Waliopiga Hizo Risasi Walikuwa Ni Assassins Waliosomea, Unaweza Kuona Marisasi Yote Yalipigwa Exactly mahali Waliopjua Kifua (Moyo) na Kichwa Chake... NI MUNGU ALIAMUA KUWAONYESHA YEYE NI MSEMAJI WA MWISHO!
@@ladislausngoyinde4384 kwani wanaoongoza dola ni xhadema we chawa? Uzuri sisi wananchi tunawajua mafisadi na wasio mafisadi ni wapi pumbavu zako. Limagufuli lenu limekufa kibudu, lkn kamuacha LISSU jembe anapiga kazi na amepona na kutembea kabisa. Kmmko
Mh Lissu hii gari nakuomba itumike kwenye kampeni za mwaka kesho ili wananchi waone nchi nzima wapo wengi hawaelewi kilichotokea nakuomba sana lifanyie hilo wazo langu kamanda
Atakaye kuchimbia shimo ataingiamwenyewe ndiyo ilivyoandikwa nenola mungu ni amina na kweli na tumedhibitisha mungu akulinde mioyoyetu inapwita kwa furaha isiyo namfano
Lakini Gari Ya Kazi inatakiwa kununuliwa Au kupewa na Chadema inayopokea Ruzuku. Kama anataka Gari Binafsi ndio atachangiwa na Watu. Hii imekaa kujichanganya kati ya kazi za Chama na matumizi binafsi ya Gari.
Mungu ni mkubwa kwa kweli Niko Kenya na nimekuwa nikikufuata kwa karibu Nimependezwa na fikra pamoja na mtindo / mfumo wa siasa na demokrasia zako Utaikomboa Tanganyika
Am very proud of you Hon. Tundu Lissu & the [ CHADEMA ] political party I'll be visiting the [ Safaricom ] shop to send my contribution I follow you always on CZcams God will keep you safe to bring a out the new constitution & a new Tanganyika
Usiipeleke makumbusho ya taifa ila butiama kwa nyerere uko itaishi salama lakini uko salikalini kama ujakuta imebadilika jina inaitwa voxswageni au pijoti langu jicho
Mungu ni mwema sana watesi wako watapokea mshahara wao🙏🤲
Kama alivyopokea aliyewatuma...
@@sethkivuyo3342 Kbsaaaaa hujakosea kbs ungekuwa karibu ungekunywa soda haraka sana ndugu yangu yaan dunia ficha maovu lkn yatafichuliwa tu🙏
Pole sana ndugu yetu japo Mimi sipo kwenye siasa ila inauma kweli basi tumwombe mungu awasamehe waliofanya ilo tendo
@@KaburuKimath-eu5nf Ameshawasamehe mbona amesema mwenyewe kwenye mkutano ila hukumu anayo Mungu mwanadam hana hukumu kwa mwanadam mwenzie
Pole sana Kamanda hakika Mungu ndiye mweka uhai na ndiye huruhusu kutoka uhai huo...Adui walikushindwa kwauwezo wa Mungu
Waliopiga Hizo Risasi Walikuwa Ni Assassins Waliosomea, Unaweza Kuona Marisasi Yote Yalipigwa Exactly mahali Waliopjua Kifua (Moyo) na Kichwa Chake... NI MUNGU ALIAMUA KUWAONYESHA YEYE NI MSEMAJI WA MWISHO!
Good asses
Atali tupu
Amina sana, yaani mambo ya Mungu hayachunguziki mpkq machozi yananitoka.
Mungu ambariki Sana huyu mwambaa....natamani siku moja awe rais wa nchi yetu
Akuwa Rais
Stay blessed Mh. Tundu Lissu
Hapana isiwekwe huko mnapopataja ikajengewe kibanda pale makao makuu ya Chama
Kwani mna mahali mlijenga makao makuu ya chadema
Kuna Wana ccm wanatamani kuiona hapo hawataenda
Hii gari itembezwe nchi nzima wananchi tuone
Wazo zuri sana aisee 🤝👍👏👏👏👏👏
Wazo zuri sana
Naunga mkono hoja!
Ni vizuri wananchi waone kwa macho yao wenyewe..ukatili!
Huyu jamaa Mungu kambariki sana.
Ipelekwe makumbusho kwani ofisini Kuna makumbusho vizazi wanatakiwa wake waone lisu alivyonusurika kifo kwa kupigania watanganyika
Mungu ni mwema amelinda uhai wako Kaka yangu.
Wewe wasamehe KISASI ni kazi ya Mungu mwenyewe.
