Video není dostupné.
Omlouváme se.
KIBARAKA WA DR SULE APELEKWA SHULE //Ust SHAFI
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 29. 05. 2024
- USISAHAU KU SUBSCRIBE
Komentáře • 134
Další v pořadí
Automatické přehrávání
KISA CHA ALIYEKWENDA KWA MGANGA KWA AJILI YA MWANAMKE // HEIKH OTHMAN MAALIMarkas online tv
zhlédnutí 11K
WENYE AKILI NDIO WATAFAIDIKA NA MAWAIDHA HAYA // SHEIKH OTHMAN MAALIMarkas online tv
zhlédnutí 2,5K
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
zhlédnutí 28M
How Hard Is To Slice With The World's Smallest Sword?Mini Katana
zhlédnutí 43M
Díl který byl OSOBNÍ🔥 JIŽ online na HEROHERO🔥TĚLO na TĚLO - podcast
zhlédnutí 103K
Here’s why first responders are calling her a hero.KSDK News
zhlédnutí 55M
Ustadh Haji Upepo amtetea Dr Sule kuhusu kutumia jiniHaji Upepo Online tv
zhlédnutí 10K
UFUKARA SI KILEMA WALA SI ADHABU KUTOKA KWA ALLAH // SHEIKH OTHMAN MAALIMarkas online tv
zhlédnutí 52K
PASTOR NDACHA ASHIDWA KUJIBU SWALI LA MUSILAMU KATIKA MJADALA ISIOLO TOWNYUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
zhlédnutí 50K
SHAFI SHOMAR...KWANINI TULIUMBWAAKASHA PRODUCTION TV
zhlédnutí 349K
HISTORIA NA WASIFU WA ALMARUHUM SHEIKH KHALID M MRISHOarkas online tv
zhlédnutí 622
Hatimae mazinge abatizwa tanga #Debate #tangamjini #shalbaonlinetvSHALBA OnlineTV
zhlédnutí 331K
Muhadhara wa Dr:Sule , Mada: Miujiza ya qur'an(No:(1)Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
zhlédnutí 502K
(Utukufu wa Suratu Waqia) Al-imaam Muhammad Sharif Said Albeidh: Zanzibar Tanzania 🇹🇿Maj Maul Ahbaab
zhlédnutí 12K
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎Senza Limiti
zhlédnutí 13M
Her Survival skills will Fry 🔪 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehackMarusya Outdoors
zhlédnutí 64M
艾莎生气,王子粗暴化解尴尬#艾莎落魄的王子
zhlédnutí 36M
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 60M
ОСКАР СБИЛ ЛЕРУ С НОГ 🥴HOOOTDOGS
zhlédnutí 5M
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shortsSavage Vlogs
zhlédnutí 45M
Lee a jeho progress 👏🦁👏 JanKanurek.cz 🫡 #thisiskurñalife #zabilcz #freerunning #trampolineJan Kanurek
zhlédnutí 1,2M
How Countries eat spaghettiLionfield
zhlédnutí 13M
Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya
Allah akuzidishie shkh wangu Allah akupe mwisho mwema❤❤
Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws
Ustaadh shafii Allah akuhifadhi
Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua
Uislam haina unafiq
ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea
hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa
Mbogo
ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini
Allah akuhifadh Shifiii
Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo
Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah
Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii
Ma sha Allah shafi ww kiboko
Wafundishe sheikh shafi
Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo
Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja
Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.
Mohamedi alitoa dalili gani?
Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂
Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa
Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna@@pascalvirgilio7208
Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya
Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh.
Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi?
Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu…
Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran
Kweli kabisa
shafii ww jeshi sn
Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu
Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao
Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi
Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri..
Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine.
Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani
Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂
Shafii mwambie mwambie Mbogo atakuitaje Sheikh Mbugila Mbugila bhana😂😂😂😂😂😂😂
Acheni kiki za Wana muziki
😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅
Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu
Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani
Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.
Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂
Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili
Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!
Kweli shee
mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini
خدوا زینتکم عند کل مسجد
Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2
Ule sio Dr kuanzia leo
MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU
Acha matusi mpuuz
Uongo siku zote huzihirika
Subhuna Allaah
Wahadhir nyote wapigaji tunawajua
Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina
Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina
Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.
Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.
Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu
Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah
Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu
Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake
Naam Sheikh Shafi tupe vitu
Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu
Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani
Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo
Wanamlinda kwa amri ya Allah
Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna
mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo
Huu ndo uislam.
Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma
Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah
Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.
Kimeumana
Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓
Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi
Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE.
AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Nikisema maalim sha’afi hanaga unafki mnazani natania 😂😂😂😂
Wew. Nae tunayajua yakwake ila tustiriane
maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v
Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake
Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake
Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo
Mzee Sule anajua ...unaongea uongo
Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din
Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea
Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo
Duh sauti ndio sna
Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8
Aende kwa Sule amgawiye jini moja limuletee fedha.
Hahaaa hawa. Wanaoneana choyo
Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha
Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media.
Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume.
Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh.
Jaluo kutoka Kenya
@@peteramollo5329
Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox
Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui
sule nimfanya byashara ndani ya dini!
Sule agongolewe misumari kwakweli
Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei?
Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize.
Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi?
Tunaomba majibu.
Mbona unakwepa kujibu hili swali?
Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa
ni dini yaungo ndio maana!
Wacha wafrahi mi nilijua wanaingia peponi
Shameful
sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote
Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote
kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE.
AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini
Bora mwisho mwema tu
Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.
Na wewe una miliki au sio😊
sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo
Anajibu hoja kua mpole
Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule
Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂
Endelea kujidanganya
Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki
Endelea kujidanganya
😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅
Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂
Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini
Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi