimanMussa-x5i ela gn inaonekana ata shule ujaenda kijisiwa kituletee Bara ela🤣🤣🤣tuna Bahari tuna Tanzanite tuna gold tuna maziwa tuna mlima cjui nn atuna kenge ww nyinyi c mnakula popo na kenge Rudi shule ukasome

  • @SimaiHamdusimai-mk9lc

    0

    • @seifamir2588
      @seifamir2588 Před rokem

      JUSA WE WE MUHINDI TU.KAONGELE MAMBO YA INDIA .AFRIKA HAIKUHUSU KABISA.

    • @AbdillahSOthman
      @AbdillahSOthman Před rokem

      Wewe ni nani kwani, na unatokea wapi. Kwenu.. ?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @seifamir2588 Ismail Jussa hatetei India wala Afrika bali anatetea Zanzibar, Nchi yake alikozaliwa tafauti na Hussein Ali aliyezaliwa Tanganyika.
      DAMU NZITO KULIKO MAJI

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Před rokem

    Nimebaki kucheka hapo kwenye kuporwa kila kitu muda huo mlilala fofofo au vipi ? Na kwa taarifa yenu kuhusu bandari sio tanganyika tu ni kuanzia huko kwenu pemba unguja mpo hapo? Tafuteni ule mkataba muusome vizuri

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před rokem +1

    DUA ZA MASHEKHE WA UAMSHO
    NA
    HAKI ZAO MIHADHARANI
    Kwa vile Mihadhara imeruhusiwa, Mashekhe wa Uamsho nao warudi kwa sababu Uislam haubagui Siasa kama ilivyo Ukiristo kwenye Biblia.

    • @rauhiyasaad5384
      @rauhiyasaad5384 Před rokem

      Mh mtihani, ndugu yangu wewe siasa sio jihadi. Unawaambia wenzio warudi kwenye ujunga huo. Bora wende kwenye madarssa watufundishe nini uislamu maana wengi tunajita waislamu lakini hatuujui.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @rauhiyasaad5384 Ahsante. Maelezo yangu ni Kijembe kwa watowaji Hoja ya kuwa "Chama Cha Mapinduzi Kitashinda Kwa Kishindo" (Kwa Mabom) ya Dola ya Tanganyika kwa Waislam wa Zanzibar.
      Mbali ya Waislam waliouliwa Unguja (4) na Pemba (17), walioteswa na kutekwa. Jeshi alisema: "Huyo Ismail apate "Kipigo Cha Mbwa Koko" hadi sasa ana Kilema.
      Kufuata ilani ya Chama Cha Mapinduzi Tanganyika itawale Zanzibar Daima, lengo la Nyerere kabla kuwa Rais na kuvamia Zanzibar. Hoja ilijibiwa kuwa:
      "Chama Cha Upinzani Hakina Uwezo wa Kushinda." Ni kweli kwa sababu Hakina Dola wala Majeshi Kushinda bila ya Wizi na Uvamizi wakati wa kila UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) kwa Zanzibar.
      Kukhusu Uislam ni kiporo kwa sababu Lengo la Mapinduzi sio Kupindua Warabu kama inaivyopotoshwa bali Kupindua Uislam Zanzibar na Tanganyika. William Lukuvi na Paul Makonda walithibitisha Makanisani ingawa Waislam huambiwa:
      NCHI HAINA DINI.