Video není dostupné.
OmlouvĂĄme se.

🔮

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 11. 11. 2020
  • 🔮#LIVE: HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA RASMI BUNGE LA 12 JIJINI DODOMA...
    Rais Dkt John Pombe Magufuli, leo Novemba 13, amelihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kulifungua rasmi Bunge la 12...
    ⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫ OUR PLAYLISTS:
    ⚫ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáƙe • 180

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 Pƙed 3 lety +19

    Mungu WAMBINGUNI akulinde raisi wetu

  • @johnnjoroge7985
    @johnnjoroge7985 Pƙed 3 lety +14

    All African leaders should take a leaf 🌿 out of his book 📚 He is a blessing to the continent 👏👏👏

  • @soleotanzania2015
    @soleotanzania2015 Pƙed 3 lety +17

    Naiona Tanzania mpya kwa kasi ya ajabu. Aksante Mungu kwa zawadi ya Raisi huyu wa kipekee. JPM hoyeee.

  • @jordanmilio8101
    @jordanmilio8101 Pƙed 3 lety +21

    Hotuba nzur Sana na nimeipenda. Kiukwel Kwan inanifundisha Mambo mengine. Muhimu ata Mimi Kuna siku ntakuwa kiongoz mkubwa wa wananch asant Sana. Magu

  • @jofreysinchenje1995
    @jofreysinchenje1995 Pƙed 3 lety +10

    GREAT SPEECH AND FANTASTIC mr.president

  • @nasibumsuya8962
    @nasibumsuya8962 Pƙed 3 lety +15

    Hongera sana mh rais kwa hotuba nzuri

  • @ndikumanakilalika94
    @ndikumanakilalika94 Pƙed 3 lety +12

    Mungu akutangulie raise wetu uendelee kuona mbele Zaid kwa maendeleo ya nchi yetu

  • @mosescharles8215
    @mosescharles8215 Pƙed 3 lety +8

    God bless Tanzania&Africa all the time, bless also tz national assembly. Tz head of the state and all our leaders best wishes I wish!.

  • @abilityemmanuel5704
    @abilityemmanuel5704 Pƙed 3 lety +5

    Hongera sana Raisi wetu mteule Dr Magufuli. Tutakuombea na upige kazi na Mungu ataendelea kuwa pamoja nawe na viongozi wengine.

  • @danielikwabe3376
    @danielikwabe3376 Pƙed 3 lety +4

    Huyu ndiye kiongozi tulie kuwa tunamtafuta alie na maono na Tanzania kwanza Mungu mubariki raisi wetu magufuli amina.

  • @otinachaula3162
    @otinachaula3162 Pƙed 3 lety +10

    Uko vizuri baba yetu.

  • @evakaijage4823
    @evakaijage4823 Pƙed 3 lety +4

    Mungu akupe Maisha marefu Mkuu kazi ni kubwa uloifanya kipindi Cha miaka 5 hongera Sana Mkuu. If Possible naomba nikumbuke kwenye ufalme wako

  • @anselmitambo1906
    @anselmitambo1906 Pƙed 3 lety +15

    Matunda manzur ya CCM

  • @isaafaridy4404
    @isaafaridy4404 Pƙed 3 lety +8

    Axante mzee umeongea vitu vzr

  • @seremanimzee2718
    @seremanimzee2718 Pƙed 3 lety +4

    Asnte Mungu wetu kwa zawadi nzuri ya Rais Muzalendo was kweli.

  • @eduardomiheso8888
    @eduardomiheso8888 Pƙed 3 lety +22

    Hongera mh.. RAIS kwa kuongea mambo mengi bila kusoma Mungu akupee afya njema

  • @goldsymba2633
    @goldsymba2633 Pƙed 3 lety +2

    Mungu ailinde Tanzania Zanzibar na Magufuli wetu đŸ™đŸŸâ€ kazi kazi

  • @bensonmlay8924
    @bensonmlay8924 Pƙed 3 lety +5

    Best speech Sir and our president
    Naomba serikali yako iweke mifumo ya kilimo Cha umwagiliaji (irrigation scheme) kweny mikoa yenye maji ya kutosha ikiwezekana hata kwa maji ya kuchimba chini hii itatufikia as wananch wa chini kabisa

  • @Chiombola85
    @Chiombola85 Pƙed 3 lety +22

    Dah aiseeee huyu ni BONGE MMOJA LA JEMBE, MUNGU AKUPE NGUVU!

