Dk Mwinyi awajibu wapinzani, asema jeshi lilienda Zanzibar kulinda amani
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2016
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Husein Mwinyi amewaeleza wabunge katika majumuisho ya bajeti katika Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kwamba jeshi halitumiki kisiasa bali lilikwenda Zanzibar wakati wa uchaguzi kulinda amani na si kujihusisha na siasa
Mnafiki kama Baba yake, Kwanini Zanzibar kusingekalika? Fafanua, kilitokea nini? Wizi wa Uraisi sio?
Maalim alisema hawatamzuia mtu safari hii, kusingekalika 😂😂
Huyu jamaa Mbona anadanganya kuwa nchi za democracy hata moja inayoweka majeshi kwenye viwanja vya ndege wala radio wala tv
Amesema kwa wakati wa dharura masheshi huwepo sehemu hizo.
Upo sahihi mh rais ajaye Zanzibar
Km je imelinda amani SS mbona watu walikufa, na wamepigwa , na vipi kila Siku wafe wapinzani ulinzi gani uwo lkn mara hii wakiuwa hatujuwi jeshi wala Nani Raiya wengi kuliku jeshi.
ONLY GOD WE Respect
Wanasiasa acheni kutusema vibaya
Dr mwinyi uko vizuri natumaini baada ya Mh Maghufuli ushike nchi maana unafaa. Hongera
Simon Nyasebwa huyu anaandaliwa kuwa raisi wa Zanzibar kk maana ni mzanzibar huyu
Ni kweli anaandaliwa zanzibar
Utabili umetimia
Mwinyi waambie maana ni wabaguzi hao.
One day free Zanzibar insha Allah
Waponzani hawajielewi.
Nakukubali sana Dr mwinyi....
Nyinyi hamuni moshi kwakua hako jikoni ,lkn dunia ina meno na meno yake yanazungumka
Hakuna Amani iliolindwa niuuwaji mtupu mliioufanya hakukuwanamsaada niugisadi mbonahamukuwatowa kesho zenji kuwapeleka bara cimlikusudia kuuwa wazanzibari
Kushajiteteya sasa wazanzibar tunantaka zanzibar yetu naww hatukutakini utuongoze
huo ni oungo ni nchi za Africa pekee mbona nchi za kigeni hasa ulaya na marekani hatuoni hata national Guard ni regular police
King Seifal acha uongo wewe
Hamia huko utupishe
fatilia vizur usibwabwaje tuu
Unafaa kuwa rais Wa Zanzibar
Ww uyu kibaraka wenu hafai hata kua diwani
Eti wapo in full combat,alitaka wavae madera?
Hao ni wavuruga amani ,,,mpaka Leo Kama hajui Jeshi la wananchi wa Tanzania ni moja ,,,,,alafu ni msemaji wa kambi ya upinzani ,,,,,ajua Kuna Jeshi la Tanganyika Duhh
Wapinzani wa natia aibu
Jeshilazimaliingiliwe achapumbahizo mnauwa msikosolewe
Katika watu ninaowapenda nawaheshimu nakutakia mafanikio zaid na zaid
Inaonekana ilimchoma sana raisi wazanziber
Captain Urio walimtumia.
Wapinzani hawajuelewi wewe unajielewa kama wewe unajielewa ukauliwa baba yako na mama yako akauliwa na jeshi sababu uchaguzi utajisikuaje wacheni uongo na ufisadi na wizi wa kura mumeuwa wangapi hasa hasa huku kwa ndugu zetu wa Pemba munawauwa kama kuku
mmeiba kur jesh mmetumiakwel
Akuna nchi yoyote duniani inayolinda uchaguzi kwa kutumia jeshi
Sasa wewe unataka kubishana na sisi muogope sana mungu mkapa alipo ona malimu sefu sharifu ameshinda kwa kishindo mkapa alimwambia jeech futa uchaguzi baadaye mkarudia uchaguzi uchwara wewe tetea tumbo lako
Hakunailamauwaji mlioyafanya
Walilinda amani au walikuja kuuwa watu?
Wauwaji wakubwa 'majeshi yatanganyika kazi yao kutuua 'weziii' hasbiya Allah wanighma lwakil
Hehheheh njoo baba utumalize km babaako zanzibar njema atakae ajee
Babaake alipo kuwa raisi wewe hujazaliwa na katika raisi aliye badilisha mwenendo wa nchi mzee mwinyi si bara si visiwani maisha yakabadilika wewe huna ulijuwalo
Zanzibar utawala wa Rais Mwinyi hata Wapemba ndipo walianza kwenda Unguja.
@@salummussa8673 muongo mkubwa 'woote madhwalimu labda kuwanyanyasa raiya'
He he heee! wapinzani bhana! wametoa mimacho. Kumbe ni mbubumbu kabisa katika h,ili. Wape somo Mheshimiwa.
ZANZIBAR nikoloni lawatanganyika ila ishllah ipo siku litatoka katka mabavu ya wakoloni wawatanganyika
Waelimishe hao dk.mwinyi. hawajielewi
Sisi mbona tunajimbua mapema wewe hujui kitu tulia zanzibar inawenyewe
Mh
wapinzan ni vichaa wakubwa
Kwahyo police ,magreza cyo jeshi???
Kulingana na katiba lakin sio wazir
Police..Magereza.sio.jeshi
Dr Mwinyi unamaanisha mahali popote huwa wanajeshi wanavaa action combat wakati wa ushaguzi. Mahali popote duniani au huko Africa? Kwa hapa Holland no nipe mfano wa nchi.
Sandra John usidanganye watu kwani kukaa Holland ndiyo nini.? Na wewe ni nani hadi ujue kwamba sasa Leo wanajeshi wanafanya ulinzi mahali flani. Ebu kaoshe vyombo vilivyobakia mkuu
Basil Kisibo sawa nashukuru.
Basil Kisibo badala ya kunichemkia ungenitajia nchi ya kidemocrasia inayo fanya hivyo. Kwani uchaguzi ni dalili ya vita mpaka wanajeshi wakae mkao wa hatari? Tusitukanane tuweke ukweli mezani pls.
Sandra John jinga wewe
kuna mfalme na malkia huko sandra!
Nyote WAPUMBAVUUU .
hahahahahaha
Sema kuna wajinga wachache wanacomment ujinga uku awasomi nyakati
Je tukileta Jihadi wazanzibari na majeshi yenu mtaweza. Vikosi vya Zanzibar haviko teyari kuwaona ndugu zawo wanakufa. Tutagawa silaha kwa Raiya wote.
ONLY GOD WE Respect
We lofa nenda katafuteni kazi mufanye
naombeni kunifikishiya taarifa nilini mikowa yote itakuwa na raisi wao kama ilivyo zazibaa nanikwanini zaziba tunaenda kwa pasipot
Ni nchi mbili tofauti zimeungana, hiyo ndio sababu.