Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 45

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před rokem +3

    Ponda mungu akupe maisha malefu wewe nimtetezi wawanyonge

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Před rokem +2

    Shk Ponda Allah akulipe kheriii . Akulipe Janat Firdausi. Ahsante sana sanaa. Naunga mkono hoja yakoo

  • @universitylink
    @universitylink Před rokem

    Mashaallah Allah akuongezee hekima na busara sheikh Ponda Issa Ponda

  • @henrymassawe699
    @henrymassawe699 Před rokem +3

    Huyu shehe huwa namkubali sanaaa hekima imejaaa halafu akiongeaga hana jazba ila anajua kujenga hoja zake based on facts ama hakika Mungu amajalie maisha marefu aendelee kupigania haki na maisha ya watanzania .

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před rokem +3

    Njia ambayo ni rahisi kuleta mabadiliko ni kujichanganya na siasa. Ukijiweka kidini dini utaitwa gaiddi na utakuja kuwa hatalini. Uamuzi wa Sheeikh ponda ni mzuri sana.

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 Před rokem +1

    Uko vizuri ponda.MUNGU AKUBARIKI

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před rokem +3

    Mzee Ponda hakika umeongea kwa uchungu mno, Watanzania sasa tuamue leo katiba mpya ni lzm

    • @zuzadomikano3765
      @zuzadomikano3765 Před rokem

      MAGUFULI ALISEMA KATIBA WAWEKE MFUKONI CCM YAWALIPA PESA ASIE TEKELEZA AMRI ZAWANA ccm atulewe kazini ,vipi Ndugu wasema KATIBAbwana plujor ???

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před rokem +4

    Shekh ponda alipaswa kuwa shekhe mkuu bakatwa

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před rokem +1

      Awamtaki anawalipua

    • @harunmanura7900
      @harunmanura7900 Před rokem +1

      Kuwa sheikhe mkuu unatakiwa uwe chawa wa mamlaka

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 Před rokem

      @@harunmanura7900 😂😂😂 sure aisee hayo mambo ndo Ponda hayataki

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem

      @@hajjiomary2383 ndio maana wanao wekwa makwata hawezi hata kutetea haki za waislamu nchini wala hawana kauli juu ya maaskofi matako wana kauli wakisema wanaskilizwa na serekali

  • @mariamtemba4221
    @mariamtemba4221 Před rokem +1

    Kichwa Cha Allah nakutakia Ramadan kalim

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 Před rokem +2

    Kuna Mambo hata hutamani kuyaskia,yanaumiza,yanakera,lakin tatizo ni mfumo na kutokuwa na uzalendo

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před rokem +2

    Umeongea very point shehe watu wanateswa sana yani ni kama wanyama tu wanavyofanyiwa

  • @froma3732
    @froma3732 Před rokem +1

    Shekh Ponda maneno yako yanaliza

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Před rokem +1

    Shehe Umeongea vzr sana nanimekuelewa Tanzania inahitaji Tiba

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043

    Muuza mkaa kapigwa lisasi na askali na selikari imekaa kimya tu 😭 amakweli ccm imewachoka wenye nchi yao na sasa wameamuwa kuikamata nchi kama wakoroni tu

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Před rokem

    CCM Oyeeeeeeeeee Nyerere ,MAGUFURI,Dr.Hussein Ally Mwinyi,Dr.Ally M Shein ,OYEEEEEEEEEEH

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před rokem +1

    Ilike that unless ufikili ulimwengu auna mwenyewe .kila ki2 kina mwenyewe

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Před rokem +3

    Akili kubwa pekee yake ndio inamwelewa huyu sheikh.,

  • @MohamedHassan-zc5bl
    @MohamedHassan-zc5bl Před rokem

    Hakuna sheekh mjanja na mwenye msimamo wa haki kama sheeikh ponda

  • @LadaSaidi
    @LadaSaidi Před rokem

    The big Gianti men

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 Před rokem +1

    Kwenye hilo swala la wauza mkaa skuiz matukio hayo yapo mengi sana wauza mkaa wanateswa sana

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem

    Sana kabisa shekhe Ponda yaani nakukubali sana, yote kwa sababu ya sheria zilizo wekwa na awa ndugu zetu weusi,na police wengi elim hawana,

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 Před rokem +1

    Shekh wang ndio man katiba mpy muhim

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 Před 3 měsíci

    Mapendekezo ya Sheikh Ponda, nayakubali na nnayaunga mkono. Lakini walioko kwenye mamlaka, wanaitafsiri HAKI ni lile linaloendana na sheria waliyoitunga wao. Hivyo hawaijui HAKI vile inavyopasa ijulikane. Ni muhimu sana kwanza wajue HAKI ni nini.

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Před rokem +1

    Pia iwepo sheria kwenye katiba ya kumwajibisha serikali, waajiri wake wakidhurumu haki za watu, basi serikali ilipe fidia. Kwa mfano mtu mukiuwa na police, au kufungwa kimakosa. Serikali ilipe fidia mda na mateso.

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Před rokem +1

    Ni ukweli kabisa haha mambo yapo hata dakika hii Shee ww ni mtu wa MUNGU kweli🙏🙏🙏

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před rokem +1

    Mimi siku zote hua ninajiuliza,,wanasiasa wanatuaminisha kama wakoloni walikua wabaya,,lakini mbona wao wanaendelea kuzitumia zilezile sheria zilizoasisiwa na wakoloni hapa inakuaje,,

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 Před rokem +2

    Mambo haya ni ya kawaida,kama hayajakukuta.

  • @denispaulo1295
    @denispaulo1295 Před rokem +1

    Mzee kasema vyema

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 Před rokem +1

    sadness

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před rokem

      Hata wakoloni bawakufanya hivyo hayo maneno mazito kwa mwenye akili

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před rokem

    Jamani, Jamani.

  • @abujamalaalghammawiy7470

    Mpaka nimehisi kulia , hakika waislam tunapitia katika madhila makubwa sanaaa😮‍💨

    • @zuzadomikano3765
      @zuzadomikano3765 Před rokem

      MAKONDA alitaka Ukimaliza ule wakti kwa Amri ya MAGUFURI ,NA ukteswa ukafichwa ukakimbizwa -Kesiyako imefikiawapi kwasasa???

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 Před rokem

    Wazee kama huyu ndio wabebao maana halisi ya Old is Gold

  • @nassoraliy3871
    @nassoraliy3871 Před rokem

    Nikweli kaka