HOTUBA YA RAIS KIKWETE BUNGE LA KATIBA MARCH 21 2014 BUNGENI DODOMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 05. 2014

Komentáře • 20

  • @boniphacekitege6370
    @boniphacekitege6370 Před 3 lety +6

    Huyu jamaa naanza kuona umuhimu wake.kumbe sikujua tu.big up kikwete

  • @paideacram
    @paideacram Před 4 lety +5

    Alikua baba kweli hutuba zake nzuri sana

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 Před 4 lety +5

    Duuuh hakika alikuwa kiongozi mwenye kila sifa za kuwa kiongozi mh Kikwete!!

  • @cheupemwanga3326
    @cheupemwanga3326 Před 4 lety +3

    This is a leader not a ruler

  • @wastaramanyimanyi9888
    @wastaramanyimanyi9888 Před rokem +1

    Mungu akubaliki 🙏 na iwe hivyoo

  • @singamnunga8465
    @singamnunga8465 Před 4 lety +4

    Safi

  • @roseanajophrey886
    @roseanajophrey886 Před 3 lety +1

    Mungu akubalik sana mkwere

  • @anjikimwaga6892
    @anjikimwaga6892 Před 3 lety +2

    Dah
    Katiba hii ndo inatakiwa iwe maana ni ya wananchi wenyewe

  • @eliaskihara8915
    @eliaskihara8915 Před 6 lety +4

    nic speech

  • @hbalaka
    @hbalaka Před 10 lety +5

    Nitashukuru sana siyo mimi peke yangu, bali ninaamini na Watzania wengine kama utatuwekea na sehemu nyingine ya Hotuba ya Rais ili kukamilisha hotuba yote.
    Tanzania Kwanza, Vyama baadaye

  • @benedictnziku127
    @benedictnziku127 Před rokem +1

    Huyo ndie jakaya mrisho kikwete rais mstaafu wa jamhuri yamuungano wa tanzania kiongozi sahihi namakini kwataifa letu

  • @benedictnziku127
    @benedictnziku127 Před rokem +1

    Huyo ndie docter jakaya mrisho kikwete mtu makini nasahihi kwataifa letu

  • @roseanajophrey886
    @roseanajophrey886 Před 3 lety +1

    Mkwere una akili sana ww bas tuu

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila8727 Před 3 lety +2

    Unaongea vizuri lakini rasimu zote zilipita kwako zikiwa na mapungufu hayo ulichukua hatua gani kushauri tume irekebishe hayo kabla ya wewe kusaini kama kutoa kibali cha hatua nyingine iendelee? Huo ni usanii, hukupaswa kusaini bila kuridhika na vifungu vya rasimu hiyo.
    Kwa sababu rasimu ilipita kwa wananchi kazi ya bunge la katiba ilikuwa ni ndogo maana walikuwa wanaangalia kitu ambacho wamekwisha kukitolea maoni kama wananchi; kazi yao ilikuwa kama proof reading tu na si vinginevyo.
    Kama rasi ya kwanza na ya pili ilikuwa na serikali tatu na rais kasaini; bunge la katika halikuwa na haki ya kubadili kifungu hicho. Maana wote walilidhika katika hatua zote mbili. Rasimu ya katiba kwa bunge la katiba kazi yao kubwa ilikuwa ni kuproof read na kuipitisha tu na si vinginevyo.

  • @allykajendaje7174
    @allykajendaje7174 Před 2 lety

    Ndy

  • @lgf7297
    @lgf7297 Před 3 lety

    Huyu Baba aliokoa Nji hii sawa kabisa na Nyerere alivyotuokoa kwa Nduli Eed Alamin, au Karume alivyotugomboa kwenye utumwa wa Waarabu. Wasaliti wetu walikuwa wamejipanga vilivyo. Sasa wanataka tuanze tena, sijui wamekubali Serkali 2?

    • @yusufhemedyusuf3021
      @yusufhemedyusuf3021 Před 2 lety

      LGF acha ujinga.
      Nyerere hakutuokoa kutoka kwa Eid Amin, kwani Amin alikuwa na malosa gani?
      Jiongeze ktk histori sio unakurupuka tu, Amin alikwa kiongozi mzuri sana kuliko hata huyo Nyerere waulize waganda wenyewe.
      Zile ni njama tu za wazungu kwa kumtumia Nyerere.
      Pia kule Zanzibar Karume hajaikomboa Zanzibar kutoka kwa waarabu, bali ni njama za Nyerere kufanya mapinduzi kwa serikali ya Zanzibar ambayo tayari ilishapata uhuru wake kutoka kwa Oman na British mwaka 1963 tarehe 10 Desember chini ya waziri mkuu wa kwanza mzalendo MOHAMED SHAMTE.
      Usiropoke na usichokijua.
      Karume na Nyerere ni watu wabaya kwetu.

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 2 měsíci

    Mnafiki mkubwa huyu