salafi
salafi
  • 195
  • 501 326

Video

𝗠𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗜𝘀𝗹𝗮𝗺 𝗡𝗮 𝗡𝗮𝗺𝗻𝗮 𝗔𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝘄𝗮 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝗯𝗲𝗻𝗸𝗶 Kwa Miamala Ya Riba
zhlédnutí 7KPřed 16 hodinami
𝗠𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗜𝘀𝗹𝗮𝗺 𝗡𝗮 𝗡𝗮𝗺𝗻𝗮 𝗔𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝘄𝗮 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝗯𝗲𝗻𝗸𝗶 Kwa Miamala Ya Riba
𝗪𝗮𝗽𝗶 𝗦𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗨𝘁𝗵𝗮𝘆𝗺𝗲𝗲𝗻 𝗔𝗺𝗲𝗷𝘂𝘇𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘂𝘁𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗜𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗞𝘄𝗮 𝗦𝗵𝗲𝘁𝗮𝗻𝗶? | Sheikh Kasim Mafuta حفظه الله
zhlédnutí 3,2KPřed dnem
𝗪𝗮𝗽𝗶 𝗦𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗨𝘁𝗵𝗮𝘆𝗺𝗲𝗲𝗻 𝗔𝗺𝗲𝗷𝘂𝘇𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘂𝘁𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗜𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗞𝘄𝗮 𝗦𝗵𝗲𝘁𝗮𝗻𝗶? | Sheikh Kasim Mafuta حفظه الله
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗛𝗮𝘄𝗮𝘁𝗮𝗸𝗶 𝗠𝘂𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗨𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶
zhlédnutí 2,3KPřed 14 dny
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗛𝗮𝘄𝗮𝘁𝗮𝗸𝗶 𝗠𝘂𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗨𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶
𝗝𝗲 𝗞𝗶𝘀𝗮 𝗖𝗵𝗮 𝗦𝗵𝗲𝘁𝗮𝗻𝗶 𝗡𝗮 𝗔𝗯𝘂𝘂 𝗛𝘂𝗿𝗲𝗶𝗿𝗮 𝗞𝗶𝗻𝗮𝗷𝘂𝘇𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘂𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗗𝗶𝗻𝗶 𝗞𝘄𝗮 𝗬𝗲𝘆𝗼𝘁𝗲?
zhlédnutí 7KPřed 14 dny
𝗝𝗲 𝗞𝗶𝘀𝗮 𝗖𝗵𝗮 𝗦𝗵𝗲𝘁𝗮𝗻𝗶 𝗡𝗮 𝗔𝗯𝘂𝘂 𝗛𝘂𝗿𝗲𝗶𝗿𝗮 𝗞𝗶𝗻𝗮𝗷𝘂𝘇𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘂𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗶𝗻𝗶 𝗞𝘄𝗮 𝗬𝗲𝘆𝗼𝘁𝗲?
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗞𝘄𝗮 𝗠𝘂𝗸𝗵𝘁𝗮𝘀𝗮𝗿
zhlédnutí 2,4KPřed 21 dnem
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗞𝘄𝗮 𝗠𝘂𝗸𝗵𝘁𝗮𝘀𝗮𝗿
𝗜𝗺𝗮𝗺 𝗪𝗮 𝗣𝗮𝗿𝗸𝗹𝗮𝗻𝗱𝘀 𝗔𝘄𝗮𝗽𝗼𝗻𝗴𝗲𝘇𝗮 𝗚𝗲𝗻 𝗭 | 𝗕𝗮𝗹𝗮𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶
zhlédnutí 3,5KPřed 21 dnem
𝗜𝗺𝗮𝗺 𝗪𝗮 𝗣𝗮𝗿𝗸𝗹𝗮𝗻𝗱𝘀 𝗔𝘄𝗮𝗽𝗼𝗻𝗴𝗲𝘇𝗮 𝗚𝗲𝗻 𝗭 | 𝗕𝗮𝗹𝗮𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶
𝗛𝘂𝘆𝘂 𝗦𝗶𝗼 𝗦𝗮𝗹𝗮𝗳𝗶 | Sheikh Ahmad An Najmi رحمه الله
zhlédnutí 2,4KPřed 28 dny
𝗛𝘂𝘆𝘂 𝗦𝗶𝗼 𝗦𝗮𝗹𝗮𝗳𝗶 | Sheikh Ahmad An Najmi رحمه الله
𝗦𝗵𝗲𝗸𝗵𝗲 𝗪𝗮𝗸𝗼 𝗡𝗶 𝗛𝗜𝗭𝗕𝗜...
zhlédnutí 2,3KPřed 28 dny
𝗦𝗵𝗲𝗸𝗵𝗲 𝗪𝗮𝗸𝗼 𝗡𝗶 𝗛𝗜𝗭𝗕𝗜...
𝗠𝗮𝗮𝗻𝗱𝗮𝗺𝗮𝗻𝗼 | 𝗩𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶 & 𝗥𝗮𝗶𝗮
zhlédnutí 1,2KPřed měsícem
𝗠𝗮𝗮𝗻𝗱𝗮𝗺𝗮𝗻𝗼 | 𝗩𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶 & 𝗥𝗮𝗶𝗮
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Tatu)
zhlédnutí 2,1KPřed měsícem
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Tatu)
