𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 Pili)

Sdílet
Vložit

Komentáře • 166

  • @OmarmanswabAlhabeebmanswab

    Allah subhanahu wataala awahifadhi Dr islam Muhammad salim ni mmoja kati ya mashekh wakubwa na tunastafeed elmu

  • @yahyabakar7859
    @yahyabakar7859 Před měsícem +8

    Nampongeza sana Dr. Islam ,Amekomaa anakua Mwanachuoni kwani anatumia ref. zilizo hai na hii ndio tafauti ya Msomi na kinyume chake

  • @MikidadiShaban
    @MikidadiShaban Před 18 hodinami

    Allah ambaariki sheikh wetu abuu faadhir dawa yake ipo wazi

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před měsícem +4

    Wote wapo vzur!japo dr islam is the best

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Před měsícem +14

    Allah amhifadhi sheikh abul fadhl qaasim mafuta, amrefushie umri na ilmu , hakika daawa yake imenyooka na iko wazi kwa mwenye akili na kutaka haqq.

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem

      Amuongoze aache kutetea matwaghuut na kufarikisha umma

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před měsícem

      @aishathabit3732 ima umtu wa chuki ama umjinga ,,,hayo madai yako sheikh yuko mbali nayo ,,,tupe dalili wapi anatetea mathwaaguut na kufarakanisha umma?,,tuonyeshe

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Allah akuongoze mafuta na chama chake Cha new salafi

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před měsícem

      @user-yj5on8cz3e hamna hoja tatizo lenu ni hilo ,,so bakini na uhizbiyya mpaka siku mtakapojua haqq

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@ABUUJAAFAR92 ninyi ndo mpo mbali na haki mmejificha na mwavuli wa wema walotangulia shekhe utheimeeny nae kawalipuwa kwenye kitabu chake nae Ni hizbi Tena kaliweka kundi lenu Hilo Kama makundi ya bidaa yalozuka zama hizi akasema jamat tabligh ikhwan Muslim na kundi lililozuka zama hizi wanaojiita salaffiya katoa dalili na kutahadharisha watu hasa ahlsuna waloshika man hajji salimu mtieni kwenye uhizbi nae shekhe mpo katika ria na ghuruu hizb yenu hiyo kwani imepasuka vipande vipande kila kikundi kimetawanyika subuhana llah Allah awaongoze mnaona mpo katika hakki kumbe bado viziwi tuu

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth Před měsícem +9

    جزاكم الله خيرا

  • @ismailmohamed41
    @ismailmohamed41 Před měsícem +2

    ALLAH AWAHIFADHI WALINGANIZI WA HAKI WA MANHAJ SALAFIYUN KWA KUTAHADHARISHA UMMA KUTOKANA NA WALINGANIZI WAZUSHI WAPOTOFO WARONGO. BAINISHA HAKI NAWAPENDA KWA AJILI YA ALLAH. BARAKA ALLAH LAKUM

  • @habibiddy8096
    @habibiddy8096 Před měsícem +3

    Dkt Islam Mohammed Allah amhifadhi hakika ni sheikh maelezo yake kwa mtu mwenye kuifata haki basi ataelewa ila kwa mwenye kufata ushabiki hatomuelewa

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +6

    Hakika kila maradhi yanadawayake na hakika shekh kasim mufuta Allah AMUHIFADHI nidawa ya masufi mahizb mashia nk yy ndo panaldo yao

  • @user-ri1yr8ks7y
    @user-ri1yr8ks7y Před měsícem +2

    Mashallah Doctor Islam, the messages received 🎉🎉🎉

  • @user-lk3qc7vr2n
    @user-lk3qc7vr2n Před měsícem +1

    Allah akuhifadhi Sheikh Abuu Fadhli Kassim Mafuta

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před měsícem +3

    Wallahi ukisikiliza majibu ya hawa mahizibi ndio utaamini kweli masalaf wapo ktk haki

    • @omariczete448
      @omariczete448 Před měsícem

      Wewe hujirlewi wala hukusoma

    • @yassernoah8984
      @yassernoah8984 Před měsícem

      Hizbi maanake nini vile ..