Kaka lissu mungu awapige wore wanaokuwazia mabaya
LISSU TULIA, ITUMIE HIYO GARI KWENYE KAMPENI ZA URAIS MWAKANI. HILI GARI USILITUMIE SASA HIVI.
Your Very right HOLI GARI LITUMIKEBKWENYE KAMPENI huku akiwa na gari jipya
Alichunge wasijekuiba tuu 😀😀😀😀
The Legendary TAL, huyu jamaa huyu Mungu amuweke sana mpaka tuifikie ile Tanzania tunayoitaka
Duuu!!kweli Mungu anaweza
Karibu sana nyumbani rais wetu ✌️✌️✌️🇹🇿✍️
mungu lissu mpe kiti aongoze nchi yetu tanganyika mungu mbariki lissu 1000000000000000
Akataaye kwao mtumwa...kweli nyumban raha
Rais wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu
Magu ;huko uliko mungu akuchome moto mkubwa
Tena na mkuki wa mkubduni kuma nina zake
Alikuwa kiboko yenu mafisadi
@@ladislausngoyinde4384 kwani wanaoongoza dola ni xhadema we chawa?
Uzuri sisi wananchi tunawajua mafisadi na wasio mafisadi ni wapi pumbavu zako.
Limagufuli lenu limekufa kibudu, lkn kamuacha LISSU jembe anapiga kazi na amepona na kutembea kabisa.
Kmmko
@@Dannny690 wananchi gan unaosema hawampendi jpm labda mafisad kama ww na kibaraka wa wazungu lisu
Kashaungua vyakutosha
Mh Lissu hii gari nakuomba itumike kwenye kampeni za mwaka kesho ili wananchi waone nchi nzima wapo wengi hawaelewi kilichotokea nakuomba sana lifanyie hilo wazo langu kamanda
Pole sana kaka
Mungu ni mwaminifu
God is so great! Hakika Mungu yupo na anaishi!
Mungu ni Mkuu na anamakusudi na wewe Mhe Tundu Lissu na hata kuacha mpaka utakapomaliza Utumishi wa Mungu
Mwamba tunakupenda sana
Ningeshauri uitumie ivyoivyo katika mikutano yako itasaidia sana
Hiyo gar itunzwe huko huko kijijini kwenu mchango utolewe ijengwe jengo itunzwe hukohuko muheshimiwa
Atakaye kuchimbia shimo ataingiamwenyewe ndiyo ilivyoandikwa nenola mungu ni amina na kweli na tumedhibitisha mungu akulinde mioyoyetu inapwita kwa furaha isiyo namfano
Hiyo gari ikiwezekana itembezwe kwanza nchi nzima ndo ipelekwe makumbusho.
Naunga mkono hoja
Mi naunga mkono, Ingetembezwa Nchi zima
Pole mh tundu duuh
Lakini Gari Ya Kazi inatakiwa kununuliwa Au kupewa na Chadema inayopokea Ruzuku. Kama anataka Gari Binafsi ndio atachangiwa na Watu. Hii imekaa kujichanganya kati ya kazi za Chama na matumizi binafsi ya Gari.
Mungu akupe maisha marefu
Ukiipeleka makumbusho ya taifa wataichoma moto
Tunaomba hili gari mlitembeze nich nzima tulione nakushuhudia uovu uliotaka kutendeka juu Yako.
Mungu nimwema ndiyo maana alikutetea
Ila dunia imetambua kuwa ukatili ni upumbavu. Lissu ni muwakilishi wa wahanga TANGANYIKA na duniani kite🙏🙏🙏🙏
Pole Sana kamanda hakika mungu yuko pamoja nawe,
MUNGU Ukuyanjitre Inno Munane 🙏🙏
Allahuakbar
ushauri wangu hirogari turisomee arbadi wariofanya hiro tukio na ariowatima wote waangamie shezi zao
siku Moja gari hilo like huku Geita
Gari lizungushwe nchi mzima watu walione
Naomba gari hilo lifanye kazi hivo hivo bila kubadilisha milango hadi kieleweke
Mungu ni mwaminifu sana
God with you Mr lissu
CHADEMA CHUKUENI HATUA GARI HIYO ITEMBEZWE NCHI NZIMA TUIONE.
