Yahitaji kikao kamili! Muhimu sana duktuur uwashambue hawa watu, tunaomba wabainishe katika muhadhara mmoja tujue hili pote limeanza wapi! Maana wamezidi... kisha subiri jawabu lako kwa shkh Qasim Mafuta.
@@user-bp6fb6wo5u hawawez kujibu hoja sabab wako kinyume na Hao wanachuoni wanao Sema n salafiyya qadiima, kama n wakweli waweke wazi Je sheikh Uthaimin aliwakusudia kina sheikh rabii?
Mashekhe Hawa ni wapumbavu Tena ni maibilisi wao nikujifanya Wana elimu kushinda mashekhe wote Acheni upumbavu mashekhe wasanii muko sawa na kina diamond mumebakisha kucheza kiuno tokeni hapa
ktk yaliyonidhihirikia hapo, kumbe Sheikh MUHAMMAD BIN UTHAYMEEN ni ktk wanachuoni waliotetea Sheikh Rabii zaidi kuliko sheikh mwengine yyte ktk walionukuliwa hapo, kinyume na anavyotuaminisha Muhammad Bachu, Barahiyani na Dkt Islam wao wanamtumia Sheikh Muhammad Uthaymeen huyo huyo km ndio njia ya kumchafua Sheikh Rabii na waliochini yake. AJABU KWELI. YANI shekh Ibni uthaymeen anaemtetea sheikh mwenzake Rabii kwa kumtaja jina haswa tena zaidi ya vikao vitatu tofauti na kumtoa ktk ile hizbu salafi anayoipigia kelele muhammad bacho, ndio huyo huyo humtumia kina bin bachu, barahiyan na dkt islam kumtia dowa sheikh rabii kwa kutumia dhana zao tu!!! Ajabu kweli nimebainikiwa wanachokifanya kina muhammad bachu ni zuga tu hamna cha maana.
YANI mm ninapomuangalia sheikh Ibn Uthaymeen, sheikh Fawzaan na sheikh Ibn baaz na wengineo ktk wanachuoni, wote wamesimama kidete kumtetea sheikh Rabii kisha huku kushotoni kuna muhammad bachu, dkt islam na barahiyani (ambao sio wanachuoni bali ni ktk wanafunzi) wamesimama imara kumchafua sheikh Rabii -- akili yangu hainipi picha niwaache wale wanachuoni tuliombiwa turejeree kwao, kusha niwasikilize hawa wanafunzi. YANI SIWEZ KATU.
Sasa wataka yajibiwe vp na hayo maswali alieanza kukuliza ni salim barahian na yashajibiwa na abulfadhil kitambo ni ww umwambie arudie zile audio angalie vizuri asiruipke tu alafu na nyny mujibu yale maswali mliolizwa na abulfadhil mbna mpaka Leo hamjajibu
Asalm alaikum. Naomba ubadilishe iyo picha ya clip Maana wengine watazania ni ileile clip ya Zaman imetumwa Tena. Na wanaweza kupuzia kuitazama Tena. Kumbe ni tofauti. Na Ile ya mwanzo.
Kwa aliye sikiliza hizi audio kuanzia mwanzo ataelewa kwann daktar anasemwa n hizbiyy na kina mdiruu angalia hata mwamadi bacho anavyo ongea wazi yaonyesha anaongea uwongo Ambao hana hoja za ukweli Daktar mwenyewe anazuga akiulizwa swali anazugisha watu.
@@salmyhussein6255 kaka hebu sikiliza kauli za wenye utulivu katika mambo bacho hawez JIBIWA na masheikh mwenyewe hajielew n Sawa na mwanafunzi anamuuliza mwalimu maswali Ambayo hajafikia katika masomo yake, bacho ana mengi Ambayo mwanafunzi hawez onyesha bado anahitajika asome lakn pia masheikh hawajibu kila mtu wengne hupuuzwa mfano wa bacho na wengine katika waropokaji Na kama anataka kujibiwa asubir wanafunzi wakimaliza ratiba zao za masomo watamjibu.
NA hayo maswali ya bacho kuhusu Abu muawiya hahahaha Kwan bacho na Abu muawiya walikua katika Manhaj Sawa? Hv nikisema bacho anakurupuka huelew, nan atamjibu katika hili kama sio makelele mtandaoni, sheikh Qasim Alisha yaelezea mambo yanayo mhusu sheikh Abu muawiya Sasa yeye na Abu muawiya walikua katika Manhaj moja???
@@ibnayub2374 mukijibu maswali mutajulikana kuwa ni watu wabatwil, Qasim mafuta haezi kujibu anajuwa hakki itajulikana, muogopeni.mungu na Hilo kundi lenu Jipya lakutaka kuwagawanya.ahlu Sunna
Akhi sijui unakusudia nini kueka risasi katika picha yako ama ni kumaanisha mnatamani muwaue kina duktur na wale mnaowapinga? Hii si katika usalafi bali ni katika hoja na qawaaid za makhawaarij ya kuwaua waislamu wenye makosa makubwa chini ya shirk kwa hivyo sijui tukuchukilie kwa hiyo sura kuwa ww uko katika manhaj ipi.