𝕄𝕒𝕙𝕚𝕫𝕓𝕚: 𝗕𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗻𝗮 𝗔𝗹𝗮𝗺𝗮 𝘇𝗮𝗼 🩺
zhlédnutí 2,3KPřed měsícem
𝕄𝕒𝕙𝕚𝕫𝕓𝕚: 𝗕𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗻𝗮 𝗔𝗹𝗮𝗺𝗮 𝘇𝗮𝗼 🩺
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Pili)
zhlédnutí 17KPřed měsícem
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Pili)
𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗕𝗲𝗶 | 𝖹𝗂𝗇𝗀𝖺𝗍𝗂𝖺...
zhlédnutí 1KPřed měsícem
𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗕𝗲𝗶 | 𝖹𝗂𝗇𝗀𝖺𝗍𝗂𝖺...
𝔸𝕣𝕒𝕗𝕒𝕙 | 𝗠𝗮𝗳𝘂𝗻𝗴𝗮𝗺𝗮𝗻𝗼 𝗬𝗲𝘁𝘂 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝗵𝘂𝗷𝗮𝗷𝗶 𝙺𝚑𝚞𝚝𝚋𝚊 𝙸𝚓𝚞𝚖𝚊𝚊 𝟶𝟾 𝙳𝚑𝚞𝚕 𝙷𝚒𝚓𝚓𝚊𝚑 𝟷𝟺𝟺𝟻
zhlédnutí 3,1KPřed 2 měsíci
𝔸𝕣𝕒𝕗𝕒𝕙 | 𝗠𝗮𝗳𝘂𝗻𝗴𝗮𝗺𝗮𝗻𝗼 𝗬𝗲𝘁𝘂 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝗵𝘂𝗷𝗮𝗷𝗶 𝙺𝚑𝚞𝚝𝚋𝚊 𝙸𝚓𝚞𝚖𝚊𝚊 𝟶𝟾 𝙳𝚑𝚞𝚕 𝙷𝚒𝚓𝚓𝚊𝚑 𝟷𝟺𝟺𝟻
𝗠𝘂𝗵𝗮𝗺𝗮𝗱 𝗕𝗮𝗵𝗲𝗿𝗼 𝗛𝗶𝗶 𝗡𝗶 𝗔𝗶𝗯𝘂 | 𝗦𝗵𝘂𝗴𝗵𝘂𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗜𝗯𝗮𝗱𝗮
zhlédnutí 5KPřed 2 měsíci
𝗠𝘂𝗵𝗮𝗺𝗮𝗱 𝗕𝗮𝗵𝗲𝗿𝗼 𝗛𝗶𝗶 𝗡𝗶 𝗔𝗶𝗯𝘂 | 𝗦𝗵𝘂𝗴𝗵𝘂𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗜𝗯𝗮𝗱𝗮
𝗨𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶𝘆𝘆𝗮𝗵
zhlédnutí 3,3KPřed 2 měsíci
𝗨𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶𝘆𝘆𝗮𝗵
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 𝘒𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢)
zhlédnutí 18KPřed 2 měsíci
𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 𝘒𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢)
𝗦𝗵𝘂𝗹𝗲 𝗭𝗶𝗻𝗮 𝗠𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗼 𝗠𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗞𝘂𝗵𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗪𝗮𝘀𝗰𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗪𝗲𝘁𝘂
zhlédnutí 913Před 2 měsíci
𝗦𝗵𝘂𝗹𝗲 𝗭𝗶𝗻𝗮 𝗠𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗼 𝗠𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗞𝘂𝗵𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗪𝗮𝘀𝗰𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗪𝗲𝘁𝘂
𝕂𝕨𝕒 𝕂𝕚𝕝𝕒 𝕄𝕣𝕒𝕚𝕓𝕦 | 𝗠𝘄𝗶𝘁𝗼 𝗪𝗮 𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗞𝘄𝗮𝗸𝗼 𝗪𝗲𝘄𝗲
zhlédnutí 845Před 2 měsíci
𝕂𝕨𝕒 𝕂𝕚𝕝𝕒 𝕄𝕣𝕒𝕚𝕓𝕦 | 𝗠𝘄𝗶𝘁𝗼 𝗪𝗮 𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗞𝘄𝗮𝗸𝗼 𝗪𝗲𝘄𝗲
𝗛𝗶𝗸𝗺𝗮 𝗦𝗶 𝗨𝗽𝗼𝗹𝗲 𝗣𝗲𝗸𝗲𝗲 | 𝗠𝘀𝗶𝗳𝗶𝗰𝗵𝗲 𝗛𝗮𝗾𝗶 𝘒𝘢𝘴𝘪𝘮 𝘔𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 حفظه الله
zhlédnutí 1,2KPřed 2 měsíci
𝗛𝗶𝗸𝗺𝗮 𝗦𝗶 𝗨𝗽𝗼𝗹𝗲 𝗣𝗲𝗸𝗲𝗲 | 𝗠𝘀𝗶𝗳𝗶𝗰𝗵𝗲 𝗛𝗮𝗾𝗶 𝘒𝘢𝘴𝘪𝘮 𝘔𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 حفظه الله
"𝘏𝘪𝘬𝘮𝘢 𝘕𝘢 𝘜𝘱𝘰𝘭𝘦" | 𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗪𝗮𝗸𝗶𝗷𝘂𝘄𝗮 𝗛𝗮𝘄𝗮𝘁𝗮𝗻𝘆𝗮𝗺𝗮𝘇𝗶𝘄𝗮 𝗪𝗮𝗸𝗶𝗸𝗵𝗮𝗹𝗶𝗳𝘂!
zhlédnutí 2,1KPřed 2 měsíci
"𝘏𝘪𝘬𝘮𝘢 𝘕𝘢 𝘜𝘱𝘰𝘭𝘦" | 𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗪𝗮𝗸𝗶𝗷𝘂𝘄𝗮 𝗛𝗮𝘄𝗮𝘁𝗮𝗻𝘆𝗮𝗺𝗮𝘇𝗶𝘄𝗮 𝗪𝗮𝗸𝗶𝗸𝗵𝗮𝗹𝗶𝗳𝘂!
𝗙𝗮𝘁𝗮𝘄𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗴𝗮𝘁𝗶 | 𝗞𝘂𝗳𝘂𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗽𝗼𝗻𝘀𝗼𝗿