Kamada pole sana
Lissu mungu akujalie uwe Rais
Ukiwa rais umteuwe makonda kua wazir mkuu
Mungu wetu ni mkuu
Pole sana risu mungu nimwema
Mungu ni mkubwa kwa kweli
Niko Kenya na nimekuwa nikikufuata kwa karibu
Nimependezwa na fikra pamoja na mtindo / mfumo wa siasa na demokrasia zako
Utaikomboa Tanganyika
Mungu aendelee kumpigania kamanda
Mungu ana makusudi na hii kichwa amini nakwambia
Pole sana kaka mungu ni mwema
Pole baba tupo pamoja
Am very proud of you Hon. Tundu Lissu & the [ CHADEMA ] political party
I'll be visiting the [ Safaricom ] shop to send my contribution
I follow you always on CZcams
God will keep you safe to bring a out the new constitution & a new Tanganyika
MUNGU ni Fundi Sana Aliekutaka Ufe Alikufa Yeye.
Want to contribute
You're our next Presida comming
Acheni MUNGU AITWE MUNGU.
MUNGU NI MWEMA SANA NA MKOMBOZI MKUBWA SANA KWAKO MH. TUNDU LISSU. MUNGU ANAKUPENDA NA ANAMAONO NA WEWE
hii gari izunguke Tanzania zima
Ningeshauri iyo gari itembezwe Tanzania nzima watu waone ilikila ipitapo tutoe mchango likanunuliwe jipya
Mmh! Risasi zote hizi Kisa nn hasa? Duniani bana...
Mama Samia abarikiwe sana hii kitu watu wasingeshuhudia kabisa
Hiyo gari kabla ya kuitengeneza naomba ifike kila unapofanya mikutano, ikiwezekana mpaka uchaguzi mkuu
Lisu mungu ni mwema tunakupenda
Weka namba kaka Lissu tukuchangie.
Hakuna kiongozi zaidi Yako hasa viongozi wa kisiasa
Nakuelewa sana nondo zako mkuu
Ushaur wangu' Lissu hiyo gar iwekewe kioo hizo tundu zisizibwe itumike katka uchaguzi mkuu kuipeleka CHADEMA ikuru
Mungu ni mkuu saana kwako. Mungu awashughulikie kwa haki
Wengine hapa nimazuzu kwani aliomba kupigwa risasi?
Daaaa nusu kufa kwa kuwapambania wananchi
Mh.lisu hiyo gari itembee nchi
Nzima tunakupenda uje nalo kagera
Nakuona upo nyumbani mkataa kwao nimtumwa tutazidi kukuombea
Mkubwa
Halafu wanakuita mbaguzi,washezi tu,wamesahau unyama wao
Mh Tundu antpas Mungwai Lisu hiyo gari isitengenezwe ikae hivyo hivyo,maana gari hilo kitu gani?
Ila misiamini sio kweli.
Huwezi kupona kwa risasi hizo zote.
Kaka kwanini dereva hakupigwa hata moja pole sana
Hapo sasa alafu dereva hajulikani yupo wapi? Na hawaruhusu swali hilo
Hii ndo serikal yetu kufa Ni nje nje tu
Daah na jamaa aliponea kwa hizo risasi zote,Mungu mkubwa sanaaaa
Be blessed A Man of the People
Ila huyu mwamba anapendwaaa
Kamanda LISSU anapambania anachokiamini Mungu amsimamie aje kuongoza nchi asimike mifumo imara nchi isonge bila kutegemea huruma ya watawala.
Mungu alikuwa hajakupa kibar chakwenda kwake pole sana kamanda wetu hatuna chakukupa .
Hakika hi gari ipelekwe makumbusho.......
Inakuwaje kwenye plate number?!?
Mungu mkubwa
Amen
Angalia wasiende kuchoma huko
Makumbusho ya taifa iko chini ya nani, ? Kama iko chini yao walewale itakuwaje?
Sababu gani. Zahabu3😂
Hivi taifa hili halina haya ebu fikirieni kuhusu huyu mtu pamoja na watu wake
TUNAKUKUBALI MWAMBA
Usiipeleke makumbusho ya taifa ila butiama kwa nyerere uko itaishi salama lakini uko salikalini kama ujakuta imebadilika jina inaitwa voxswageni au pijoti langu jicho
Point 😂 litapoteza
Wariyo mpiga risu risasi wanajisikiaje ivi Sasa mungu mwema
Hiyo gari iwekwe serves ila milango iachwe hivyo hivyo itembelewe hivyo hivyo
Lisu nakukubali sana
Tuko pamoja kaka
LISSU NAKUKUBALI WEWE NI BONGE LA MSANIIII
RISASI ZIPIGWE KUSHOTO
MGUU ULIOUMIA WA KULIA
Mtu kwaoooo