Serekali kama mnataka anzisheni Dini yenu,acheni kuingilia Dini yetu - Sheikh Ponda | Kundecha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 60

  • @NazalaliHakika
    @NazalaliHakika Před 2 měsíci

    Mwenyezi Mungu akulindeni viongozi wetu haki tuipate

  • @lylywise9385
    @lylywise9385 Před 28 dny

    Mashallah ...allah akuhifadh

  • @user-es9dz2bc2w
    @user-es9dz2bc2w Před 9 měsíci

    Allah Tunakuomba utujalie kufa kwetu tufe mashahidi, utunusuru ,uwahifadhi masheikh wetu pamoja na wanazuoni wetu wakiongozwa na Maalim ponda Issa ponda Allaahumma amiin Inshaallah

  • @tripplescholarsforsuccess9677

    Sahihi Shehe wangu, waanzishe dini yao maana tumechoshwa.

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 Před rokem

    Dalili ya wakati wa Mwenyezi Mungu katika taifa ni kuinua watu wa dini zote kuikosea waziwazi pasipo woga serikali iliyo madarakani. Shekhe Ponda Allah akubariki na kukuongoza.

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 Před měsícem

    Si vizuri kuchezea vitabu vya dini. Serekali iunde katiba yake lkn imani isingiliwe.

  • @jumahozza-dg6ec
    @jumahozza-dg6ec Před 10 měsíci

    Sahihi kabs hapo serikali imevuka mipaka kwakwel dah mungu ainusuru hii dini kwakwel

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 8 měsíci

    Samiya akumbuke yy anajiita muislamu asijali siyasa na duniya na cheyo😊

  • @habibaramadhani-xv2ed

    Alhamndulillah,Serikali ishirikishe Mashehe kuandaa Mtaala wa Dini. Na Walimu wawe Mashehe hata Maimamu kama ilivyokuwa Awali.Serikali iajili Walimu wa Kiislamu .Wakufunzi wa Kiislamu washirikishwe.Alhamndulilaah

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před rokem +2

    Ahsante sana shekhe wangu

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před rokem

    Shekhe ponda nakukubali Sana, yani tuwe makini na Hawa viongozi wa mshahara wasioheshim katiba.

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před rokem

    Mashekhe wetu tunawaaminia hapana msikibali kutupitishia ibilisi katikati ya uislam

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo912 Před rokem +1

    Sheykh ponda kidume

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma8900 Před rokem

    Allah Subhaana akuhifadhini nyiye wasenaji wetu na atuhifadhiye dini yetu na hasada zawo ziwapunduwe wenyewe

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 Před rokem

    Maashallah shekhe asiogopa mwanadam hakika allah atakusimamia

  • @rajabsalum98
    @rajabsalum98 Před rokem +1

    Allah awajalie kheri

  • @san-africacare7638
    @san-africacare7638 Před rokem

    Allah awajalie kheri MashaAllah zetu, Tupo Nyuma Yetu tuamrisheni Tutafata...

  • @hassansalim-ke9cb
    @hassansalim-ke9cb Před rokem

    Napenda sana msimamo kwakweli nimeelewa Allah atujaze imani natuwe imara

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Před rokem

    Allah awajalie inshallah

  • @munic6686
    @munic6686 Před rokem

    Jazakallahu khaira

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 Před rokem

    Tupo nyuma yenu mashekhe wetu

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Před rokem

    Allah awabaarik sana!

  • @jumu1964
    @jumu1964 Před rokem

    Allah awalinde vingozi wetu wa dini

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os Před 9 měsíci +2

    Nyie mnaangaika bure tu wenzenu Bakwata washakutana na serikal washachukua chao na ndo mana wapo kimya kbsa na wafundishaji watakuwa wao Bakwata upuuz wataajiriwa na kulipwa mishahara kinachotuumiza waislam ni unafiki hatuna umoja na njaa hivi vitu kila siku tutakuwa watu wa kufarakana tu

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 8 měsíci

    Wamelewaa wamesahauu Kama wameumbwa

  • @florapetro-pn1og
    @florapetro-pn1og Před rokem

    Shalom shalom, kwakweli mimi mchungaji nimekuunga mkono, watumishi wa umma wakitaka kupigwa na Mungu ingilie dini za watu,kweli serikali ianzishe dini yake

    • @omaryally4278
      @omaryally4278 Před rokem

      waache watuchokoze wanatujua vzr wakiona tupo kimya wanatuchokoza

    • @SelemanMakau
      @SelemanMakau Před rokem

      @@omaryally4278 minaona watu wkechoka amni,hi ilokuwepo,lkn wajue tu mutatauua kwa kupinga ilo Kama Kama kawida ya selkali hi,lkn wajue kabisa,kule kwa mkapa mtu ataondoka mmja na wataondoka maelf ya watu so atuopi kufia imani na ndo itakuwa mwisho wa mikusanyioo nchi hii, myi twendeni tu,so tushachoka,wantaka kituvuruga lakn uku kwenye jammii tuko pamoka watanzanoa wote,msisauau I'll sisi atutaki kutuingolia kwenye dini kwa sababu,yoooooote kwenye qur-ani Allah alishakamilisha,nandokana alimchukua mtume wake acheni bakgi.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před rokem +4

    Tz Matatizo yote ya dini hususan Ya kiislam n BAKWATA , Chunguzen sana hıı kıtu
    Leo mashekh wanateswa maabusu huko lkn BAKWATA hata kunyanyua sautı
    Mtu wnaeekwa mnali na
    1- Familia yake
    2- mke wake
    3- Godoro lake
    4- nyumba yake
    5- waımin wake
    Anaenda kuweka maanusu chumba ambachoo hakuna godoro kula kwake n kwa shda muaka 8-9 .
    Kweli ubünadamu huu??
    Mbona hatujasıkua Askof kakaa Maabusu humoo????
    Asbunallah Allah waneemail wakiil.