  • @husenimsumba8391
    @husenimsumba8391 Pƙed 3 lety +3

    INALILAH WAINAILAH RAJGHUN,

  • @joycepumbatupikajoka3388
    @joycepumbatupikajoka3388 Pƙed 3 lety +10

    Piga Kazi mkuu, ww ni kiongozi tunakuelewa

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 Pƙed 3 lety +4

    R. I. P JPM 😭😭😭😭

  • @gigabitcom12
    @gigabitcom12 Pƙed 3 lety +3

    30:35 is the climax of the speech. God bless TZ

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Pƙed 3 lety +4

    Huyu Rais!!!... kaongea yote haya bila kusoma ktk Kitabu"

  • @gemmatours8283
    @gemmatours8283 Pƙed 3 lety +8

    Tanzania imepata Rais, naunga hoja ya kumuongezea huyu ndugu muda ili tutokane na umasikini.

  • @hamisjohn1135
    @hamisjohn1135 Pƙed 3 lety +13

    Kiongozi makin sijawahi ona

  • @daudcharles8732
    @daudcharles8732 Pƙed 3 lety +9

    Mheshimiwa Rais Mimi nafurahi sana kumleta waziri mkuu Mahali.Mipango pia naomba usihau kutuletea waziri wa afya Ummy mwalimu bila kumsahau waziri wa Tamisemi Tawala za mikia Jasho na wengine ambao walikuwa wanafanya kazi hasa kwa kuja huku chini kuwasiliza wananchi hasa wa chini utakonga miyoyo yetu.

  • @meshackmagoko
    @meshackmagoko Pƙed 3 lety +8

    JPM ni motooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @benjaminmussa6227
    @benjaminmussa6227 Pƙed 3 lety +7

    Mh.magufuri wewe
    Ni kio kwa Africa nzimaaa.

  • @kuyonza94
    @kuyonza94 Pƙed 3 lety +5

    Twende kazi babaaa

  • @mlolaboy94
    @mlolaboy94 Pƙed 3 lety +2

    Hogera raise wetu kwa kazi nzuri

  • @bakarimnundulu5035
    @bakarimnundulu5035 Pƙed 3 lety +4

    Ajira 🙏🙏

  • @peterluchagula8809
    @peterluchagula8809 Pƙed 3 lety +4

    huyu ndye raisi mwenye maono mazuri na kiongozi boraa Africa na Dunia

  • @mamatwins8747
    @mamatwins8747 Pƙed 3 lety +5

    Tanzania ya sasa ya JPM

  • @quiginjohn1798
    @quiginjohn1798 Pƙed 3 lety +1

    Mungu akulinde uwe na afya Bora daima

  • @shabanimbilu9079
    @shabanimbilu9079 Pƙed 3 lety +9

    Mmmh kama naiona tanzania ya kesho 😆😆😆😆

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 Pƙed 3 lety +1

    Mungu ibariki Tanzania,,,,, Mungu mbariki Raisi wetu Jpm

  • @adamakyoo61
    @adamakyoo61 Pƙed 3 lety +2

    Still i remember you

  • @natashasergo119
    @natashasergo119 Pƙed 3 lety +1

    Mungu akubariki na akulinde na akupe afya njema

  • @mohamedmasruri271
    @mohamedmasruri271 Pƙed 3 lety +2

    Habari za burundi

  • @paulmollel6434
    @paulmollel6434 Pƙed 3 lety +2

    Very good baba

  • @eliusmwita3170
    @eliusmwita3170 Pƙed 3 lety +2

    Inaweza kuwa hotuba bora Tanzania

  • @silvamsophe4392
    @silvamsophe4392 Pƙed 3 lety +3

    Safi baba yetu tunakupenda sana

  • @gesicagesica8107
    @gesicagesica8107 Pƙed 3 lety +1

    super

  • @barakajohnson2764
    @barakajohnson2764 Pƙed 3 lety +2

    Mungu akulinde raisi wetu mwaaaaa

  • @evakaijage4823
    @evakaijage4823 Pƙed 3 lety +1

    Hongera Sana Mkuu

  • @Marejeos
    @Marejeos Pƙed 2 lety

    We need the president the one going to define your speech and live this vision that will be the time for Tanzania to look into your heart, we have Samia Suluhu Hassan but fail to wear the shoes of this Man hence we need the one. God bless the coming one may be Kassimu Majariwa, Philip Mpango, Hamphre Polepole, Lukuvi or Kabudi whatever we need the one who will define the need of Tanzania and clean a way our tears, no only that but also who will conquer our heart's Help us God.