zhlédnutí 5KPřed 2 měsíci
𝗙𝗮𝘁𝗮𝘄𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗴𝗮𝘁𝗶 | 𝗞𝘂𝗳𝘂𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗦𝗽𝗼𝗻𝘀𝗼𝗿
𝗠𝗶𝗿𝗮𝗮 𝗛𝗮𝘆𝗮𝗳𝗮𝗶 𝗟𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗨𝗹𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗪𝗮𝗺𝗲𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮! - 𝖬𝖻𝖺𝗋𝖺𝗄 𝖠𝗐𝖾𝗌𝗈
zhlédnutí 8KPřed 2 měsíci
𝗠𝗶𝗿𝗮𝗮 𝗛𝗮𝘆𝗮𝗳𝗮𝗶 𝗟𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗨𝗹𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗪𝗮𝗺𝗲𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮! - 𝖬𝖻𝖺𝗋𝖺𝗄 𝖠𝗐𝖾𝗌𝗈
𝗨𝘀𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝘇𝗶𝗲 𝗨𝗵𝘂𝗻𝗶 / 𝗨𝗿𝗮𝗶𝗯𝘂 𝗞𝘄𝗮 𝗞𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗔𝗷𝗶𝗿𝗮 | 𝗡𝗷𝗼𝗼𝗻𝗶 𝗛𝗮𝗽𝗮 𝗠𝘀𝗸𝗶𝘁𝗶𝗻𝗶 𝗞𝗮𝘇𝗶 𝗭𝗶𝗽𝗼!
zhlédnutí 2,8KPřed 3 měsíci
𝗨𝘀𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝘇𝗶𝗲 𝗨𝗵𝘂𝗻𝗶 / 𝗨𝗿𝗮𝗶𝗯𝘂 𝗞𝘄𝗮 𝗞𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗔𝗷𝗶𝗿𝗮 | 𝗡𝗷𝗼𝗼𝗻𝗶 𝗛𝗮𝗽𝗮 𝗠𝘀𝗸𝗶𝘁𝗶𝗻𝗶 𝗞𝗮𝘇𝗶 𝗭𝗶𝗽𝗼!
𝗠𝗶𝗿𝗮𝗮 / 𝗠𝘂𝗴𝘂𝗸𝗮𝗮 | 𝗡𝗮𝘀𝗮𝗵𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗩𝗶𝗷𝗮𝗻𝗮 𝗪𝗲𝘁𝘂!
zhlédnutí 1,9KPřed 3 měsíci
𝗠𝗶𝗿𝗮𝗮 / 𝗠𝘂𝗴𝘂𝗸𝗮𝗮 | 𝗡𝗮𝘀𝗮𝗵𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗩𝗶𝗷𝗮𝗻𝗮 𝗪𝗲𝘁𝘂!
𝗦𝗼𝗺𝗲𝘀𝗵𝗲𝗻𝗶 𝗔𝗾𝗲𝗲𝗱𝗮𝗵 𝗬𝗮 𝗔𝗵𝗹 𝗦𝘂𝗻𝗻𝗮𝗵 𝗧𝘂𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗡𝗮𝗻𝗶 𝗠𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶
zhlédnutí 3,3KPřed 3 měsíci
𝗦𝗼𝗺𝗲𝘀𝗵𝗲𝗻𝗶 𝗔𝗾𝗲𝗲𝗱𝗮𝗵 𝗬𝗮 𝗔𝗵𝗹 𝗦𝘂𝗻𝗻𝗮𝗵 𝗧𝘂𝗷𝘂𝘄𝗲 𝗡𝗮𝗻𝗶 𝗠𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶
𝗠𝗮𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝘃𝗮𝗮 / 𝗞𝘂𝗷𝗶𝗳𝗮𝗻𝗮𝗻𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗔𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗵𝘀𝘂𝘀𝗶 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗳𝗶𝗿𝗶
zhlédnutí 2,2KPřed 3 měsíci
𝗠𝗮𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝘃𝗮𝗮 / 𝗞𝘂𝗷𝗶𝗳𝗮𝗻𝗮𝗻𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗔𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗵𝘀𝘂𝘀𝗶 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗳𝗶𝗿𝗶
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗛𝗮𝘄𝗮𝗳𝗮𝗵𝗮𝗺𝘂 𝗠𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗡𝗮 𝗩𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶
zhlédnutí 1,8KPřed 3 měsíci
𝗠𝗮𝗵𝗶𝘇𝗯𝗶 𝗛𝗮𝘄𝗮𝗳𝗮𝗵𝗮𝗺𝘂 𝗠𝗶𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗡𝗮 𝗩𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶
𝕄𝕒𝕙𝕚𝕫𝕓𝕚 | 𝗠𝗳𝗮𝗻𝗼 𝗪𝗮 𝗠𝗮𝘆𝗮𝗶 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗲 𝗞𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗞𝗮𝗽𝘂 𝗠𝗼𝗷𝗮!
zhlédnutí 1,9KPřed 3 měsíci
𝕄𝕒𝕙𝕚𝕫𝕓𝕚 | 𝗠𝗳𝗮𝗻𝗼 𝗪𝗮 𝗠𝗮𝘆𝗮𝗶 𝗡𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗲 𝗞𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗞𝗮𝗽𝘂 𝗠𝗼𝗷𝗮!

