MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2018
  • Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.

Komentáře • 200

  • @bilalikambo7202
    @bilalikambo7202 Před 6 lety +14

    big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe Před 3 lety +4

    Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 3 lety +3

    Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 3 lety +4

    اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 Před 6 lety +11

    Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 Před 3 lety +2

    Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 Před 3 lety +1

    Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko

  • @hamadmasoud3919
    @hamadmasoud3919 Před 6 lety +4

    Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 6 lety +5

    yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.

  • @mozamansour7912
    @mozamansour7912 Před 6 lety +6

    Asante sana umeongea point 👏👏

  • @dullatanga7811
    @dullatanga7811 Před 6 lety +5

    Yuko sahihi sana mh Khatib

    • @Hassan-vn6nn
      @Hassan-vn6nn Před 5 lety

      They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist...
      We are rising up and no will stop us...Time is due ...

  • @mohamedishabani717
    @mohamedishabani717 Před 6 lety +13

    inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 Před 3 lety +2

    Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 Před 6 lety +12

    bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 Před 6 lety

      Joshua Samson sahihi

    • @destiny4life439
      @destiny4life439 Před 6 lety

      kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 Před 3 lety +1

    Hongera khaatibu .umeongea kweli

  • @eddysaid9611
    @eddysaid9611 Před 3 lety +2

    Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 Před 6 lety +8

    Safi kabisa kamanda

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim Před 3 lety +2

    Innal llai khatib allah akuepushe moto

  • @kishingokishingo1840
    @kishingokishingo1840 Před 3 lety +1

    Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani5331 Před 3 lety +1

    ALLAH akuzidishie kila jema
    huko uliko

  • @jumachilundajr4853
    @jumachilundajr4853 Před 3 lety +4

    Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni

  • @madiyaahmad2749
    @madiyaahmad2749 Před 6 lety +1

    In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao

  • @khadijahilal3016
    @khadijahilal3016 Před 3 lety +1

    Mashallah allah akulinde muheshimiwa

  • @dinhomdullah2965
    @dinhomdullah2965 Před 3 lety +3

    mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 3 lety +1

    اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه

  • @rajabngai5150
    @rajabngai5150 Před 3 lety +1

    ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI

  • @juniordilema1097
    @juniordilema1097 Před 5 lety +4

    Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah

  • @wardajoseph6909
    @wardajoseph6909 Před 3 lety +2

    Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki

  • @nassirnassor8603
    @nassirnassor8603 Před 3 lety +1

    Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin

  • @user-tc3bg9ln9j
    @user-tc3bg9ln9j Před 2 měsíci

    Swali lako ni zuri sana

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 Před 6 lety +13

    Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...

  • @bakarhamad4751
    @bakarhamad4751 Před 2 lety

    Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako

  • @nainasmash6966
    @nainasmash6966 Před 6 lety +1

    mh hongera sana wallah umenifurahisha sana

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut8144 Před 6 lety +5

    Uko sahihii@khatibu

  • @abdallahhemed3527
    @abdallahhemed3527 Před 6 lety +3

    Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa

    • @jaafarwibonela7402
      @jaafarwibonela7402 Před 3 lety

      Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn

  • @amanichanzi1824
    @amanichanzi1824 Před 3 lety +1

    Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu

  • @chagulaniadams3965
    @chagulaniadams3965 Před 6 lety +23

    BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 6 lety +1

    Hongera muheshimiwa
    Allah akusimamie

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo567 Před 5 lety

    Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah

  • @adamkatet274
    @adamkatet274 Před 6 lety +3

    Jamaaa ameongea point Sana

  • @oscarjohn5039
    @oscarjohn5039 Před 6 lety +4

    nice point

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před 3 lety +1

    Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit

  • @jumakessy7560
    @jumakessy7560 Před 6 lety +6

    hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali

  • @aboudmsonde2890
    @aboudmsonde2890 Před 6 lety +1

    Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum663 Před 3 lety +1

    Allah akupe kauli dhabiti.

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 Před 5 lety +1

    mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi

  • @harunakony2012
    @harunakony2012 Před 3 lety +1

    Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani

  • @kibelaame5178
    @kibelaame5178 Před 6 lety +1

    Hongera sana allah atakulipa

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 3 lety +2

    innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 Před 3 lety +2

    Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏

  • @hamisidd2805
    @hamisidd2805 Před 6 lety +3

    BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam

    • @sharkbinaally3381
      @sharkbinaally3381 Před 5 lety

      Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano

  • @masoudsaid5488
    @masoudsaid5488 Před 3 lety

    Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 3 lety +1

    Doh nasikia naye kaondoka 😭😭

  • @kulthumhaji6928
    @kulthumhaji6928 Před 3 lety +1

    Bora umeliona hili jambo ni kero.

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 Před 6 lety +10

    tema cheche kaka
    majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.

