Video není dostupné.
Omlouváme se.

𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Tatu)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2024
  • ‪@fauzproduction‬ ‪@alhilalymediapro‬ ‪@salimbarahiyan9406‬ ‪@SheikhSalimBarahiyan‬‪@naswaha‬ ‪@IHSAANTV‬

Komentáře • 45

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth Před měsícem +5

    جزاك الله خيرا

  • @SadaAbdallah-z9t
    @SadaAbdallah-z9t Před 28 dny

    Kasim Yuko kwenye haki

  • @ismailmohamed41
    @ismailmohamed41 Před měsícem +4

    ABSHIR. MPAKA KUELEWEKE BAINA YA HAKI NA BATILI. HATA MKACHUKIA MANHAJ SALAFIYUN NI HAKI.

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem +8

    AKHY ALLAH AKUBAARIK...HAKIKA NAZID KUBAINIKIWA NA UHIZBI WA HAWA VIJANA...HAKIKA DAWATUSALAFIYYAH NI HAQQI NA ITABAKI KUWA HAQQI.....

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před měsícem +3

    Yahitaji kikao kamili! Muhimu sana duktuur uwashambue hawa watu, tunaomba wabainishe katika muhadhara mmoja tujue hili pote limeanza wapi! Maana wamezidi... kisha subiri jawabu lako kwa shkh Qasim Mafuta.

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před měsícem

      @@user-bp6fb6wo5u hawawez kujibu hoja sabab wako kinyume na Hao wanachuoni wanao Sema n salafiyya qadiima, kama n wakweli waweke wazi Je sheikh Uthaimin aliwakusudia kina sheikh rabii?

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Před měsícem +1

    Mashekhe Hawa ni wapumbavu Tena ni maibilisi wao nikujifanya Wana elimu kushinda mashekhe wote
    Acheni upumbavu mashekhe wasanii muko sawa na kina diamond mumebakisha kucheza kiuno tokeni hapa

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před měsícem +1

    SASALLAM
    MUBTADI MKUBWA WEEEEE

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq Před měsícem +3

    Mahizbi hawana lolote ila tu wanasimama kwa malengo yao

  • @abdiosman6031
    @abdiosman6031 Před měsícem

    Dr Islam na Bachu ni kiboko yao

  • @YusufAli-gc9cu
    @YusufAli-gc9cu Před měsícem +3

    MPAKA KUELEWEKE!!!

  • @AbdulbasitAkida-ui2du
    @AbdulbasitAkida-ui2du Před měsícem +2

    ktk yaliyonidhihirikia hapo, kumbe Sheikh MUHAMMAD BIN UTHAYMEEN ni ktk wanachuoni waliotetea Sheikh Rabii zaidi kuliko sheikh mwengine yyte ktk walionukuliwa hapo, kinyume na anavyotuaminisha Muhammad Bachu, Barahiyani na Dkt Islam wao wanamtumia Sheikh Muhammad Uthaymeen huyo huyo km ndio njia ya kumchafua Sheikh Rabii na waliochini yake. AJABU KWELI.
    YANI shekh Ibni uthaymeen anaemtetea sheikh mwenzake Rabii kwa kumtaja jina haswa tena zaidi ya vikao vitatu tofauti na kumtoa ktk ile hizbu salafi anayoipigia kelele muhammad bacho, ndio huyo huyo humtumia kina bin bachu, barahiyan na dkt islam kumtia dowa sheikh rabii kwa kutumia dhana zao tu!!! Ajabu kweli nimebainikiwa wanachokifanya kina muhammad bachu ni zuga tu hamna cha maana.

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před 26 dny

    Mawahabi wote ndio walivyo kujipa kazi zisizo zakwao. Ndio sababu hata wanafananishwa namakafiri

  • @Ajiib-gwazai
    @Ajiib-gwazai Před měsícem +1

    Sisi tusiwasikilize,nyie mnawasikikiza Kisha mnatusikilizisha na sisi watu ambao mlituambia tusiwasikilize.naona kama haiko sawa.

  • @okwirioby3803
    @okwirioby3803 Před měsícem

    الله مستعان

  • @AbdulbasitAkida-ui2du
    @AbdulbasitAkida-ui2du Před měsícem

    YANI mm ninapomuangalia sheikh Ibn Uthaymeen, sheikh Fawzaan na sheikh Ibn baaz na wengineo ktk wanachuoni, wote wamesimama kidete kumtetea sheikh Rabii kisha huku kushotoni kuna muhammad bachu, dkt islam na barahiyani (ambao sio wanachuoni bali ni ktk wanafunzi) wamesimama imara kumchafua sheikh Rabii -- akili yangu hainipi picha niwaache wale wanachuoni tuliombiwa turejeree kwao, kusha niwasikilize hawa wanafunzi. YANI SIWEZ KATU.

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před měsícem +1

    Kuna maswali 6 kutoka kwa bachu tunaomba majibu yake kama kweli nyinyi muko kwenye hakki

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 Před měsícem

      Sasa wataka yajibiwe vp na hayo maswali alieanza kukuliza ni salim barahian na yashajibiwa na abulfadhil kitambo ni ww umwambie arudie zile audio angalie vizuri asiruipke tu alafu na nyny mujibu yale maswali mliolizwa na abulfadhil mbna mpaka Leo hamjajibu

  • @AbulqassimAshirazy-yd7th
    @AbulqassimAshirazy-yd7th Před měsícem

    Asalm alaikum. Naomba ubadilishe iyo picha ya clip Maana wengine watazania ni ileile clip ya Zaman imetumwa Tena. Na wanaweza kupuzia kuitazama Tena. Kumbe ni tofauti. Na Ile ya mwanzo.

