Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 02. 2016
  • Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

Komentáře • 21

  • @dct4lif
    @dct4lif Před 8 lety +1

    Kilio cha watanzania mungu kakisikia. We finally have a president who actually cares about the country and its people. God bless you Mr President we are ready to lay down our lives to protect you. Tanzanians have suffered enough

  • @kletusEdward
    @kletusEdward Před 8 lety +2

    Hongera sana mheshimiwa kwa hotuba nzuri na yenye changamoto nyingi za kiutendaji kwa maana chombo hicho ndicho kinacho onyesha dira ya nchi yetu.

  • @YUDATHADEYSHINE
    @YUDATHADEYSHINE Před 8 lety +2

    Hongera sana Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli

  • @yonathansimon7147
    @yonathansimon7147 Před 8 lety +1

    Tunakuombea kwa MWENYEZI MUNGU akupe afya njema na nguvu na katika kasi yako nzuri ya kutuletea maendeleo ya kweli utuvushe hadi nchi ya ahadi hongera sana baba kwa kuwa na moyo wa kizalendo na kwa utumishi uliotukuka hakika Mungu ametupa kiongozi mahiri wa Tanzania wote tuwekeni itikadi za vyama pembeni tumuunge mkono Rais wetu mpendwa.

  • @yonathansimon7147
    @yonathansimon7147 Před 8 lety +2

    pongezi za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa hotuba nzuri iliyosheheni hekima, busara pamoja dira kwa mahakama yaTanzania inavyotakiwa kwendana na kasi ya awamu ya tano.#HAPA KAZI TU!!

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Před 8 lety +1

    Hongera sana Mh.JPM Rais wetu mtukufu. Mungu yupo na wewe kila hatua unayoipiga maana ameaidi hivyo. Songa mbele kuijenga nchi yetu.

  • @frankmbige1515
    @frankmbige1515 Před 8 lety +1

    Hongereni sana Rais kwa hotuba makini na yamamlaka Mungu akupe Afya njema pia tunatamani sana ungekuwa na hotuba kila mwezi

  • @najmaibrahim282
    @najmaibrahim282 Před 8 lety

    mh rais hongera mungu akulinde maana umengusa sana ktk moyo wagu.

  • @abrahammaleko4304
    @abrahammaleko4304 Před 8 lety +1

    Mheshimiwa Raisi Dkt John Magufuli hongera sana kwa hotuba nzuri iliyojaa kila chachu ya uzalendo. Hakika namwomba Mungu akulinde ili uwawafikishe watu wake kwenye kilele cha kufurahia neema na utajiri tuliyojaliwa. Amina

  • @mgenikisukari1371
    @mgenikisukari1371 Před 8 lety

    hapa kazi tu!!!

  • @walterkayombo1362
    @walterkayombo1362 Před 8 lety +1

    Hotuba imetulia na Mh kaongea uhalisia na sio mbwembwe kama ambavyo tulizoea!!!!Bravooooo Mh Magufuli

  • @sospeterwankuru987
    @sospeterwankuru987 Před 8 lety +1

    Pongezi sana Mh.Magufuli ila ni vizuri kama utakuwa unatoa hotuba elekezi na mrejesho wa utekelezaji wa maagizo yako aidha kila mwisho wa mwezi au kwa mda utakao jipangia mwenyewe.

  • @cleopasmheluka7482
    @cleopasmheluka7482 Před 8 lety

    hongera hutuba ni zaidi ya uzalendo japo kuna maneno mengi yenye mwelekeo wa kuvunja sheria wanasheria wa serikali muwe msaada kwa raisi @AG,RAISI NI TAASISI

  • @jameszombe5610
    @jameszombe5610 Před 8 lety

    Magufuli ametxha salute kwake

  • @eddydben
    @eddydben Před 8 lety

    safi sana rais john magufuli .sasa tunaona mwanga wa matumaini

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 Před 8 lety

    Anaejilipa millioni 35 kwa mwezi nafikiri ni Mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu aliwaita Watanzania vigeugeu baada ya watu kumuuliza kuhusu mshahara wake. Na ni mtaalam wakufanya vikao vya bodi Ulaya.

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 Před 7 lety

    wewe ndiyo baba,sasa tuna mtu mwenye mamlaka katka nchi anaye jua anachosimamia anaongea kile kilichopo moyoni bila kujali utampenda ama utamchukia Mimi nina matumaini sasa na nchi yangu hongera mheshimiwa Rais Magufuli

  • @josephkatembo4138
    @josephkatembo4138 Před 8 lety

    Serikali ya awamu ya tano inajitahidi kurudisha matumaini kwa wa anchi ktk kuwahudumia, sheria na taratibu zitumike vema ktk kudhibiti watendaji wanaoenda kinyume

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 8 lety

    Baadhi ya hawo majaji walionekana kukosa raha kabisa wakati wakimsikiliza Rais Magufuli. ..kwa sababu wengi wao tayari ni corrupted na hii speech anawagusa vitendo vyao vya kula rushwa

  • @jumahassan7909
    @jumahassan7909 Před 8 lety

    pokeeni hotuba makini yakizalendo yakumjali mnyonge

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 8 lety

    DR Magufuli you true Socialist , salute mr President