𝗙𝗮𝘁𝗮𝘄𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗴𝗮𝘁𝗶 | 𝗞𝘂𝗳𝘂𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗽𝗼𝗻𝘀𝗼𝗿

Sdílet
Vložit

Komentáře • 53

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Před měsícem +8

    ABUL Khattwaab Abdallah Humeid ALLAH amuhifadh mwamba wa masuffiy na mahzibii

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo Před měsícem +6

    Hapa kila SUFI ALLAH ANAMUUUMBUA TARATIIIBU.....KUNA YULE MWINGINE DK SULE SAAAHIR

  • @AbuuDharry
    @AbuuDharry Před měsícem +8

    الله المستعان،

  • @Nature-xe7lu
    @Nature-xe7lu Před měsícem +9

    duktur islam akiskia hii atasema masalafi wajitakasa wajiona ni wao tu wa peponi

    • @bakarisalimu8421
      @bakarisalimu8421 Před měsícem

      Unawachokoza mahizby 😂 wana matusi mabaya jiandae

    • @bakarisalimu8421
      @bakarisalimu8421 Před měsícem

      @@Muislamu shida yako wewe hutaki kufuatilia mambo uvivu unasumbua sana lakini ungekua uko makini na dini yako usinge sema hivyo

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi4109 Před měsícem +1

    Assalam alaikum brother and sister. Tuweni ni wenye kuelimisha Ummah. Tatua tatizo tusingiliane Ummah wahitaji kuelemishwa. Tafathali elemisha Ummah tatizo Matusi na kukejeliana haisaidi, bali twajiaibisha katika Ummah. Tatueni Matatizo Tuacheni kulalamikiana.
    Allah atuezeshe Kupendana kwa Ajili ya Yake na atujaalie Umoja na kushikana kwa Ummah.
    Amin Amin
    Let's us not be personal.

  • @abuuyasir1253
    @abuuyasir1253 Před měsícem +1

    Majajida unaweza dhani wanazo funguo za jana siungii marungi lakini fujo mko nazo wacha tu lakini wapo wengine wamepita mfano wenyu

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir Před měsícem +4

    MASUFI MCHENI ALLAH.... MUMEZIDI

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem +1

    Mzee wabidaa badotu anaendeleza uwongo wake mtihani anasumu sanahuyu

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Duu shekhe gani huyu yuwatukana azugumza kama amvuta bangi utaogoza vipi uma kwa kutumiya matusi

  • @user-jv6cf6nl5d
    @user-jv6cf6nl5d Před měsícem

    Sio jukumu la serekali kuhakikisha vijana wote wamepata ajira..Tujiajri tuache kuskuma lawama pasipo kwa uvivu wetu..

  • @badrudindaud1087
    @badrudindaud1087 Před měsícem

    Subhanallah eti Imam
    shaukani alikuwa akila gati? Itakullah

  • @amenakenya7993
    @amenakenya7993 Před měsícem +1

    Subhnallah

  • @YusufAli-gc9cu
    @YusufAli-gc9cu Před měsícem +1

    ALLAHUAKBAR

  • @ramadhanali558
    @ramadhanali558 Před měsícem

    من انحرف عن طريق الرسول فإنه لا يتبع ولا يقتدى به ولوا كان عالما!!!!!!!!!!!

  • @japharizuberi8495
    @japharizuberi8495 Před měsícem +1

    Eti Vijan hawana kazi watafutiwe kazi,
    Swali miraa ni buree??

  • @ahmedabdalla4836
    @ahmedabdalla4836 Před měsícem +1

    Awesome awesome ♥️♥️♥️♥️♥️♥️😎❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😢😢

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Před měsícem

    Vijana hamuna kazi na hizo zakununuwa miraa mwazitowa wapi

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq Před měsícem +1

    Khurafi ni kama iblis amejigeuza mwili ya mtu wako swa kweli hawa

  • @husseingitonga8921
    @husseingitonga8921 Před měsícem +6

    Hawana kazi? Je mira ni bure?

