Lukuvi atoa kauli ya kichochezi Kanisani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2014
  • WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alitoa kauli yenye ishara ya uchochezi wakati anahutubia katika sherehe za kumsimika Askofu Joseph Bundara wa Kanisa la Methodist.

Komentáře • 96

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety +7

    Subhanallah!!! Kumbe hili ndilo khaswa linaloogopwa.innaalillah wainnaailayhi raajiuun.

  • @stevencherdiel9522
    @stevencherdiel9522 Před 4 lety +8

    Umesema vizuri mheshimiwa, lakini hayo unayozungumza ni maoni ya nani? Ya wananchi au ya kwako tu? Je kama wananchi wanapenda hivyo itakuaje?

  • @nassoraly7234
    @nassoraly7234 Před 4 lety +9

    Allah akulani na akupe makio mabaya mbwa ww

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi7198 Před 6 lety +7

    Hii ni kauli ya kushangaza sana...hayo ni mawazo mnayojaribu kutupabdikizia ninyi wanasiasa. Watanganyika hatuna tatizo na wazanzibar. Mlioko serikalini ndo mna tatizo....Hata kama Zanzibar ni nchi ndogo, kuna tatizo gani!? Kama mnata Utanzania wa kweli, basi kuwe na serikali tatu, au serikali iwe moja tu. Hiyo ndo Tanzania ya Kweli. Haya mengine ni porojo tu...hapo Yesu hawezi kusifiwa katika unafiki.

  • @yahyanzwiba
    @yahyanzwiba Před 4 lety +7

    Allah amzalilishe

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 Před 3 lety +4

    Babu mjinga sana huyu

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 Před 5 lety +5

    Huoni ujinga wako mwenyewe tunakuachia mwenyewe sisi wanzabari tumeshatambua kama nyinyi lengo lenu ni kuitawala zanzibar ila mutapata tabu sana manake wapemba ni wabishi hawakubali kuburuzwa wanajielewa sana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 lety +2

    Lukuvi Mungu akulaani, hatukuogopi, wala hatumuogopi mama ako. Zanzibar kuna siku itakuwa huru. Utakufa wewe, zanzibar itakuwepo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem

    Ukafie mbali mzee mungu akulaani

  • @stellakaduma171
    @stellakaduma171 Před 4 lety +4

    Lakini kumbukeni kuwa boss wenu mkuu ni mwananchi

  • @khamishaji7319
    @khamishaji7319 Před 8 lety +3

    alhamdulillah Mungu kwa kunipa uwezo wa kupambanua

  • @jumamadadi6935
    @jumamadadi6935 Před 4 lety +2

    Nyinyi wa tnganyika tu... hmna llte kwan ukienda hta Oman au marekani wa Zanzibar wpo ...kiongoz ana hubiri dini ili kuwa kanda miza wa zanzibar

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety

    Ndio Maana Mama Samia Mzanzibari kakupiga na chini ww na kabudi

  • @costansiakimaro8980
    @costansiakimaro8980 Před 4 lety +5

    Wee wachokoze tu.halafu.uonekitakacho kukuta

  • @jumamadadi6935
    @jumamadadi6935 Před 4 lety +4

    Upungufu ulio kuwepo ni kuondolewa kwa mungano na hlo ndio Jambo la kurekebisha ...we need freedom of Zanzibar... Z.bar must to be a free

  • @salehalhammami8278
    @salehalhammami8278 Před 3 lety +5

    Wewe usianze fitinazako za kidini
    Mbaguzi wakidini Tanzania iko katika
    Amani lakini watu kama wewe ni hatari
    Watasababisha vita vya kidini
    Upumbavu mtupu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 4 lety +6

    Wapeni nchi Yao Bana dhulma ina mwishoo

  • @nassornassor8774
    @nassornassor8774 Před 3 lety +2

    Bwege akili za kizamani hizo umeikuta na utaiacha Zanzibar Island

  • @MagnetSuperfly
    @MagnetSuperfly Před 7 měsíci

    Yani huyu mbwa😢😢😢alaniwe

  • @rubenmobe4686
    @rubenmobe4686 Před 4 lety +2

    Kaisali kaingia kanisan hatali Sana sk wahubiri wakija jukwaani msiseme mmeingiliwa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 5 měsíci

    Hiyo ilikuwa mipango ya kanisa kuitawala kwa mabavu zanzibar na kuudhoofisha uislam!!

