nawahukuru sana CHADEMA kwa hii kazi mliyoifanya, inakuwaje kama mkiiupload yote ili kila mtanzania atakayepata fulsa haweze kujua alichoongea mh.tundu lissu..
Tundu Lissu nakukubali sanaaaaa... Yani unamwaga points tu zenye facts na reference.. Huyo ndo Lissu mzee wa kutema cheche zenye data. Kazi Nzuri Mheshimiwa.
Thats politician material.good researcher,very intelligent and organised politician.
Kuna tofauti yakwenda shule na kuingia darasani...shikamoo lisu
This guy is very intelligent, extraordinary generous,
Ndio maana namkubali Tundu Antipas Lissu. Mtetezi wa HAKI. sio madhalimu CCM
Rais msomi na mwenye kipaji tz Rais wa tz mwerevu
Put the whole speech please this is more than Tanzania's history
Kweli we machine. I will always be your supporter with all my family members
Hii ndio faida ya kwenda shule, Kusoma na baadaye kuja kuwa msomi.
Huyu ndo tundu lisu mzee Wa kumwaga point nakukubali sana baba
baraka owenya
Huyu ndo Tundu Lissu.
lissu fire
komaa mjomba mpaka mpaka kieleweke.
nawahukuru sana CHADEMA kwa hii kazi mliyoifanya, inakuwaje kama mkiiupload yote ili kila mtanzania atakayepata fulsa haweze kujua alichoongea mh.tundu lissu..
Hongela lisu kwaojazako bunge heshima
Kaza buti lisu bungeni
Tundu lissu ama kwel wewe ni msomi sheriaa hongeraa
Sauti ya wengi mboni ya Mungu ni Tundulissu
Jamaa huyu brain mingi sana! Big up
lisu wewe ni noma sana aisee kwa serkal ya lowassa wew utakuwa mwanasheria mkuu
Juvenaly Massawe
Hongera lissu wafahamishe hao
Huyu jamaa anapiga panapo uma
Hapo hadi waseme
Oooh allah wewe ndio mjuzi wawa juzi tuna kuomba mola wetu utupe ufumbuzi
nakukubali lissu tutetee sisi wa nyonge
mshikaji anajua sasnas katka bungu la katiba la tz
utabaki kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
Huna mpinzani
Rais mtarajiwa wa vizazi vijavyo
Duhhhh!!! Hayo yote unayajulia wapi lissu!!!
Tundulisu hakika watanzania wame kuelewa sana na ndo maana wakata kukumaliza maana watu kama nyinyi hamutakiwi muwepo hapa nchini kwa uwelewa wenu
WENYE MOYO TU TUTAPAMBANA KUIOKOA NCHI YETU. OLE WENU MABINAFSI NAOITAFUNA TUNAJUA HAMTAMALIA. ILA OLE WENU.
Huyo ndie tundu lissu
My presedent is tundu
Tz inalia😭😭Jembe hili. Hivi nani alimpiga risasi? Tz inalia😭😭
MAGUFULI MPENDWA WENU
Sijawai kutana na mtu kama huyu hapa , hii si akili ya kawaida kabsa
mwanasheria mkuu wa serikal ya lowassa huyoo go lissu we kichwa
Jamaa anatetea haki...
Tundu hakuanza jana kusema ukweli. Ni tokea utotoni amekuwa akisimamia haki
nice, u are strong lissu
Sheby Boy
2020 president
....kichwa kimoja Sawa na wapiga makofi 200
Super view
Yohama
utazid kua juuuuuu
Tundu lisu upo juu sana baba bgup
UKO FITI NI MBUNGE MAKINI...
Utabaki kuwa juu
BABA LAOO
WABUNGE NIWAFANYAKAZI WAWANA NNCHI
Mmhu huyu jamaa ni mwl?
Tundu lissu NI mtu muhimu na anafaa kuwa kiongozi mkubwa wa Tanzania ,Bunge LOTE linamshangilia
Ckweli eti maamuzi ya wengi ama kelele za wengi ni sauti ya Mungu hapana Mungu yupamoja na mwenye haki wake hata kama ni mmoja...
naitaka yote hio..nitaipataje
I like this Guy!
M4,C
Jumbe hakuhoji juu ya muungano alitaka kufanya mapinduzi ya kuuvunja muungano kwa kumwaga damu za watanganyika waliokuwa wakiishi Zanzibar.
ACHA UONGO WE KICHWA MAJI
mwaga vitu tundu
Wewe bado Ni mkweri tu tuko pamoja sana
duu
Dawa ya moto ni moto. Kaza buti kamanda.
jaman kama mtu unataka kuijua historia ya nchi hii, bas fuatilia hotuba za tundu lissu
Umeona ee
Tundu Lissu nakukubali sanaaaaa... Yani unamwaga points tu zenye facts na reference.. Huyo ndo Lissu mzee wa kutema cheche zenye data. Kazi Nzuri Mheshimiwa.
Collective Learnings
Jamaa huyu brain mingi sana! Big up
M4,C