@aishathabit3732 ima umtu wa chuki ama umjinga ,,,hayo madai yako sheikh yuko mbali nayo ,,,tupe dalili wapi anatetea mathwaaguut na kufarakanisha umma?,,tuonyeshe
@@ABUUJAAFAR92 ninyi ndo mpo mbali na haki mmejificha na mwavuli wa wema walotangulia shekhe utheimeeny nae kawalipuwa kwenye kitabu chake nae Ni hizbi Tena kaliweka kundi lenu Hilo Kama makundi ya bidaa yalozuka zama hizi akasema jamat tabligh ikhwan Muslim na kundi lililozuka zama hizi wanaojiita salaffiya katoa dalili na kutahadharisha watu hasa ahlsuna waloshika man hajji salimu mtieni kwenye uhizbi nae shekhe mpo katika ria na ghuruu hizb yenu hiyo kwani imepasuka vipande vipande kila kikundi kimetawanyika subuhana llah Allah awaongoze mnaona mpo katika hakki kumbe bado viziwi tuu
ALLAH AWAHIFADHI WALINGANIZI WA HAKI WA MANHAJ SALAFIYUN KWA KUTAHADHARISHA UMMA KUTOKANA NA WALINGANIZI WAZUSHI WAPOTOFO WARONGO. BAINISHA HAKI NAWAPENDA KWA AJILI YA ALLAH. BARAKA ALLAH LAKUM
Maa shaa Allah! Allah akulipe mwenye hii channel kwa kuunganisha hizo hoja mana wengine tulikuw tunachanganyikiwa kabsa tukiambiwa kuwa hawa watu ni Mahzib coz tuliwaona ni watu wa sunnah na tuliona kama vile wanaonewa
Kila siku mnakazi ya kutukanana tuuu na kutoana kasoro, hali yakua nyote ni waislam. Lazima itakua kuna kitu cha maslahi ya kidunia ndio kinacho wasababishia haya! KWa sababu km ingekua ni dini zaidi basi msinge kua mnanangana hivi kila uchao. Muogopeni Allah.
Kwa lugha za munkari? inawezekana utakacho ongea ndicho haswa kinachotakiwa kifanyike ktk dini lkn ukikifikisha kwa jaziba na maneno sio ya kiungwana ktk jamii sio vzr (mbona Mw/Mungu alimtuma nabii Musa kwa firaun akamwambia umwambie firaun kwa upole, mimi nadhani upole kwa masheikhe wetu ni njia nzr ya kutuelimisha sisi tusiojua dini yetu ila sio kwa mneno machafu twajua pia wao ni watu kama sisi wanayo hasira ila busara ni muhimu.
Shekhe kasmu kwann unapenda kufukunyua sana duuu hiyo nihasadi azann mana malezo yake yapo wazi kwamba inabidi mseme yeye kapinda kitigani kwadalili hizi nahizi ila nyinyi mwalazimisha makosa
Narrated Abu Huraira that the Messenger of Allah (ﷺ) said: "Allah has ninety-nine Names, i.e., one hundred minus one, and whoever believes memorizes them, will enter Paradise; and Allah is witr (one) and loves 'the witr' (i.e., odd numbers)." 📚Sahih al-Bukhari 6410
ilijai nikilusi Dunian mtapata shida sana zama hizi apatokua nasalama mpaka ALLah azisafishe safu za waisilamu nakisha awape nafasi wale wakweli ili achague mashuhadaa ila Kwa sasa mta uzana sana poleni mashekhe kwakazi ngumu miliyo pewa
Qasim ametengeneza Waislamu waliokosa adabu. Waliojawa ushabiki, khusuma na kupenda jidala. Yeye anawaita Waislamu wengine mahizbi, hali ya kuwa yeye ndo hizbi. Aina ya ulinganiaji wake hauna aswli ktkt Daawat Salafiya.
Je inafaa kwako kumwita yeye hizby lakini yeye haifai kukuita wewe hizby? Ikiwa yeye ni hizby basi wewe ni salafiya jadida unawaita watu mahizby. Ikiwa umerudi nyuma kuwa sio hizby, basi ana haki ya kuwazungumzia wazushi kama mwana sunna ili kuweka sawa kama kuwaita mahizby kwa jina Lao stahiki. Kipi kinachokupa wewe nafasi ya kumtusi hali wewe unamlaumu kwa hilo??? Najua maswali haya hayajibiki pole kaka lakini mnajigonga sana.