Komentáře

  • @shankochonde-wc1po
    @shankochonde-wc1po Před 8 hodinami

    Masalafi jameni wenye wanawaona hata tmani kuingia Hadi dini

  • @user-tr6rq4ok9g
    @user-tr6rq4ok9g Před 10 hodinami

    ومن الناس من طبعه طبع خنزير يمر بالطيبات فلا يلوي عليها ، فإذا قام الإنسان عن رجيعه قمه ، وهكذا كثير من الناس يسمع منك ويرى من المحاسن أضعاف أضعاف المساوئ فلا يحفظها ولا ينقلها ولا تناسبه ، فإذا رأى سقطة أو كلمة عوراء وجد بغيته وما يناسبها فجعلها فاكهته ونقله .

  • @tawakalally9074
    @tawakalally9074 Před 11 hodinami

    Nasaha hutangulia mwanzo wa tuhuma na radd. Misingi ikikiukwa kinachofuata ni kueneza chuki na mipasuko. Mnafanya sunnah ionekane kituko wakati ndo haki yatakiwa kuigwa. Mko wapi nyie ikhwaa?

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před 19 hodinami

    Total approved failure Daawa. Daawat Salafiya ni kazi Tukufu sana lakini imevamiwa na wazee wa riaa na sum'a,hasadi na khusuma. Tujikague, tujifunze Usulubu wa Daawat Salafiya. Tuache ushabiki. Nyie mnasema Dr.Islam akae ajifunze, kumbe nyinyi mnatakiwa pia mjifunze. Ushahidi upo tele katika Kitabu na Sunnah kwamba hii si Daawat Salafiya. Ni mihemuko na matamanio.

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před 19 hodinami

    Wazee khusuma katika ubora wao wakiamua kumsakama mja wa ALLAH SUBHANAHU WATAALA. Sio wakweli kwani wapo miongoni mwao wamekwenda fyongo lakini wanaambizana wayaache. Dr.Islam (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amuhifadhi) tokea ziara yake 19 Tanga, amekuwa akisakamwa sana na wazee khusuma. Assalafi Asswalih walikuwa wepesi wa kusamehe, waelekezaji wenye hekima na busara, wapole wenye kujuwa na bora ya kuwanasihi watu.Hawa wanatowa maneno yasiyofaa ktk mimbar zipo clips hazipendezi. Lakini kwa kuwa wamejipa hati miliki ya Uislamu hawakosei. Na hii ni katika mapungufu ya kiaqida. Total approved failure Daawa. Daawa hii haina asili katika Uislamu.

  • @omarjuma3793
    @omarjuma3793 Před 19 hodinami

    Majadida tunazidi kuwaelewa Allah anawafedhehesha sasa hiyo ndo nn ukisem hivyo ndo utamuondoa uchamung wake na ilmu yake achen hizo majadida bwan.