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před měsícem +1

    Abni uthaymi alishawatabiri, hichi ni kukundi kipya kinachougawanya uislamu

    • @subulus_salaam2023
      @subulus_salaam2023 Před měsícem +2

      Usikurupuke fuatilia video yote utamsikia ibn Uthaymin mwenyewe ALLAAH amrehemu

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      @@subulus_salaam2023 jibuni maswali 6 kutoka kwa bachu Kama kweli nyinyi muko katika haki

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      @@subulus_salaam2023 Dr Islam kaeleza uzuri labda muwe na mpango wenu binafsi

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Před měsícem +3

    Kwa aliye sikiliza hizi audio kuanzia mwanzo ataelewa kwann daktar anasemwa n hizbiyy na kina mdiruu angalia hata mwamadi bacho anavyo ongea wazi yaonyesha anaongea uwongo Ambao hana hoja za ukweli
    Daktar mwenyewe anazuga akiulizwa swali anazugisha watu.

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      Kuna maswali 6 kutoka kwa bachu yajibuni

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před měsícem +1

      @@salmyhussein6255 kaka hebu sikiliza kauli za wenye utulivu katika mambo
      bacho hawez JIBIWA na masheikh mwenyewe hajielew n Sawa na mwanafunzi anamuuliza mwalimu maswali Ambayo hajafikia katika masomo yake, bacho ana mengi Ambayo mwanafunzi hawez onyesha bado anahitajika asome lakn pia masheikh hawajibu kila mtu wengne hupuuzwa mfano wa bacho na wengine katika waropokaji
      Na kama anataka kujibiwa asubir wanafunzi wakimaliza ratiba zao za masomo watamjibu.

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před měsícem


      NA hayo maswali ya bacho kuhusu Abu muawiya hahahaha Kwan bacho na Abu muawiya walikua katika Manhaj Sawa?
      Hv nikisema bacho anakurupuka huelew, nan atamjibu katika hili kama sio makelele mtandaoni, sheikh Qasim Alisha yaelezea mambo yanayo mhusu sheikh Abu muawiya
      Sasa yeye na Abu muawiya walikua katika Manhaj moja???

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      @@ibnayub2374 mukijibu maswali mutajulikana kuwa ni watu wabatwil, Qasim mafuta haezi kujibu anajuwa hakki itajulikana, muogopeni.mungu na Hilo kundi lenu Jipya lakutaka kuwagawanya.ahlu Sunna

  • @adilmansur4177
    @adilmansur4177 Před měsícem +2

    Akhi sijui unakusudia nini kueka risasi katika picha yako ama ni kumaanisha mnatamani muwaue kina duktur na wale mnaowapinga? Hii si katika usalafi bali ni katika hoja na qawaaid za makhawaarij ya kuwaua waislamu wenye makosa makubwa chini ya shirk kwa hivyo sijui tukuchukilie kwa hiyo sura kuwa ww uko katika manhaj ipi.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před měsícem +1

      Ukisoma fasihi utaelewa... sio uchukue juu juu tu!!!! Mahizby hawana misimamo.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před měsícem +1

      Na uskilize makini kaka ujue uhizby wa duktuur ni upi, maana nyie wafuasi maskini hamujui uhizby wake...

    • @ramaqaasim239
      @ramaqaasim239 Před měsícem +1

      ​@@user-bp6fb6wo5uAl akhy naomba unieleze misingi ya kumbidiisha mtu au kumhizibisha kisha nfahamishe uhizbi wa abu Muawiyah rahimahullah maana sielewi mpaka leo naomba bayana

    • @adilmansur4177
      @adilmansur4177 Před měsícem +1

      @@user-bp6fb6wo5u sasa fasihi na manhaj ya salafy inaingliana vipi?

    • @adilmansur4177
      @adilmansur4177 Před měsícem +1

      @@user-bp6fb6wo5u alhamdulillah hatufuati mashekhe wetu mnavowafuata nyinyi.. mmerithi tabia za masufi wanaowachukulia mashekhe wao ni kama mitume... Hii ni chuki kwa mtu ambaye ukiangalia daawa yake haijaenda kinyume na daawa ya wema waliotangulia ila tu ni hasad.

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před měsícem

    Munajuwa mukiyajibu maswali ya bachu watu watawajua upotashaji wenu

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 Před měsícem +1

      Mwambie akamjibu dj said mwanzo na yake maswali yetu Kwa barahian alafu atajijibu mwenyewe hayo maswali alouliza

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      @@abuuawadhassalafy1594 jibuni maswali wacheni ubabaishaji

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 Před měsícem

      Maswali yapi hayo kama ni yake aliotoa juzi yashajibiwa kitambo tu yalipotolewa na Babu yake zee barahian hivi mahizbi ni hamuskii au ni uzuzu au ni vp

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 Před měsícem

      ​@@salmyhussein6255alafu mbna nyny hamjajibu bado yetu tuliowapa baada ya kujibu yenu???

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 Před měsícem

      ​@@salmyhussein6255Kisha Kuna dj said pia awangoja ataka ajibu lake mmeshindwa kumpa