Lukuvi atoa kauli ya kichochezi Kanisani
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2014
- WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alitoa kauli yenye ishara ya uchochezi wakati anahutubia katika sherehe za kumsimika Askofu Joseph Bundara wa Kanisa la Methodist.
Subhanallah!!! Kumbe hili ndilo khaswa linaloogopwa.innaalillah wainnaailayhi raajiuun.
Umesema vizuri mheshimiwa, lakini hayo unayozungumza ni maoni ya nani? Ya wananchi au ya kwako tu? Je kama wananchi wanapenda hivyo itakuaje?
Allah akulani na akupe makio mabaya mbwa ww
Hii ni kauli ya kushangaza sana...hayo ni mawazo mnayojaribu kutupabdikizia ninyi wanasiasa. Watanganyika hatuna tatizo na wazanzibar. Mlioko serikalini ndo mna tatizo....Hata kama Zanzibar ni nchi ndogo, kuna tatizo gani!? Kama mnata Utanzania wa kweli, basi kuwe na serikali tatu, au serikali iwe moja tu. Hiyo ndo Tanzania ya Kweli. Haya mengine ni porojo tu...hapo Yesu hawezi kusifiwa katika unafiki.
Allah amzalilishe
Babu mjinga sana huyu
Huoni ujinga wako mwenyewe tunakuachia mwenyewe sisi wanzabari tumeshatambua kama nyinyi lengo lenu ni kuitawala zanzibar ila mutapata tabu sana manake wapemba ni wabishi hawakubali kuburuzwa wanajielewa sana
Lukuvi Mungu akulaani, hatukuogopi, wala hatumuogopi mama ako. Zanzibar kuna siku itakuwa huru. Utakufa wewe, zanzibar itakuwepo
Ukafie mbali mzee mungu akulaani
Lakini kumbukeni kuwa boss wenu mkuu ni mwananchi
alhamdulillah Mungu kwa kunipa uwezo wa kupambanua
Nyinyi wa tnganyika tu... hmna llte kwan ukienda hta Oman au marekani wa Zanzibar wpo ...kiongoz ana hubiri dini ili kuwa kanda miza wa zanzibar
Ndio Maana Mama Samia Mzanzibari kakupiga na chini ww na kabudi
Wee wachokoze tu.halafu.uonekitakacho kukuta
Upungufu ulio kuwepo ni kuondolewa kwa mungano na hlo ndio Jambo la kurekebisha ...we need freedom of Zanzibar... Z.bar must to be a free
Wewe usianze fitinazako za kidini
Mbaguzi wakidini Tanzania iko katika
Amani lakini watu kama wewe ni hatari
Watasababisha vita vya kidini
Upumbavu mtupu
Wapeni nchi Yao Bana dhulma ina mwishoo
Bwege akili za kizamani hizo umeikuta na utaiacha Zanzibar Island
Yani huyu mbwa😢😢😢alaniwe
Kaisali kaingia kanisan hatali Sana sk wahubiri wakija jukwaani msiseme mmeingiliwa
Hiyo ilikuwa mipango ya kanisa kuitawala kwa mabavu zanzibar na kuudhoofisha uislam!!
Lukuvi kumbuka hapo ni MADHABAHUNI acha UJINGA wa KISIASA MAENEO kama HAYO
MWENYEZI MUNGU ATAKUSHINDA ATAKUPA MARADHI YASIOKUWA NA DAWA AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH
Sasa ivi Hana cheo Tena ni suala la muda tuu
@@aliaboud9202
Hii vidio inatosha kupelekwa THE HAAG HOLLAND..
Amin Amin thuma Amin.
Nikiwa sijapita bila ya kucomment hii bas mm sio mzanzibar dah 😭😭😭😭😭 Allah yupo na ss naamin ipo siku mmb hay yatapatikan ufafanuzi wak
Huyu jamaaa ni mshenzi kwelikweli. Kumbe unajuwa yakuwa mnategeya mungano.. wewe utavuwa tu koti ukitaka usitake
KILA WAKATI UNAKAMATA KOTI MSHAMBA TU WEWE HUJAWAHI KUVAA KOTI MSHAMBA
INALILAH WAINAILAH RAJIUN
Mushindwe
Subhanna Llah
Basi WAUMINI wa hapa HUITIKIA tu bila hata kujielewa aliye pendekeza haya si UPINZANI bali TUME ya WALIOBA nyie mnaitikia tu AMINA
Mimi naomba kuuliza kwan USA wana ishi wana USA pekw yao hujuu jamaa haja soma hata kdg, elimu Zero
JESHI ALIKUWANALO FIRAUNI WA MISRI YUPO WAPI
Mtabaki mnashangilia ujingaa.
Kiti cha Umoja wa kimataifa mulikiiba kwa Wazanzibari Tanganyika yenu kabla ya Muungano ilikuwa haina kiti ,kiti walikuwa nacho Zanzibari
Mbona mzanzibari samia alikupiga chini na umebaki kujikwezakweza tu! Ulikuwa unajitanua ukidhani utapewa nini? Kama siyo uchawa wenu tu?
Unyanyasaji huu da wazanzibari
WEWE MWENYEWE MBAGUZIUNALETA FITNA LAANA ZIMEKUJAA
HUUU UKISKIA =KUTAWALIWA WAMETUCHOKA KWELI WALE WANAOSHIBA WANAYAONA KAMA DHAHABU MANENO HAYA.
UNAZUNGUMZA UPUMBAVU NENDA ZAKO USHAIBA PESA ZA WANANCHI REJESHA PESA
ALIKUPO ADAM SAPI KWAWA NA TABU MANGARA TABU WEWE MPUMBAVU MJINGA HUNA MPYA
Kwa maana hiyo lukuvi unataka kutueleza watanzania ccm itaongoza milele kwa mantiki hiyo.