  • @Aymanland
    @Aymanland Před 19 hodinami

    Yaani hadi kukosea Jina nako, au kuchanganya majina ndio nayeneywe mtu anapigwa Radd subhaana Allah ‼️😭 Tunako Elekeza ni kubaya , Masheikh kaeni chini mnatumikishwa na shetani kupitia mlango wa kutetea Dini . Radd vitu vinavyo Ingia Akilini sio mpaka kuteleza kwa mtu kwa jambo lisilo mtoa katika Haqq Eti nalo Unaradd , watakuja wenye akili watakuona hukuwa na lengo la dini, yaani imekuwa kama wasanii sasa kila kitu Uradd ili mwenzio aonekane dhalili wewe upo juu utaumbuka mda sio mrefu.

  • @MikidadiShaban
    @MikidadiShaban Před 20 hodinami

    Allah ambaariki sheikh wetu abuu faadhir dawa yake ipo wazi

  • @ibrahimfaraj8103
    @ibrahimfaraj8103 Před 22 hodinami

    Ama kweli chuki na hasad ni kitu hatari, hivi kukosea jina la mwenye kitabu ni ukafiri,,,,,,,,hasad itawamaliza,,,,,,eti munailinda dini,,,,,,Allahu mustaan.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 22 hodinami

    Jamani hawa watu wametahdharishwa kwwnye vitabu vya wanazuoni ni kuwatupilia mbali na hiko chama chao, mashia makundi mengi yanapoteza watu masufii, mashia wanatukana maswahaba kama mnauchungu na dini pambaneni na hao watu kuliko nguvu zenu kuzielekeza kwa mtu ambae msomi yupo katika man hajji ya ahlsuna, kuna binadamu aso kosea huyo mafuta mwenyewe, kila siku anakosea na watu hawamsemi mna chuki na dr islamu mtakufa na hikdi zenu moyoni na mpk mnakufa mtakuwa mnamtaja dr islamu maana kawakalia makooni mwenu, mnajifanya mna usalafi kumbe usalafi uko mbali na ninyi kabisa wengine wamekamatwa juzi ana kadi ya ccm, anajihusisha na siasa kada wa ccm mdogo ake mafuta, mbona hamsemi huyoo na mwwngine kaacha man hajji saivi anakata ndombolo na kwaya na wanawake na wanaume hivi ndo maipo ya watu madhalimu ninyi majadida mmepotea njia na mtakwenda kujibu kwa allah jinsi mnavyo wafanyia watu dhulma.Allah hapendi kabisa na mnamchukiza sana sijui uislamu upi mlonao ninyi.

  • @tayt4086
    @tayt4086 Před 22 hodinami

    Hii channel itakosa post bila kumzungumza dr islam

  • @YusuphSadiki
    @YusuphSadiki Před dnem

    Hivi WEWE HIZBI UKO TEALI KUFA NAHUO UHIZIBI WAKO???NAUKO TEALI KUSEMA HIYO NI HAQQ IOGOPENI SIKU YAMWISHO. NDO MTAJUA KUWA MLIKUA KWENYE BATWILI WENZENU WAMEKUFA WANAHALI HIO JE NAWW UKO TEALI KUFA NA HALI HIO????!!!

  • @user-os2kv7re2k
    @user-os2kv7re2k Před dnem

    Alafu maneno anayo yaongea kuusu financing pia yapimwa na maneno ya wanachuoni kupitia Dalili ktk qur’an na sunna mnakaa mnawatukana watu ata hawausiki iyo ni khiyana na wallah km hamkutubia mutakwenda kusimama nao mbele za haqqi chungeni sana

  • @user-os2kv7re2k
    @user-os2kv7re2k Před dnem

    Allah musta3aan hivi nyinyi hamuoni km mwajichanganya maneno aliyo yaongea uyo mnae mwita Doctor je ndivyo dini inavyo sema je ndivyo mtume alivyo fundisha km Hpn kwa nn tusikubali haqqi na tuache ushabiki

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Před dnem

    Shekhe amefasiri Quran makosa, mwajua muna makosa mingi katika duruss zenu, ila watu wahashughuliki sababu si katika mambo ya kupeleka Dini, sababu ya lakabu ya Mtu mwaona ni sawa na kumdhuufisha mtu kwenye mitandao, Allah Hakeem, Na Allah Anajua ni kipi munacho takiwa kufanya kama warithi wa Mitume katika ardhi hii

  • @user-pd6dw4zo2j
    @user-pd6dw4zo2j Před dnem

    Acheni chuki na duktur islam kusahau ni jamb la kila mwanaadam

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu Před 23 hodinami

      Chuki yetu na kupenda kwetu ni kwa ajili ya Allah

    • @khamisjuma8813
      @khamisjuma8813 Před 12 hodinami

      Kila siku zikisonga mbele ndiyo tunazidi kuwabaini majadida ni nani. Hatushughuliki na kikundi chao. Dk Islam Allah amhifadhi tunazidi kuchukua elimu kutoka kwake. Nyinyi mwiteni kila jina lakini sisi hatujali maana majadida mumemfanya mafuta kama ni Mtume na Humeid kama ni swahaba. Watu hawashughuliki na mafuta saivi.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj

    Mawahabi elimu Yao Haina faida.hawawezi kumtoa asiyekua muislamu Kwenye dini yake na kumuingiza ktk uislaamu.