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 Před 3 lety +2

    Lukuvi kumbuka hapo ni MADHABAHUNI acha UJINGA wa KISIASA MAENEO kama HAYO

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +5

    MWENYEZI MUNGU ATAKUSHINDA ATAKUPA MARADHI YASIOKUWA NA DAWA AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH

    • @aliaboud9202
      @aliaboud9202 Před 2 lety +2

      Sasa ivi Hana cheo Tena ni suala la muda tuu

    • @saidabdala4980
      @saidabdala4980 Před 2 lety

      @@aliaboud9202
      Hii vidio inatosha kupelekwa THE HAAG HOLLAND..

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 2 lety

      Amin Amin thuma Amin.

  • @jumahaji4964
    @jumahaji4964 Před 2 lety

    Nikiwa sijapita bila ya kucomment hii bas mm sio mzanzibar dah 😭😭😭😭😭 Allah yupo na ss naamin ipo siku mmb hay yatapatikan ufafanuzi wak

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Před 4 lety +5

    Huyu jamaaa ni mshenzi kwelikweli. Kumbe unajuwa yakuwa mnategeya mungano.. wewe utavuwa tu koti ukitaka usitake

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +2

    KILA WAKATI UNAKAMATA KOTI MSHAMBA TU WEWE HUJAWAHI KUVAA KOTI MSHAMBA

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 5 měsíci

    INALILAH WAINAILAH RAJIUN

  • @harunaalimakame7443
    @harunaalimakame7443 Před 4 lety +2

    Mushindwe

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety

    Subhanna Llah

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 Před 3 lety +2

    Basi WAUMINI wa hapa HUITIKIA tu bila hata kujielewa aliye pendekeza haya si UPINZANI bali TUME ya WALIOBA nyie mnaitikia tu AMINA

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 Před 2 měsíci

    Mimi naomba kuuliza kwan USA wana ishi wana USA pekw yao hujuu jamaa haja soma hata kdg, elimu Zero

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +2

    JESHI ALIKUWANALO FIRAUNI WA MISRI YUPO WAPI

  • @jonesgeorge3152
    @jonesgeorge3152 Před 5 lety +2

    Mtabaki mnashangilia ujingaa.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před rokem

    Kiti cha Umoja wa kimataifa mulikiiba kwa Wazanzibari Tanganyika yenu kabla ya Muungano ilikuwa haina kiti ,kiti walikuwa nacho Zanzibari

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 8 měsíci

    Mbona mzanzibari samia alikupiga chini na umebaki kujikwezakweza tu! Ulikuwa unajitanua ukidhani utapewa nini? Kama siyo uchawa wenu tu?

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety

    Unyanyasaji huu da wazanzibari

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +1

    WEWE MWENYEWE MBAGUZIUNALETA FITNA LAANA ZIMEKUJAA

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 3 lety +1

    HUUU UKISKIA =KUTAWALIWA WAMETUCHOKA KWELI WALE WANAOSHIBA WANAYAONA KAMA DHAHABU MANENO HAYA.

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +1

    UNAZUNGUMZA UPUMBAVU NENDA ZAKO USHAIBA PESA ZA WANANCHI REJESHA PESA

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +1

    ALIKUPO ADAM SAPI KWAWA NA TABU MANGARA TABU WEWE MPUMBAVU MJINGA HUNA MPYA

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 2 měsíci

    Kwa maana hiyo lukuvi unataka kutueleza watanzania ccm itaongoza milele kwa mantiki hiyo.