@@ahmadmzoa74 si Hizbu tu sikia kauli zake utadhani hiyo dini ni mali yake au mali ya babake salafi walikua wanafoka hivyo utadhania Dini shirika lake eti mnasoma wapi hahaha dah yani anataka kila mtu amtii yeye upuuzi mtupu na kibri
WEWE unaejiita Ansar sunna,na hao wanaojiita Salafi ambao kiufupi ni mawahabi ni sawa tu, nyie ni kitu kimoja munawapinga Ahlul sunna waljamaa ambao wanasoma. Maulid lakin wako vizur kidini kuliko nyie makundi mawili munaokufurisha waislamu na kuwatukana masheikh na kuleta tauhid 3 badala ya tauhid moja aliofundisha mtume muhammad S, A, W
Kwanza mche allah ndugu yangu ktk imaani si kila wahabi km mnavyotuita anakufurisha muisilaamu ambae havijathibiti vigezo vya kujufurisha ila kuna watu easiojielewa hao ndo hukufurisha watu na hili si kwa wahabi tu hata nyinyi masufi wa twariqa mnatukufurisha sisi si ni nyinyi mnaotuita sisi ni mayahudi?si ni nyinyi pia mnatuita sisi wa katoliki haya hii ina maana gani mayahudi ni makafiri wakatiliki pia ni makafiri ni wakristo hao sasa je mnatukufurisha hamtukufurishi?kaa chini ujihesabu kwanza kabla haujamsema mwenzako allah ndo anaemjua alie sawa ktk imani yake uilsilamu wa sawa haipinwi kwa maulidi eti anaefanya maulidi ndo yuko sawa au asie fanya maulidi ndo yuko sawa msizitakase nafsi zenu allah na anaejua nani mcha mungu wa kweli hii ni dini ndugu yangu na haya yote tunayo ya komenti kiushabiki tuta ya kuta kwenye vitabu vyetu siku ya qiyaama tuchunge sana nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu pia tutakufa na tutaenda kuulizwa yote tulio yatenda na kusena na kuandika kwa allah ndio marejeo.
YANI MSINGI MKUBWA WA QASSIM MAFUTA NI KUTAFUTA UKUBWA , AWE YEYE JUU KULIKO WENGINE WOOTE, sasa hata QUR'AN ukihifadhi, Huwa unakose ktk kutwalii, hata ktk swala mtu pia Huwa unakosea, sasa mafuta Kawa kama mtoto mdogo, YANI anaitafuta vimakosa ambavyo mtu anavikosea kama ambavyo yeyote anaweza kusoma QUR'AN na Aya zikamchanganya eti kasimu mafuta ndo anajitapa hapo kuwa Fulani Hana elimu, huu ni UTOTO kabisaaaa
BARAHIYAANI NI MJINGA SANA SASA NANI KASEMA UKISEMA HIYU HAYUMO KATIKA MANHAJ ANAKUWA KAKUFURISHWA JE MASUFI WAKO KWENYE MANHAJ YASAWA JE TUME WAKUFURISHA?
Waislam sisi mbona tunayo mengi saaana yanayohusu dini yetu, kuna nini hadi kuanza kusemana kwenye mitandao!kulikoni hapo masheikh? Mbona mnataka kuleta mtengano baina yenu? Maana nyie wote ni wana sunna, hapa kuna nini? Wote mpo ktk haqqi,maana tofauti yenu sio manhajji, Barahiyyan amekukosea wewe hajaikosea sunna. Jamani kuweni ktk njia waliyoishi maswahaba na waliyopita kabla yetu.
Hawq jjamaa wamekuja na hizbi mpya so wataka kheri bali ni washari sana uzuri wanazuoni wametufahamisha kundi hili baado lipo katika upotovu wamejificha kwa kivuli cha wema wqliotangulia
Kwenye picha mushaanza kujuzisha kuwa yafaa kwenye kundi lenu la jangwani na inshaalah kila kitu kitanda kwakua nyie daawa yenu misingi yake mikubwa ni uongo ipo siku mutakua wa kweli muna chuki sana nyie mwataka muwe waungu watu
Nyie salafy mayahudi tu mnaacha kuzungumza matatizo ya umma mnajadili upumbavu wa kutetea na masheikh wenu, badala ya kutetea uislam na uislamu Salafy nyie hakika Saud ametupata sana Tangu Abdulwahab kibaraka wa Uingereza alipo asisi genge hili najisi
Kinachotufanya kila siku tunatengeneza makundi ni mambo mawili makubwa(1) Ni kutofahamu/kujisahaulisha na lengo kuu la uislamu,ambalo ni kutawala(2)Kutotambua/kushughulikia hatari zinazotukabili mfano kubaguliwa ktk mambo mbalimbali.