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 Před dnem

    Huyu jamaa alietngeza clip hii inaonesha anaroho mbaya na Wala inaonesha hana elimu ya muongozo wa elimu ya Mazingira.

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 Před dnem

    Mantiki ya clip hii ni ipi katika Uislamu?

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Před dnem

    Katika dini ya kiislaam mtu anaedhihirisha kosalake mbele ya watu basi akikosolewa haiesabiki kuwa eti anasengenywa na ndio maana islami anajibiwa kwa7bu anakosolewa hapa

    • @mehmedmehmed6704
      @mehmedmehmed6704 Před 20 hodinami

      Hii yaitwa kejeli na sikukosowa huku akhi na ndugu tuwacheni ushabiki hakuna wanazuoni walio kosea wakakosolewa kama hivi

    • @omarjuma3793
      @omarjuma3793 Před 19 hodinami

      Acha ujadida wewe tunaaza kuwajua mwajifana masalaf kumb chuki na kibri ndo vyenu nyie majadida tu.

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Před dnem

    Akhuu allah akubaariki naomba namba yako yako

  • @awadhtwalal8951
    @awadhtwalal8951 Před dnem

    Nyie pia acheni nukuuu za uongo!!! Hamuoni makosa yenu!!! Kwa duktur ni nukuu za uongo!!! Kwenu ni kuteleza kwa ulimi na kusahau?! Mbona hamuna inswaafu mitapeli ya kiuongo?! Mangapi mmekosea!! Fadhali mara pia daktuur huenda kateleza Nanyi mwasoma mbele ya kitabu pia mnakosea kusoma ibara za kiarabu!!! Ipi aibu zaidi!!! Mara ngapi kakosea kusoma ibara za kirabu dilele!! Abu hashim kakosea mara ngapi?! Hayo hamyaoni!!! Tena mbele yao pana kitabu!! Aibu!!

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Před dnem

      Mitapeli ya kidini na kisiasa pia!! Dini hamuitendei haki!! Wala dunia na siasa hamuitendei haki!! Uko chamani dhihirisha uanachama wako!! Kazi gani kujificha!! Uza sera za CCM inavostahiki!! Mbona unaidogosha chama tawala!!! Tendea haki dini na utendee haki chama!! Wasuasua kazi gani!! Tujitokezeni sote kuuza sera za dini na chama!! Waswasi wa nini majameni!😂😊

  • @AmirAmour-tx1ws
    @AmirAmour-tx1ws Před dnem

    KILA KITU KINA UTARATIBU WAKE KAMA UMESHINDWA KUMFATA MSOMI MWENZAKE MKAYA JENGA , BASI ACHENI UNAFIQ NA KUJINADI

  • @AmirAmour-tx1ws
    @AmirAmour-tx1ws Před dnem

    MNATAKA WATU WAWAONE MNA ELIMU KWA KUWASOA WASOMI WENGINE , KAMA MKISHINDWA KUWAHESHIMU WASOMI WENZENU BASI NA NYINYI MTADHARAULIWA

  • @idrisamara6510
    @idrisamara6510 Před dnem

    Doctur ana elimu ila hafanyi revision na kudhibiti usahihi wa mambo kama yalivyo kwenye vitabu asili. Huko ni kufeli ktk njia za kielimu

    • @mehmedmehmed6704
      @mehmedmehmed6704 Před 20 hodinami

      Ulimuona au waishi nae hiyo Qur'an mtu hufanya revision n hukosea hivyo hivyo n yuwafanya Kila siku zinduka

  • @AmirAmour-tx1ws
    @AmirAmour-tx1ws Před dnem

    Mwenye hii account na wengi wenye account za youtube miongoni mwa wanafunzi wa kisalafi wamebeba kibri vifuani na hawana hikma wala ufahamu wa ilmu wanayoisoma , ukiona mwanafunzi anagonganisha waalimu kihoja na kielimu ujue kusoma kashindwa na hao ndio walioshindwa kusoma secular sasa wanasoma dini kutafuta maisha , ACHENI KUTAFUTIA MAISHA KUPITIA DINI , Vijana wa kisalafi , hamna adabu hamna hekima hata kuwakopa hela ni shida maaana… MASALAFI ELIMIKENI ,

    • @yangayanga1553
      @yangayanga1553 Před dnem

      Sio masalafi hao ni wapumbavu fulani hawajielewi wakishasoma makala mbili tatu za Fatua za mashekhe wanaowakubali wanajiona wana elimu

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Před dnem

      Wanatafuta hela tu hawa!! Matapele katika dini ya Allah!! Wanadhani usalafi ni CCM, wamekosa kazi sasa tabia zao zinkua za kike na kama za vyama vya kisiasa!! Kudadisi na kuzua uongo!!! CCM hoyyeeeeeeee🎉

