Vipaumbele 10 vya Mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli ndani ya CCM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 12. 2016
  • Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM imekutana leo Decmber 13 2016 jijini Dar es salaam kwa kikao cha siku moja cha kawaida. kikao hicho kimeongozwa na mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Dkt. John Magufuli. Rais Magufuli wakati akizungumza na wajumbe alitoa vipaumbele anavyotamani vifanyike ndani ya chama hicho.

Komentáře • 18

  • @neemalazalo8331
    @neemalazalo8331 Před 5 lety

    Nimesikiliza vizur sana ii speech ya muheshimiwa..... Sasa Leo hii ndio nimeelewa vizur kwa nn akina kinana..makamba.....nape na wengineo... Wametokea kumchukia jpm... Maana kwenye io speech kingengele cha tisa.... Sio mchezo kabisa.....hongera muheshimiwa... Nice speech

  • @nkaturamussa8537
    @nkaturamussa8537 Před 7 lety +1

    CCM mbele kwa mbele 👌👌👌👌asante rais wa chama chetu Na nchi

  • @ibrahimkbd3192
    @ibrahimkbd3192 Před 7 lety +2

    mbele kwa mbele

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Před 6 lety +1

    SAFI SANA DR.JPM~RAIS WA WATU,PIGA KAZI

  • @fafi9092
    @fafi9092 Před 7 lety +1

    Domo nyumba yamaneno watu bongo wanakunya povu matumboni akuna kitu eeeeh mungu tusaidie

  • @hassansamata9696
    @hassansamata9696 Před 6 lety

    hongera muheshimiwa

  • @elisantennko8222
    @elisantennko8222 Před 7 lety

    Sawa Chama kimsimamie mtu kuliko mtu mmoja maarufu akisimamie chama " hii ilikuwa phenomenon CCM .

  • @josephhunga7188
    @josephhunga7188 Před 7 lety

    hongers

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 7 lety

    bigup magufuri nivizuri mkafanikisha hilo swala la kuboresha wana chama wa ngaz za chini nasio wa juu kama ulivyo sema naamini wanachama wengi wachini wata furahia sana kwa hili

  • @fghcgh4994
    @fghcgh4994 Před 7 lety +1

    Raphl mwehu soma vzr sio unakurupuka Zanzibar tumeikataa ccm sasa hiyo tasmini yao wanakuja kupoteza muda t

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 Před 7 lety

    Tengeneza mazingira baba komesha kila kitu bana mpaka penati naamin tutakuwa na maendeleo

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 7 lety

    vitendo vianze maneno baadaye

  • @jumakhamisjuma8118
    @jumakhamisjuma8118 Před 6 lety

    vijana wengi wanakikimbia hichi chama sijui kwanini hasa huku zanzibar

  • @fghcgh4994
    @fghcgh4994 Před 7 lety +2

    vijana tulio wengi mtatusameh engezeni wazee sio sisi

  • @salimatuyahhaya5772
    @salimatuyahhaya5772 Před 7 lety

    😞😞Maneno mengi singolio hakuna.

    • @dadileonard2392
      @dadileonard2392 Před 6 lety

      Bulldozer of de Country Redundancy of Members is Inevitable piga kazi Pres.Dr.JPM

    • @anyitikisyemwansule867
      @anyitikisyemwansule867 Před 6 lety

      Nimefurahi kusikia maelekezo ya M/kiti kuwa sasa ccm ni mali ya wanachama badala ya chama kuwa ni mali ya mwanachama .CCM hoyeeeeerr