Uko vizuri sana kama tungejua na wakuu kama wewe nchi hiyo tungefiks mbali sana hivi tunapokupongeza sana hii mijizi mizembe haijifunzi lolote pambana Mungu atakulinda sana
Jembe makonda mungu akulinde sasa nakuomba sisi wananchi wa mkoa wa rusha husuzan ngateu tuje kwako sio kwa malalamiko wala kukusukuru namba miyoyo yetu inatutuma tuje kwako kushukuru naomba sasa
Wallah tena wale wazembe wala rushwa mtaomba maji ya kunywa Bila kiu 😅😅😅 haki ya Mungu nimecheka km mazuri , watendaji mkizidiwa huduma ipo mtatibiwa 😆😆📌🔥🔥🤸🤸🤸🤸🤸🤸 mwamba piga kazi haki ipatikane 💪💪💪💪💪💪
Nina was was na vifo vya ghafla ktk ziara hii au watu kulazwa ghafla kabla ya siku yenyewe hakuna uchaw juu ya Yakobo wala uganga juu yake Mungu yupo juu yako Makonda usiogope atakulinda atakutetea atakushika kwa mkono wake wa kuume wa haki yake na wooote waliyoona hasira juu yako watatahayalika
Una akili nyingi sana make kwenye vijiji na kata ndoo kuna Madudu tena c Madudu tena mafinye make maji ni shida vituo vya afya shida miradi ya shule taabu migogoro ya ardhi balaa ndugu pig kazi kwa ajili ya Mungu Mungu atakupa tu
Baba tutakuombea kwa Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, ukuweke miaka mingi mpaka kusudi lake. Tulibugi kwa mwenda zake aliposema muniombee, tukafanya masihara leo tunamukumbuka. Ila wewe tutaomba kweli kweli kila wanapo panga mabaya juu yako wakapate kuwa vipofu kama yule mchawi bayesu katika jina la YESU KRISTO
Daraja lako haswa sio mkuu wa mkoa utendaji huu uwe waziri mkuu au makamo wa Tanzanian mkoa wa Arusha mnajidai sana mmepata mtendaji mtuzeni huni huyo ni Lulu
Mbn watumishi wazembe safari hii mmeletewa Chumba Cha Pua, mtanyooka, safi Sana Mh Makonda, Nguvu ya MUNGU na iwe juu Yako daima
Uko vizuri sana kama tungejua na wakuu kama wewe nchi hiyo tungefiks mbali sana hivi tunapokupongeza sana hii mijizi mizembe haijifunzi lolote pambana Mungu atakulinda sana
Jembe makonda mungu akulinde sasa nakuomba sisi wananchi wa mkoa wa rusha husuzan ngateu tuje kwako sio kwa malalamiko wala kukusukuru namba miyoyo yetu inatutuma tuje kwako kushukuru naomba sasa
Makonda hoyeee Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge❤❤
Mkuu nakubali sana sasaivi mimi tbc siiangali wala ITV sasaivi macho yangu ni arusha tu mimi napenda kiongozi mchapakazi, anae jali wanyonge. Anae pinga rushwa hazalani,,
MIMI PIA
Ashukuliwe mungu kwa neema ya pekee
Makonda mungu awe nawewe kaka
Wallah tena wale wazembe wala rushwa mtaomba maji ya kunywa Bila kiu 😅😅😅 haki ya Mungu nimecheka km mazuri , watendaji mkizidiwa huduma ipo mtatibiwa 😆😆📌🔥🔥🤸🤸🤸🤸🤸🤸 mwamba piga kazi haki ipatikane 💪💪💪💪💪💪
Yani siku hizi Mimi napenda kuangalia makonda maneno yake matamu: huyu ata kuja kuw rais wetu siku moja mungu yupo
Na Iwe hivyo na kura yangu Atapata na nitamwombea na kumlinda kwa gharama yoyote
Naomba sana uwe rais au waziri mkuu
Asante mweshimiwa Paul
Bando langu sikuhizi ni makonda tu kungine napitia tu
Nina was was na vifo vya ghafla ktk ziara hii au watu kulazwa ghafla kabla ya siku yenyewe hakuna uchaw juu ya Yakobo wala uganga juu yake Mungu yupo juu yako Makonda usiogope atakulinda atakutetea atakushika kwa mkono wake wa kuume wa haki yake na wooote waliyoona hasira juu yako watatahayalika
Good ❤
Uje na kule kisongo kwetu barabara ni mbovu utafikiri hakuna watendaji WA Serikali , please please 🙏
Una akili nyingi sana make kwenye vijiji na kata ndoo kuna Madudu tena c Madudu tena mafinye make maji ni shida vituo vya afya shida miradi ya shule taabu migogoro ya ardhi balaa ndugu pig kazi kwa ajili ya Mungu Mungu atakupa tu
SEMA Nao kaka tumechelewa sana
Sasa hapa najiuliza aliekuwa mkuu wa mkoa kabla ya MAKONDA kafanya kitu gani???