  • @idrisamara6510
    @idrisamara6510 Před dnem

    Mahizbi Suruuri wanachukia sana haki kwa vile haipo kwao

  • @YusufuMustafa-c5m
    @YusufuMustafa-c5m Před dnem

    Ndugu zangu tuacheni ushabiki mashekhe wa akhil sunnah wanapokosoa mafundisho ya Uongo kwa dalili toka kwa baadhi ya mashekhe sio kutafuta sifa bali ni juhudi za kuhakikisha dini inatufikia waislam kama alivyokuja nayo mtume wetu na walivyoielewa na kuichukua maswahaba mpaka kufikia kubashiriwa janna sasa ukisema shekh akamuambie shekh wako ilihali alichokisema kinaiathiri jamii ili mim na ww tuitambue haki ili tuweze kuifuata na batwil tuweze kuiacha?Kwa hiyo tukiacha ushabiki tutamuelewa shekh Qassim mafuta na wenzie na tutapata faida kubwa sana ktk dini yetu.Tumuobe Allah atuongoze na awahifadhi mashekhe zetu

  • @Nature-xe7lu
    @Nature-xe7lu Před dnem

    duktur umeanza utapeli. pengine hata hicho kitabu hujui kimekaa vipi

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq

    Ahlul Sunnah woljamaa salafiyya ni jesho ambalo kwamba Allah aliwachagua kuilinda dini yke

  • @HamzaAli-cw7qg
    @HamzaAli-cw7qg Před dnem

    Acheni chuki nyie ndio mketi chini msome hamna usalafi wowote uwapo kweli akona makosa mbona msimfate mkamueleza keleletu ndio yenu.

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Před dnem

      Sababu tabia waliokua nazo wao na mashekhe wao ni tabia za kike!!! Huyo wa ghufeli, kaulizwa siku moja kama ashawai kusoma swahihu muslim chote, akajibu bado hajakisoma.

  • @SuleimanKahangwa-oj9eh

    Mbumbavu mafuta ajielewi

    • @user-ov9nj7hp1s
      @user-ov9nj7hp1s Před dnem

      اتقي الله يا عبد الله

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Před dnem

      @@user-ov9nj7hp1s Kwakua kaambiwa mafuta ndio unasema hivi!!! Mulokosa ustaarabu na uadilifu watu nyinyi!!!

  • @SuleimanKahangwa-oj9eh

    Uyo umeid anaongea kama ameshikwa pumbu

    • @rodgersmartin7336
      @rodgersmartin7336 Před dnem

      Umemshika ww

    • @abuuuyaynah8801
      @abuuuyaynah8801 Před dnem

      Ndio ameshikwa na mama yako khanithi wa kiume wewe Ukicoment uwe na sdabu maana hat ss twaweza ktukana

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr Před dnem

    Ndio kawaida yenu munajiita masalafi waongoo hatarii kazi yenu kudanganya waislamu tu mbwaa nyiee

  • @zuheirtammam5532
    @zuheirtammam5532 Před dnem

    هَـٰٓأَنتُمْ أُو۟لَآءِ تُحِبُّونَهُمْ وَلَا يُحِبُّونَكُمْ وَتُؤْمِنُونَ بِٱلْكِتَـٰبِ كُلِّهِۦ وَإِذَا لَقُوكُمْ قَالُوٓا۟ ءَامَنَّا وَإِذَا خَلَوْا۟ عَضُّوا۟ عَلَيْكُمُ ٱلْأَنَامِلَ مِنَ ٱلْغَيْظِ ۚ قُلْ مُوتُوا۟ بِغَيْظِكُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌۢ بِذَاتِ ٱلصُّدُورِ

  • @ahmedabdulwahab5444

    ABDALLA DILELE KASOMA WAPI ? ANA DIGRI AW HANA CHOCHOTE CHA CHETI CHA ELIMU YA KISLAMU AU WA KDUNIA

  • @mobilespecialschool4216

    Allah katupa BACHU ,tutawafikia tu huku swala la muda tu, ngoja nimalizane na Mafuta na soloka

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      @@mobilespecialschool4216 Bakini na Bachu wenu hizbi nasisi tubaki na masalafy wetu halafu tuone!

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 Před dnem

      @@ABUUBAAZNYUNGU-j4x aha tuelimishe wenyewe hatutaki kupotea aha tupe elimu kwanini bachu hizbi???

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      @@mobilespecialschool4216 Nshakujibu Bachu Manhaj yake haieleweki.... ni mchanganyiko wa Usalafy, uhizbi, uhajaawirah etc...!!! Kwa ufupi manhaj yake ni manhaji ya KUKUSANYA! Ndo mana kwa bachu akina, Barahiyani, mahajaawirah wote, Kishki, Mohamed Bahero, Yusuph Abdi, Ali Bahero etc wote yeye anasema ni masalafy! Na ashasema ukimlazimisha aseme kuwa hao ni watu wa bida'a basi huo ni Ujadida ! Sasa kama Kishki akiwa Salafy jaman, hii manhaj siishachafuliwa pakubwa sana... hahhaah!