Acha hasadi na khusuma. Acha kusema yasiyofaa. Umeacha njia, daawa yako ni daawat hizbiya. Wewe kwa jinsi ufanyavyo waweza walau kujifananisha na Manhaj Assalafi Asswalih? Huna akhlaq njema. Kila kuchapo una jambo la kuchochea khusuma.
Ee chuki na hasad zitakupeleka wapi? Alwah ndie mjuzi kama yy ndie alisimama kwenye haki au n ww ila kama una chuki t na hasadi utakwenda mjibu alwah kw hii ndulma!
Kundi la kinamafuta na chama chao kinachojiita masalafi watu wa ghuruu tuh ndomana shelhe utheimeeny kawa twanga na nyundo kichwani mnamtajaga tuuh basi laiti mngekuwa na uwezo wa kufuta maneno yake mngefuta lakini amuwezi mnamtamkaga tuuh ila ile raddi yake amtaki kuisikia majadida
sasa mafuta ANATAKA Watu wakimrekebisha Barahiyani, warekodi KTK mitandao kama anavyo fanya yeye au? sijamuelewa hapo anaposema Barahiyani hata akikosea watu wake hawamrekebishi.
Swali langu je, yeyote ATAKAYE PEWA tazkiya ya kuwa salafi na kassim mafuta, hawezi Tena akakosea na akatoka ktk manhaj assafya? na je yeyote Ambaye hakupewa tazkiya na mafuta hawezi kuwa salafi?
JEE SUNNA NI KUANGALIA MWEZI KWA KUTUMIA MACHO , AU KUTUMIA DARUBIN NA MWENYE KUFUATA BIDA'A MAKAZI YAKE NI MOTONI, KAMA NI HIVYO TEKNOLOJIA ILIPOFIKIA MKE ATAPOFIWA NA MUMEWE APIMWE AKIONEKANA HANA UJAUZITO JEE ASIKAE EDA NA WKT WOWOTE ATAWEZA KUOLEWA?
Hakuna kitu kibaya kama kutia Fitinah kwa Waislamu Yashinda Kuuwa! Kutoka Zamani kuna khtilafu baina ya Ma Sheikh lakini haikuwa hivi mfano wa hawa Super Salafi ..
Sasa hapo kasimu mafuta, mbona anajitafuna tafuna , ndo ameongea Nini sasa Kuhusu fatua ya Ibn Uthaimiin, mbona kaji ng'ata ng'ata TU. sasa jibu si ndio lile lile la Duktur Islam , sasa mafuta hapo ndo kafafanua Nini sasa???
KASSIM MAFUTA, Kajichimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "czcams.com/video/M1dV0lAk8Vs/video.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "
Huyu kassim mafuta ukiskia.rududh.zake.huwa hana la maana la kuzungumza, Huwa hazungumzi makosa ya kiilimu, yeye Huwa anatowa maneno ya kuteta, sijui chuki hizo anazitoa wapi
Heheh Mafuta yanayeyuka hawa hawa hawana tofauti na masufi maana wanafata mishekhe wao mishekhe wao wakishambuliwa wanakua mbogo Mafuta kakaa kimwehu mwehu
Mbona mnatuzonga nyie Mashekhe tushakua hatujui muislamu yupi kafiri yupi Kila siku ujinga ndo huu Kila mmoja mjuaji anajua kuliko Muhammad s.aw. acheni upuuzi na kutukanana. Mmekuwa wajinga waislamu wa East Africa.poleni Kwa ujinga wenu.
Allah subhanahu wataala awahifadhi Dr islam Muhammad salim ni mmoja kati ya mashekh wakubwa na tunastafeed elmu
Nampongeza sana Dr. Islam ,Amekomaa anakua Mwanachuoni kwani anatumia ref. zilizo hai na hii ndio tafauti ya Msomi na kinyume chake
Allah ambaariki sheikh wetu abuu faadhir dawa yake ipo wazi
Wote wapo vzur!japo dr islam is the best
Allah amhifadhi sheikh abul fadhl qaasim mafuta, amrefushie umri na ilmu , hakika daawa yake imenyooka na iko wazi kwa mwenye akili na kutaka haqq.
