MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2024
  • MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 67

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p Před 13 dny +4

    Duh r.i.p magufuli😢😢😢kaka makonda pambania watu wamungu.mungu akupe ulinzi

  • @athumaniKazua
    @athumaniKazua Před 13 dny +9

    Huyu baba ni jirani yangu ni mtu safi sana na anapesa 😢

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 13 dny +7

    kwaiy sasa imetoroka au bado IPO kama haijafa ipo iroge2 usi ifunge

    • @johnmollel3332
      @johnmollel3332 Před 13 dny

      😂😂😂😂😂 tulia wewe watu igombane

    • @eliaspaul9028
      @eliaspaul9028 Před 11 dny

      Kuamanina wabongo nyie sio watu😂😂😂

  • @twakawawa9344
    @twakawawa9344 Před 13 dny +4

    Kesi ya utapeli hii

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 13 dny +3

    HIYO SHERIA IONDOLEWE HARAKA SANA AMA TUANZE KULOGA UKOO MZIMA😢

  • @paschalmatinde321
    @paschalmatinde321 Před 13 dny +2

    Mahakama hakuna haki, haki ni pesa

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 13 dny +4

    Dah mungu wangu

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Před 13 dny +3

    Duuuh noma

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni Před 13 dny +1

    Ma boroka!!! Pole sana mzee masantulaa

  • @YusuphMarcOgaga
    @YusuphMarcOgaga Před 16 hodinami

    Sheria inataka ivo wala si uonevu

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 Před 13 dny +2

    Jmn watu tunaishi kwa Dhambi tunawalisha watt wetu Dhambi tupu machozi ya watu

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Před 13 dny +2

    Sheria mbaya sana hiyo.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Před 11 dny

      Hatari sana madai sio kesi katika hii nchi ni ujinga

  • @user-fh6sg7uc2g
    @user-fh6sg7uc2g Před 9 dny

    Sio cd, itskuwa ni flash

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 Před 11 dny

    Sheria ya kipuuzi sana....watunga Sheria wanajielewa kweli!!!.....je, akimwekea sumu?? Kwa maana hiyo maisha yakinishinda nitapeli mtu Ili nilishwe!!
    Maana Sheria kumbe inalinda na kuhalalisha wezi!! Daaaa kumbe tuna hali mbaya namna hii😢😢

  • @user-bf4xh9kc3n
    @user-bf4xh9kc3n Před 11 dny

    Sheria

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 Před 13 dny +1

    Haya mambo sio kabisa

  • @RajabuDangi-qv2uo
    @RajabuDangi-qv2uo Před 9 dny

    Uhuni wa hali ya juuu

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před 9 dny

    Ukitaka kujua hela mbaya angalia kifungu kilivyo badilishwa..kutoka utapeli ad madai...mahakim yaani

  • @binsalim5273
    @binsalim5273 Před 3 dny

    Nije kuonana na mkoa kwa mkoa

  • @SaimoniCharles-qm5bz
    @SaimoniCharles-qm5bz Před 12 dny

    Hiii Sheria Iko wap jmni

  • @alfanmkulo2792
    @alfanmkulo2792 Před 12 dny

    Ndo maana watu huchukukua Sheria mkononi Kwa ujinga kama huu

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Daah sheria za Tanzania ndio sababu ya kuongezeka kwa waharifu

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 Před 13 dny +1

    Huwo ni upindishaji sheria. Hawa wezi wa aridhi zao huyo ni mwizi tu kama mwizi mwingine tu afunguliwe jinai hakina madai hapo

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 11 dny

    Mmmmhhh kwa sheria hiii

  • @agrivaluefarm3353
    @agrivaluefarm3353 Před 11 dny

    Kumbe usipolipa kodi serekali ikikufungulia mashtaka ya madai ni poa sana unakunja nne gerezani unaagiza msosi wowote na matibabu juu. Jamani kwaherini kitaani naenda kujichimbia jela nikirudi vishavu vimenitoka stress free

  • @katambimfalimbega3808
    @katambimfalimbega3808 Před 11 dny

    Masikini bila kubadilisha Sheria hizi hatutoboi

  • @ZachariaKimamanti
    @ZachariaKimamanti Před 11 dny

    Waaaaa sheria ifuate mukondoyake

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 Před 13 dny +1

    Hii inchi ngumu sana😂😂😂😂😂

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před 13 dny +1

    Nimecheka kisha nikalia kwa kumhurumia huyu mzee anavyoteswa na majizi

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 Před 12 dny

    HIII SHERIA HAIKO FAIR. unawezaje kuwa unamdai, na unamhudumia chakula? guys? is this serious?😢

