Video není dostupné.
Omlouváme se.

KIBARAKA WA DR SULE APELEKWA SHULE //Ust SHAFI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Komentáře • 134

  • @Dearm-ome2in1huba
    @Dearm-ome2in1huba Před 2 měsíci +6

    Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya

  • @AbdulkarimManguli
    @AbdulkarimManguli Před měsícem

    Allah akuzidishie shkh wangu Allah akupe mwisho mwema❤❤

  • @abuuzunayrah3029
    @abuuzunayrah3029 Před 2 měsíci +4

    Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws

  • @hafizmubarakmussa1780
    @hafizmubarakmussa1780 Před 2 měsíci

    Ustaadh shafii Allah akuhifadhi

  • @momadesuales
    @momadesuales Před měsícem

    Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci +3

    Uislam haina unafiq
    ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea
    hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa
    Mbogo
    ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini
    Allah akuhifadh Shifiii

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230 Před 2 měsíci +2

    Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Před 2 měsíci

    Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah

  • @user-xw5tf6xi4z
    @user-xw5tf6xi4z Před 2 měsíci

    Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii

  • @user-zm6kz8mx5v
    @user-zm6kz8mx5v Před 2 měsíci

    Ma sha Allah shafi ww kiboko

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 Před 2 měsíci +3

    Wafundishe sheikh shafi

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Před 2 měsíci +2

    Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 Před 2 měsíci +9

    Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 Před 2 měsíci +2

      Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.

    • @williamgabrielmassawe3654
      @williamgabrielmassawe3654 Před 2 měsíci +1

      Mohamedi alitoa dalili gani?

    • @pascalvirgilio7208
      @pascalvirgilio7208 Před 2 měsíci +2

      Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂

    • @pascalvirgilio7208
      @pascalvirgilio7208 Před 2 měsíci +2

      Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před 2 měsíci

      Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna​@@pascalvirgilio7208

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 Před 2 měsíci

    Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya

  • @tanihsayyd8524
    @tanihsayyd8524 Před 2 měsíci +2

    Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh.
    Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi?
    Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu…
    Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran

  • @AbedRamadhan
    @AbedRamadhan Před 2 měsíci

    shafii ww jeshi sn

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 2 měsíci +1

    Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano Před 2 měsíci

    Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao

  • @kassimomari7505
    @kassimomari7505 Před 2 měsíci

    Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi

  • @SolomomAdams-pf5zy
    @SolomomAdams-pf5zy Před měsícem

    Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri..
    Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine.
    Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +2

    Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +1

    Shafii mwambie mwambie Mbogo atakuitaje Sheikh Mbugila Mbugila bhana😂😂😂😂😂😂😂

  • @bekatng1006
    @bekatng1006 Před 2 měsíci

    Acheni kiki za Wana muziki

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅

  • @shabanimadobe972
    @shabanimadobe972 Před 2 měsíci

    Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu

  • @MassoudHamad
    @MassoudHamad Před 2 měsíci +2

    Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani

  • @SmilingCondorBird-wo3wk
    @SmilingCondorBird-wo3wk Před 2 měsíci +1

    Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 2 měsíci +1

    Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂

  • @uongohaunanafasi8572
    @uongohaunanafasi8572 Před 2 měsíci

    Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili

    • @MoBortion
      @MoBortion Před 2 měsíci

      Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!

