Video není dostupné.
Omlouváme se.
Další v pořadí
Automatické přehrávání
WAZEE NA VIJANA WACHAWI HUJITIA KUSOMA MAULID // SHEIKH NYUNDOarkas online tv
zhlédnutí 10K
𝗠𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗜𝘀𝗹𝗮𝗺 𝗡𝗮 𝗡𝗮𝗺𝗻𝗮 𝗔𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝘄𝗮 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝗯𝗲𝗻𝗸𝗶 Kwa Miamala Ya Ribasalafi
zhlédnutí 7K
ATAKAE KUFA KTK MAMBO HAYA MATATU ATAKWENDA MOTONI SHEIKH MSELEM BIN ALIJ TV ZNZ
zhlédnutí 27K
Attack a Terezka jdou na rande… KVÍZ LÁSKYAttackShorts
zhlédnutí 567K
Truck catches on fire and biker helps put it out 🔥😱 (via themountainmiller/ig)MasFace
zhlédnutí 20M
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
zhlédnutí 28M
Her Survival skills will Fry 🔪 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehackMarusya Outdoors
zhlédnutí 64M
ACHA KUTAKA UMARUFU KWA WATU UTAFELI ABU FADHIL KASIM MAFUTAAL FAUZAN TV 958k views
zhlédnutí 4,3K
HIZI AYA UKIZISOMA MARA 21 KWENYE MAJI MTOTO AKINYWA ATAKUA NA AKILI KALI SANA 😀👌❤ | Mohamed AlidiniMohamed Alidini
zhlédnutí 97K
HII NDIO FAIDA YA KUSEMA TAMKO HILI//DUKTUR ISLAM MUHAMMADFauz Production
zhlédnutí 65K
USICHOKIJUA JUU YA IKULU YA DAR ES SALAAM ILIKUA NDIO KITUO CHA KUASAMBAZA DINI AFRIKAarkas online tv
zhlédnutí 10K
SHEIKH WALID AKIMKARIBISHA SHEIKH OTHMAN MAALIM KWA AINA YA KIPEKEEarkas online tv
zhlédnutí 45K
𝗜𝘀𝗹𝗮𝗺 𝗛𝗲𝗯𝘂 𝗞𝗮𝗮 𝗖𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗨𝘀𝗼𝗺𝗲!salafi
zhlédnutí 2,1K
SABABU NI KUWAPA USAJILI? SERIKALI ICHUKUA HATUA KALI, BAKWATA NDIO CHOMBO MAALUM, ONYO KALI LATOKABABDEO MILADU
zhlédnutí 15K
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
zhlédnutí 35M
Díl který byl OSOBNÍ🔥 JIŽ online na HEROHERO🔥TĚLO na TĚLO - podcast
zhlédnutí 102K
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shortsSavage Vlogs
zhlédnutí 45M
My Bed On Different Days #ShortsLuke Davidson
zhlédnutí 17M
NIKDY JSEM - NEJZVRHLEJŠÍ PŘIZNÁNÍ 🥶⛔ @Lisak37 & JENYSVladaVideos
zhlédnutí 283K
Third Wheel Problems 🥲Alan Chikin Chow
zhlédnutí 22M
Co divného umíš ty? 😝Tary
zhlédnutí 429K
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 59M
Allaah amhifadhi sheikh wetu qaasim mafuta ,,na azidi kum'baarik katika ilmu yake tuzidi kunufaika naye
Mnufaike na ilmu ya kuwatowa watu kwenye sunnah alo ninyi jamaa mmeingia chakike hiko kikundi chenu shekhe utheiminy kataja kikundi chenu hicho hakina usalafi wowote ni kuwabadiisha watu bila sababu nakujiona ninyi ndo bora huo so mwendo wa salafi shekhe kataja vunjeni zile hoja na mlete dalili ni kikundi kipi kila dalili mnaingia ninyi hapo leteni dalili mvunje hoja za shekhe utheiminy Allah amrahamu
اللهم ثت مشيخنا في الحق وثبهم و مويتهم في السلام و السنة
Allah akuhifadhi
Sheikh Al alamah mufti sheikhul islam duktur islam muhammad salim hafidahulah
Ahsanttt 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mpaka wajue kiwango cha sheikhul Islam ilikuwa namna hii..... ni imam kabisa.... 😅😅😅😅😅 mna kichaa kweli kaka.
@@user-bp6fb6wo5u majadida hawana elimu wakae chini ya sheikul islam duktur mufti muhadith na wasomeshwe kisawasawa matusi haisaidii
Mimi maoni yangu Shekh Kasim Mafuta kwa uwazi huo na msimamo wa kusimama na haki juu ya kuitetea kwa "ulimi" simbali kupitia tarekhe ilivyo simulia baada ya kufa Mtume صلي الله عليه وسلم kuhusiana na Masahaba رضي الله عنهم mutaungana na Mashia sababu ya kuyasemea kwa usawa matukio kuanzia ukhalifa na mambo yaliyo tokea baadae, maana muna uslub mzuri wa kusimamia haki bila kujali mtu bali ni kusema haki
Hii ndio kazi rahis mnaweza lakini Suna yakupambana na mushkun na mayahudi hapo mnakunja mkia
Unataka Khutba zake kuhusu mayahudi na uyahudi nikutumie?