  • @mamatwins8747
    @mamatwins8747 Pƙed 3 lety +4

    Wanawake oyeeeee

  • @miyautamiyauta793
    @miyautamiyauta793 Pƙed 3 lety +5

    DHAMIRA YAKE NI NJEMA NDIO MAANA ANATOA HOTUBA BILA KUSOMA

    • @saimonlutengano2569
      @saimonlutengano2569 Pƙed 3 lety

      Ana uchungu na nchi huyu rais mpaka basi

    • @ericklaura7511
      @ericklaura7511 Pƙed 3 lety

      Alikuwa anasoma kuna kifaa maalum hata Samia alikuwa ablnatumia hivi juzi

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 Pƙed 3 lety +2

    Ni faraja na furaha kwetu. Our very humble President.

  • @abduljjr7539
    @abduljjr7539 Pƙed 3 lety

    Mungu akupe maisha marefu rais wetu kiongoz wetu tunakukubal sana baba

  • @fredfrank1861
    @fredfrank1861 Pƙed 3 lety +2

    Mh: umeme huku kwetu changamoto viongoz unao waagiza hawatekelez agizo lako tunapigwa saundi tu

  • @husseinnyagongo6679
    @husseinnyagongo6679 Pƙed 3 lety +1

    Baba Magufuli tunakuomba uongoze nchi miaka yako yote ya maisha yako...... Mungu Akuongoze mzee wetu.... tunakupenda saaaana

  • @jampyonmbugi3449
    @jampyonmbugi3449 Pƙed 3 lety +5

    MFUMO WA KIDIGITALI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI
    Wizara yenye dhamana na mawasiliano ni Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano). Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Sekta ya Mawasiliano ina jukumu la kuhakikisha kuwa kunakuwepo na huduma za mawasiliano bora na gharama nafuu zenye kunufaisha wananchi wote. Mawasiliano yanajumuisha mawasiliano ya Simu, TEHAMA, Posta na Utangazaji.
    Ili kufanikisha kufanyika kwa mawasiliano ya Posta, Anwani ni kitu cha msingi sana katika kuharakisha na kurahisisha utoaji wa huduma bora za posta sambamba na ufikishaji wa bidhaa nyumbani, ofisini ama mahali pa biashara. Anwani inawezesha/inarahisisha utambuzi wa mtu/mwananchi mahali alipo. Anwani inaweza kuwa ya Sanduku la Posta (S. L. P.), Anwani ya Makazi, Anwani ya kijiografia n.k. Anwani ya Makazi imeonekana kuwa na tija kuliko Anwani zingine.
    Serikali kupitia Wizara inatekeleza Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi nchini. Chimbuko la Mfumo ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya mwaka 2003 inayoelekeza kuwepo kwa Anwani za kitaifa zitakazorahisisha utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii pamoja na ufikishaji wa barua, nyaraka na vipeto majumbani na katika ofisi mbalimbali. Vilevile ni utekelezaji wa makubaliano ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) na Umoja wa Posta Duniani (UPU) ambapo Tanzania ni mwanachama. Makubaliano yanaelekeza kila nchi mwanachama kuwa na Mfumo utakaorahisisha na kuharakisha ufikishaji wa bidhaa au huduma hadi mwananchi alipo (nyumbani, ofisini au eneo la biashara) sambamba na kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao.
    Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi unatoa anwani ya makazi hivyo kurahisisha utoaji/ufikishaji wa huduma mahali alipo mwananchi (nyumbani, ofisini ama mahali pa biashara) ikiwa ni pamoja na kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao. Lengo la Serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na Anwani yake ya Makazi katika eneo lake la makazi, ofisi ama biashara.

    Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi ni wa kidigitali na unajumuisha jina la barabara/mtaa, namba ya nyumba, postikodi, ramani na taarifa za wakazi na makazi. Aidha, ili mfumo uwe na tija katika utoaji wa huduma unakuwa na mifumo midogo ambatishi hususan ya TEHAMA. Matumizi ya Mfumo huu yataleta tija kiuchumi na kijamii.
    TUUNGE JUHUDI ZA SERIKALI YETU YA TANZANIA KATIKA KUTEKELEZA MFUMO HUU WENYE TIJA KIUCHUMI NA KIJAMII
    0716 99 00 79

  • @godfreynoel7802
    @godfreynoel7802 Pƙed 3 lety +1

    NakuaminiđŸ’Ș

  • @paulinaemanueli6881
    @paulinaemanueli6881 Pƙed 3 měsĂ­ci

    ComradeđŸŽ‰đŸŽ‰đŸŽ‰â€â€â€

  • @salmaayub61
    @salmaayub61 Pƙed 3 lety +2

    EMUNGU NITAKUTOLEA SADAKA KILA SIKU SIFA NA UTUKUFU NITAKUPA WEWE KWA ZAWADI YA RAISI WETU KIPENZI DR .MAGUFULI NIZAWADI KUTOKA KWAKO ASANTE MUNGU.

  • @christinasiikon4708
    @christinasiikon4708 Pƙed 3 lety +4

    Ht sisi tunakuamini mh Rai
    Si

  • @chovanmwaipopo4167
    @chovanmwaipopo4167 Pƙed 3 lety +1

    Mungu atupe nn Tanzania....

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Pƙed 3 lety +8

    Rais bora afrika. Bingwa Wa kolona dunian

  • @samsonsunyai5810
    @samsonsunyai5810 Pƙed 3 lety +2

    Nakubaliii MZEE magufuli

  • @frankkashner
    @frankkashner Pƙed 3 lety +1

    Mh Rahisi Nitakushukuru sanaa ukimpumzisha mama ndalichako Yule mama anakurupuka sana na kwa Kauli zake ambazo bhado hajazifanyia uchunguzi mfano mpaka leo kuna vyuo havitoi Masomo ya jioni sababu yake Nawasilisha

    • @demankidu_0093
      @demankidu_0093 Pƙed 3 lety

      Sio utani,ndalichako anatuchanganya sana sector ya elimu

  • @busyforecasttv2109
    @busyforecasttv2109 Pƙed 3 lety +4

    Inatakiwa baada ya hii 5 tukupe tena wewe tu 10 ya shukrani ya wananchi kwa magu..

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 Pƙed rokem

    Yessssssssssssssssssssssss hapoooooooooo hapooooioooooooooooooooo oilssssssss

  • @mcclaudngeresa5697
    @mcclaudngeresa5697 Pƙed 3 lety

    Mh Rais Hutuba yako Nimeielewa' Uko vizuri'Natamani nami ningekusaidia kazi za kimkakati ulizopanga'uongozi Wako unanibariki Sana,2013 ukiwa mbunge na waziri,niliteta na mwanachama mwenzangu pale bungeni Dodoma nilitamka toka moyoni Kumwambia Rafiki yangu kuwa Magufuri anatosha kuwa Rais na kweli 2015 Mungu akaisikia Sala yangu,Nyeshewa Mvua ya Baraka yenye Neema

  • @patriciahernandezfernandez6778

    I like Tanzania

  • @hyoscbuscopen4986
    @hyoscbuscopen4986 Pƙed 3 lety +1

    Naitwa Haji Jecha Haji kutok Znz. Naunga mkono hutuba yako Dr JPM. Unajuwa kiu ya Watanzania. Mungu akupe nguvu ya ufatiliaji wa ahadi zako

  • @josephatmakaranga7043
    @josephatmakaranga7043 Pƙed 3 lety

    Hii ndiyo maana halisi ya kiongozi, material yanatoka kichwani walaji wanafuatilia kwenye kitabu, hii inathibisha kuwa anachokisema hajakaririshwa bali amekiandaa mwenyewe. Maisha marefu Rais wangu M/Mungu akutangulie.

  • @ibrahimmbena5792
    @ibrahimmbena5792 Pƙed 3 lety +5

    Hotuba nzuri km itaenda sawa na kusimamiwa kikamilifu italeta tija kwa taifa.

