TOBAA YARABI .JUSSA TENA NA SEREKALI YA MAPINDUZI MHH KWA MADONGO HAYA EBU TAZAM UONE KINACHOENDELEA
Vložit
- čas přidán 17. 06. 2023
- Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs - Zábava
Nauvunjike marehemu karume wamemuuwa baada ya kujuwa anataka kuuvunja muungano wanalazimisha hatutaki muunganoooooo
mimi mtanganyika naona sawa ukivunjika kwa sababu znzibar kuna utamaduni wa heshima za ksiramu sasa tumewaingiria watu wa bara sasa rana tupu visiwani mungu awabariki na hekima yenu amina?
tupo pamoja na wewe ata ukivunjika tutaishi pamoja tushakua ndugu
HATUUTAKI MWISHO CHUMBE VIZIWI WANAFIK MAJAHIL MOTO UNAWASUBIRI IN SHAA ALLAH AMEEN
Well said Mr Jussa
Jussa ni kiongozi wa kweli
Haya ulio malizia mimi ndio nanayo taka kuyasikia
Vizur sana wape ukweli nakuaminia
MA SHAA ALLAH . Kama baba yake akihutubiya mbele ya. MMALAWI Karume 1967/68/1/70. MA SHAA ALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweli bwana jusa
Jussa hongera ,mameno yako ni msumari
Mama samia hoyeeee
Mhshikiwa Riami na yy yupo wapo??? Namkubali sana naye chuma!!!
Safi sana wape vipande vyao watangayika kama hawataki na uvunjwe hatuutaki muungano na umezungumza mda mchache sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh, 😀
💯🙏
Uvunjike tuu agh
Hoja za Ismail Jussa hazihojiki bila ya Mabunduki kutoka Tanganyika.
Bendera JUU ya bendera...duuu
Kamuulize mama ako
Bwana we hebu maneno yako yawe na nasaha usizungumze kwa hasira tena kwa sote ok...Good luck 😅😊😇🥰😇
Paje
Na tuanze tartiiiiiiib na kutafuta mifumo ya FIFA Zanzibar. Ausio
Umewapa yawapasayo muheshimiwa yanaridhisha hata Mimi nikiitafuta Ili niwambie kauli hii lkn sikua nayo shukraan mh. Jussa
Ccm hoyeeeeèeeeee
Mimi ni Mtanganyika halisi lakini napenda muungano. Nchi za Afrika zinatakiwa kuungana ili ziwe na nguvu dhidi ya mabeberu. Wasiojielewa wanabeza muungano na wanataka uvunjike. Malalamiko ya pande mbili yanaonyesha tu mapungufu ya Muungano ambayo yanatakiwa kufanyiwa kazi lakini sio kuuvunja. Wanasiasa kama hawa ambao wanapiga makelele tuwapuuze. Hivi Watanganyika wananufaika vipi na Muungano huu? Badala ya kupapmbana na madui wanaotufanya tuwe maskini tunapambana na Muungano?
Mnadanganyana nyie nigombee peke yangu rais hamshindi
Ulifanyika wapi huu mkutano
Acheni porojo hii inchi ni ya mapinduzi kwahiyo kaeeni kimya
Unayajua mapinduzi ww
Fala sana ww
Shehe siasa hizo zamaneno ya kijinga zimepitwa nawakati
Kwenda mnafik mkubwA ww huna maana mwehu KUCHUU ww sura kma ngamia mwitu fala sana ww sengee mkubwa weyeee
Nyinyi ccm ni watu mulio kuw hamuna akili mana nynyi no wavamizi Zanzibar
Ivi ww mpuuzi alie kuambia watanganyika wanataka uo muungano ni nani? Labda ao ccm , nyinyi ndo mnanufaika Bara uku mnanunua ardhi wabunge wenu tunawalipa, kazi yenu porojo tu,
We chizi nini izo ela tuna waletea ss zanzbr mbwaa nynyi
@@SuleimanMussa-x5i ela gn inaonekana ata shule ujaenda kijisiwa kituletee Bara ela🤣🤣🤣tuna Bahari tuna Tanzanite tuna gold tuna maziwa tuna mlima cjui nn atuna kenge ww nyinyi c mnakula popo na kenge Rudi shule ukasome
0
JUSA WE WE MUHINDI TU.KAONGELE MAMBO YA INDIA .AFRIKA HAIKUHUSU KABISA.
Wewe ni nani kwani, na unatokea wapi. Kwenu.. ?
@seifamir2588 Ismail Jussa hatetei India wala Afrika bali anatetea Zanzibar, Nchi yake alikozaliwa tafauti na Hussein Ali aliyezaliwa Tanganyika.
DAMU NZITO KULIKO MAJI
Nimebaki kucheka hapo kwenye kuporwa kila kitu muda huo mlilala fofofo au vipi ? Na kwa taarifa yenu kuhusu bandari sio tanganyika tu ni kuanzia huko kwenu pemba unguja mpo hapo? Tafuteni ule mkataba muusome vizuri
DUA ZA MASHEKHE WA UAMSHO
NA
HAKI ZAO MIHADHARANI
Kwa vile Mihadhara imeruhusiwa, Mashekhe wa Uamsho nao warudi kwa sababu Uislam haubagui Siasa kama ilivyo Ukiristo kwenye Biblia.
Mh mtihani, ndugu yangu wewe siasa sio jihadi. Unawaambia wenzio warudi kwenye ujunga huo. Bora wende kwenye madarssa watufundishe nini uislamu maana wengi tunajita waislamu lakini hatuujui.
@rauhiyasaad5384 Ahsante. Maelezo yangu ni Kijembe kwa watowaji Hoja ya kuwa "Chama Cha Mapinduzi Kitashinda Kwa Kishindo" (Kwa Mabom) ya Dola ya Tanganyika kwa Waislam wa Zanzibar.
Mbali ya Waislam waliouliwa Unguja (4) na Pemba (17), walioteswa na kutekwa. Jeshi alisema: "Huyo Ismail apate "Kipigo Cha Mbwa Koko" hadi sasa ana Kilema.
Kufuata ilani ya Chama Cha Mapinduzi Tanganyika itawale Zanzibar Daima, lengo la Nyerere kabla kuwa Rais na kuvamia Zanzibar. Hoja ilijibiwa kuwa:
"Chama Cha Upinzani Hakina Uwezo wa Kushinda." Ni kweli kwa sababu Hakina Dola wala Majeshi Kushinda bila ya Wizi na Uvamizi wakati wa kila UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) kwa Zanzibar.
Kukhusu Uislam ni kiporo kwa sababu Lengo la Mapinduzi sio Kupindua Warabu kama inaivyopotoshwa bali Kupindua Uislam Zanzibar na Tanganyika. William Lukuvi na Paul Makonda walithibitisha Makanisani ingawa Waislam huambiwa:
NCHI HAINA DINI.