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před 13 dny +1

    Sasa hiyo sheria au upuuzi

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 13 dny +1

    sheria ya ufalafala

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 Před 11 dny

    Hiyo sio kesi ya madai huyo katapeliwa Tanzania ndio. Inchi ambayo tunayo ikubali sasa inakuwaje mtu haki yake kuzulimiwa

  • @mbarakaomary1785
    @mbarakaomary1785 Před 11 dny

    huyu wakili naona hajakamilika vizur ,mwandishi ungetafuta wakili mzuri mzoefu kidogo

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 Před 12 dny

    Jamaa km amemeza CD !!
    Anatiririka tu

  • @ramsaymtando1742
    @ramsaymtando1742 Před 10 dny

    Pole sana lakini kisheria ukitaka mdai wako afungwe yani wewe andaa pesa yani ku gharamamia mfungwa wako ndani ya mwezi sita.sasa hapo unaona umeonewa nini.hiyo siyo kesi ya jinai
    Heti atakuwa mfungwa wa JAMUHURI. Ni wako huyo mzee

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333 Před 10 dny

    Iweje mtu akutapeli Mali zako akikutwa na hatiya yule mwenye haki ndiye atamlisha mhalifu gerezani? Hiyo serial imesomwa wapi jamani, Tanzania nanyi kwenu kuna rushwa ya hali ya juu.

  • @ZachariaKimamanti
    @ZachariaKimamanti Před 11 dny

    Watanzania niko nahoja kwann ninyaganywe shamba langu hafu nimushitaki mtu mbado mm namuudumia akiwamufungo chakula je ni saihii

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i Před 11 dny

    uza hyo chen mzee kasomeshe watoto

  • @EdwardManweki
    @EdwardManweki Před 11 dny

    Hapa sasa hata mkuu wa magereza analijua hili

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 12 dny

    Hee yani namdai anapelekwa jela kwa makosa yake yeye mwenyewe kwa kushindwa kulipa deni langu pesa yangu sijapata alafu tena nizidi kutupa pesa kumuudumia muharifu kweli hii shelia ya wapi ebu tujuzane jamani heee.

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 13 dny +1

    Daaah

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi Před 11 dny

    sheria za madai zinawapa kibuli matapeli

  • @BituroPaschalKazeri
    @BituroPaschalKazeri Před 11 dny

    HONGERA WAKILI

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp Před 12 dny

    Wanasheria wanalalamika Makonda anaingilia mhimil wa mahakama iv kwel Kwa Sheria zakijinga iv c maafa yatakua mengi gharama zakumhudumia mfungwa c Bora awape wahun wamalize kaz wakutane pepon

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 13 dny +1

    Mzee Kamroge huyo

  • @lothatarangei8187
    @lothatarangei8187 Před 11 dny

    Upuuzi mtupu,,,, Sheria kama iko hivi Tanzania Bora watu wapigane mapanga tu😅

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Před 12 dny

    Nimdai mtu halafu nimlishe tena???come on!!!what type of sheria is that???

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 12 dny

    Sheria yakipumbavu hiyo

  • @mwidinikimaro3545
    @mwidinikimaro3545 Před 11 dny

    Huyu ndo masantula

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 Před 13 dny +1

    Ndio maana mimi sitaki hata kumkopesha mtu hela wala chochote

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 13 dny +3

    Dunia ya dhulma sana hii,

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Před 13 dny +2

    iyo kesi ya wizi alie hukum iyo kesi kazengua vip uzulimiwe Mali yako alafu alie kuzurum maliyako afungwe alafu ulie mshtaki umudumie chakula acheni wizi iyo sheria sijawai iskia sheria afungwe mpaka siku atakapo lipa pesa zako

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 Před 11 dny

    Huu ni ujinga mtupu

  • @YohanaTulito
    @YohanaTulito Před 13 dny +2

    Najee. Sasa yule. Anae mdai. Mwungine. Yeye. Atakuwa. Na faida. Gani. Kama malipo yako. Hupati. Na utamudumia. Tena. Si ataende kuk filisi. Au

    • @mgtanzania9834
      @mgtanzania9834 Před 13 dny +1

      Ndo sheria yetu ya madai ilivyo. Hakuna namna , lengo la kumfunga mtu kwa madai sio kumwadhib bali ni kumfanya aweze kulazimika alipe deni lake

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před 11 dny

    Sheria za kijinga