Video nenà dostupné.
OmlouvĂĄme se.
đŽ
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 11. 11. 2020
- đŽ#LIVE: HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA RASMI BUNGE LA 12 JIJINI DODOMA...
Rais Dkt John Pombe Magufuli, leo Novemba 13, amelihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na kulifungua rasmi Bunge la 12...
â«ïž Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
â«ïž ANDROID:bit.ly/38Lluc8
â«ïž iOS:apple.co/38HjiCx
â«ïž VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
â«ïž JE, NA WEWE UNA HABARI?
â«ïž WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
â«ïž Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
â«ïž OUR PLAYLISTS:
â«ïž HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
â«ïž HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
â«ïž GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
â«ïž EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
â«ïž Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mungu WAMBINGUNI akulinde raisi wetu
All African leaders should take a leaf đż out of his book đ He is a blessing to the continent đđđ
Naiona Tanzania mpya kwa kasi ya ajabu. Aksante Mungu kwa zawadi ya Raisi huyu wa kipekee. JPM hoyeee.
Hotuba nzur Sana na nimeipenda. Kiukwel Kwan inanifundisha Mambo mengine. Muhimu ata Mimi Kuna siku ntakuwa kiongoz mkubwa wa wananch asant Sana. Magu
Ntaliombea Hilo mapenzi ya mungu yatimizwe
GREAT SPEECH AND FANTASTIC mr.president
Hongera sana mh rais kwa hotuba nzuri
Mungu akutangulie raise wetu uendelee kuona mbele Zaid kwa maendeleo ya nchi yetu
God bless Tanzania&Africa all the time, bless also tz national assembly. Tz head of the state and all our leaders best wishes I wish!.
Hongera sana Raisi wetu mteule Dr Magufuli. Tutakuombea na upige kazi na Mungu ataendelea kuwa pamoja nawe na viongozi wengine.
Huyu ndiye kiongozi tulie kuwa tunamtafuta alie na maono na Tanzania kwanza Mungu mubariki raisi wetu magufuli amina.
Uko vizuri baba yetu.
Mungu akupe Maisha marefu Mkuu kazi ni kubwa uloifanya kipindi Cha miaka 5 hongera Sana Mkuu. If Possible naomba nikumbuke kwenye ufalme wako
Mungu akubariki Sana mh.
Matunda manzur ya CCM
Axante mzee umeongea vitu vzr
Asnte Mungu wetu kwa zawadi nzuri ya Rais Muzalendo was kweli.
Hongera mh.. RAIS kwa kuongea mambo mengi bila kusoma Mungu akupee afya njema
Mungu ailinde Tanzania Zanzibar na Magufuli wetu đđŸâ€ kazi kazi
Best speech Sir and our president
Naomba serikali yako iweke mifumo ya kilimo Cha umwagiliaji (irrigation scheme) kweny mikoa yenye maji ya kutosha ikiwezekana hata kwa maji ya kuchimba chini hii itatufikia as wananch wa chini kabisa
11d
Magufuri ni mfano tosha
Dah aiseeee huyu ni BONGE MMOJA LA JEMBE, MUNGU AKUPE NGUVU!
Rais jpm yuko vizuri
INALILAH WAINAILAH RAJGHUN,
Piga Kazi mkuu, ww ni kiongozi tunakuelewa
R. I. P JPM đđđđ
30:35 is the climax of the speech. God bless TZ
Huyu Rais!!!... kaongea yote haya bila kusoma ktk Kitabu"
Tanzania imepata Rais, naunga hoja ya kumuongezea huyu ndugu muda ili tutokane na umasikini.
Kweli kabisa huyu rais aongezewe mda
Kiongozi makin sijawahi ona
Mheshimiwa Rais Mimi nafurahi sana kumleta waziri mkuu Mahali.Mipango pia naomba usihau kutuletea waziri wa afya Ummy mwalimu bila kumsahau waziri wa Tamisemi Tawala za mikia Jasho na wengine ambao walikuwa wanafanya kazi hasa kwa kuja huku chini kuwasiliza wananchi hasa wa chini utakonga miyoyo yetu.
JPM ni motooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Motooo huu mkali aiseee huyu rais n mbeba maono
Mh.magufuri wewe
Ni kio kwa Africa nzimaaa.