    • @SaidUwesu-n1x
      @SaidUwesu-n1x Před 16 hodinami

      Na salafi ninini au mwaifanya salafi kuwa ni dini kuliko uislam

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem +11

    Maa shaa Allah! Allah akulipe mwenye hii channel kwa kuunganisha hizo hoja mana wengine tulikuw tunachanganyikiwa kabsa tukiambiwa kuwa hawa watu ni Mahzib coz tuliwaona ni watu wa sunnah na tuliona kama vile wanaonewa

  • @hemedisalim812
    @hemedisalim812 Před 22 dny

    Kila siku mnakazi ya kutukanana tuuu na kutoana kasoro, hali yakua nyote ni waislam. Lazima itakua kuna kitu cha maslahi ya kidunia ndio kinacho wasababishia haya! KWa sababu km ingekua ni dini zaidi basi msinge kua mnanangana hivi kila uchao. Muogopeni Allah.

  • @omariczete448
    @omariczete448 Před měsícem +2

    Mashaallah dr islam

  • @HamisiMwalimu-pp9ci
    @HamisiMwalimu-pp9ci Před měsícem +2

    Mashaalah abuu l fadhili Allah akuzidishie ghilmu

  • @YusufAli-gc9cu
    @YusufAli-gc9cu Před měsícem +11

    MPAKA KUELEWEKE,,,,,

    • @alirajab7101
      @alirajab7101 Před měsícem

      kivipi

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 Před měsícem +1

      Kwa lugha za munkari? inawezekana utakacho ongea ndicho haswa kinachotakiwa kifanyike ktk dini lkn ukikifikisha kwa jaziba na maneno sio ya kiungwana ktk jamii sio vzr (mbona Mw/Mungu alimtuma nabii Musa kwa firaun akamwambia umwambie firaun kwa upole, mimi nadhani upole kwa masheikhe wetu ni njia nzr ya kutuelimisha sisi tusiojua dini yetu ila sio kwa mneno machafu twajua pia wao ni watu kama sisi wanayo hasira ila busara ni muhimu.

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu Před měsícem

      @@kisomekiguwa3706 wacha kupelekwa na hisia ,,,,hiyo shubha nyepesi sana
      czcams.com/video/jP0Y8kD0DOU/video.htmlsi=11epG5rWpBCyT7J-

  • @dawatul-salafi129
    @dawatul-salafi129 Před měsícem +8

    Mashallah

  • @islamseyffden7723
    @islamseyffden7723 Před měsícem +2

    Mawahabi hawa wote wehu wanakejeliana wao kwa wao matwariqa hwez ona hvi

    • @user-ks4hh8jb6k
      @user-ks4hh8jb6k Před měsícem

      We ndio mwehu kabisa

    • @islamseyffden7723
      @islamseyffden7723 Před měsícem

      @@user-ks4hh8jb6k kwan uwongo sa ndo nn apo mnabishana nyie kw nyie mnataka sifaa 🤣

  • @AliAmour-zy9en
    @AliAmour-zy9en Před měsícem

    Allah awaongoze nyote ila munatupeleka kubaya

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas Před měsícem +2

    Kasim mafuta bwana mjanja san😂😂😂

  • @OthumanHamisi
    @OthumanHamisi Před měsícem

    Shekhe kasmu kwann unapenda kufukunyua sana duuu hiyo nihasadi azann mana malezo yake yapo wazi kwamba inabidi mseme yeye kapinda kitigani kwadalili hizi nahizi ila nyinyi mwalazimisha makosa

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před měsícem +1

    Mcheni mwenyezi mungu...

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo Před měsícem

    Allah Amrehemu Abuu Muawiyyah

  • @ridwan6695
    @ridwan6695 Před měsícem +2

    Narrated Abu Huraira that the Messenger of Allah (ﷺ) said:
    "Allah has ninety-nine Names, i.e., one hundred minus one, and whoever believes memorizes them, will enter Paradise; and Allah is witr (one) and loves 'the witr' (i.e., odd numbers)."
    📚Sahih al-Bukhari 6410

  • @Nature-xe7lu
    @Nature-xe7lu Před měsícem +2

    duh duh duktuur meza piriton la sivyo utanguka kwa presha.Masalafi c mchezo bana

  • @jaizaniimamu3880
    @jaizaniimamu3880 Před měsícem

    Waisamu kwa waisamu mwaitana makafiri ni mtihani wallah

  • @OthumanHamisi
    @OthumanHamisi Před měsícem

    ilijai nikilusi Dunian mtapata shida sana zama hizi apatokua nasalama mpaka ALLah azisafishe safu za waisilamu nakisha awape nafasi wale wakweli ili achague mashuhadaa ila Kwa sasa mta uzana sana poleni mashekhe kwakazi ngumu miliyo pewa

