HOTUBA YA RAIS KIKWETE BUNGE LA KATIBA MARCH 21 2014 BUNGENI DOD
Vložit
- čas přidán 20. 03. 2014
- KUMRADHI: Utanisamehe sikuwahi Kuipata kuanzia Mwanzo. Hii ni Hotuba Ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Akihutubia Bunge Maalum la Katika Mjini Dodoma leo March 21 2014!!
- Zábava
Masterpiece
Tanzania yetu ni Muungano wetu, Umoja wetu ni Muungano wetu. vyovyote itakavyokuwa, katiba itupe muelekeo wa kuwa kitu kimoja, Taifa moja
The great man!!!!
Big up Mr president
Best speech
good speech muheshimiwa Rais wewe peke yako ndio uliwafanyia wanachi wako jambo la kheri katika yao ya baadae! naamini watakukumbuka siku moja kwa maneno yako mazuri.
REAL SPEECH
nimeielewa hotuba
znz kwanza
poapoa
MANENO YA MH: RAIS NI MWANGA, WABUNGE WA KATIBA MSIYABEZE NA KUYAZARAU
Kwakweli mheshimiwa raisi ametimiza wajibu wake kama kiongozi kuweka mambo bayana na wananchi kuelewa uzuri na ubaya wa baadhi ya mambo katika maamuzi kwani isingekuwa kuwa sawia baadae nchi kwenda kombo na wananchi tukajutua na kulaani zoezi zima la katiba mpya. Wajumbe wa katiba naomba tuelewe haya siyo mambo ya ushindani au kukomoana kwani sote tupo chomboni kikizama hakuna fundi wa kuogelea bahari kuu. Mwenyezi ibariki Tanzania.
Kabisa...yaani tunahitajika kutulia na kufikiri kwa makini ili kutoa uamuzi makini kwa hatima nzuri ya nchi ye2 ya Tanzania..Mungu bariki bunge la katiba..Mungu ubariki Tanzania
Wajumbe wa katiba mpya ingekuwa haki kwetu kwa fulsa waliyoipata kwa niaba yetu wakajadili mambo muhimu kwa wananchi kuhusiana na kukuza uchumi wa nchi na kuhusisha na uchumi wa watanzania.
Wangejadili jinsi katiba mpya itakavyo imalisha na kubolesha huduma ya afya, maji, ajira na elimu.Pia kujadili kazi za uzalishaji na rasilimali kama kilimo , masoko ya bidhaa, ufugaji , viwanda, madini, mafuta, gesi, utalii na miundo mbinu kama barabara , umeme .
Wanavyotumia muda na mali za watanzania vibaya kujadili mambo ya kiutawala zaidi kwa manufaa yao hiyo sisawa na haikubaliki na hii ni kufanyadhuruma kwa wananchi. Tunawasihii wakirudi 05 august 2014 wanzingatie na kutekeleza mambo ambayo wananchi tunahitaji kwa mustakabali wa nchi yetu na maisha ya watanzania katika kuleta maendeleo kwa mageuzi ya kiuchumi na kwa amani na usalama. Mungu ibariki Tanzania.
Nikweli kabisa ni muda muafaka wajumbe wote wa bunge la katiba wanahitajika kufikiri kwa makini na kuacha ushabiki wa kisiasa kwa ajili ya hatima nzuri ya Nchi yetu.Mungu bariki Tanzania..Mungu bariki bunge la katiba
Kindy.....wewe ni MBUMBUMBU WA KARNE YA 25!!!! Hilo halikubaliki!!!
mr president umekuwa dictator 21 century na hio haikubaliki time will tell
Tanganyika itakuja ni swala la muda tu. nabaada ya hapo ndio tutajua nani anafaidika na muungano. chako chetu changu chakwangu ni usanii
kweli mi ckukubaliana nae kuhusu aliposema kuwa mzee warioba na tume yake haikutoa ukweli kuhusu maoni ya wananchi hasa muundo wa serikari 2 ukweli alitetea ilani za ccm!!!!!!!!!!!!!
Big up Mr president
Big up Mr president
Big up Mr president
Big up Mr president