Twende kazi babaaa
Hogera raise wetu kwa kazi nzuri
Ajira đđ
huyu ndye raisi mwenye maono mazuri na kiongozi boraa Africa na Dunia
Tanzania ya sasa ya JPM
Mungu akulinde uwe na afya Bora daima
Mmmh kama naiona tanzania ya kesho đđđđ
Yaani
Mungu ibariki Tanzania,,,,, Mungu mbariki Raisi wetu Jpm
Still i remember you
Mungu akubariki na akulinde na akupe afya njema
Habari za burundi
Very good baba
Inaweza kuwa hotuba bora Tanzania
Safi baba yetu tunakupenda sana
super
Mungu akulinde raisi wetu mwaaaaa
Hongera Sana Mkuu
We need the president the one going to define your speech and live this vision that will be the time for Tanzania to look into your heart, we have Samia Suluhu Hassan but fail to wear the shoes of this Man hence we need the one. God bless the coming one may be Kassimu Majariwa, Philip Mpango, Hamphre Polepole, Lukuvi or Kabudi whatever we need the one who will define the need of Tanzania and clean a way our tears, no only that but also who will conquer our heart's Help us God.
Wanawake oyeeeee
DHAMIRA YAKE NI NJEMA NDIO MAANA ANATOA HOTUBA BILA KUSOMA
Ana uchungu na nchi huyu rais mpaka basi
Alikuwa anasoma kuna kifaa maalum hata Samia alikuwa ablnatumia hivi juzi
Ni faraja na furaha kwetu. Our very humble President.
Mungu akupe maisha marefu rais wetu kiongoz wetu tunakukubal sana baba
Mh: umeme huku kwetu changamoto viongoz unao waagiza hawatekelez agizo lako tunapigwa saundi tu
Baba Magufuli tunakuomba uongoze nchi miaka yako yote ya maisha yako...... Mungu Akuongoze mzee wetu.... tunakupenda saaaana
MFUMO WA KIDIGITALI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI
Wizara yenye dhamana na mawasiliano ni Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano). Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Sekta ya Mawasiliano ina jukumu la kuhakikisha kuwa kunakuwepo na huduma za mawasiliano bora na gharama nafuu zenye kunufaisha wananchi wote. Mawasiliano yanajumuisha mawasiliano ya Simu, TEHAMA, Posta na Utangazaji.
Ili kufanikisha kufanyika kwa mawasiliano ya Posta, Anwani ni kitu cha msingi sana katika kuharakisha na kurahisisha utoaji wa huduma bora za posta sambamba na ufikishaji wa bidhaa nyumbani, ofisini ama mahali pa biashara. Anwani inawezesha/inarahisisha utambuzi wa mtu/mwananchi mahali alipo. Anwani inaweza kuwa ya Sanduku la Posta (S. L. P.), Anwani ya Makazi, Anwani ya kijiografia n.k. Anwani ya Makazi imeonekana kuwa na tija kuliko Anwani zingine.
Serikali kupitia Wizara inatekeleza Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi nchini. Chimbuko la Mfumo ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya mwaka 2003 inayoelekeza kuwepo kwa Anwani za kitaifa zitakazorahisisha utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii pamoja na ufikishaji wa barua, nyaraka na vipeto majumbani na katika ofisi mbalimbali. Vilevile ni utekelezaji wa makubaliano ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) na Umoja wa Posta Duniani (UPU) ambapo Tanzania ni mwanachama. Makubaliano yanaelekeza kila nchi mwanachama kuwa na Mfumo utakaorahisisha na kuharakisha ufikishaji wa bidhaa au huduma hadi mwananchi alipo (nyumbani, ofisini au eneo la biashara) sambamba na kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao.
Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi unatoa anwani ya makazi hivyo kurahisisha utoaji/ufikishaji wa huduma mahali alipo mwananchi (nyumbani, ofisini ama mahali pa biashara) ikiwa ni pamoja na kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao. Lengo la Serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na Anwani yake ya Makazi katika eneo lake la makazi, ofisi ama biashara.
Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi ni wa kidigitali na unajumuisha jina la barabara/mtaa, namba ya nyumba, postikodi, ramani na taarifa za wakazi na makazi. Aidha, ili mfumo uwe na tija katika utoaji wa huduma unakuwa na mifumo midogo ambatishi hususan ya TEHAMA. Matumizi ya Mfumo huu yataleta tija kiuchumi na kijamii.
TUUNGE JUHUDI ZA SERIKALI YETU YA TANZANIA KATIKA KUTEKELEZA MFUMO HUU WENYE TIJA KIUCHUMI NA KIJAMII
0716 99 00 79
NakuaminiđȘ
Comradeđđđâ€â€â€
EMUNGU NITAKUTOLEA SADAKA KILA SIKU SIFA NA UTUKUFU NITAKUPA WEWE KWA ZAWADI YA RAISI WETU KIPENZI DR .MAGUFULI NIZAWADI KUTOKA KWAKO ASANTE MUNGU.
Ht sisi tunakuamini mh Rai
Si
Nimeunga mkono kwa asilimia mia moja
Mungu atupe nn Tanzania....
