MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO
Vložit
- čas přidán 4. 04. 2018
- Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
Asante sana umeongea point 👏👏
Yuko sahihi sana mh Khatib
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist...
We are rising up and no will stop us...Time is due ...
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
Joshua Samson sahihi
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
Hongera khaatibu .umeongea kweli
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
Safi kabisa kamanda
Innal llai khatib allah akuepushe moto
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
ALLAH akuzidishie kila jema
huko uliko
Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni
nazan uyo mbung ajiherew mung amsamee
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli
اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
Hivi huyu kumbe ashafiriki
Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin
Swali lako ni zuri sana
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
Swai Seif hujambo
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
mh hongera sana wallah umenifurahisha sana
Uko sahihii@khatibu
Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa
Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn
Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
Hahahaha
Hongera muheshimiwa
Allah akusimamie
Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah
Jamaaa ameongea point Sana
nice point
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up
Allah akupe kauli dhabiti.
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
Hongera sana allah atakulipa
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
Doh nasikia naye kaondoka 😭😭
Bora umeliona hili jambo ni kero.
tema cheche kaka
majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
rashid suleiman ...
....
Asante Mh umeongea ukweli.
Flavian
Haifai kitu gani kujiunga oic?
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
Innalillah wainnailayhi raajiun
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
R.I..P. 😭
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
good speech
JAZAKA LLAHU KHAYRA
Inatiashaka
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
Suma Spain hahahah wacha zako
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu
Mh.... kwel jmn
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
Inatia uchunqu na inaliza wallah
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
kweli kabisa
Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.
Safii sana
mm binafsi siijui bakwata
Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍
Nadir Al Busayyid hahahahha
Mungu anawaonaa
Tunahitaji wabunge wanaojielewa Kama huyu.
Safi sana
Ukweli kabisa mheshimiwa
Hasidi ana husda mbaya.
Allah aalam.
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
umesema kweri mh
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya
😭😭😭r.i.p
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
Good
bora umeongelea wamekua mtihani safi sana.
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
Ok
kwa kupata vidie mbalimbali zinazohusiana na dini tafadhali tembelea haqqi tv
Umeongeakweli KuhusuBakwata
Abu Athumani
Hapo kwenye swala la bakwata kweli waeleze hasa wanacho king'ang'ania ni nini?
Allah amrehem
Kweli umeongea ukweli
Kweli