  • @nassorsaid9359
    @nassorsaid9359 Před 3 lety +1

    Akina shekh faridi walikamatwa kwa sababu wamechanganya dini na siasa je huyu anafanya nini hapa au ndo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 Před 2 lety

    Ww niadui wa uislamu na waislamu na huwezi kushinda na hatakati zako dhidi yauislamu

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Před 2 lety +1

    Karume amesema muongano ni kama koti tukisikia joto tnaivua sio lazima

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 Před rokem

    Ilo ilo ilo ilo utaondoka na utaiyacha Zanzibar hivi hivi

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Před rokem

    Umeshindwa kusimsmia ardhi unaanza mengine

  • @rastafare878
    @rastafare878 Před 2 lety

    Jamani viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili , viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili, viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili, shauri zenu ndio mnawasikia hao , ndio mujue fika Zanzibar jinsi invyodharauliwa ,kwani mwanzo zilipokuwa hazijaungana si Zanzibar ilikuwa inajiongoza wenyewe

  • @imash04tv20
    @imash04tv20 Před 2 lety +1

    sasa hayo yote ili yasiwape waachieni nchi yao kwa hio mnajinadi kwamba nyinyi ndio mnawakilisha mataifa tafsiri yake nikwamba wao wasipate hivyo hile ni nchi iliungana tu sasa mbona mnafosi? ili yasitokee hayo yakulipa nyinyi na kutokulipa waachilieni basi nchi yao hamtolipa

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 Před 3 lety +1

    Afadhali watanzania wakujue sasa

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 3 lety +1

    Miaka saba iliyopita ,HAYA SIKU MOJA ATAYAKUMBUKA

  • @topaviator
    @topaviator Před 3 lety +3

    Wee dawa yako ni kufirwa tu ndo uwo ulimi wako utakaa sawa

  • @kassim1262
    @kassim1262 Před rokem

    Ccm waznzbar wanashirikiana na wale watanganyika kutuua wazanzibar lakin tanganyika itawale zanzibar..

  • @znzmawaidh8702
    @znzmawaidh8702 Před 11 měsíci

    Chuki zidi ya Zanzibar

  • @hayrounsaid1335
    @hayrounsaid1335 Před 3 lety +1

    Kweli akili mali

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety

    kaka ukosahihi jeep katibaa yasemajeee kuhusuuu muganoo inasemee mama

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Před rokem

    TUNATAKA MAMLAKA KAMILI YA ZANZIBAR INSHAA ALLAHU TAALA 2025 YATAPATIKANA.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem

    Huwez kua hata mwenyekiti wa mtaa unaropoka hadharan ni uchonganishi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před rokem

    Waandishi wa habari. Mambo ya dini tuyaweke mbali tujadili taifa letu sio dini

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Před 2 lety

    Wazungu walitawala AFRIKA ..lakini mimi naona bado wako mpaka leo
    Kilobadilika ni rangi tu kaondoka mweupe sasa yuko mweusi. Kumbe ile ukoloni .ni kama kitu kusomeya .wazungu wameacha ulinzi wao. Na unaendeleya mpaka leo. Kazi yako ni kiongozi umepewa uongozi unafanya kazi halafu unalipa na wewe unajilipa. Lakini sistem ya WAZUNGU ndio walio kuwachieni. Na ndio maana mpaka hii leo WAAFRIKA hatuji juu. Ukiaangaliya news CNN kwenye kipidi cha AFRIKA INSIED UTAONA CALTURE YETU NI MUZIKI TU. AFRIKA TUMEFANYWA NI SEHEMU YA KAMA AKIBA YA nchi za matajiri