    • @victorygadiel5084
      @victorygadiel5084 Před 6 lety

      rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani

    • @omalliddy212
      @omalliddy212 Před 6 lety

      rashid suleiman ...
      ....

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 6 lety +6

    Asante Mh umeongea ukweli.

  • @abdukherykhamis73
    @abdukherykhamis73 Před 5 lety

    mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee

  • @madiyaahmad2749
    @madiyaahmad2749 Před 6 lety

    Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika

  • @allypharahani2168
    @allypharahani2168 Před 3 lety +1

    Innalillah wainnailayhi raajiun

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani5331 Před 6 lety +4

    Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam

  • @AliHussein-lk2gw
    @AliHussein-lk2gw Před 3 lety +1

    R.I..P. 😭

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 3 lety +2

    اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة

  • @yasinmgen2072
    @yasinmgen2072 Před 6 lety +1

    good speech

  • @alfaarouqjongo4980
    @alfaarouqjongo4980 Před 6 lety

    JAZAKA LLAHU KHAYRA

  • @omarynassor6313
    @omarynassor6313 Před 3 lety +1

    Inatiashaka

  • @SumaLTD
    @SumaLTD Před 6 lety +3

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho

    • @saidaliy1567
      @saidaliy1567 Před 4 lety

      Suma Spain hahahah wacha zako

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 Před 4 měsíci

      Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana

  • @achiliadinan430
    @achiliadinan430 Před 3 lety

    Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Před 3 lety +1

    Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu

  • @slemansaid7213
    @slemansaid7213 Před 3 lety +1

    Mh.... kwel jmn

  • @sudidoto9759
    @sudidoto9759 Před 3 lety +2

    Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh

  • @allyhasani8447
    @allyhasani8447 Před 6 lety +1

    Inatia uchunqu na inaliza wallah

    • @daudihamisi5789
      @daudihamisi5789 Před 3 lety

      Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 3 lety

    اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh

  • @mumybhay4984
    @mumybhay4984 Před 5 lety +1

    kweli kabisa

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 Před 6 lety +2

    Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.

  • @ulfarashid9876
    @ulfarashid9876 Před 5 lety

    Safii sana

  • @ibrahimmagambi61
    @ibrahimmagambi61 Před 6 lety +1

    mm binafsi siijui bakwata

  • @arbaab9337
    @arbaab9337 Před 6 lety +1

    Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍

  • @ashooraashoora5415
    @ashooraashoora5415 Před 6 lety

    Mungu anawaonaa

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 4 lety +1

    Tunahitaji wabunge wanaojielewa Kama huyu.

  • @aliymkuutv4367
    @aliymkuutv4367 Před 6 lety

    Safi sana

  • @likandapahasani3139
    @likandapahasani3139 Před 6 lety +1

    Ukweli kabisa mheshimiwa

  • @jjnjau
    @jjnjau Před 6 lety

    Hasidi ana husda mbaya.

  • @issahalfan1827
    @issahalfan1827 Před 3 lety

    Allah aalam.

  • @abdillaahirichardkasisi8691

    Naaam Wambie uwo serikali aina dini

  • @husenially8649
    @husenially8649 Před 6 lety +1

    umesema kweri mh

  • @chachamadini9372
    @chachamadini9372 Před 6 lety +3

    Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa

  • @twilindeissa4505
    @twilindeissa4505 Před 5 lety

    Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson129 Před 6 lety +1

    Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote

  • @jumamomba9502
    @jumamomba9502 Před 6 lety

    MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI

  • @rayanalhabsi8029
    @rayanalhabsi8029 Před 6 lety +1

    zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya

  • @husseinmwalim6406
    @husseinmwalim6406 Před 3 lety

    😭😭😭r.i.p

  • @changchuma9256
    @changchuma9256 Před 4 lety

    Faidayanyama yangamia maalim Yusuf

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 Před 6 lety

    Good

  • @narlonabuu4665
    @narlonabuu4665 Před 6 lety +4

    Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?

  • @samally3136
    @samally3136 Před 6 lety

    Ok

  • @MSKTVOnline
    @MSKTVOnline Před 6 lety

    kwa kupata vidie mbalimbali zinazohusiana na dini tafadhali tembelea haqqi tv

  • @abuathumani1955
    @abuathumani1955 Před 6 lety +2

    Umeongeakweli KuhusuBakwata

    • @adnanshaban2660
      @adnanshaban2660 Před 6 lety

      Abu Athumani
      Hapo kwenye swala la bakwata kweli waeleze hasa wanacho king'ang'ania ni nini?

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 Před 3 lety

    Allah amrehem

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko Před 6 lety +2

    Kweli umeongea ukweli

  • @kadhyazaid7000
    @kadhyazaid7000 Před 6 lety

    Kweli