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před měsícem +2

    Qasim ametengeneza Waislamu waliokosa adabu. Waliojawa ushabiki, khusuma na kupenda jidala. Yeye anawaita Waislamu wengine mahizbi, hali ya kuwa yeye ndo hizbi. Aina ya ulinganiaji wake hauna aswli ktkt Daawat Salafiya.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před měsícem +1

      Je inafaa kwako kumwita yeye hizby lakini yeye haifai kukuita wewe hizby?
      Ikiwa yeye ni hizby basi wewe ni salafiya jadida unawaita watu mahizby.
      Ikiwa umerudi nyuma kuwa sio hizby, basi ana haki ya kuwazungumzia wazushi kama mwana sunna ili kuweka sawa kama kuwaita mahizby kwa jina Lao stahiki.
      Kipi kinachokupa wewe nafasi ya kumtusi hali wewe unamlaumu kwa hilo???
      Najua maswali haya hayajibiki pole kaka lakini mnajigonga sana.

    • @yangayanga1553
      @yangayanga1553 Před měsícem

      @@ahmadmzoa74 si Hizbu tu sikia kauli zake utadhani hiyo dini ni mali yake au mali ya babake salafi walikua wanafoka hivyo utadhania Dini shirika lake eti mnasoma wapi hahaha dah yani anataka kila mtu amtii yeye upuuzi mtupu na kibri

  • @Alamiinabubakar
    @Alamiinabubakar Před měsícem +1

    Kwanza hakuna mtu hana atabu kama muhammadi bachu

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas Před měsícem +1

    Jmaanii eee Munahkik huyu Mafuta hajachagyikiwa mbna anaropka ovyo anasema hili hajamliza anarukia jengine duh ,Sindano zmempata😂😂😂😂😂

    • @abulfidaassalafiyyah
      @abulfidaassalafiyyah Před měsícem

      Acha ushabiki, jibu hoja anazoziuliza Sheikh mafuta kwa Dakta Islam

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas Před měsícem +1

      @@abulfidaassalafiyyah pana hoja gni mi naon matusi tu ,Kama kawaida yenu

    • @abulfidaassalafiyyah
      @abulfidaassalafiyyah Před měsícem

      @@AbAlhuraas na hutaona hoja mpaka utakapo acha chuki nae

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Před měsícem +4

    Dr Islam hana muda wa kumjibu mtu, ninyi endeleeni kupiga kelele tuuu

    • @habibiddy8096
      @habibiddy8096 Před měsícem +1

      Huyu sheikh ni mwelewa sana si mtafuta umaarufu

  • @SadaAbdallah-z9t
    @SadaAbdallah-z9t Před 28 dny

    Acha zako

  • @yussufali8883
    @yussufali8883 Před měsícem +1

    Tuacheni ushabiki katika dini na tumuogope Allah kikweli

    • @alirajab7101
      @alirajab7101 Před měsícem

      maashaallah جزاك الله خيراً

  • @user-fw6qd1mh4y
    @user-fw6qd1mh4y Před měsícem

    kasim mafuta mche Allah kwann unamtukana sheikh barahyyani nimkubwa wko nyuma yoote kua nahofu bas acha kibr

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Před měsícem +2

    Dr Islam ❤❤❤

  • @shankochonde-wc1po
    @shankochonde-wc1po Před měsícem

    Hukmu unapea Nani jipee mwenyewe hukmu

  • @OthumanHamisi
    @OthumanHamisi Před měsícem

    Mashaaallanh

  • @RichardAkida
    @RichardAkida Před 11 dny

    ni nani huyo aliyesema atatoa hukmu..na nani ana haki ya kuumu?