  • @111dudi
    @111dudi Před 7 lety +2

    Lukuvi katika mkutano uliofanyika Muscat Intercontinental Hotel, tarehe 20/10/2014, alikana ya kwamba hakusema,na kuwa hawezi kuyasema haya, kwa sababu ana marafiki waislam wengi,na kwamba alirekodiwa "out of context " Kitabu cha Tanzania na Propaganda na Udini,cha Ibrahim Noor ukurasa Wa 62 na 63. Lukuvi akaingia mitini

    • @donaldnelson9226
      @donaldnelson9226 Před 6 lety

      Wapinzani walipo sema mmeva koti la muungano mlipinga sasa mnasema wenyewe.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 Před 4 lety

      Toka lini paka akakubali kulala chali

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 Před 4 lety

      Toka lini paka akakubali kulala chali hujaelewaka vipi na umetamka hadharani wazi wazi

    • @williamgaonyangasa352
      @williamgaonyangasa352 Před rokem

      Hoja zenu ndio zimetufikisha hapa tulipo. Wazanzibari wanauza rasilimali za Tanganyika mchana kweupe. Walianza na Loliondo halafu misitu na Sasa Bandari zote za Tanganyika.

    • @111dudi
      @111dudi Před rokem

      @@williamgaonyangasa352 kama imani yako ni hii, mnastahili kuuzwa na waznz

  • @SaidKiponza-ni4fk
    @SaidKiponza-ni4fk Před rokem

    Kwann makafiri hawana amani na waislam mbona sisi waislam hatunaga shida nao kwann kwetu ndo shida

  • @abulaaliyah77amani91
    @abulaaliyah77amani91 Před 2 lety

    Mhhh

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 Před rokem

    Ni hotuba. Nzuri kasoro tu kufanyika kanisani kuhubiri mambo ya kitaifa kwa jamii moja tu una lengo gani? au ni maandalizi ? Tusiwe kama Kenya kwrnye siasa za makanisani

  • @znzmawaidh8702
    @znzmawaidh8702 Před 11 měsíci

    Muungano si uvunjwe

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Před 2 lety

    iko siku Zanzibar itakua huru

  • @khamisikhalfan4720
    @khamisikhalfan4720 Před 8 měsíci

    Na ndio maana Samia kamtumbua hana hekima ya uongozi na hajui Kama anarekodiwa

  • @kassimmbwana7
    @kassimmbwana7 Před 2 lety

    O

  • @mwadinbakar9553
    @mwadinbakar9553 Před rokem

    Tukishayatoa MAFUTA kwenye Mungano, wala hutowasikia wakitoa kauli za chuki kama hizo na wala hawatokuwa na haja tena na ZNZ

  • @hafidhkhamis731
    @hafidhkhamis731 Před rokem

    Wale wazungumziao chuki za kidini mbona uyu hamwambii kitu

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 2 lety

    OUT !

  • @msemakweli232
    @msemakweli232 Před 3 lety

    Upuuzi na ujinga

  • @athumanmziray448
    @athumanmziray448 Před 2 lety

    Hivi kiongozi anaweza kuongea hivyo?hofu ni ya nini?

  • @111dudi
    @111dudi Před 3 lety +1

    Nyie wakristo wavaa suti, na siasa zenu mmewarudisha wazungu ? Mbona hoja zako hovyo na za chuki. Binti yako anaipokea ya mwarabu unaowachukia.

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 Před 6 lety +1

    ndio nyiiiiiiiiiiingi kanisani amen amen amen kwani huyu mhubir wa upako?achen hizo

  • @mahadaziz5793
    @mahadaziz5793 Před 7 lety +2

    hahaha minilijua hawajilewi kama wanaigagania zanzibar kumbe wanajielewa na matatizo ya zanzibar ndio hayo makubwa haya sajapata sikia walahi.

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 3 lety +1

    HUUU UKISKIA =KUTAWALIWA WAMETUCHOKA KWELI WALE WANAOSHIBA WANAYAONA KAMA DHAHABU MANENO HAYA.