MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Duh r.i.p magufuli😢😢😢kaka makonda pambania watu wamungu.mungu akupe ulinzi
Huyu baba ni jirani yangu ni mtu safi sana na anapesa 😢
Huuu baba ni wa kisongo mr.kama sijakosea na ndie alie muuzia nabii geordavie eneo la ibada
Anapesa san
Ni wa morombo SEMA ana maeneo mengi na pesa ipo
Pesa aijfich
kwaiy sasa imetoroka au bado IPO kama haijafa ipo iroge2 usi ifunge
😂😂😂😂😂 tulia wewe watu igombane
Kuamanina wabongo nyie sio watu😂😂😂
Kesi ya utapeli hii
HIYO SHERIA IONDOLEWE HARAKA SANA AMA TUANZE KULOGA UKOO MZIMA😢
Mahakama hakuna haki, haki ni pesa
Dah mungu wangu
Duuuh noma
Ma boroka!!! Pole sana mzee masantulaa
Sheria inataka ivo wala si uonevu
Jmn watu tunaishi kwa Dhambi tunawalisha watt wetu Dhambi tupu machozi ya watu
Sheria mbaya sana hiyo.
Hatari sana madai sio kesi katika hii nchi ni ujinga
Sio cd, itskuwa ni flash
Sheria ya kipuuzi sana....watunga Sheria wanajielewa kweli!!!.....je, akimwekea sumu?? Kwa maana hiyo maisha yakinishinda nitapeli mtu Ili nilishwe!!
Maana Sheria kumbe inalinda na kuhalalisha wezi!! Daaaa kumbe tuna hali mbaya namna hii😢😢
Sheria
Haya mambo sio kabisa
Uhuni wa hali ya juuu
Ukitaka kujua hela mbaya angalia kifungu kilivyo badilishwa..kutoka utapeli ad madai...mahakim yaani
Nije kuonana na mkoa kwa mkoa
Hiii Sheria Iko wap jmni
Ndo maana watu huchukukua Sheria mkononi Kwa ujinga kama huu
Daah sheria za Tanzania ndio sababu ya kuongezeka kwa waharifu
Huwo ni upindishaji sheria. Hawa wezi wa aridhi zao huyo ni mwizi tu kama mwizi mwingine tu afunguliwe jinai hakina madai hapo
Mmmmhhh kwa sheria hiii
Kumbe usipolipa kodi serekali ikikufungulia mashtaka ya madai ni poa sana unakunja nne gerezani unaagiza msosi wowote na matibabu juu. Jamani kwaherini kitaani naenda kujichimbia jela nikirudi vishavu vimenitoka stress free
Masikini bila kubadilisha Sheria hizi hatutoboi
Waaaaa sheria ifuate mukondoyake
Hii inchi ngumu sana😂😂😂😂😂
Nimecheka kisha nikalia kwa kumhurumia huyu mzee anavyoteswa na majizi
HIII SHERIA HAIKO FAIR. unawezaje kuwa unamdai, na unamhudumia chakula? guys? is this serious?😢
Sasa hiyo sheria au upuuzi
sheria ya ufalafala
Hiyo sio kesi ya madai huyo katapeliwa Tanzania ndio. Inchi ambayo tunayo ikubali sasa inakuwaje mtu haki yake kuzulimiwa
huyu wakili naona hajakamilika vizur ,mwandishi ungetafuta wakili mzuri mzoefu kidogo
Jamaa km amemeza CD !!
Anatiririka tu
Pole sana lakini kisheria ukitaka mdai wako afungwe yani wewe andaa pesa yani ku gharamamia mfungwa wako ndani ya mwezi sita.sasa hapo unaona umeonewa nini.hiyo siyo kesi ya jinai
Heti atakuwa mfungwa wa JAMUHURI. Ni wako huyo mzee
Iweje mtu akutapeli Mali zako akikutwa na hatiya yule mwenye haki ndiye atamlisha mhalifu gerezani? Hiyo serial imesomwa wapi jamani, Tanzania nanyi kwenu kuna rushwa ya hali ya juu.
Watanzania niko nahoja kwann ninyaganywe shamba langu hafu nimushitaki mtu mbado mm namuudumia akiwamufungo chakula je ni saihii
uza hyo chen mzee kasomeshe watoto
Hapa sasa hata mkuu wa magereza analijua hili
Hee yani namdai anapelekwa jela kwa makosa yake yeye mwenyewe kwa kushindwa kulipa deni langu pesa yangu sijapata alafu tena nizidi kutupa pesa kumuudumia muharifu kweli hii shelia ya wapi ebu tujuzane jamani heee.
Daaah
sheria za madai zinawapa kibuli matapeli
HONGERA WAKILI
Wanasheria wanalalamika Makonda anaingilia mhimil wa mahakama iv kwel Kwa Sheria zakijinga iv c maafa yatakua mengi gharama zakumhudumia mfungwa c Bora awape wahun wamalize kaz wakutane pepon
Mzee Kamroge huyo
Upuuzi mtupu,,,, Sheria kama iko hivi Tanzania Bora watu wapigane mapanga tu😅
Nimdai mtu halafu nimlishe tena???come on!!!what type of sheria is that???
Sheria yakipumbavu hiyo
Huyu ndo masantula
Ndio maana mimi sitaki hata kumkopesha mtu hela wala chochote
Nikopeshe mm vero
@@ReginaldAplonary NO
Dunia ya dhulma sana hii,
Sio duniaaa hio Tanzania yenu imezidii
iyo kesi ya wizi alie hukum iyo kesi kazengua vip uzulimiwe Mali yako alafu alie kuzurum maliyako afungwe alafu ulie mshtaki umudumie chakula acheni wizi iyo sheria sijawai iskia sheria afungwe mpaka siku atakapo lipa pesa zako
Huu ni ujinga mtupu
Najee. Sasa yule. Anae mdai. Mwungine. Yeye. Atakuwa. Na faida. Gani. Kama malipo yako. Hupati. Na utamudumia. Tena. Si ataende kuk filisi. Au
Ndo sheria yetu ya madai ilivyo. Hakuna namna , lengo la kumfunga mtu kwa madai sio kumwadhib bali ni kumfanya aweze kulazimika alipe deni lake
Sheria za kijinga