Mbeya sabaya
😂😂😂😂 pamoja mkuu wetu
Tuko pamoja mkuu ubarikiwe sana
Kweli wewe ni genius.
Unatisha
hata viwanja vya michezo
Makonda amekuwa panctual kadri siku ziendapo
Baba tutakuombea kwa Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, ukuweke miaka mingi mpaka kusudi lake. Tulibugi kwa mwenda zake aliposema muniombee, tukafanya masihara leo tunamukumbuka. Ila wewe tutaomba kweli kweli kila wanapo panga mabaya juu yako wakapate kuwa vipofu kama yule mchawi bayesu katika jina la YESU KRISTO
Mama mrudishe sabaya mpe jiji la mwanza sabaya anafaa pia na pole pole ungempa mbeya
Wewe ni kiongozi ghafla Arusha imepaa juu kuliko dar na Arusha sbb ni comredi makonda
Ngorongoro haipo Arusha?
Mheshimiwa Makonda ni Mtu wa maana sana Tanzania inataka watu kama hawa.
Huyu jamaa namwelewa hakuna mtu namfuatlia kama huyu mpaka saizi sielewi kama Kuna rais au waziri mkuu namsikia makonda tu
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Tuko pamoja sana
One Love
Tanzania tungukuwa na wamakonda kila mkoa saivi serikali ingegawa gari kwa kila mtanzania
Raic wa 2030
Je ngorongoro mesahau jamani mkuku wa mkoa gani huyu
Makonda ndiye atakaye kuja kuikomboa ccm kwasababu ndiye peke yake atakuwa amebaki watu Wana Imani naye
Kama wakuu wote wa mikoa wangekua kama Makonda nchi ingeenda kwa kasi sana..upuuzi mwingi ungepungua
Arusha wameyakanyaga chezea makonda wewe
Ngorongoro vp au sio Arusha kawasikilize Mori inazid
Kama wakuu wa mikoa wote wangefika hata robo ya huyu jamaa basi RAIS angelikuwa anapita kwa wananchi kwa ajili ya kuwasalimia tu
Pete ya yule mubaba vp ilee
Daraja lako haswa sio mkuu wa mkoa utendaji huu uwe waziri mkuu au makamo wa Tanzanian mkoa wa Arusha mnajidai sana mmepata mtendaji mtuzeni huni huyo ni Lulu
Makonda hakika wewe ni mtendaji makini hao watumishi wazembe wala lushwa mkoa wa Arusha munatamani kuhama
Mbona watu wameingiwa HOFU?? Inaonekana yapo madudu mengi.
Njoo kwetu KIONGOZI shupavu, Karibu waponye wanaoumizwa, okoa fedha za umma zinazoteketea!
Nashangaa mama amepewa taarifa watu wametengeneza control feki kukusanya kodi feki lakini hatujasikia amewafanyaje
Mkuu wa mkoja ni Rais Kwenye mkoa wake,mambo yalikuwepo mengi anao uwezo wa kuyatolea maamuzi,ukiachana kesi ambazo zpo mahakaman
@@user-pr7wj1nm1g Rais wa nchi anasema kaangalieni kweli watu wataogopa kufanya ujinga kweli?
Wewe ndo rais wa mkoa huo kka Ile Epuka kusafir na elkopta tumia pikipik
Wasije wakamfanyia walichomfanyia ,mzee wa Iran
Mama mrudishe sabaya mpe jiji la mwanza sabaya anafaa pia na pole pole ungempa mbeya
We sio wale wakuu wamkoa walio pewa ukuuwamkoa kama zawadi wanapongeza adi kofia Yani kwakweli uongozi ni tunu