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 Před měsícem +1

    Kumbe picha haifai iweje uweke kitu kisicho faa ungeweka sauti tu kwakua sauti zajulikana

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před měsícem +1

    WEWE unaejiita Ansar sunna,na hao wanaojiita Salafi ambao kiufupi ni mawahabi ni sawa tu, nyie ni kitu kimoja munawapinga Ahlul sunna waljamaa ambao wanasoma. Maulid lakin wako vizur kidini kuliko nyie makundi mawili munaokufurisha waislamu na kuwatukana masheikh na kuleta tauhid 3 badala ya tauhid moja aliofundisha mtume muhammad S, A, W

    • @user-nw1ib6qg5x
      @user-nw1ib6qg5x Před měsícem

      Kwanza mche allah ndugu yangu ktk imaani si kila wahabi km mnavyotuita anakufurisha muisilaamu ambae havijathibiti vigezo vya kujufurisha ila kuna watu easiojielewa hao ndo hukufurisha watu na hili si kwa wahabi tu hata nyinyi masufi wa twariqa mnatukufurisha sisi si ni nyinyi mnaotuita sisi ni mayahudi?si ni nyinyi pia mnatuita sisi wa katoliki haya hii ina maana gani mayahudi ni makafiri wakatiliki pia ni makafiri ni wakristo hao sasa je mnatukufurisha hamtukufurishi?kaa chini ujihesabu kwanza kabla haujamsema mwenzako allah ndo anaemjua alie sawa ktk imani yake uilsilamu wa sawa haipinwi kwa maulidi eti anaefanya maulidi ndo yuko sawa au asie fanya maulidi ndo yuko sawa msizitakase nafsi zenu allah na anaejua nani mcha mungu wa kweli hii ni dini ndugu yangu na haya yote tunayo ya komenti kiushabiki tuta ya kuta kwenye vitabu vyetu siku ya qiyaama tuchunge sana nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu pia tutakufa na tutaenda kuulizwa yote tulio yatenda na kusena na kuandika kwa allah ndio marejeo.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem +1

    YANI MSINGI MKUBWA WA QASSIM MAFUTA NI KUTAFUTA UKUBWA , AWE YEYE JUU KULIKO WENGINE WOOTE, sasa hata QUR'AN ukihifadhi, Huwa unakose ktk kutwalii, hata ktk swala mtu pia Huwa unakosea, sasa mafuta Kawa kama mtoto mdogo, YANI anaitafuta vimakosa ambavyo mtu anavikosea kama ambavyo yeyote anaweza kusoma QUR'AN na Aya zikamchanganya eti kasimu mafuta ndo anajitapa hapo kuwa Fulani Hana elimu, huu ni UTOTO kabisaaaa

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq Před měsícem

      Hili ni kwel kabisaa a na ndo Maana alikuwa akimuogopa shekh abuu muawiya kukutane nae asifanye nae mjadala

    • @yassernoah8984
      @yassernoah8984 Před měsícem

      So true wallah 😅

  • @SuhaiyyuAyubu
    @SuhaiyyuAyubu Před 19 dny

    BARAHIYAANI NI MJINGA SANA SASA NANI KASEMA UKISEMA HIYU HAYUMO KATIKA MANHAJ ANAKUWA KAKUFURISHWA JE MASUFI WAKO KWENYE MANHAJ YASAWA JE TUME WAKUFURISHA?

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf Před měsícem

    Salfi wa ki serikali na raisi

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před měsícem +2

    Swali langu la leo niku husu Mawahabi je uwahabi ni Uislamu wala ni dini nyingine

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas Před měsícem

    Kila akisoma fatwa anaona bdo inawgusa wao ,sas akaona bora aje na swali jipya ili awotoe watu kaitika Fatwa ya ibnu Utheimin Allah amrehemu

  • @HajHusein
    @HajHusein Před měsícem

    Massalfy ndo wakufatwa

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    tunapo elekea utakuta Kila mmoja ana mlengo WA kujikweza TU, na kujionesha kuwa yeye anaelimu zaidi Kuliko wengine WOOTE.

  • @Alamiinabubakar
    @Alamiinabubakar Před měsícem

    Waislam naomba msiburuzwe nahawa watu wanao jiuta masalafi wakat nimawahabi niwatu waongo san

  • @kisomekiguwa3706
    @kisomekiguwa3706 Před měsícem

    Sheikhe mimi si mwenye kuelewa mambo ya dini kwa undani lakini najua lugha mbaya au nzuri ktk jamii nakuomba tumia lugha nzr isiwe lugha ya munkari.