Amuongoze aache kutetea matwaghuut na kufarikisha umma
@aishathabit3732 ima umtu wa chuki ama umjinga ,,,hayo madai yako sheikh yuko mbali nayo ,,,tupe dalili wapi anatetea mathwaaguut na kufarakanisha umma?,,tuonyeshe
Allah akuongoze mafuta na chama chake Cha new salafi
@user-yj5on8cz3e hamna hoja tatizo lenu ni hilo ,,so bakini na uhizbiyya mpaka siku mtakapojua haqq
@@ABUUJAAFAR92 ninyi ndo mpo mbali na haki mmejificha na mwavuli wa wema walotangulia shekhe utheimeeny nae kawalipuwa kwenye kitabu chake nae Ni hizbi Tena kaliweka kundi lenu Hilo Kama makundi ya bidaa yalozuka zama hizi akasema jamat tabligh ikhwan Muslim na kundi lililozuka zama hizi wanaojiita salaffiya katoa dalili na kutahadharisha watu hasa ahlsuna waloshika man hajji salimu mtieni kwenye uhizbi nae shekhe mpo katika ria na ghuruu hizb yenu hiyo kwani imepasuka vipande vipande kila kikundi kimetawanyika subuhana llah Allah awaongoze mnaona mpo katika hakki kumbe bado viziwi tuu
جزاكم الله خيرا
ALLAH AWAHIFADHI WALINGANIZI WA HAKI WA MANHAJ SALAFIYUN KWA KUTAHADHARISHA UMMA KUTOKANA NA WALINGANIZI WAZUSHI WAPOTOFO WARONGO. BAINISHA HAKI NAWAPENDA KWA AJILI YA ALLAH. BARAKA ALLAH LAKUM
Dkt Islam Mohammed Allah amhifadhi hakika ni sheikh maelezo yake kwa mtu mwenye kuifata haki basi ataelewa ila kwa mwenye kufata ushabiki hatomuelewa
Hakika kila maradhi yanadawayake na hakika shekh kasim mufuta Allah AMUHIFADHI nidawa ya masufi mahizb mashia nk yy ndo panaldo yao
Unajipa faraja sio ,😅😅😅
Kielimu kihoja mafuta ni mdogo sana
Mashallah Doctor Islam, the messages received 🎉🎉🎉
Allah akuhifadhi Sheikh Abuu Fadhli Kassim Mafuta
Wallahi ukisikiliza majibu ya hawa mahizibi ndio utaamini kweli masalaf wapo ktk haki
Wewe hujirlewi wala hukusoma
Hizbi maanake nini vile ..
Na salafi ninini au mwaifanya salafi kuwa ni dini kuliko uislam
Maa shaa Allah! Allah akulipe mwenye hii channel kwa kuunganisha hizo hoja mana wengine tulikuw tunachanganyikiwa kabsa tukiambiwa kuwa hawa watu ni Mahzib coz tuliwaona ni watu wa sunnah na tuliona kama vile wanaonewa
وكذلك نفصل الآيات ولتستبين سبيل المجرمين
@@ahlulhadeeth☑️
Amekosoa nini kwenye elimu?
ameen
Kosa kubwa ni kuwanasibisha wanachuoni wakubwa na kikundi cha masalafy Uchwara kama anavyosema Barahiyani
Kila siku mnakazi ya kutukanana tuuu na kutoana kasoro, hali yakua nyote ni waislam. Lazima itakua kuna kitu cha maslahi ya kidunia ndio kinacho wasababishia haya! KWa sababu km ingekua ni dini zaidi basi msinge kua mnanangana hivi kila uchao. Muogopeni Allah.
Mashaallah dr islam
Mashaalah abuu l fadhili Allah akuzidishie ghilmu
MPAKA KUELEWEKE,,,,,
kivipi
Kwa lugha za munkari? inawezekana utakacho ongea ndicho haswa kinachotakiwa kifanyike ktk dini lkn ukikifikisha kwa jaziba na maneno sio ya kiungwana ktk jamii sio vzr (mbona Mw/Mungu alimtuma nabii Musa kwa firaun akamwambia umwambie firaun kwa upole, mimi nadhani upole kwa masheikhe wetu ni njia nzr ya kutuelimisha sisi tusiojua dini yetu ila sio kwa mneno machafu twajua pia wao ni watu kama sisi wanayo hasira ila busara ni muhimu.
@@kisomekiguwa3706 wacha kupelekwa na hisia ,,,,hiyo shubha nyepesi sana
czcams.com/video/jP0Y8kD0DOU/video.htmlsi=11epG5rWpBCyT7J-
Mashallah
Mawahabi hawa wote wehu wanakejeliana wao kwa wao matwariqa hwez ona hvi
We ndio mwehu kabisa
@@user-ks4hh8jb6k kwan uwongo sa ndo nn apo mnabishana nyie kw nyie mnataka sifaa 🤣
Allah awaongoze nyote ila munatupeleka kubaya
Kasim mafuta bwana mjanja san😂😂😂
Shekhe kasmu kwann unapenda kufukunyua sana duuu hiyo nihasadi azann mana malezo yake yapo wazi kwamba inabidi mseme yeye kapinda kitigani kwadalili hizi nahizi ila nyinyi mwalazimisha makosa
Mcheni mwenyezi mungu...
