RC MAKONDA AAHIDI SIKU 100 ZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE MKOANI ARUSHA NA ULINZI KUIMARIKA ARUSHA
Vložit
- čas přidán 18. 05. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongera sana mkuu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤Makonda Mungu awatangulie katika kazi zako
Mm naona uongoze kila Mkoa Tz Siku 100 itafaa Sana
Kwan unafanya KAZI nzr sana
Huyo ndo Paul❤
Wakuu wa mikoa wangekua kama Makonda basi nchi hii ingekuwa nzuri Sana na rais asingekuwa na usumbufu Sana katika utawala wake
Daaah! Amsha amsha kama hizi zingekuwa mikoa kama Morogoro,,Lindi,,Katavi na Kigoma kwenye maswala ya utalii mbona wananchi wa hayo maeneo wangefaidi,,Hebu angalia mkoa kama Moro una Mikumi, Udzungwa na Selous,,Lindi napo kuna Selous na yale maghofu ya Kivinje,masoko na Kishwani yanaporomoka tu daah😭😭😭
Asante jembe letu
Hivi ni nani mkuu wa mkoa wa Morogoro? Kuanzia leo tunamtaka afanye kazi kama MAKONDA sio ombi bali ni LAZIMA kama hawezi atupishe haraka sana 😢😢😢
@@shinipapaya846 mkuu wa mkoa wa Morogoro ni Adam Malima.
Mama samia tulindie mh poul makunda kwa nguvu zote,,,,ili cku moja tushuhudie akiapishwa kuwa mkuu wa nchi next after u 2030+,,,,,,,,,,huyu n baraka kwa nchi yetu
🙏🙏🙏🙏🎉🎉
Ifike mahali na wakuu wengine wafanye mambo yao kwa uwazi kama makonda ili wananchi tujue tuko wapi na tunaelekea wapi. Mgufuli alitumia akili sana kila kitu kinachoendelea alikuwa anakiweka wazi kila mtu anaona.
Huyu ndie rais wa Arusha
Makonda HURAAAAAA
Huyo ndio Makonda Mtoto wa magufuli hana kazi mbovu
Kwakweli stairi yako ya uongozi inawapa Imani wanyonge popote utakapo teuliwa na rais
Mbona afande mwita anapiga miayo
Wewe ni mkuu wa mkoa .unayejichanganya na watu wa lika mbalimbali na wakakuelewa. Endelea kupambania ndoto zako
Hizo Keri zinaletwa na Nani wakati watawala Ni ccm?. Au mnatengeneza tatizo halafu mjidai mnatatua.
Acha upuuzi wa vyama hapa