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 Před měsícem

      Shida ya qasimu mafuta uchamungu Hana Hana daawa yakumtoa asiekua muisilamu kwenye ukafiri kumleta katika uisilamu

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 Před měsícem

      Mafuta anahangaikia aonekane anajua

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 Před měsícem

      Yupo katika haki ndio utamfanyaje

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 Před měsícem

      Qasimu mafuta udigo mwingi siomlinganiaji anajeuri yakidigo

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 Před měsícem

      Anaongea rubsh tupu adabu Hana anajiona anajua wakati nahau anakanyaga

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Před měsícem +3

    Waislam sisi mbona tunayo mengi saaana yanayohusu dini yetu, kuna nini hadi kuanza kusemana kwenye mitandao!kulikoni hapo masheikh? Mbona mnataka kuleta mtengano baina yenu? Maana nyie wote ni wana sunna, hapa kuna nini? Wote mpo ktk haqqi,maana tofauti yenu sio manhajji, Barahiyyan amekukosea wewe hajaikosea sunna. Jamani kuweni ktk njia waliyoishi maswahaba na waliyopita kabla yetu.

    • @jumaciza461
      @jumaciza461 Před měsícem +1

      Tatizo Mawahabi walitengenezwa kwasababu yaku gawa Waislamu

  • @alirajab7101
    @alirajab7101 Před měsícem

    إذا ذهب الحياء أتى كل قبيح

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem

    Hawq jjamaa wamekuja na hizbi mpya so wataka kheri bali ni washari sana uzuri wanazuoni wametufahamisha kundi hili baado lipo katika upotovu wamejificha kwa kivuli cha wema wqliotangulia

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 Před měsícem +1

    Kwenye picha mushaanza kujuzisha kuwa yafaa kwenye kundi lenu la jangwani na inshaalah kila kitu kitanda kwakua nyie daawa yenu misingi yake mikubwa ni uongo ipo siku mutakua wa kweli muna chuki sana nyie mwataka muwe waungu watu

  • @idrisanalinga9756
    @idrisanalinga9756 Před měsícem

    Kasimu mafuta ni mjanja mjanja mmoja hivi

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem +1

    Nyie salafy mayahudi tu mnaacha kuzungumza matatizo ya umma mnajadili upumbavu wa kutetea na masheikh wenu, badala ya kutetea uislam na uislamu
    Salafy nyie hakika Saud ametupata sana
    Tangu Abdulwahab kibaraka wa Uingereza alipo asisi genge hili najisi

  • @citygraphics6670
    @citygraphics6670 Před měsícem +1

    Dawa ya Sunnah mmeirudisha nyuma sana nyie. Laiti mngepima kwa akili kubwa.

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui Před měsícem

    MAWAHABI MNAKANYAGANA WENYE KWAWENYEWE SASA

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +2

    Tandika hizbi hao

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Hiyo so dini ndugu hiko chama chenu kina vurugu tuh wenyewe kwa wenyewe mnatoana katika man haajji kila mtu anamkemea mwenzie so sallafi

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm Před měsícem

    Kinachotufanya kila siku tunatengeneza makundi ni mambo mawili makubwa(1) Ni kutofahamu/kujisahaulisha na lengo kuu la uislamu,ambalo ni kutawala(2)Kutotambua/kushughulikia hatari zinazotukabili mfano kubaguliwa ktk mambo mbalimbali.

  • @allysalimvumbi5211
    @allysalimvumbi5211 Před měsícem

    Aamin

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před měsícem +1

    Acha hasadi na khusuma. Acha kusema yasiyofaa. Umeacha njia, daawa yako ni daawat hizbiya. Wewe kwa jinsi ufanyavyo waweza walau kujifananisha na Manhaj Assalafi Asswalih? Huna akhlaq njema. Kila kuchapo una jambo la kuchochea khusuma.

  • @abdulhamidmusa8962
    @abdulhamidmusa8962 Před měsícem

    sasa unapambanisha wakati mpambanishaji ushakaa upande moja mwanzo

  • @binaamour318
    @binaamour318 Před měsícem +1

    Ee chuki na hasad zitakupeleka wapi? Alwah ndie mjuzi kama yy ndie alisimama kwenye haki au n ww ila kama una chuki t na hasadi utakwenda mjibu alwah kw hii ndulma!