Allah Amrehemu Abuu Muawiyyah
Allahumma aamiin
Narrated Abu Huraira that the Messenger of Allah (ﷺ) said:
"Allah has ninety-nine Names, i.e., one hundred minus one, and whoever believes memorizes them, will enter Paradise; and Allah is witr (one) and loves 'the witr' (i.e., odd numbers)."
📚Sahih al-Bukhari 6410
duh duh duktuur meza piriton la sivyo utanguka kwa presha.Masalafi c mchezo bana
Ameze nini swali amelijibu
Hizbi salaf
Waisamu kwa waisamu mwaitana makafiri ni mtihani wallah
Sema masalafi kwa masala sio waislamu kwa waislamu
@@abdiazizmohamed444 kwani masalafi siniwaislamu
ilijai nikilusi Dunian mtapata shida sana zama hizi apatokua nasalama mpaka ALLah azisafishe safu za waisilamu nakisha awape nafasi wale wakweli ili achague mashuhadaa ila Kwa sasa mta uzana sana poleni mashekhe kwakazi ngumu miliyo pewa
Qasim ametengeneza Waislamu waliokosa adabu. Waliojawa ushabiki, khusuma na kupenda jidala. Yeye anawaita Waislamu wengine mahizbi, hali ya kuwa yeye ndo hizbi. Aina ya ulinganiaji wake hauna aswli ktkt Daawat Salafiya.
Je inafaa kwako kumwita yeye hizby lakini yeye haifai kukuita wewe hizby?
Ikiwa yeye ni hizby basi wewe ni salafiya jadida unawaita watu mahizby.
Ikiwa umerudi nyuma kuwa sio hizby, basi ana haki ya kuwazungumzia wazushi kama mwana sunna ili kuweka sawa kama kuwaita mahizby kwa jina Lao stahiki.
Kipi kinachokupa wewe nafasi ya kumtusi hali wewe unamlaumu kwa hilo???
Najua maswali haya hayajibiki pole kaka lakini mnajigonga sana.
@@ahmadmzoa74 si Hizbu tu sikia kauli zake utadhani hiyo dini ni mali yake au mali ya babake salafi walikua wanafoka hivyo utadhania Dini shirika lake eti mnasoma wapi hahaha dah yani anataka kila mtu amtii yeye upuuzi mtupu na kibri
Kwanza hakuna mtu hana atabu kama muhammadi bachu
Jmaanii eee Munahkik huyu Mafuta hajachagyikiwa mbna anaropka ovyo anasema hili hajamliza anarukia jengine duh ,Sindano zmempata😂😂😂😂😂
Acha ushabiki, jibu hoja anazoziuliza Sheikh mafuta kwa Dakta Islam
@@abulfidaassalafiyyah pana hoja gni mi naon matusi tu ,Kama kawaida yenu
@@AbAlhuraas na hutaona hoja mpaka utakapo acha chuki nae
Dr Islam hana muda wa kumjibu mtu, ninyi endeleeni kupiga kelele tuuu
Huyu sheikh ni mwelewa sana si mtafuta umaarufu
Acha zako
Tuacheni ushabiki katika dini na tumuogope Allah kikweli
maashaallah جزاك الله خيراً
kasim mafuta mche Allah kwann unamtukana sheikh barahyyani nimkubwa wko nyuma yoote kua nahofu bas acha kibr
Dr Islam ❤❤❤
Hukmu unapea Nani jipee mwenyewe hukmu
Mashaaallanh
ni nani huyo aliyesema atatoa hukmu..na nani ana haki ya kuumu?
