PAMBALU AWEKA WAZI''NITAJIVUA, SITOKUWA MWENYEKITI BAVICHA TENA/ATAJA SABABU ZA KUJIVUA NAFASI HIYO.
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongera Pambalu kwa kazi nzuri ya kikakamavu na ujasiri, tunakutambua vizuri sana, tunakuombea uendelee kuwa kamanda muaminifu katika nafasi itakayofuata. Fahari ya vijana ni nguvu zao...
Perfect
Munofu imeeleweka
Respect kamanda
Take note that Hii ni machine kwenye siasa be careful!!!!
Kijana unatakiwa kua kiongozi
A leader is a commitment you have aleadership quality. Go on the sky is nolonger a limit.
Tatizo mukipewa pesa ccm mnatusaliti makamanda.
Pamoja sana
Lifisi byemu acha basi kutuzingua tutapigania tanganyika yetu kwa jasho nadamu
Kwa nini msichague huyu jamaa Pambalu anatosha kabisa
Ndio umetuachia nini
acha tamaa kaa huku chin kwanza ujifunze usikimbilie madalaka makubwa bado mda unao
Masikiniiii hana elimu ya kutosha juu ya utawala wa majimbo kuanzia America! Halafu ana hasira !
Yule anae beza wee endelea kubeti kwa mchina na kushabikia mpira wa Simba na Yanga ...msipiganie àTAIFA LENU WAPUUZI NYIE MMEBAKI KUBETI ...
Taifa linahitaji vijana wadogo wa humri huu ndio wazalendo na wenye nguvu ya kupigania rasilimal ZETU nakuzilinda ...hongera chadema kwakuibua hivi vpaji....
Asante mwalimu. You have a good self understanding .
Dogo ana zungumza kwa point ...kama chadema Wana mashine hyu ni balaa haswaa na hii ni HAZINA YA CHAMA YA BADAE HII NI MBEGU BORA YENYE KULETA MAZAO MEMA YA BAADAE KTK CHAMA ...UONGOZI WA taifa haujakosea kua na hii mashine
Wee k Wacha ushoga wewe Hii ni mashine kweli kweli inasaga nakukoboa...MH PAMBALU NI JEMBE
Huyu dogo anapapala sana akiongea harafu hajielewi kwwnye siasa bora wampe hata Twaha mwaipaya hyo nafasi
Dogo huna papara uko vyema haswaa tulio timamu tunakuelewa sana pambana PAMBALU endelea kuji pambanua kisiasa
Dogo hajielew huyu ngs
Tuko nyuma yako kamanda
Uko flexible kwa kweli.
Wewe sina shaka na wewe
dogo haielewi marekani majimbo ni nchi ziliungana na kila jimbo lina fanya uchaguzi kumchagua rais wake kule wanaita gavana ni tofauti na hapa kwetu ni nchi mbili zilizoungana kabla sijaendelea mbele kajifunze siasa wewe bado
Umegubikwa na gubu....!
Chadema bdo sanaa muache kwanza huu ukabila na udini 😢mjitadhimini kitandakindaki 😢