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem

    Kundi la kinamafuta na chama chao kinachojiita masalafi watu wa ghuruu tuh ndomana shelhe utheimeeny kawa twanga na nyundo kichwani mnamtajaga tuuh basi laiti mngekuwa na uwezo wa kufuta maneno yake mngefuta lakini amuwezi mnamtamkaga tuuh ila ile raddi yake amtaki kuisikia majadida

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před měsícem

    Mie wala ata sifahamu, majadida, wahabi, madakhila, subhnallahi uislam unamakundi ?

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +1

    Nilikuwa nili yifwatilia hii Chanel kwa sababu kujiita #SALAFI kumbe wala

  • @nassormasoud7498
    @nassormasoud7498 Před měsícem

    ndio mukome kufata madhebu mufat uslam ili musalimik na ndim za watu n watu walimik kwa uwislamu wenu sio madhhebu yenu

  • @AbdiHak3m
    @AbdiHak3m Před měsícem

    Clip zinazowafuata weka kwa hii hii chanel

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    sasa mafuta ANATAKA Watu wakimrekebisha Barahiyani, warekodi KTK mitandao kama anavyo fanya yeye au? sijamuelewa hapo anaposema Barahiyani hata akikosea watu wake hawamrekebishi.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    Swali langu je, yeyote ATAKAYE PEWA tazkiya ya kuwa salafi na kassim mafuta, hawezi Tena akakosea na akatoka ktk manhaj assafya? na je yeyote Ambaye hakupewa tazkiya na mafuta hawezi kuwa salafi?

  • @user-mu9nl3vv4b
    @user-mu9nl3vv4b Před měsícem

    JEE SUNNA NI KUANGALIA MWEZI KWA KUTUMIA MACHO , AU KUTUMIA DARUBIN NA MWENYE KUFUATA BIDA'A MAKAZI YAKE NI MOTONI, KAMA NI HIVYO TEKNOLOJIA ILIPOFIKIA MKE ATAPOFIWA NA MUMEWE APIMWE AKIONEKANA HANA UJAUZITO JEE ASIKAE EDA NA WKT WOWOTE ATAWEZA KUOLEWA?

  • @Alamiinabubakar
    @Alamiinabubakar Před měsícem

    Hawa pia niwatu wanye kutafuta madarak nakujipatia kipato kwa sabb ya dunia t

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    KWAHIYO USALAFI HAPA TANZANIA NI CHAMA CHA NANI? NA MAKAO MAKUU YAKE NI WAPI?

  • @habibhassan8733
    @habibhassan8733 Před měsícem

    Sijaona Tusi la bachu

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před měsícem +3

    Kuna Aya gani au Hadith gani waliyoitafsiri vibaya hao kina Islam na bachu, aliyo warekebisha, au ni chuki zake tu huyo mafuta?

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up Před měsícem +3

    Hivi unapata wapi ujasiri wakuweka picha ya sheikh Islam na ukaficha surayako!!!

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 Před měsícem +2

      Swadaqta Sheikh
      Huu mtihani mkubwa.
      Super Salafi wana balaa.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 Před měsícem +2

      Sasa ni Sawa kuweka picha ya Sh Dr Islam Muhammad! Lakini mwaficha picha zenu?
      Subhana'Allaah. Hatari hii

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 Před měsícem +2

      Kweli hii sio kutoka kwa Salafi bali hii ni mpya kutoka kwa -
      Super Salafi.
      Hii kali..

    • @yangayanga1553
      @yangayanga1553 Před měsícem

      Umwehu huo kafanya

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 Před měsícem +1

      Hakuna kitu kibaya kama kutia Fitinah kwa Waislamu
      Yashinda Kuuwa!
      Kutoka Zamani kuna khtilafu baina ya Ma Sheikh lakini haikuwa hivi mfano wa hawa Super Salafi ..

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    Sasa hapo kasimu mafuta, mbona anajitafuna tafuna , ndo ameongea Nini sasa Kuhusu fatua ya Ibn Uthaimiin, mbona kaji ng'ata ng'ata TU. sasa jibu si ndio lile lile la Duktur Islam , sasa mafuta hapo ndo kafafanua Nini sasa???

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    KASSIM MAFUTA, Kajichimbia kaburi kaburi mwenyewe AKOSOLEWA YUPO MTUPU HANA ELIMU Angalia hii "czcams.com/video/M1dV0lAk8Vs/video.htmlsi=nyotvj8T-eYBkZgk "

  • @abdulhamidmusa8962
    @abdulhamidmusa8962 Před měsícem

    sii mimi mpie raddi aliesema ..dk islam kaeleweka sana ..huku kwengine hoja zake ni kulalamika.