  • @shamte9musicofficial126

    Allahu Akbar ,

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem +1

    wana zani hiyo ni bandari tuta fikishana pabaya huko ndio wataujua uislamu nini nimesha waeleza siku zote hata akiwa mtawala anajita muislamu tusikubaliane nayo yalio tokea kwenye bandari ndio hawa hawa wahuni sasa tunakula nao tunasema hawana mazara pia ina wezekana wamewatupia waislmu hili dudu ili kuhamisha mjadala wa bandari

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r Před 8 měsíci

    Huyu mzee kamateni na kutiya ndani miaka 100😮😮😮

  • @brianmunde4415
    @brianmunde4415 Před 11 měsíci

    Wata pigwa viboko za ALLAH

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před rokem +1

    SHETANI WA CCM HATAWAACHA WAISLAAM NA DINI YENU! SEREKALI NA VIONGOZI WOTE NI CCM ILA KIONGOZI WAO NI SHETANI👀👀😱😱

  • @RaphaeljMdimi
    @RaphaeljMdimi Před rokem

    Rest in peace MAGUFULI

  • @NasmaAlly-jc6sg
    @NasmaAlly-jc6sg Před rokem +2

    Watuachie dini yetu

  • @husseinnurdin6999
    @husseinnurdin6999 Před rokem +2

    Mfumo kristo bado ni tatizo nchini, kikubwa zaidi panahitajika mshikamano na umoja zaidi wa hali ya juu kwa waislamu ili kuepukana na matatizo kama hayo.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem

    hawa mnawaunga mkono sana hasa katika hili la bandari sasa hivi wamewarudia lini serekali ika wa treat waislamu vizuri leo mna watetea hawa ni kuwapinga wanajua sisi ndio daraja la mnge aza na hili la bandari kataeeni haya ni makufari mkicheza nao mkasema huyu ni mwezetu na ndio huyo muislamu yuko madarakani tutabaki na waisilamu majina

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm Před rokem

    Hapa point hasa imeelekezwa Kwa waislamu na sio vyengine wanataka kutuwekea vitu vya ovyo viongozi wajuu chukueni hatua

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Před rokem

      Wanajuwa hao wengine hawana Dini ya kweli, hujitungia na Kufuata/Kuamini Miongozo ya hovyohovyo. Hivyo siku Zote Duniani Serikalinza KibinAdam hutunga Sera, Sheria na Hukmu za kuukandamiza/Kuufuta UISLAMU Ktk Uso wa Dunia !
      Afu ajabu eti haohao Watendaji wa SERIKALI wanazo Dini (Waislamu/Wakristo) wanadhani Mungu hatawaadhibu eti kwavile wao ni Watendaji/WATUMISHI Wa SERIKALI na Serikali haina Dini !!!

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r Před 8 měsíci

    Yaani mmekusanyana ili kutuletea udini ndani ya serikali yetu kisa Palestina mukafie mbali

  • @zaneenbeauty
    @zaneenbeauty Před rokem

    Na bado si mnawatetea 😂😂😂😂

  • @user-lm4rw4qr4e
    @user-lm4rw4qr4e Před rokem

    Wanaanzaga kwa kutesti mitambo waangalie tutapokeaje? Wakiona mnawaka na mnakinukisha wanaacha.

  • @mohamedijuma7406
    @mohamedijuma7406 Před rokem

    Sauti ndogo sana kwenye video

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 8 měsíci +1

    yy atakamatwa na polisi ww utakamatwa na muungu fala

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w Před rokem

    Mpaka tufe ata vyeti ni wizi kuwAibia waislamu

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před rokem

    Hiyo dini ya uongo imeanzishwa marekani wanasoma qroan kama sahihi kumbe wanapotosha

  • @nuruhassan9707
    @nuruhassan9707 Před rokem

    Makubwa

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 Před měsícem

    Kaka tena watuache wasitutafute 😡😡😡

  • @munic6686
    @munic6686 Před rokem +1

    Propaganda za nchi za magharibi kuuharibu uislam tuwasomeshe sana watoto wetu nyakat zijazo zitakuwa na changamoto zaidi hawa mashekh leo wapo kuna siku hawatakuwepo...

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem

    5

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema57 Před rokem +1

    Kama kuna kotuwanaakitafita kwenye dini uetu waseme sio waaze kuzunguka mmbuyu wakati wanaend juuu ...😡😡😡ni nin khaswaa wanakitafuta

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Před rokem

      Wanazunguka mbuyu wakati wanaendaa..!!! 😂😂

  • @mohamedkiyungi4867
    @mohamedkiyungi4867 Před rokem

    Kama mambo yako hivyo ni hatari sana muongozo wa uisilamu ni Quran na Sunnah za mtume wetu kubadilisha chochote katika muongozo au kuwabadilishia waisilamu muongozo wa uisilamu hawa jamaa wana andaa fujo mpya maana wanaonekana wamechoshwa na amani hii ya uongo

  • @rukiaomar7828
    @rukiaomar7828 Před rokem

    Jazakallah kheir