Kumbe picha haifai iweje uweke kitu kisicho faa ungeweka sauti tu kwakua sauti zajulikana
WEWE unaejiita Ansar sunna,na hao wanaojiita Salafi ambao kiufupi ni mawahabi ni sawa tu, nyie ni kitu kimoja munawapinga Ahlul sunna waljamaa ambao wanasoma. Maulid lakin wako vizur kidini kuliko nyie makundi mawili munaokufurisha waislamu na kuwatukana masheikh na kuleta tauhid 3 badala ya tauhid moja aliofundisha mtume muhammad S, A, W
Kwanza mche allah ndugu yangu ktk imaani si kila wahabi km mnavyotuita anakufurisha muisilaamu ambae havijathibiti vigezo vya kujufurisha ila kuna watu easiojielewa hao ndo hukufurisha watu na hili si kwa wahabi tu hata nyinyi masufi wa twariqa mnatukufurisha sisi si ni nyinyi mnaotuita sisi ni mayahudi?si ni nyinyi pia mnatuita sisi wa katoliki haya hii ina maana gani mayahudi ni makafiri wakatiliki pia ni makafiri ni wakristo hao sasa je mnatukufurisha hamtukufurishi?kaa chini ujihesabu kwanza kabla haujamsema mwenzako allah ndo anaemjua alie sawa ktk imani yake uilsilamu wa sawa haipinwi kwa maulidi eti anaefanya maulidi ndo yuko sawa au asie fanya maulidi ndo yuko sawa msizitakase nafsi zenu allah na anaejua nani mcha mungu wa kweli hii ni dini ndugu yangu na haya yote tunayo ya komenti kiushabiki tuta ya kuta kwenye vitabu vyetu siku ya qiyaama tuchunge sana nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu pia tutakufa na tutaenda kuulizwa yote tulio yatenda na kusena na kuandika kwa allah ndio marejeo.
YANI MSINGI MKUBWA WA QASSIM MAFUTA NI KUTAFUTA UKUBWA , AWE YEYE JUU KULIKO WENGINE WOOTE, sasa hata QUR'AN ukihifadhi, Huwa unakose ktk kutwalii, hata ktk swala mtu pia Huwa unakosea, sasa mafuta Kawa kama mtoto mdogo, YANI anaitafuta vimakosa ambavyo mtu anavikosea kama ambavyo yeyote anaweza kusoma QUR'AN na Aya zikamchanganya eti kasimu mafuta ndo anajitapa hapo kuwa Fulani Hana elimu, huu ni UTOTO kabisaaaa
Hili ni kwel kabisaa a na ndo Maana alikuwa akimuogopa shekh abuu muawiya kukutane nae asifanye nae mjadala
So true wallah 😅
BARAHIYAANI NI MJINGA SANA SASA NANI KASEMA UKISEMA HIYU HAYUMO KATIKA MANHAJ ANAKUWA KAKUFURISHWA JE MASUFI WAKO KWENYE MANHAJ YASAWA JE TUME WAKUFURISHA?
Salfi wa ki serikali na raisi
Swali langu la leo niku husu Mawahabi je uwahabi ni Uislamu wala ni dini nyingine
Kila akisoma fatwa anaona bdo inawgusa wao ,sas akaona bora aje na swali jipya ili awotoe watu kaitika Fatwa ya ibnu Utheimin Allah amrehemu
Massalfy ndo wakufatwa
tunapo elekea utakuta Kila mmoja ana mlengo WA kujikweza TU, na kujionesha kuwa yeye anaelimu zaidi Kuliko wengine WOOTE.
Waislam naomba msiburuzwe nahawa watu wanao jiuta masalafi wakat nimawahabi niwatu waongo san
Sheikhe mimi si mwenye kuelewa mambo ya dini kwa undani lakini najua lugha mbaya au nzuri ktk jamii nakuomba tumia lugha nzr isiwe lugha ya munkari.
Shida ya qasimu mafuta uchamungu Hana Hana daawa yakumtoa asiekua muisilamu kwenye ukafiri kumleta katika uisilamu
Mafuta anahangaikia aonekane anajua
Yupo katika haki ndio utamfanyaje
Qasimu mafuta udigo mwingi siomlinganiaji anajeuri yakidigo
Anaongea rubsh tupu adabu Hana anajiona anajua wakati nahau anakanyaga
Waislam sisi mbona tunayo mengi saaana yanayohusu dini yetu, kuna nini hadi kuanza kusemana kwenye mitandao!kulikoni hapo masheikh? Mbona mnataka kuleta mtengano baina yenu? Maana nyie wote ni wana sunna, hapa kuna nini? Wote mpo ktk haqqi,maana tofauti yenu sio manhajji, Barahiyyan amekukosea wewe hajaikosea sunna. Jamani kuweni ktk njia waliyoishi maswahaba na waliyopita kabla yetu.
