Dk Mwinyi awajibu wapinzani, asema jeshi lilienda Zanzibar kulinda amani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 05. 2016
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Husein Mwinyi amewaeleza wabunge katika majumuisho ya bajeti katika Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kwamba jeshi halitumiki kisiasa bali lilikwenda Zanzibar wakati wa uchaguzi kulinda amani na si kujihusisha na siasa

Komentáře • 66

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 5 lety +3

    Mnafiki kama Baba yake, Kwanini Zanzibar kusingekalika? Fafanua, kilitokea nini? Wizi wa Uraisi sio?

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 Před 3 lety

      Maalim alisema hawatamzuia mtu safari hii, kusingekalika 😂😂

  • @utaani1
    @utaani1 Před 5 lety +2

    Huyu jamaa Mbona anadanganya kuwa nchi za democracy hata moja inayoweka majeshi kwenye viwanja vya ndege wala radio wala tv

    • @rajabmsinzia7921
      @rajabmsinzia7921 Před 4 lety

      Amesema kwa wakati wa dharura masheshi huwepo sehemu hizo.

  • @iddikijamba6996
    @iddikijamba6996 Před 4 lety +1

    Upo sahihi mh rais ajaye Zanzibar

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 Před 3 lety

    Km je imelinda amani SS mbona watu walikufa, na wamepigwa , na vipi kila Siku wafe wapinzani ulinzi gani uwo lkn mara hii wakiuwa hatujuwi jeshi wala Nani Raiya wengi kuliku jeshi.
    ONLY GOD WE Respect

  • @makamefoum8058
    @makamefoum8058 Před 5 lety +2

    Wanasiasa acheni kutusema vibaya

  • @simonnyasebwa9026
    @simonnyasebwa9026 Před 6 lety +5

    Dr mwinyi uko vizuri natumaini baada ya Mh Maghufuli ushike nchi maana unafaa. Hongera

  • @simonnyasebwa9026
    @simonnyasebwa9026 Před 6 lety +5

    Mwinyi waambie maana ni wabaguzi hao.

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety

    One day free Zanzibar insha Allah

  • @josesizy1315
    @josesizy1315 Před 5 lety +2

    Waponzani hawajielewi.

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 Před 11 měsíci

    Nakukubali sana Dr mwinyi....

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 5 měsíci

    Nyinyi hamuni moshi kwakua hako jikoni ,lkn dunia ina meno na meno yake yanazungumka

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 3 lety

    Hakuna Amani iliolindwa niuuwaji mtupu mliioufanya hakukuwanamsaada niugisadi mbonahamukuwatowa kesho zenji kuwapeleka bara cimlikusudia kuuwa wazanzibari

  • @sameramwajdu9029
    @sameramwajdu9029 Před 3 lety

    Kushajiteteya sasa wazanzibar tunantaka zanzibar yetu naww hatukutakini utuongoze

  • @seifalful
    @seifalful Před 8 lety +2

    huo ni oungo ni nchi za Africa pekee mbona nchi za kigeni hasa ulaya na marekani hatuoni hata national Guard ni regular police

  • @daudsylvester3193
    @daudsylvester3193 Před 4 lety +1

    Unafaa kuwa rais Wa Zanzibar

    • @alyspare3024
      @alyspare3024 Před 4 lety

      Ww uyu kibaraka wenu hafai hata kua diwani

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 Před 3 lety

    Eti wapo in full combat,alitaka wavae madera?

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 4 lety

    Hao ni wavuruga amani ,,,mpaka Leo Kama hajui Jeshi la wananchi wa Tanzania ni moja ,,,,,alafu ni msemaji wa kambi ya upinzani ,,,,,ajua Kuna Jeshi la Tanganyika Duhh

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 3 lety

    Jeshilazimaliingiliwe achapumbahizo mnauwa msikosolewe

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba8236 Před 5 lety

    Katika watu ninaowapenda nawaheshimu nakutakia mafanikio zaid na zaid

  • @mohammedhamad5297
    @mohammedhamad5297 Před 2 lety

    Inaonekana ilimchoma sana raisi wazanziber

  • @plusabracadabra5166
    @plusabracadabra5166 Před 2 lety

    Captain Urio walimtumia.

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 8 měsíci

    Wapinzani hawajuelewi wewe unajielewa kama wewe unajielewa ukauliwa baba yako na mama yako akauliwa na jeshi sababu uchaguzi utajisikuaje wacheni uongo na ufisadi na wizi wa kura mumeuwa wangapi hasa hasa huku kwa ndugu zetu wa Pemba munawauwa kama kuku

  • @stivutitus963
    @stivutitus963 Před 3 lety

    mmeiba kur jesh mmetumiakwel

  • @thomastarimo
    @thomastarimo Před rokem

    Akuna nchi yoyote duniani inayolinda uchaguzi kwa kutumia jeshi

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Sasa wewe unataka kubishana na sisi muogope sana mungu mkapa alipo ona malimu sefu sharifu ameshinda kwa kishindo mkapa alimwambia jeech futa uchaguzi baadaye mkarudia uchaguzi uchwara wewe tetea tumbo lako

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 3 lety

    Hakunailamauwaji mlioyafanya

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 Před 3 lety

    Walilinda amani au walikuja kuuwa watu?

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Před 4 lety +1

    Hehheheh njoo baba utumalize km babaako zanzibar njema atakae ajee

    • @salummussa8673
      @salummussa8673 Před 4 lety

      Babaake alipo kuwa raisi wewe hujazaliwa na katika raisi aliye badilisha mwenendo wa nchi mzee mwinyi si bara si visiwani maisha yakabadilika wewe huna ulijuwalo

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety +1

      Zanzibar utawala wa Rais Mwinyi hata Wapemba ndipo walianza kwenda Unguja.

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 Před 3 lety

      @@salummussa8673 muongo mkubwa 'woote madhwalimu labda kuwanyanyasa raiya'

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 Před 5 lety +1

    He he heee! wapinzani bhana! wametoa mimacho. Kumbe ni mbubumbu kabisa katika h,ili. Wape somo Mheshimiwa.

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 3 lety +1

    ZANZIBAR nikoloni lawatanganyika ila ishllah ipo siku litatoka katka mabavu ya wakoloni wawatanganyika

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 Před 4 lety

    Waelimishe hao dk.mwinyi. hawajielewi

    • @khulayfnassor6938
      @khulayfnassor6938 Před 3 lety

      Sisi mbona tunajimbua mapema wewe hujui kitu tulia zanzibar inawenyewe

  • @mundhirsalum1062
    @mundhirsalum1062 Před 6 lety

    Mh

  • @chrisantgeorge6018
    @chrisantgeorge6018 Před 6 lety +3

    wapinzan ni vichaa wakubwa

  • @kassimsaidi3181
    @kassimsaidi3181 Před 5 lety

    Kwahyo police ,magreza cyo jeshi???

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or Před 6 lety

    Dr Mwinyi unamaanisha mahali popote huwa wanajeshi wanavaa action combat wakati wa ushaguzi. Mahali popote duniani au huko Africa? Kwa hapa Holland no nipe mfano wa nchi.

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 Před 6 lety +1

      Sandra John usidanganye watu kwani kukaa Holland ndiyo nini.? Na wewe ni nani hadi ujue kwamba sasa Leo wanajeshi wanafanya ulinzi mahali flani. Ebu kaoshe vyombo vilivyobakia mkuu

    • @sk-wj9or
      @sk-wj9or Před 6 lety

      Basil Kisibo sawa nashukuru.

    • @sk-wj9or
      @sk-wj9or Před 6 lety

      Basil Kisibo badala ya kunichemkia ungenitajia nchi ya kidemocrasia inayo fanya hivyo. Kwani uchaguzi ni dalili ya vita mpaka wanajeshi wakae mkao wa hatari? Tusitukanane tuweke ukweli mezani pls.

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 Před 6 lety

      Sandra John jinga wewe

    • @elminakalunga4030
      @elminakalunga4030 Před 5 lety

      kuna mfalme na malkia huko sandra!

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 6 lety +1

    Nyote WAPUMBAVUUU .

  • @zakwani885
    @zakwani885 Před 3 lety

    hahahahahaha

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Sema kuna wajinga wachache wanacomment ujinga uku awasomi nyakati

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 Před 3 lety

    Je tukileta Jihadi wazanzibari na majeshi yenu mtaweza. Vikosi vya Zanzibar haviko teyari kuwaona ndugu zawo wanakufa. Tutagawa silaha kwa Raiya wote.
    ONLY GOD WE Respect

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy3382 Před 6 lety

    We lofa nenda katafuteni kazi mufanye

  • @vicentmosha8382
    @vicentmosha8382 Před 5 lety

    naombeni kunifikishiya taarifa nilini mikowa yote itakuwa na raisi wao kama ilivyo zazibaa nanikwanini zaziba tunaenda kwa pasipot

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 Před 4 lety

      Ni nchi mbili tofauti zimeungana, hiyo ndio sababu.