@@user-bp6fb6wo5uAl akhy naomba unieleze misingi ya kumbidiisha mtu au kumhizibisha kisha nfahamishe uhizbi wa abu Muawiyah rahimahullah maana sielewi mpaka leo naomba bayana
@@user-bp6fb6wo5u alhamdulillah hatufuati mashekhe wetu mnavowafuata nyinyi.. mmerithi tabia za masufi wanaowachukulia mashekhe wao ni kama mitume... Hii ni chuki kwa mtu ambaye ukiangalia daawa yake haijaenda kinyume na daawa ya wema waliotangulia ila tu ni hasad.
Maswali yapi hayo kama ni yake aliotoa juzi yashajibiwa kitambo tu yalipotolewa na Babu yake zee barahian hivi mahizbi ni hamuskii au ni uzuzu au ni vp
جزاك الله خيرا
Kasim Yuko kwenye haki
ABSHIR. MPAKA KUELEWEKE BAINA YA HAKI NA BATILI. HATA MKACHUKIA MANHAJ SALAFIYUN NI HAKI.
AKHY ALLAH AKUBAARIK...HAKIKA NAZID KUBAINIKIWA NA UHIZBI WA HAWA VIJANA...HAKIKA DAWATUSALAFIYYAH NI HAQQI NA ITABAKI KUWA HAQQI.....
Yahitaji kikao kamili! Muhimu sana duktuur uwashambue hawa watu, tunaomba wabainishe katika muhadhara mmoja tujue hili pote limeanza wapi! Maana wamezidi... kisha subiri jawabu lako kwa shkh Qasim Mafuta.
@@user-bp6fb6wo5u hawawez kujibu hoja sabab wako kinyume na Hao wanachuoni wanao Sema n salafiyya qadiima, kama n wakweli waweke wazi Je sheikh Uthaimin aliwakusudia kina sheikh rabii?
Mashekhe Hawa ni wapumbavu Tena ni maibilisi wao nikujifanya Wana elimu kushinda mashekhe wote
Acheni upumbavu mashekhe wasanii muko sawa na kina diamond mumebakisha kucheza kiuno tokeni hapa
SASALLAM
MUBTADI MKUBWA WEEEEE
Mahizbi hawana lolote ila tu wanasimama kwa malengo yao
Dr Islam na Bachu ni kiboko yao
MPAKA KUELEWEKE!!!
ktk yaliyonidhihirikia hapo, kumbe Sheikh MUHAMMAD BIN UTHAYMEEN ni ktk wanachuoni waliotetea Sheikh Rabii zaidi kuliko sheikh mwengine yyte ktk walionukuliwa hapo, kinyume na anavyotuaminisha Muhammad Bachu, Barahiyani na Dkt Islam wao wanamtumia Sheikh Muhammad Uthaymeen huyo huyo km ndio njia ya kumchafua Sheikh Rabii na waliochini yake. AJABU KWELI.
YANI shekh Ibni uthaymeen anaemtetea sheikh mwenzake Rabii kwa kumtaja jina haswa tena zaidi ya vikao vitatu tofauti na kumtoa ktk ile hizbu salafi anayoipigia kelele muhammad bacho, ndio huyo huyo humtumia kina bin bachu, barahiyan na dkt islam kumtia dowa sheikh rabii kwa kutumia dhana zao tu!!! Ajabu kweli nimebainikiwa wanachokifanya kina muhammad bachu ni zuga tu hamna cha maana.
Mawahabi wote ndio walivyo kujipa kazi zisizo zakwao. Ndio sababu hata wanafananishwa namakafiri
Sisi tusiwasikilize,nyie mnawasikikiza Kisha mnatusikilizisha na sisi watu ambao mlituambia tusiwasikilize.naona kama haiko sawa.
الله مستعان
YANI mm ninapomuangalia sheikh Ibn Uthaymeen, sheikh Fawzaan na sheikh Ibn baaz na wengineo ktk wanachuoni, wote wamesimama kidete kumtetea sheikh Rabii kisha huku kushotoni kuna muhammad bachu, dkt islam na barahiyani (ambao sio wanachuoni bali ni ktk wanafunzi) wamesimama imara kumchafua sheikh Rabii -- akili yangu hainipi picha niwaache wale wanachuoni tuliombiwa turejeree kwao, kusha niwasikilize hawa wanafunzi. YANI SIWEZ KATU.
Kuna maswali 6 kutoka kwa bachu tunaomba majibu yake kama kweli nyinyi muko kwenye hakki
Sasa wataka yajibiwe vp na hayo maswali alieanza kukuliza ni salim barahian na yashajibiwa na abulfadhil kitambo ni ww umwambie arudie zile audio angalie vizuri asiruipke tu alafu na nyny mujibu yale maswali mliolizwa na abulfadhil mbna mpaka Leo hamjajibu
Asalm alaikum. Naomba ubadilishe iyo picha ya clip Maana wengine watazania ni ileile clip ya Zaman imetumwa Tena. Na wanaweza kupuzia kuitazama Tena. Kumbe ni tofauti. Na Ile ya mwanzo.
Abni uthaymi alishawatabiri, hichi ni kukundi kipya kinachougawanya uislamu
Usikurupuke fuatilia video yote utamsikia ibn Uthaymin mwenyewe ALLAAH amrehemu
@@subulus_salaam2023 jibuni maswali 6 kutoka kwa bachu Kama kweli nyinyi muko katika haki
@@subulus_salaam2023 Dr Islam kaeleza uzuri labda muwe na mpango wenu binafsi
Kwa aliye sikiliza hizi audio kuanzia mwanzo ataelewa kwann daktar anasemwa n hizbiyy na kina mdiruu angalia hata mwamadi bacho anavyo ongea wazi yaonyesha anaongea uwongo Ambao hana hoja za ukweli
Daktar mwenyewe anazuga akiulizwa swali anazugisha watu.
Kuna maswali 6 kutoka kwa bachu yajibuni
@@salmyhussein6255 kaka hebu sikiliza kauli za wenye utulivu katika mambo
bacho hawez JIBIWA na masheikh mwenyewe hajielew n Sawa na mwanafunzi anamuuliza mwalimu maswali Ambayo hajafikia katika masomo yake, bacho ana mengi Ambayo mwanafunzi hawez onyesha bado anahitajika asome lakn pia masheikh hawajibu kila mtu wengne hupuuzwa mfano wa bacho na wengine katika waropokaji
Na kama anataka kujibiwa asubir wanafunzi wakimaliza ratiba zao za masomo watamjibu.
NA hayo maswali ya bacho kuhusu Abu muawiya hahahaha Kwan bacho na Abu muawiya walikua katika Manhaj Sawa?
Hv nikisema bacho anakurupuka huelew, nan atamjibu katika hili kama sio makelele mtandaoni, sheikh Qasim Alisha yaelezea mambo yanayo mhusu sheikh Abu muawiya
Sasa yeye na Abu muawiya walikua katika Manhaj moja???
@@ibnayub2374 mukijibu maswali mutajulikana kuwa ni watu wabatwil, Qasim mafuta haezi kujibu anajuwa hakki itajulikana, muogopeni.mungu na Hilo kundi lenu Jipya lakutaka kuwagawanya.ahlu Sunna
Akhi sijui unakusudia nini kueka risasi katika picha yako ama ni kumaanisha mnatamani muwaue kina duktur na wale mnaowapinga? Hii si katika usalafi bali ni katika hoja na qawaaid za makhawaarij ya kuwaua waislamu wenye makosa makubwa chini ya shirk kwa hivyo sijui tukuchukilie kwa hiyo sura kuwa ww uko katika manhaj ipi.
Ukisoma fasihi utaelewa... sio uchukue juu juu tu!!!! Mahizby hawana misimamo.
Na uskilize makini kaka ujue uhizby wa duktuur ni upi, maana nyie wafuasi maskini hamujui uhizby wake...
@@user-bp6fb6wo5uAl akhy naomba unieleze misingi ya kumbidiisha mtu au kumhizibisha kisha nfahamishe uhizbi wa abu Muawiyah rahimahullah maana sielewi mpaka leo naomba bayana
@@user-bp6fb6wo5u sasa fasihi na manhaj ya salafy inaingliana vipi?
@@user-bp6fb6wo5u alhamdulillah hatufuati mashekhe wetu mnavowafuata nyinyi.. mmerithi tabia za masufi wanaowachukulia mashekhe wao ni kama mitume... Hii ni chuki kwa mtu ambaye ukiangalia daawa yake haijaenda kinyume na daawa ya wema waliotangulia ila tu ni hasad.
Munajuwa mukiyajibu maswali ya bachu watu watawajua upotashaji wenu
Mwambie akamjibu dj said mwanzo na yake maswali yetu Kwa barahian alafu atajijibu mwenyewe hayo maswali alouliza
@@abuuawadhassalafy1594 jibuni maswali wacheni ubabaishaji
Maswali yapi hayo kama ni yake aliotoa juzi yashajibiwa kitambo tu yalipotolewa na Babu yake zee barahian hivi mahizbi ni hamuskii au ni uzuzu au ni vp
@@salmyhussein6255alafu mbna nyny hamjajibu bado yetu tuliowapa baada ya kujibu yenu???
@@salmyhussein6255Kisha Kuna dj said pia awangoja ataka ajibu lake mmeshindwa kumpa