  • @19ddr
    @19ddr Před 2 měsíci +1

    Kweli shee

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p Před 2 měsíci +1

    mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini
    خدوا زینتکم عند کل مسجد

  • @user-pg4qx1sv5x
    @user-pg4qx1sv5x Před 2 měsíci +1

    Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o Před 2 měsíci +1

    Ule sio Dr kuanzia leo

  • @emmanuelomary1725
    @emmanuelomary1725 Před 2 měsíci +1

    MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 Před 2 měsíci

    Uongo siku zote huzihirika
    Subhuna Allaah

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 2 měsíci

    Wahadhir nyote wapigaji tunawajua

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 2 měsíci

    Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 2 měsíci

    Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Před 2 měsíci +1

    Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

    Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 Před 2 měsíci

      Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Před 2 měsíci

    Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Před 2 měsíci

    Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dw Před 2 měsíci

    Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před 2 měsíci +1

    Naam Sheikh Shafi tupe vitu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 2 měsíci

    Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu

  • @RamadhanMgeni-gt1tu
    @RamadhanMgeni-gt1tu Před 2 měsíci

    Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani

  • @SALUMCHALO
    @SALUMCHALO Před 2 měsíci

    Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 Před 2 měsíci

    Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna

  • @ismailally3219
    @ismailally3219 Před 2 měsíci

    mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo

  • @fredyunga2138
    @fredyunga2138 Před 2 měsíci

    Huu ndo uislam.

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 Před 2 měsíci

    Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před 2 měsíci +1

    Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 Před 2 měsíci

    Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.

  • @EmilyKamoto
    @EmilyKamoto Před 2 měsíci

    Kimeumana

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v Před 2 měsíci

    Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 Před 2 měsíci +1

    Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi

  • @user-ry8bx1fr7v
    @user-ry8bx1fr7v Před 2 měsíci +1

    Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Před 2 měsíci

    QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE.
    AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA
    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @Del_busi5
    @Del_busi5 Před 2 měsíci

    Nikisema maalim sha’afi hanaga unafki mnazani natania 😂😂😂😂

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před 2 měsíci

      Wew. Nae tunayajua yakwake ila tustiriane

  • @ismailally3219
    @ismailally3219 Před 2 měsíci

    maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Před 2 měsíci

    Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake

  • @jefwabaya2637
    @jefwabaya2637 Před 2 měsíci

    Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 2 měsíci

    Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 Před 2 měsíci

    Mzee Sule anajua ...unaongea uongo

  • @edwardbenard4578
    @edwardbenard4578 Před 2 měsíci

    Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din

    • @edwardbenard4578
      @edwardbenard4578 Před 2 měsíci

      Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b Před 2 měsíci +1

    Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo

  • @abdallaabdalla998
    @abdallaabdalla998 Před 2 měsíci

    Duh sauti ndio sna

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapela Před 2 měsíci

    Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před 2 měsíci +1

    Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha

    • @peteramollo5329
      @peteramollo5329 Před 2 měsíci +1

      Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media.
      Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume.
      Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh.
      Jaluo kutoka Kenya

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Před 2 měsíci

      @@peteramollo5329
      Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 2 měsíci

    Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před 2 měsíci

    Sule agongolewe misumari kwakweli

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327 Před 2 měsíci +1

    Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei?
    Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize.
    Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi?
    Tunaomba majibu.
    Mbona unakwepa kujibu hili swali?

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 2 měsíci

    Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před 2 měsíci

    Shameful

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg Před 2 měsíci +1

    sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230 Před 2 měsíci

    Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Před 2 měsíci

    kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Před 2 měsíci

      QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE.
      AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @suleim505
      @suleim505 Před 2 měsíci

      inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 2 měsíci

    Bora mwisho mwema tu

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg Před 2 měsíci

    Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.

  • @user-ry8bx1fr7v
    @user-ry8bx1fr7v Před 2 měsíci +1

    sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo

    • @alidingongo443
      @alidingongo443 Před 2 měsíci

      Anajibu hoja kua mpole

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

      Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule

  • @EmmanuelJulius-vw2dl
    @EmmanuelJulius-vw2dl Před 2 měsíci +2

    Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Před 2 měsíci

      Endelea kujidanganya

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 Před 2 měsíci

      Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Před 2 měsíci

      Endelea kujidanganya

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅

    • @haidarsaid6800
      @haidarsaid6800 Před 2 měsíci

      Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3k Před 2 měsíci

    Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před 2 měsíci

    Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi