Nina swali kidogo, mbona hotuba zote za mheshimiwa Rais zinafanana, kila mahali anasema watumishi hewa, wanafunzi hewa, uchumi unakua kwa 7.2% /7.9% , tunajenga reli, tumenunua ndege, n.k na hakuna mtu anamweleza kuwa tayari wananchi wanajua tayari, washauri wake wana kazi gani? kila mahali anahutubia the same. hata alivyokua anapiga campaign, the same speech, mshaurini Rais, this is information age, so hakuna haja ya kurudia hotuba moja mwaka mzima.
Kihara Sadiki Nielewe tu kaka, mim wala sina shida na Rais, anafanya kazi nzuri sana, ila pale anapokosea lazima tuseme, so wew unaona ni sawa anavyorudia kitu ambacho alishakisema na watu wakaskia? haipendezi kila anapokua kwenye mkusanyiko wowote ule, hata alipokua kenya, anaongea the same speech, !
Baraka, watz hawakawii kuyasahau yaliyopita, hivyo ni lazima aendelee kuwakumbusha changamoto anazoendelea kuzitatua, na pia kuwakumbusha dira ya awamu yake ili hata mtoto mdogo ajue hivyo na wanaomsaidia waelewe na kutekeleza hivyo!
CCM oyeeee!
CCM Mbele kwa Mbele!!!!
nawatakia wapendwa woote christmas njemana heri ya mwaka mpya.nawapenda wote.
. .
ninoma
Apo mulipoondoka ndio mafisad yakaanza membe,kinana nawengine
kidumu chama cha mapinduzi..
Nina swali kidogo, mbona hotuba zote za mheshimiwa Rais zinafanana, kila mahali anasema watumishi hewa, wanafunzi hewa, uchumi unakua kwa 7.2% /7.9% , tunajenga reli, tumenunua ndege, n.k na hakuna mtu anamweleza kuwa tayari wananchi wanajua tayari, washauri wake wana kazi gani? kila mahali anahutubia the same. hata alivyokua anapiga campaign, the same speech, mshaurini Rais, this is information age, so hakuna haja ya kurudia hotuba moja mwaka mzima.
baraka mbise ,wekahutuba yakotuisikie,huendaikawayamana
Kihara Sadiki Nielewe tu kaka, mim wala sina shida na Rais, anafanya kazi nzuri sana, ila pale anapokosea lazima tuseme, so wew unaona ni sawa anavyorudia kitu ambacho alishakisema na watu wakaskia? haipendezi kila anapokua kwenye mkusanyiko wowote ule, hata alipokua kenya, anaongea the same speech, !
baraka mbise
sometime mnakosa maswali ya msingi ..weka hotuba yako tuisikie
Basi wew baki ulivyo tu sasa naona tunapishana maoni
Baraka, watz hawakawii kuyasahau yaliyopita, hivyo ni lazima aendelee kuwakumbusha changamoto anazoendelea kuzitatua, na pia kuwakumbusha dira ya awamu yake ili hata mtoto mdogo ajue hivyo na wanaomsaidia waelewe na kutekeleza hivyo!