Tatizo Mawahabi walitengenezwa kwasababu yaku gawa Waislamu
إذا ذهب الحياء أتى كل قبيح
Hawq jjamaa wamekuja na hizbi mpya so wataka kheri bali ni washari sana uzuri wanazuoni wametufahamisha kundi hili baado lipo katika upotovu wamejificha kwa kivuli cha wema wqliotangulia
Kwenye picha mushaanza kujuzisha kuwa yafaa kwenye kundi lenu la jangwani na inshaalah kila kitu kitanda kwakua nyie daawa yenu misingi yake mikubwa ni uongo ipo siku mutakua wa kweli muna chuki sana nyie mwataka muwe waungu watu
Kasimu mafuta ni mjanja mjanja mmoja hivi
Nyie salafy mayahudi tu mnaacha kuzungumza matatizo ya umma mnajadili upumbavu wa kutetea na masheikh wenu, badala ya kutetea uislam na uislamu
Salafy nyie hakika Saud ametupata sana
Tangu Abdulwahab kibaraka wa Uingereza alipo asisi genge hili najisi
Dawa ya Sunnah mmeirudisha nyuma sana nyie. Laiti mngepima kwa akili kubwa.
MAWAHABI MNAKANYAGANA WENYE KWAWENYEWE SASA
Tandika hizbi hao
Hiyo so dini ndugu hiko chama chenu kina vurugu tuh wenyewe kwa wenyewe mnatoana katika man haajji kila mtu anamkemea mwenzie so sallafi
Kinachotufanya kila siku tunatengeneza makundi ni mambo mawili makubwa(1) Ni kutofahamu/kujisahaulisha na lengo kuu la uislamu,ambalo ni kutawala(2)Kutotambua/kushughulikia hatari zinazotukabili mfano kubaguliwa ktk mambo mbalimbali.
Aamin
Acha hasadi na khusuma. Acha kusema yasiyofaa. Umeacha njia, daawa yako ni daawat hizbiya. Wewe kwa jinsi ufanyavyo waweza walau kujifananisha na Manhaj Assalafi Asswalih? Huna akhlaq njema. Kila kuchapo una jambo la kuchochea khusuma.
sasa unapambanisha wakati mpambanishaji ushakaa upande moja mwanzo
Ndo ujinga huo xx alioufanya 😂kha
Ee chuki na hasad zitakupeleka wapi? Alwah ndie mjuzi kama yy ndie alisimama kwenye haki au n ww ila kama una chuki t na hasadi utakwenda mjibu alwah kw hii ndulma!
Kundi la kinamafuta na chama chao kinachojiita masalafi watu wa ghuruu tuh ndomana shelhe utheimeeny kawa twanga na nyundo kichwani mnamtajaga tuuh basi laiti mngekuwa na uwezo wa kufuta maneno yake mngefuta lakini amuwezi mnamtamkaga tuuh ila ile raddi yake amtaki kuisikia majadida
Mie wala ata sifahamu, majadida, wahabi, madakhila, subhnallahi uislam unamakundi ?
Nilikuwa nili yifwatilia hii Chanel kwa sababu kujiita #SALAFI kumbe wala
ndio mukome kufata madhebu mufat uslam ili musalimik na ndim za watu n watu walimik kwa uwislamu wenu sio madhhebu yenu
Clip zinazowafuata weka kwa hii hii chanel
sasa mafuta ANATAKA Watu wakimrekebisha Barahiyani, warekodi KTK mitandao kama anavyo fanya yeye au? sijamuelewa hapo anaposema Barahiyani hata akikosea watu wake hawamrekebishi.
Swali langu je, yeyote ATAKAYE PEWA tazkiya ya kuwa salafi na kassim mafuta, hawezi Tena akakosea na akatoka ktk manhaj assafya? na je yeyote Ambaye hakupewa tazkiya na mafuta hawezi kuwa salafi?
JEE SUNNA NI KUANGALIA MWEZI KWA KUTUMIA MACHO , AU KUTUMIA DARUBIN NA MWENYE KUFUATA BIDA'A MAKAZI YAKE NI MOTONI, KAMA NI HIVYO TEKNOLOJIA ILIPOFIKIA MKE ATAPOFIWA NA MUMEWE APIMWE AKIONEKANA HANA UJAUZITO JEE ASIKAE EDA NA WKT WOWOTE ATAWEZA KUOLEWA?
Hawa pia niwatu wanye kutafuta madarak nakujipatia kipato kwa sabb ya dunia t
KWAHIYO USALAFI HAPA TANZANIA NI CHAMA CHA NANI? NA MAKAO MAKUU YAKE NI WAPI?
Chama cha mafuta
Makao makuu ni pongwe
Sijaona Tusi la bachu
Kuna Aya gani au Hadith gani waliyoitafsiri vibaya hao kina Islam na bachu, aliyo warekebisha, au ni chuki zake tu huyo mafuta?