Akina shekh faridi walikamatwa kwa sababu wamechanganya dini na siasa je huyu anafanya nini hapa au ndo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Ww niadui wa uislamu na waislamu na huwezi kushinda na hatakati zako dhidi yauislamu
Karume amesema muongano ni kama koti tukisikia joto tnaivua sio lazima
Ilo ilo ilo ilo utaondoka na utaiyacha Zanzibar hivi hivi
Umeshindwa kusimsmia ardhi unaanza mengine
Jamani viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili , viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili, viongozi wa Zanzibar lioneni jambo hili, shauri zenu ndio mnawasikia hao , ndio mujue fika Zanzibar jinsi invyodharauliwa ,kwani mwanzo zilipokuwa hazijaungana si Zanzibar ilikuwa inajiongoza wenyewe
sasa hayo yote ili yasiwape waachieni nchi yao kwa hio mnajinadi kwamba nyinyi ndio mnawakilisha mataifa tafsiri yake nikwamba wao wasipate hivyo hile ni nchi iliungana tu sasa mbona mnafosi? ili yasitokee hayo yakulipa nyinyi na kutokulipa waachilieni basi nchi yao hamtolipa
Afadhali watanzania wakujue sasa
Miaka saba iliyopita ,HAYA SIKU MOJA ATAYAKUMBUKA
Wee dawa yako ni kufirwa tu ndo uwo ulimi wako utakaa sawa
Ccm waznzbar wanashirikiana na wale watanganyika kutuua wazanzibar lakin tanganyika itawale zanzibar..
Chuki zidi ya Zanzibar
Kweli akili mali
kaka ukosahihi jeep katibaa yasemajeee kuhusuuu muganoo inasemee mama
TUNATAKA MAMLAKA KAMILI YA ZANZIBAR INSHAA ALLAHU TAALA 2025 YATAPATIKANA.
Huwez kua hata mwenyekiti wa mtaa unaropoka hadharan ni uchonganishi
Waandishi wa habari. Mambo ya dini tuyaweke mbali tujadili taifa letu sio dini
Wazungu walitawala AFRIKA ..lakini mimi naona bado wako mpaka leo
Kilobadilika ni rangi tu kaondoka mweupe sasa yuko mweusi. Kumbe ile ukoloni .ni kama kitu kusomeya .wazungu wameacha ulinzi wao. Na unaendeleya mpaka leo. Kazi yako ni kiongozi umepewa uongozi unafanya kazi halafu unalipa na wewe unajilipa. Lakini sistem ya WAZUNGU ndio walio kuwachieni. Na ndio maana mpaka hii leo WAAFRIKA hatuji juu. Ukiaangaliya news CNN kwenye kipidi cha AFRIKA INSIED UTAONA CALTURE YETU NI MUZIKI TU. AFRIKA TUMEFANYWA NI SEHEMU YA KAMA AKIBA YA nchi za matajiri
Lukuvi katika mkutano uliofanyika Muscat Intercontinental Hotel, tarehe 20/10/2014, alikana ya kwamba hakusema,na kuwa hawezi kuyasema haya, kwa sababu ana marafiki waislam wengi,na kwamba alirekodiwa "out of context " Kitabu cha Tanzania na Propaganda na Udini,cha Ibrahim Noor ukurasa Wa 62 na 63. Lukuvi akaingia mitini
Wapinzani walipo sema mmeva koti la muungano mlipinga sasa mnasema wenyewe.
Toka lini paka akakubali kulala chali
Toka lini paka akakubali kulala chali hujaelewaka vipi na umetamka hadharani wazi wazi
Hoja zenu ndio zimetufikisha hapa tulipo. Wazanzibari wanauza rasilimali za Tanganyika mchana kweupe. Walianza na Loliondo halafu misitu na Sasa Bandari zote za Tanganyika.
@@williamgaonyangasa352 kama imani yako ni hii, mnastahili kuuzwa na waznz
Kwann makafiri hawana amani na waislam mbona sisi waislam hatunaga shida nao kwann kwetu ndo shida
Mhhh
Ni hotuba. Nzuri kasoro tu kufanyika kanisani kuhubiri mambo ya kitaifa kwa jamii moja tu una lengo gani? au ni maandalizi ? Tusiwe kama Kenya kwrnye siasa za makanisani
Muungano si uvunjwe
iko siku Zanzibar itakua huru
Na ndio maana Samia kamtumbua hana hekima ya uongozi na hajui Kama anarekodiwa
O
Tukishayatoa MAFUTA kwenye Mungano, wala hutowasikia wakitoa kauli za chuki kama hizo na wala hawatokuwa na haja tena na ZNZ
Wale wazungumziao chuki za kidini mbona uyu hamwambii kitu
OUT !
Upuuzi na ujinga
Hivi kiongozi anaweza kuongea hivyo?hofu ni ya nini?
Nyie wakristo wavaa suti, na siasa zenu mmewarudisha wazungu ? Mbona hoja zako hovyo na za chuki. Binti yako anaipokea ya mwarabu unaowachukia.
ndio nyiiiiiiiiiiingi kanisani amen amen amen kwani huyu mhubir wa upako?achen hizo
hahaha minilijua hawajilewi kama wanaigagania zanzibar kumbe wanajielewa na matatizo ya zanzibar ndio hayo makubwa haya sajapata sikia walahi.
Huyu lukuvi ni nguruwe mkubwa sana
HUUU UKISKIA =KUTAWALIWA WAMETUCHOKA KWELI WALE WANAOSHIBA WANAYAONA KAMA DHAHABU MANENO HAYA.