TAMKO LA VIJANA JAMII YA KIMASAI KUTOKA NGORONGORO WAKANUSHA HABARI ZINAZO SAMBAA MTANDAONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 20

  • @megolikindimo6597
    @megolikindimo6597 Před 13 dny +1

    Hongereni sana

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 13 dny +2

    Mko vizur ase.

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Před 13 dny +2

    Jambo TV na kusaga TV MUNGU awabariki

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 13 dny +2

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 13 dny +3

    Hamnaga masai mjinga .

  • @SaboreNgarusLaizer
    @SaboreNgarusLaizer Před 13 dny +1

    Safi sana nimependa na huyu mjinga apelekwe Mbele ya Sheria

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 13 dny +3

    So hivi hivi Kuna watu wanaowatuma kudanganya hivyo

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od Před 13 dny +3

    Wale ni wajinga kweli walishaeleweka kua ni machawa, hawajui hata kudanganya, tuko pamoja

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x Před 13 dny +1

    ❤❤❤

    • @MsanangoMwalabu-rx1oo
      @MsanangoMwalabu-rx1oo Před 13 dny

      Kuwa na huruma dogo kwa wamasai wenzio mungu anakuona furaha ya Leo tatizo LA kesho una watoto watawalaumu baadae.watakapokuwa walinzi nasi wafugaji tens bora wewe ng'ombe umewakuta

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 11 dny

    HIVI SERIKALI HAIONI NI KOSA MTU KUTOA PROPAGANDA ZA UONGO ILI APEWE CHEO

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Před 13 dny +3

    Kwa uelewa wangu niwatanganyika wengi wanashangaa kuhamishwa kwawatu wengi kuondolewa kwao kupelekwa eneo lingine yani niajabu lingine ladunia yani kuhamishwa watu kwao yani watu wanamkumbuka jpm yani kifo kilicho muua jpm ndicho kilicho fanya wamasai kukosa mtetezi pia katiba nayo ibadilishwe mana ndio chazo chamaumivu yawatu wengi

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 13 dny +1

    Wakawape maeneo yamakaźi dodoma . Tena kwa makubaliano napia wakikataa waachwe

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 12 dny +1

    Jamani tuikatae ccm kama Hawa niwamasai kesho watafata wengine

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano Před 13 dny

    Sasa nyinyi mnang,ang,ania sehem ambayo uruhusiw kufanya chochote Cha kimaendeleo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 13 dny

      Wamezoea kukaa uchi sasa ni ngumu kuvaa nguo We uliona wapi watu wamejengewa nyumbani tena mzuri ,shule,hospitali ni nini wanangangania kuishi na wanyama 🤣🤣🤣

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 13 dny

      Wamasai wenzangu hebu badilikeni acheni hizi mila za kishamba dunia hii ya leo bado mbatakaa kuishi na wanyama

    • @ahmadmasunda9892
      @ahmadmasunda9892 Před 12 dny +1

      BORA MUBAKI HUKO HUKO MUNAKOFANANA NA MILA ZENU KULALA KWENYE NYMBA ZILIZOGANDIKWA KWA KINYESI HAKUNA CHOO WATOTO WANATEMBEA UCHI HAKUNA UMEME KWELI MUSIZIACHE MILA NA DESTURI ZENU KWA MAMBO YAKUIGA SAFI SANA

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 12 dny +1

      @@ahmadmasunda9892 🤣🤣🤣🤣