  • @johnlobuin4212
    @johnlobuin4212 Před měsícem

    Huyu SI sheikh, ni Wala meruingi. Amevalia kanzu tu ndiyo wasiokuwa waislamu wadhani ni muislamu

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Před měsícem +3

    Nkipiga punyeto kwa kuepuka madhara ya zinaa halali😂😂😂 dr mubaarak aweesooo,usuufi uchizi

    • @ShabaniMkumbega
      @ShabaniMkumbega Před měsícem

      Hayo maneno unamzulia hajasema kuhusu punyeto

    • @ShabaniMkumbega
      @ShabaniMkumbega Před měsícem

      Ila fatwa ya kupiga punyeto mwezi wa Ramadhani na haiaribu swaumu ni Albani ndio ametoa Nenda ukasome na walimu wako wakufundishe kupiga punyeto mana kwa mawahabi ni halali

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před měsícem

      @@ShabaniMkumbega fiq-hi yako ndogo weweee,ktk swala hilo khilaaf ipo,na ametangulia na ibnu hazmini dhwaahiiriyyi,ispokua tu,sheikhul albaaanii amekwenda kinyume na qauli ya jumhuurul ulamaa,na sheikhul albaanii rahimahu llah ametoa dalili iliyowazi kwa mwenye kuzingati hilo,ila pamoja na kutoa qauli hiyo,akasema itapasa mtu ajiepushe na punyeto,masufi hamsomi kwa tadabbur,bali mnasoma kwa hawaa,ili mpate kuja kawadanganya watu,
      Kiufupi sheikhul albaanii kasema hilo,na wapo walomtangulia,akiwemo ibnu hazmin,lkn hakusema kua punyeto ni halali,kasema ikiwa mtu kapiga punyeto,kisha yakatoka manii,swaumj haiharibiki,na katoa dalili,
      Haya wapi na wapi na hayo anayoyasema kijana aweso😁

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před měsícem

      @@ShabaniMkumbega قس على هذا تصادف رشدا
      وتلطف بكل ما يناسب هذا ،هداني وهداك الله
      Ukielewa hayo,utajua kwa nn nimetoa mfano huo,😁

    • @amourmdetele1498
      @amourmdetele1498 Před měsícem +1

      @@ShabaniMkumbega
      Kwanza albaaniy hakusema halali wewe ndio ukasome lete maneno ambayo yaeleza ni halali ya sheikh albaaniy أتحداك nakuchallenge, kisha amekosea sheikh albaaniy na wanazuoni wetu wamemkosoa, Alichosema haiharibu swaumu, pia hakuwa muwahabi humjui, wakurupuka wewe upo kumtetea huyu jamaa we waona kazungumza kielimu hapo?, kanukuu madai yeyote kaleta ushahidi na je kajenga hoja zake kielimu, nyie jamaa mnashida gani.

  • @ABDIRAHMANAHMED-dk7sf
    @ABDIRAHMANAHMED-dk7sf Před měsícem

    Mashia walimIngizia hilo imam showkani!😢

  • @ShabaniMkumbega
    @ShabaniMkumbega Před měsícem

    Anaetaka ushahidi aje

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Před měsícem

    Bangi ina nguvu zaidi na rahisi

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo Před měsícem

    Hata jisura lake ukiliangaliaa vizur utaliona ajua kama anapiga fiks.....KHURAFI KATIKA UBORA WAKE......BADO MAULIDI

  • @abdulkarimmavuo645
    @abdulkarimmavuo645 Před měsícem +2

    Tatizo langu na Humeid ni kumkufurisha dr Islam na ustadh bachu. Ki mimi nahisi angewatafuta waelimishane sio kuwadhalilisha ovyo wakati wote wapinga bidaa

  • @ShabaniMkumbega
    @ShabaniMkumbega Před měsícem

    Nyie ndio mnafatawa za ajabu za kuwambia wanawake wajisage na wanaume wapige punyeto alibaan amezitoa nendeni mkasome na huyo mafuta awafundishe punyeto ndicho anacho jua kutoka kw alibaan

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +5

      Unaakili wewe kweli

    • @abdiwahabmohamed9699
      @abdiwahabmohamed9699 Před měsícem +1

      Hebu rudia kusoma hicho ulichoandika alaf tafakar,muogop Allah ndugu

    • @ShabaniMkumbega
      @ShabaniMkumbega Před měsícem

      Namuogopa Allah vizuriii na akili ninazo ndio maana cwezi kuwa wahabi kwa ujinga wanao ufundisha

    • @ShabaniMkumbega
      @ShabaniMkumbega Před měsícem

      Akili ninazo ndio maana nikasema ukitaka ushahidi SEMA mana nyinyi hamsomi

    • @Makikokasongo
      @Makikokasongo Před měsícem

      Leta ushahidi tujifunze sotee

  • @hafidhmuhsin1623
    @hafidhmuhsin1623 Před měsícem +1

    Wewe unaye ita wenzio wajinga wspumbavy ni sawa.?
    Eleza hija zako bila kutukana wenzako

  • @swalehmohamed712
    @swalehmohamed712 Před měsícem

    Ajabu comments za watu... nyie maskizi yenu yamekosa ufahamu... kosa sio lenu