Hivi unapata wapi ujasiri wakuweka picha ya sheikh Islam na ukaficha surayako!!!
Swadaqta Sheikh
Huu mtihani mkubwa.
Super Salafi wana balaa.
Sasa ni Sawa kuweka picha ya Sh Dr Islam Muhammad! Lakini mwaficha picha zenu?
Subhana'Allaah. Hatari hii
Kweli hii sio kutoka kwa Salafi bali hii ni mpya kutoka kwa -
Super Salafi.
Hii kali..
Umwehu huo kafanya
Hakuna kitu kibaya kama kutia Fitinah kwa Waislamu
Yashinda Kuuwa!
Kutoka Zamani kuna khtilafu baina ya Ma Sheikh lakini haikuwa hivi mfano wa hawa Super Salafi ..
Sasa hapo kasimu mafuta, mbona anajitafuna tafuna , ndo ameongea Nini sasa Kuhusu fatua ya Ibn Uthaimiin, mbona kaji ng'ata ng'ata TU. sasa jibu si ndio lile lile la Duktur Islam , sasa mafuta hapo ndo kafafanua Nini sasa???
KASSIM MAFUTA, Kajichimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "czcams.com/video/M1dV0lAk8Vs/video.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "
sii mimi mpie raddi aliesema ..dk islam kaeleweka sana ..huku kwengine hoja zake ni kulalamika.
Salafy uchwara 😂😂
Mbona munamuita Dr.Islam kuwa hizbi wala sisalafiya ilhali hajamkashifu sheik rabii?
Kasema haya maswala yameanzia uarabuni........Tatizo lake hayupo straight....angesema huko uarabuni nan alianzisha
@@ABUUBAAZNYUNGU Mbn Hakumraddi Sheikh Abdul Muhsin Al Abadi Alipomzungumzia Sheikh Rabii
@@user.-_5943 Yan ndugu yang haya Mas'ala yana changamoto na Fitnah kubwa ndani yake..... Tumuombe tu Allah!
Kasimu Mafutaa KIBARAKA MUONGO MNAFIK
SASA kassim mafuta, unamtaka DR Islam aseme Nini hapo? ikiwa ana nukuu kama alivyo nukuu maneno ya Ibn Uthaimiin
sasa nd nn sasa
Quelle forme de distraction wallahi 🤔
Kasim mafuta ni murjia
Nyote wajinga mnapambana ktk ujinga wenu 😅😅😅
WAPUMBAVU, WALIOJAA UPUMBAVU.
KILA SIKU ZINAVYOZID KWENDA NDIO USALAFY UNAZID KUJIDHIHIRI KUWA NI UPUMBAVU
Usalafy si upumbafu wee mwenye akili hizo zakuamini kma salafi ni upumbafu ndio mpumbafu nambari 1
hapo sasa dawa nzuri tusoma tuwache ushabiki
sio ww unaedhihirika kua ni mpumbavu??
Total approved failure Daawa.
Huyu kassim mafuta ukiskia.rududh.zake.huwa hana la maana la kuzungumza, Huwa hazungumzi makosa ya kiilimu, yeye Huwa anatowa maneno ya kuteta, sijui chuki hizo anazitoa wapi
Kwa kweli umeelewa vizuri sana maneno yake 😂😂😂😂😂😂😂
Sio lazima uandike youtube... wewe wacha wanaoelewa waseme ikiwa wewe huelewi.
@@user-bp6fb6wo5u karekebisha Aya gani au Hadith gani uliyotafsiriwa kimakosa na hao mashekhe? Sio kwa ubaya
tatizo lako unamsikiliza kwa chuki huwezi kumuelewa
Heheh Mafuta yanayeyuka hawa hawa hawana tofauti na masufi maana wanafata mishekhe wao mishekhe wao wakishambuliwa wanakua mbogo Mafuta kakaa kimwehu mwehu
Clip imekatwa lakini lakin shekhe Islam kaeleweka sana tena sana huyu mafuta haeleweki kabisaa kwa hasira
Mbona mnatuzonga nyie
Mashekhe tushakua hatujui muislamu yupi kafiri yupi Kila siku ujinga ndo huu Kila mmoja mjuaji anajua kuliko Muhammad s.aw. acheni upuuzi na kutukanana. Mmekuwa wajinga waislamu wa East Africa.poleni Kwa ujinga wenu.
Comment znadhiglhirisha kufeli Kwa dawaa ya Kasim mafut na Uhizbi wake ,Kam alivosema ibnu Utheimn