    • @NassoroAmani-o4j
      @NassoroAmani-o4j Před dnem

      ​@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xhajawira ndo Kina Nani.?

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      @@NassoroAmani-o4j Ooooh! Kumbe huwafaham mahajaawirah! Basi Kaa mbali na Bachu kwa kipind hiki hadi pale utakapowajua mahajaawirah! Lasivyo atakulingania katika Manhaj yake na utajikuta unawatetea mahajaawirah! Kiufupi mahajaawirah ni wafuasi wa Yahya Al Hajuuriy ambaye ni mwanachuon wa kisalafy aliyepinda,,, akanasihiwa lakin akaendelea na misimamo yake ya kipindo.. ndo wakambidiisha maulamaa! Ila bado kuna watu bado wanamtetea Yahya Al Hajuuriy, ndo hao wanaitwa mahajaawirah! Ukiwaangalia ni kama masalafy yan, koz wanafuga ndevu, kanzu fupi, hawaoneshi Video darsa zao, hawapigi picha... yan kila kitu! ila shida yao ndo hyo kumtetea Yahya juu ya makosa yake!

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před dnem

    Mafuta bi Jahili wa majahili

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      Bachu wako mwenyew anakili kuwa mafuta ni bahari ya elimu... sasa tukisikilize wewe kibaraka wa bachu 😂

  • @Bardizbah-nr9qi
    @Bardizbah-nr9qi Před dnem

    Mi nadhani tunapo comment kwenye hii Chanel tunazidi tunamuunga mkono huyu mfitinishaji aula zaidi ni kumuach na chuki na fitna zake

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      Acha kucomment, tutacomment sisi

    • @genius0045
      @genius0045 Před dnem

      Ati siwo wanavioni wamatumbo , huyu jamaaa haaana adabu. Ni kina naani hawo maulamaa wa Bahaasha ? ikhwanji na makhawarij wote wanasema wanaziwoni wa saudi ni wa Dolars . Yaa kathaabin yaa mujrimiiin yaa hizbiyuuun .

  • @suleimanjuma1458
    @suleimanjuma1458 Před dnem

    Duktur ni msomi wa sunna wala hamuna sababu ya kumtoa hamujielewi nyinyi kimeeleweka kwamba muwajinga hamuna elimu

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x Před dnem

      @@suleimanjuma1458 Duktur ni Msomi wa uchumi sio dini... 😄😄😄

    • @omaridd7356
      @omaridd7356 Před dnem

      Kwahio Sheikh wa Abu Huraira ni Sheitwan sio??

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před dnem

    Lakini jamani huwa mnajaje kama mtu huyu ana hasad wakati hilo ni jambo lipo moyoni? Ama mnasoma nyoyo za watu, ama ana chuki binafsi?? Mnajuaje kilichoko ndani ya nyoyo za watu???

  • @YusuphAusi
    @YusuphAusi Před dnem

    Jaman, masheakh wa kisalafiii , nyie elezeniii tuu, ukweliii basiii, Alafuu msiweee mnakuwaaa mnajibizanaaa utadhanii movie vilee,, Nyie elezeniii tuu basiii, wakikataaa basiii, lakin mmefikishaaa tayariiii ...

  • @RamadhanMusa-ep1me
    @RamadhanMusa-ep1me Před 2 dny

    Baraka llah fika

  • @YusufuShaibu-t5e
    @YusufuShaibu-t5e Před 2 dny

    Shekh Kasim Allah amuongoze na amsimamie katika kila jambolake la kheri, kwakweli ANAPAMBANA SANA japo wajinga hawamuelewi

  • @user-vr9jl8dh6c
    @user-vr9jl8dh6c Před 2 dny

    Tupeni elimu tumechoka na radd... Fikisheni kwa waumini hata kama ni aya moja kwa sku... munapoteza elimu yenu kunufaisha watu kazi kubwa ni kuangalia shekh huyu kasema nin ili mumradd.. achaneni na mambo hyo tupeni elimu tunufaike

  • @EpcDistributor09
    @EpcDistributor09 Před 2 dny

    Kila mtu hizbi sasa peponi mtakua wachache mno kwa namna hii😅

  • @EpcDistributor09
    @EpcDistributor09 Před 2 dny

    Duktur islam tunaskiza darasa sake za tafsiri ya Quran Radio imaan Allah amhifadhi

  • @user-zv2cp5bz3t
    @user-zv2cp5bz3t Před 3 dny

    Kikubwa kuomb mwish mwem hamuwez kujua Nan mbor acheni kuwadhihak masheikh

  • @user-zv2cp5bz3t
    @user-zv2cp5bz3t Před 3 dny

    Wore ndo hao hao acha kutetea ujing

  • @user-zv2cp5bz3t
    @user-zv2cp5bz3t Před 3 dny

    Masalaf acheni usabas kuwatus masheikh wenzenu huweez juwa Nan mbora kati yenu roho mbay acheni jinga kabisa