Mbona fidia ya millioni 80 kidogo, alitakiwa apate fundisho kwa kuheshimu na kuthamini utu wa watu wengine. Wajiepushe na matamshi yanayogubikwa na mihemko ya kisiasa na kujinufaisha kwa umaarufu kupitia udhalilishaji wa watu wengine!
Hao washenzi ni vibaraka wa CCM wako kudhoofisha upinzani. Mjinga kama huyo 30 anapambana na kumpotezea muda mwanasiasa Jemadari kama James Mbatia. Stupid 30. Aache ujinga
Mbatia Mungu azidi kukuongoza
Mh Mbatia ,Mungu akupiganie,akutete,akuandalie meza mbele yako machoni pa watesi wako💪
Mbatia yuko vzur bwana mii mwenyewe namkubali
I love brother Mbatia he is humble and polite
Subiri yakukute
Mbona fidia ya millioni 80 kidogo, alitakiwa apate fundisho kwa kuheshimu na kuthamini utu wa watu wengine. Wajiepushe na matamshi yanayogubikwa na mihemko ya kisiasa na kujinufaisha kwa umaarufu kupitia udhalilishaji wa watu wengine!
Alipe
MTOTO WA MAMA TANZANIA. JAMES MBATIA NI KIONGOZI HAJALETA FUJO KAWA MTULIVU KUIACHIA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE.
Silipendagi hili chawa 30 ngoja likomeshwe
Na akome kutumia mdomo wake VIBAYA.
Atoe atoe musinwache
Hao washenzi ni vibaraka wa CCM wako kudhoofisha upinzani. Mjinga kama huyo 30 anapambana na kumpotezea muda mwanasiasa Jemadari kama James Mbatia. Stupid 30. Aache ujinga