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr Před měsícem +1

    Salafy uchwara 😂😂

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 Před měsícem +2

    Mbona munamuita Dr.Islam kuwa hizbi wala sisalafiya ilhali hajamkashifu sheik rabii?

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem +1

      Kasema haya maswala yameanzia uarabuni........Tatizo lake hayupo straight....angesema huko uarabuni nan alianzisha

    • @user.-_5943
      @user.-_5943 Před měsícem

      ​@@ABUUBAAZNYUNGU Mbn Hakumraddi Sheikh Abdul Muhsin Al Abadi Alipomzungumzia Sheikh Rabii

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem

      @@user.-_5943 Yan ndugu yang haya Mas'ala yana changamoto na Fitnah kubwa ndani yake..... Tumuombe tu Allah!

  • @azizaj776
    @azizaj776 Před měsícem

    Kasimu Mafutaa KIBARAKA MUONGO MNAFIK

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani Před měsícem

    SASA kassim mafuta, unamtaka DR Islam aseme Nini hapo? ikiwa ana nukuu kama alivyo nukuu maneno ya Ibn Uthaimiin

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini Před měsícem

    sasa nd nn sasa

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před měsícem

    Quelle forme de distraction wallahi 🤔

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe6106 Před měsícem

    Kasim mafuta ni murjia

  • @ibunmurshid3885
    @ibunmurshid3885 Před měsícem

    Nyote wajinga mnapambana ktk ujinga wenu 😅😅😅

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před měsícem

    WAPUMBAVU, WALIOJAA UPUMBAVU.
    KILA SIKU ZINAVYOZID KWENDA NDIO USALAFY UNAZID KUJIDHIHIRI KUWA NI UPUMBAVU

    • @nahimanasaidi9490
      @nahimanasaidi9490 Před měsícem +2

      Usalafy si upumbafu wee mwenye akili hizo zakuamini kma salafi ni upumbafu ndio mpumbafu nambari 1

    • @alirajab7101
      @alirajab7101 Před měsícem

      hapo sasa dawa nzuri tusoma tuwache ushabiki

    • @shaibamran5419
      @shaibamran5419 Před měsícem +1

      sio ww unaedhihirika kua ni mpumbavu??

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před měsícem +1

    Total approved failure Daawa.

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před měsícem +4

    Huyu kassim mafuta ukiskia.rududh.zake.huwa hana la maana la kuzungumza, Huwa hazungumzi makosa ya kiilimu, yeye Huwa anatowa maneno ya kuteta, sijui chuki hizo anazitoa wapi

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před měsícem

      Kwa kweli umeelewa vizuri sana maneno yake 😂😂😂😂😂😂😂
      Sio lazima uandike youtube... wewe wacha wanaoelewa waseme ikiwa wewe huelewi.

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před měsícem

      @@user-bp6fb6wo5u karekebisha Aya gani au Hadith gani uliyotafsiriwa kimakosa na hao mashekhe? Sio kwa ubaya

    • @iddijuma6152
      @iddijuma6152 Před měsícem

      tatizo lako unamsikiliza kwa chuki huwezi kumuelewa

    • @yangayanga1553
      @yangayanga1553 Před měsícem +1

      Heheh Mafuta yanayeyuka hawa hawa hawana tofauti na masufi maana wanafata mishekhe wao mishekhe wao wakishambuliwa wanakua mbogo Mafuta kakaa kimwehu mwehu

    • @yangayanga1553
      @yangayanga1553 Před měsícem +4

      Clip imekatwa lakini lakin shekhe Islam kaeleweka sana tena sana huyu mafuta haeleweki kabisaa kwa hasira

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv Před měsícem

    Mbona mnatuzonga nyie
    Mashekhe tushakua hatujui muislamu yupi kafiri yupi Kila siku ujinga ndo huu Kila mmoja mjuaji anajua kuliko Muhammad s.aw. acheni upuuzi na kutukanana. Mmekuwa wajinga waislamu wa East Africa.poleni Kwa ujinga wenu.

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas Před měsícem +1

    Comment znadhiglhirisha kufeli Kwa dawaa ya Kasim mafut na Uhizbi wake ,Kam alivosema ibnu Utheimn