Ati mafuta anaelimu? Ipi
Mpaka kieleweke!!!
Oow kumbe ni mashindano😅 duktoor atawaacha mupayuke tu
Kieleweke wapi ninyi majadida huo mwendo mnaoenda nao so wasalafi ni mwendo mlobuni nyie kutoana katika man hajji ya ahlsunna haya leteni dalili ya kuvunja hojja ya shekhe utheiminy juu ya pote lenu hilo mana kila dalili imewatandika mmo ninyi na hakuna kundi lililojitokeza kudai usalafi na kazi yao kuwa badii watu na uwaambia watu wa bidaa wasostahiki kuambiwa shekhe kafa na msimamo huwo waambieni hawo mashekhe zenu walete hojja za kuvunja hoja ya shekhe utheiminy mpk leo hakuna aloleta hojja bali mnababaisha tuu, toeni dalili ya kundi salaffiyu ilotajwa na shekhe na dalili chungu nzima zimewaangukia nyie na mnazo kweli kuwaita watu wa bidaa waso stahili kuitwa kuwaita watu makhawariji hali ya kuwa so khawriji dalili nyingi na tabia mnazo kweli hapa hamchomoki mpk kiama Ni ninyi wenyewe majadida aka new salafi
Mbona inbu taimeya alikua akikaa na Watu bidaa ktk jihad
Hamko na inswafu wakat mwingine mnakata video
Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki
@@YusufAli-gc9cu hisia zipi mmekua mkiwatoa watu kwenye manhaji vile mtakavyo sijui hata kibali hicho mmekipata wap
Maa shaa Allah wanafunzi wa duktuur mnajua manhaj pia??? 😂😂😂😂😂😂😂😂 aliongea lini manhaj twartuur???
@@AbdulkareemNyongoro msipige watu na ugaidi wa kifikra,,,haki iko wazi kwa watu wenye akili,,,
{ وَإِذۡ أَخَذَ ٱللَّهُ مِیثَـٰقَ ٱلَّذِینَ أُوتُوا۟ ٱلۡكِتَـٰبَ لَتُبَیِّنُنَّهُۥ لِلنَّاسِ وَلَا تَكۡتُمُونَهُۥ فَنَبَذُوهُ وَرَاۤءَ ظُهُورِهِمۡ وَٱشۡتَرَوۡا۟ بِهِۦ ثَمَنࣰا قَلِیلࣰاۖ فَبِئۡسَ مَا یَشۡتَرُونَ }
[Surah Āli-ʿImrān: 187]
Total approved failure Daawa.
اثرثارون، ولمتشدقون،ولتفيهقون.
Zipo dalili tele katika Kitabu na Sunnah za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam. Kwamba hawa jamaa hawajui Usulubu mzuri wa Daawat Salafiya. Na kama wanajuwa, basi roho mbaya, khusuma, hasadi na mfano wake. Na kwa tabia zao hizi wameharakisha migawanyiko na hasa miongoni mwao. Darsa na mitaala ile ile, vitabu vilevile lakini hawakubaliani. Hawajui kusamehe wala sulhu.Wanashughulishwa na fitna na majungu.
Watu wa batil hawapendi kuzungumzwa. Wataka kupakwa mafuta.
@@UB40X1 وغير التقي يأمر الناس بتقا، طبيب يداو وطبيب مريض.
@@UB40X1 Uislamu ni Dini ya Dalili. ALLAH SUBHANAHU WATAALA Ametuumba kwa ajili ya Ibada. Nini maana ya Ibada?(1)
(2)kuna vigezo maalum ALLAH A'ZZA WAJALLA Ameviweka ili iwe ni sababu mja kukubaliwa Ibada zake. Na YEYE Hana mshirika katika hilo na mengineyo. (3)Daawa ni Kazi Tukufu saana, 1.ni wajibu 2. Ina misingi kwa mujibu wa Kitabu na Sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia. "Targhiib na Tarhiib" ni principles sio kusema tuu ili useme tuu na matamanio,khusuma unachanganya humo humo. Daai' ni kiio, Subira na kusamehe ni miongoni mwa ala zake Tukufu. Ila watu wa mihemuko hafuati kwa kisingizio cha kubainisha haki. Je,waweza kutenganisha haki na Daawat Salafiya?
@@UB40X1ww na kikundi chako hiko ndo mpo kwenye batwil mmevaa vazi la usalafi lakini matendo yenu yapo mbali na usalafi imekula kwako huyo mafuta mwenyewe yupo nje ya usalafi wenzie humo humo kundi lenu hilo limemtowa kwenye usalafi sasa na yey anawatoa wasostahili hivi utakuwa una akili timamu unamtoa mtu anaelingania kitabu na sunnah kaaah dini gani hiyo yakutoana ovyo ovyo kwenye manhajji leteni dalili na hoja za kuvunja maneno ya shekhe utheiminy kwa dalili alizotaja za kikundi chenu hicho mpk leo mmeshindwa kutetea hoja hiyo na hamtoweza mpk kiama kije
@@UB40X1batwili ww na mafuta wenu huyo alowaletea new salafi mmeleta fitna kubwa katika safu za ahlsuna
Wapoteza wale wajinga watakaokufuata mafuta matalafi