🔴
Vložit
- čas přidán 7. 12. 2022
- 🔴#Live: HOTUBA NZITO ya MSTAAFU KIKWETE MBELE ya RAIS SAMIA - ''NI UPUUZI, USISIKILIZE MANENO''...
Rais Dkt Samia ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM ameshiriki mkutano mkuu wa kumi wa chama hicho ambapo leo 8 dec 2022 ni siku ya pili ya mkutano huo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kimeumana naona sula ya ndugai na bashiru tu
Lazima awasikilize wananchi maoni Yao watu tumechoka
Ajira ,Maji tupo mwanza ziwa hapo Maji hakuna huduma Kwa watumishi kila mmoja anatenda atakavyo.arafu mpite 2025 haiwezekani
Unadhani hapobyete angesema maneno gani zaidi ya hayo lazima apambe
😁😁😁Mwanaharaka huru Huyo ni Cyprian Musiba
Musiba aliwakera wengi
Mutauwana amni sasa munatukanana et tuache upuuz daah munaelekea kufa mumesha feli amni daah poleni zulma zimesha pitlza daaah
☹️
Kweli rais kikwete samia kawekwa kama picha
Hotuba zuri huyu ni wamaana sana katika taifa la tanzania
Mapichapicha TZ
Kikweete safii
Yeye nA mkapa wameifilisi nch
Wekeni ada ya fomu 100 milioni, wanachama wengi wachukue fomu za Urais, kamati ya kuchuja majina aweponDr Shain, M.Pinda, Nape na Kinana alafu jina lipite moja tu tenà kwa maelekezo maalum ya Wazee , ada zote zichangie Chama. Next time uone kama Kuna mtu atajitokeza kuleta udwanzi, Democracy is there to preserve and not to exercise, hakuna muda wa kupigizana kelele na watu wazima
MADHALIMU wakubwa kazi zenu kupindua matokeo ya UCHAGUZI.
mheshimiwa rais mstaafu sisi wafanyakazi sekta binafisi tunanyimwa mikopo hatakama tunavitambulisho vya nida tusaidieni msitutenge asante
Yaan wewe ndo umefanya huyo Bibi achukiwe kuliko viongoz wooote tz
Damu kidogo wakati wa vita, yaani UCHAGUZI ni vita.
Mzee wangu mihuwa nakuerewa sana
Huyu mzee kama bado rais fulani hivi
Yeye ni raisi mstahafu lakini tambua kwamba he has got a very unique attractive and charismatic leadership personality plus sweet tongue with great ability in public speaking skills and eloquence (ufasaha).....
yeah na ndio maana unamuona yuko hivyo na ataendelea kuwa na commanding and authoritative personality mpaka atakapokufa just as Nyerere was....
GENGE LA MAFISADI
MAJI MIAKA 61 HATUNA
UMEME HATUNA
HOSPITALI 0
ACHENI UFUJAJI WA FEDHA ZA UMMA.
JENGENI NCHI. ACHENI KUJILIMBIKIZIA MALI ZA WATANZANIA NA WIZI
PUMZIKA MAHALI PEMA
JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
CCM ni chama kikubwa maarifa mengi .
CCM oyeeeee
Hskosi dola biioni tatu huyo muuaji
hahahaha Musiba amekomeshwa
How bhhhh j hi uuh be
mzee anaongea na ana kipaji haswa cha kuzungumza
Mzee wa maneno vitendo #0
Mzee wa kubeba kundi la mafusadi lisonge mbele wakati wananchi wanaumia safari zao za nje ndio kiongozi kutumia kodi za wananchi kwenye mahoteli ya kifahari na kusaini mikataba ya kijinga na wachina kuhusu bandari ya bagamoyo