Rais bora afrika. Bingwa Wa kolona dunian
Kabisa
Sanaa
Nguzo imara ulituacha endelea kupumzika kwa amani shujaa wetu
Nakubaliii MZEE magufuli
Mh Rahisi Nitakushukuru sanaa ukimpumzisha mama ndalichako Yule mama anakurupuka sana na kwa Kauli zake ambazo bhado hajazifanyia uchunguzi mfano mpaka leo kuna vyuo havitoi Masomo ya jioni sababu yake Nawasilisha
Sio utani,ndalichako anatuchanganya sana sector ya elimu
Inatakiwa baada ya hii 5 tukupe tena wewe tu 10 ya shukrani ya wananchi kwa magu..
Ahsante mungu kwa kutupa raid huyu
Naam apewe
Wale Wa tigray Wa Ethiopia hawataki mana wataona kuwa wanaonewa
Yessssssssssssssssssssssss hapoooooooooo hapooooioooooooooooooooo oilssssssss
Mh Rais Hutuba yako Nimeielewa' Uko vizuri'Natamani nami ningekusaidia kazi za kimkakati ulizopanga'uongozi Wako unanibariki Sana,2013 ukiwa mbunge na waziri,niliteta na mwanachama mwenzangu pale bungeni Dodoma nilitamka toka moyoni Kumwambia Rafiki yangu kuwa Magufuri anatosha kuwa Rais na kweli 2015 Mungu akaisikia Sala yangu,Nyeshewa Mvua ya Baraka yenye Neema
I like Tanzania
Naitwa Haji Jecha Haji kutok Znz. Naunga mkono hutuba yako Dr JPM. Unajuwa kiu ya Watanzania. Mungu akupe nguvu ya ufatiliaji wa ahadi zako
Hii ndiyo maana halisi ya kiongozi, material yanatoka kichwani walaji wanafuatilia kwenye kitabu, hii inathibisha kuwa anachokisema hajakaririshwa bali amekiandaa mwenyewe. Maisha marefu Rais wangu M/Mungu akutangulie.
Hotuba nzuri km itaenda sawa na kusimamiwa kikamilifu italeta tija kwa taifa.
Mheshimiwa anasoma wapi maana naona anaongea tu kweli huyu mwamba ni kichwa
yes
Rip king magufuli
By badluck you died before fulfilling your dreams. Kazi ya mwenyezi Mungu haina makosa. Rest in peace Magufuli
Hongera sana mh Rais
Wachawi tumepewa fursa sasa, kuuza nyungo zetu
Maono yako jpm umeendanayo huku wasaidizi wako ulio waacha wamekusaliti kumbe ulikuwa peke yako kupambania mama tanzania mungu akuweke mahara pema peponi
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen minofu ya samakiiiiiiiiiiiii poundfishessssssss Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen Pwani hingereni sanaaaaaa,Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hotuba Ya rais Kuhusu arusha
Hakika wewe ni Rais wa Tanzania
Umeongea vzr mzee ila ajira kwa vijan muhimu tunaangamia ety đđđtupo nyuma yako ww mbele yetu baba fanya hata walimu kutupa ajira zakutosha
Subirini tujenge nchi kwanza
Kasema kuna ajira 8m kwa miaka ijayo
njooni mchimbe leseni zinafutwa wewe unalia Ajira
RIP MAGU
CCM mumeiba kura, mumepiga watu, mumeua watu, mumefunga watu kwenye uchaguzi huu lakini na nyie hii miaka 5 tutawachoma sana. Mwenye ulinzi aweke na muwalipe msipowalipa tutawatumia hao hao kuwachoma.
Big up our president
Hivi hao wanaoweka dislike hapo juu kwamba sio watanzania au siwaelewi kwan kuna jambo la kuwekwa dislike hapo
Duh R.I.P MAGUFULI
Mungu mkubwa kais jembe one day nikiwa kiongoz ntafata nyayo zako.
rip
Magufuli mtu makini sana jamani
plz ddy gv m sekiuliiti for hom sty stop for kdoooooo sleppy
Rais wetu kwanza anajikubali mwenyew hilo nijambo bola san
Tupo pamoja
Laisi
Sweet. Sumu
Mandago
Mnisaidie,,, hivi anasoma huyu mzee au ameweka kichwani?
Anatoa kichwani mkuu
Kichwan mkuu
Duh huyu jamaa nishida
Anasoma kwenye teleprompter
@@maxmax8273 no sio kweli anasoma agenda tu kuzichambua ni kichwan tu
Jembe
Hakika umetuacha kama masihara pumzika kwa amani shujaa wetu
Nani karudi Leo baada ya Samia kuhutubia bunge rip JPM
đą
Father
Nimekumc jpm
Tuonane bandarin kuleđđ
Daima tutakukumbuka