  • @jovinjulius9852
    @jovinjulius9852 Pƙed 3 lety +1

    Mheshimiwa anasoma wapi maana naona anaongea tu kweli huyu mwamba ni kichwa

  • @atanito1327
    @atanito1327 Pƙed 3 lety

    yes

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s Pƙed 8 měsĂ­ci

    Rip king magufuli

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 Pƙed rokem

    By badluck you died before fulfilling your dreams. Kazi ya mwenyezi Mungu haina makosa. Rest in peace Magufuli

  • @baruanibakari7410
    @baruanibakari7410 Pƙed 3 lety

    Hongera sana mh Rais

  • @an6808
    @an6808 Pƙed 3 lety +5

    Wachawi tumepewa fursa sasa, kuuza nyungo zetu

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 Pƙed 6 měsĂ­ci

    Maono yako jpm umeendanayo huku wasaidizi wako ulio waacha wamekusaliti kumbe ulikuwa peke yako kupambania mama tanzania mungu akuweke mahara pema peponi

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 Pƙed rokem

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen minofu ya samakiiiiiiiiiiiii poundfishessssssss Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen Pwani hingereni sanaaaaaa,Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @naftallngobey553
    @naftallngobey553 Pƙed 3 lety +1

    Hotuba Ya rais Kuhusu arusha

  • @georgebenard3923
    @georgebenard3923 Pƙed 3 lety +1

    Hakika wewe ni Rais wa Tanzania

  • @jacklinemwakalosi3743
    @jacklinemwakalosi3743 Pƙed 3 lety +4

    Umeongea vzr mzee ila ajira kwa vijan muhimu tunaangamia ety 😭😭😭tupo nyuma yako ww mbele yetu baba fanya hata walimu kutupa ajira zakutosha

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Pƙed 2 lety

    RIP MAGU

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 Pƙed 3 lety

    CCM mumeiba kura, mumepiga watu, mumeua watu, mumefunga watu kwenye uchaguzi huu lakini na nyie hii miaka 5 tutawachoma sana. Mwenye ulinzi aweke na muwalipe msipowalipa tutawatumia hao hao kuwachoma.

  • @graciousmgimba492
    @graciousmgimba492 Pƙed 3 lety +1

    Big up our president

  • @saimonlutengano2569
    @saimonlutengano2569 Pƙed 3 lety

    Hivi hao wanaoweka dislike hapo juu kwamba sio watanzania au siwaelewi kwan kuna jambo la kuwekwa dislike hapo

  • @kiswaumwita3525
    @kiswaumwita3525 Pƙed 3 lety

    Duh R.I.P MAGUFULI

  • @amosmichael3875
    @amosmichael3875 Pƙed 3 lety +1

    Mungu mkubwa kais jembe one day nikiwa kiongoz ntafata nyayo zako.

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 Pƙed 3 lety

    rip

  • @zulfabakari5555
    @zulfabakari5555 Pƙed 3 lety +1

    Magufuli mtu makini sana jamani

  • @jonasdeo455
    @jonasdeo455 Pƙed 3 lety +1

    plz ddy gv m sekiuliiti for hom sty stop for kdoooooo sleppy

  • @singoboy2342
    @singoboy2342 Pƙed 3 lety

    Rais wetu kwanza anajikubali mwenyew hilo nijambo bola san

  • @rehemamustafa8134
    @rehemamustafa8134 Pƙed 3 lety

    Tupo pamoja

  • @barakamussa2019
    @barakamussa2019 Pƙed 3 lety

    Laisi
    Sweet. Sumu

  • @mandagotv6137
    @mandagotv6137 Pƙed 3 lety +1

    Mandago

  • @sahachi397
    @sahachi397 Pƙed 3 lety +3

    Mnisaidie,,, hivi anasoma huyu mzee au ameweka kichwani?

  • @calvinkavishe1839
    @calvinkavishe1839 Pƙed 2 lety

    Jembe

  • @DamkaRumimi
    @DamkaRumimi Pƙed 4 měsĂ­ci

    Hakika umetuacha kama masihara pumzika kwa amani shujaa wetu

  • @rahmamohamed7730
    @rahmamohamed7730 Pƙed 3 lety

    Nani karudi Leo baada ya Samia kuhutubia bunge rip JPM

  • @samwelmakuni8079
    @samwelmakuni8079 Pƙed 3 lety +2

    Father

  • @shanystephan8584
    @shanystephan8584 Pƙed 3 lety

    Nimekumc jpm
    Tuonane bandarin kule😭😭

  • @DamkaLumimi
    @DamkaLumimi Pƙed 3 měsĂ­ci

    Daima tutakukumbuka