Vipaumbele 10 vya Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli ndani ya CCM
Vložit
- čas přidán 12. 12. 2016
- Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM imekutana leo Decmber 13 2016 jijini Dar es salaam kwa kikao cha siku moja cha kawaida. kikao hicho kimeongozwa na mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Dkt. John Magufuli. Rais Magufuli wakati akizungumza na wajumbe alitoa vipaumbele anavyotamani vifanyike ndani ya chama hicho.
Nimesikiliza vizur sana ii speech ya muheshimiwa..... Sasa Leo hii ndio nimeelewa vizur kwa nn akina kinana..makamba.....nape na wengineo... Wametokea kumchukia jpm... Maana kwenye io speech kingengele cha tisa.... Sio mchezo kabisa.....hongera muheshimiwa... Nice speech
CCM mbele kwa mbele 👌👌👌👌asante rais wa chama chetu Na nchi
mbele kwa mbele
SAFI SANA DR.JPM~RAIS WA WATU,PIGA KAZI
Domo nyumba yamaneno watu bongo wanakunya povu matumboni akuna kitu eeeeh mungu tusaidie
hongera muheshimiwa
Sawa Chama kimsimamie mtu kuliko mtu mmoja maarufu akisimamie chama " hii ilikuwa phenomenon CCM .
hongers
bigup magufuri nivizuri mkafanikisha hilo swala la kuboresha wana chama wa ngaz za chini nasio wa juu kama ulivyo sema naamini wanachama wengi wachini wata furahia sana kwa hili
Raphl mwehu soma vzr sio unakurupuka Zanzibar tumeikataa ccm sasa hiyo tasmini yao wanakuja kupoteza muda t
Tengeneza mazingira baba komesha kila kitu bana mpaka penati naamin tutakuwa na maendeleo
vitendo vianze maneno baadaye
vijana wengi wanakikimbia hichi chama sijui kwanini hasa huku zanzibar
vijana tulio wengi mtatusameh engezeni wazee sio sisi
Fgh Cgh jisemee wewe sio kwa wingi
😞😞Maneno mengi singolio hakuna.
Bulldozer of de Country Redundancy of Members is Inevitable piga kazi Pres.Dr.JPM
Nimefurahi kusikia maelekezo ya M/kiti kuwa sasa ccm ni mali ya wanachama badala ya chama kuwa ni mali ya mwanachama .CCM hoyeeeeerr