KIPINDI HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT JOHN MAGUFULI 13 DEC 2016

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 12. 2016
  • KIPINDI HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT JOHN MAGUFULI 13 DEC 2016

Komentáře • 14

  • @johnmacha2194
    @johnmacha2194 Před 7 lety +2

    CCM oyeeee!

  • @seniorriganya590
    @seniorriganya590 Před 7 lety +3

    CCM Mbele kwa Mbele!!!!

  • @freadoctor4459
    @freadoctor4459 Před 7 lety +1

    nawatakia wapendwa woote christmas njemana heri ya mwaka mpya.nawapenda wote.

  • @mzeruhusseinabdallah1756
    @mzeruhusseinabdallah1756 Před 7 lety +1

    . .

  • @ashrafmberwa8740
    @ashrafmberwa8740 Před 6 lety

    ninoma

  • @SalmaSalma-nb2cv
    @SalmaSalma-nb2cv Před 3 lety

    Apo mulipoondoka ndio mafisad yakaanza membe,kinana nawengine

  • @maishatv7514
    @maishatv7514 Před 7 lety

    kidumu chama cha mapinduzi..

  • @barakambise9052
    @barakambise9052 Před 7 lety +2

    Nina swali kidogo, mbona hotuba zote za mheshimiwa Rais zinafanana, kila mahali anasema watumishi hewa, wanafunzi hewa, uchumi unakua kwa 7.2% /7.9% , tunajenga reli, tumenunua ndege, n.k na hakuna mtu anamweleza kuwa tayari wananchi wanajua tayari, washauri wake wana kazi gani? kila mahali anahutubia the same. hata alivyokua anapiga campaign, the same speech, mshaurini Rais, this is information age, so hakuna haja ya kurudia hotuba moja mwaka mzima.

    • @kiharasadiki7009
      @kiharasadiki7009 Před 7 lety

      baraka mbise ,wekahutuba yakotuisikie,huendaikawayamana

    • @barakambise9052
      @barakambise9052 Před 7 lety

      Kihara Sadiki Nielewe tu kaka, mim wala sina shida na Rais, anafanya kazi nzuri sana, ila pale anapokosea lazima tuseme, so wew unaona ni sawa anavyorudia kitu ambacho alishakisema na watu wakaskia? haipendezi kila anapokua kwenye mkusanyiko wowote ule, hata alipokua kenya, anaongea the same speech, !

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 Před 7 lety +1

      baraka mbise
      sometime mnakosa maswali ya msingi ..weka hotuba yako tuisikie

    • @barakambise9052
      @barakambise9052 Před 7 lety +1

      Basi wew baki ulivyo tu sasa naona tunapishana maoni

    • @dr.erickjmazyala8905
      @dr.erickjmazyala8905 Před 6 lety

      Baraka, watz hawakawii kuyasahau yaliyopita, hivyo ni lazima aendelee kuwakumbusha changamoto anazoendelea kuzitatua, na pia kuwakumbusha dira ya awamu yake ili hata mtoto mdogo ajue hivyo na wanaomsaidia waelewe na kutekeleza hivyo!