Walimu nanyi mmesomea ujenzi?? Fanyen majukumu yaliyowapeleka huko mashulen ujenzi waachien maengener wakisimamiwa na madiwan wa kata husika ambako shule inajegwa. Mtakuja mfwee kwa pressure nyie walimu.
Sasa mbona wanakamati wengine wote wametulia wamemwachia Temu mwenyewe!!halafu wanacheka!kama anakosea kujibu basi si wajibu wao maana kamati hakuna wasichokijua
Huenda anawainulia mabwga wakati akiishika hiyo pesa. Maana hakupaswa kujihusisha na shughuli za ujenzi. Walizoea kupiga pesa bila kuulizwa sasa Mavi yanawatoka
Makonda Naomba ufuatili hili jambo la Stendi yetu , imekuwa ni aibu kwa jiji letu , hile sio stend, ni banda la kuku, tunaomba wewe pamoja na rahisi wa jamuhuri ya muhungano wa tanzania, muheshimishe mji huu wa kitakili kujenga stendi nzuri ya kitalii , hili kuvutia watali, , wakifika wajuwe wapo kwenye jiji la kitaali
Huu mwaka kazi mnayo Arusha....Makonda Oyeeeeee VIVA MAKONDA VIVAAAA
Makonda mwenyezi mungu akuongoze pamoja na familia Yako yote 🙏🕊️🤲🙌🇹🇿❤️🇰🇪👏🇹🇿❤️🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪kuja tusaidie hapa Kenya 🇰🇪 yetu 🙏
Mh,, MAKONDA ubarikiwe 🙏🙏
MH,, MAKONDA tubarikiwe,,njoo Kenya utusaidie,,
Makonda my next president, Jerry Slaa prime minister
Hapo prime minister awe hamfrey pole pole alafu uone huo moto
@@erneokisinda7179katbu mkuu awe mpina
Uwaminifu na uzalendo hapa kwetu Tanzania ni shida
Makonda our next president
Daah, Hawa watu sijui huwa wanaajiliwa kwa vigezo gani😅
😂😂😂😂😂walimu sogeeni karibu..Thomas soogea😂😂😂😂
Walimu nanyi mmesomea ujenzi?? Fanyen majukumu yaliyowapeleka huko mashulen ujenzi waachien maengener wakisimamiwa na madiwan wa kata husika ambako shule inajegwa. Mtakuja mfwee kwa pressure nyie walimu.
Wapigaji hao wanyooshe babaaaa😂😂😂
Weken full video
WALIMU OYEEEE. LAZIMA MJIPONGEZE
😂😂😂😂 huu mwaka nauona utakuwa ni waneem kwa viongozi na wateule😂😂😂
Tunakuombea.kwamungu.makoda.tumbua.majizi
Mda huu wa mitihani ya kufungia shule
Wapigaji
Hao 4:21 4:34
😂😂😂😂😂
Mwalimu Temu,amenikumbusha mbali sana
Sasa mbona wanakamati wengine wote wametulia wamemwachia Temu mwenyewe!!halafu wanacheka!kama anakosea kujibu basi si wajibu wao maana kamati hakuna wasichokijua
Huenda anawainulia mabwga wakati akiishika hiyo pesa. Maana hakupaswa kujihusisha na shughuli za ujenzi. Walizoea kupiga pesa bila kuulizwa sasa Mavi yanawatoka
Ana wazarau wenzake
Bwaloo
Mwl Gregory yuko wapi
Leo temu kashikwa
Muasibu angemsaidia
Hahahahhaah temuuu atakufa na pressure hahahahhaah
Makonda Naomba ufuatili hili jambo la Stendi yetu , imekuwa ni aibu kwa jiji letu , hile sio stend, ni banda la kuku, tunaomba wewe pamoja na rahisi wa jamuhuri ya muhungano wa tanzania, muheshimishe mji huu wa kitakili kujenga stendi nzuri ya kitalii , hili kuvutia watali, , wakifika wajuwe wapo kwenye jiji la kitaali