Shekhe abdallah humaidi anakupa hadithi kama dalili lakini shekh izudiin anawaeleza anavyo elewa yeye sasa tufate maneno ya Mtume anayoyatoa Abdallah ama numfate izudiin Weee
Tatizo haki iko kwenu tu.Na Radi ni sehemu kubwa ya lbada.Sh.Izudin hakutaja maiti.Maswahaba wenyewe walitafautiana kwenye mapokezi ya makundi 73.Mfano Mimi nna kunuti wewe huna tayari makundi mawili.Mmoja wao hapo ni motoni?
Ahaa uyumufti WA mubetayar akilizake hayamaneno au alipasha kdg ndo akakaa hapo na kuanza kupotosha jamaani ebu wanuseni midomo awamaghurafiy subuhanallah Allah amuongoze Sisi na wao ktk kuifahamu haki na kuifata na kudumunayo
Mtume ali taabiri tu watu kama wewe Maana baba yenu ndio alio mshikia mtume shingo aka mwabia afanya uwadilifu Mpaka sasa hakuna hoja Huyu muhuni anae pija watu raddi daily na mskiti wake una line 4 kelele nyingi tu
Brother mbona utukane shekhe nenda umuombe msamaha bro cz utakuja simamishwa siku moja uulizwe mbona ulimtusi mjaa wangu ? Mashekhe wamepewa elimu na Allah na warithi wa mtume mbona uvuke mpka bro hakuna shekhe atakaye tutia peponi wala moto ni kutuonyesha to njia ya pepo na njia ya moto so tuwache kujigawanya
@@nassifsuleiman9860 Hii ni suna au faradhi ya nani ndugu yangu soma kwanza elewa mtume MUHAMMAD S. A. W hakuwai kuwa na dharau, kejeli au kujikweza kujiona bora zaidi kuliko wengine na hakuwai kufanya ukosoaji kwanjia hii mnayoitumia ninyi zaidi alikuwa anatumia njia ya kukufuata na kukunasihi kwa hekima na busara na ndio maana hata watu walipendezwa na tabia zake na kisha kuslimu. Jee hiki anacho fanya huyu shekh kitaleta umoja au mtafaruku? Jee Tabia hii itawavutia watu wasio waislam kuslimu? Kila muwamba ngoma huvutia kwake ni ipi ilikuwa desturi ya mtume MUHAMMAD S. A. W katika kunasihi waislam na wasio waislam? Jee alifanya nasaha zake kama anavyo fanya shekh huyu? Shida ni kundi wala sio uislam na hili ndilo tatizo linalo tutafuna. Kama analengo zuri asiwe na hiana aandae au aombe mnaqasha na shekh anae hisi kufanya nae mjadala Wa elimu. Sio kurushiana maneno mitandaoni ni haramu na haifai kwakuwa alie ongea bado yuko hai amfuate kabla ya kutoa radii zake mitandaoni. Mtume MUHAMMAD S. A. W hakuwai kufanya ukosoaji kwa mwislam mwenzako akiwa hayupo tena kupitia mitandao ya kijamii kama hii ya sasa, Kama alifanya hivi shekh wenu aendelee na kupiga marungu yake.
Nampongeza sana huyu sheikh izudin anajuwa sana kuelimisha dini najuwa ujumbe umefika ndiyo maana watu wanakosowa huku wakificha sura zao kwa kutokujiamini ni dhairi kama ni wavunja dini hawa paka wanaoficha sura zao ni wingi kama huyu aliefanya hichi
Duuuh! Hili jahil la kisufi kweli mtume katofautisha,makundi ya kinasawara na kiyahudi na umati wangu walomkubali yey watatofautiana,sasa hili jahili la kisufi hizudini unasemaje kakae chini usome,unaptosha umma
Iliambiwa kuwa itafika zama watu ambao hawana ilmu wataonekana ndio wana ilmu na wenye ilmu wataonekana hawana......ndio hawa vijana wa kisasa wao wajifanya wajuwa sanaaa. Na pia zitafika zama kutatokea mashekhe wa kugawanya umahh ndio hawa vijana wa kileo...... dilele ukae usikize mawaidha ya watu ambao huwapendi kisha utafute kuwakosowa......bro toa darsa kulingania umahhh sio wewe kujifanya ndio kuwa wajuwa sana ama msafi huna kasoro ama makosa.......... badilli ya kutengeza akhera yako waharibu
Huyu mkosoaji anahitaji kusoma zaidi. Watu wanachambua lugha sana mpaka wanapotea. Umma wa mtume ni upi katika hadithi hii.. mbona inajieleza katika simplest form. Umma wa mayahudi na manaswara si umma wa mtume wetu.. hao wamedandia umma kwasababu walikua na mitume wao. Mtume umma wake ni baada ya kupewa utume. Wakiwamo makafiri na walioamini. Sasa hapo ndipo makundi yatakapotoka. Na kundi lake la uislamu ni moja tu na ndio sahihi. Sheikh Izzudin yuko sahihi.
Kwa hiyo khawarij walio muuwa Ali walikuwa sahihi kaka? Mashia wako sahihi na wanamtukana Aisha na kumpagaza uchafu? Na mawahabi pia wako sahihi?? Na wewe maa shaa Allah muelewa sana kuliko ulamaa, ambao shkh wako mufti wa mwembe tayari hawataki!!! Mbona hoja zako dhaifu unaona sasa???
Mimi hakuna kitu na chukia kama nifaq na chuki na hasad..na kusema hivi na kusudia hawa wanaojita Masalafi kina Qassim mafuta Abdalla Humeid na wengineo...wao siku zote hawa na kazi ila kuangika picha za Madaaii..nakuwa kejeli kwa matusi na huku wakidai kuwa picha ni Haramu...Jamani ndugu zangu katika imani nisaidieni kuhusu hili...Jee kweli ni sawa hivyo Jamaa?
Sasa mimi swali langu kila siku sipati jibu.. kama kurekebishana kwanini iwe mitandaoni?hii haileti manufaa kwetu ila kueneza chuki baina ya mashekhe, sasa huu ni usalafi gani aliofanya mtume wetu kuitana majina ambayo hayawafurahishi wenzio..hapo hata wewe huna usalafi kuita watu mufti wa mwembe tayari, shekhe wa jamaica, mashekhe wavivu etc mtume aliyafanya yote haya? Isitoshe sote binadam hakuna alokamilika..subhanallah twaelekea wapi sisi? 😢 wasiokuwa waislamu wanatucheka.
Kitu cha kushangaza ndugu zetu nyinyi hamtaki kuonekana kwenye video mnaongea huku mmeficha sura zenu lkn hapohapo mnaemradi mmemuweka anaonekana kwenye video kwani isingetosha kuwekatu sauti yake kama wewe ambaye umeweka tu sauti yako kwahiyo wewe unaitakidi VP kuhusu kudhihiri mtu katika video
Hii nidalili kua wewe hujielewi wewe mtume ulimuona mbona unamjua au abubaakir ulimuona omar hamza nk mbona husemi unaka haq au sura za mtu huoni kua nidalili kua watu hawaki umaalifu ispkua haq inayofikishwa au pinga kwa dalili sio vituko vya picha sasa ukiona picha sura ndo haq? Khaa?😮
Naam kulingana na maneno ya shekhe letu hayo makundi yako sawa yote, mbona wewe unakejeli maneno ya shekhe??? Ama wote wako sawa ispokuwa masalafy??? Mnaona upumbavu wa masufi???? Huku unaambiwa umma wote peponi na huku wanakandamiza masalafy??? Ehee waelewa hapo??? Ama chali pingli wewe pia???
HATA KAMA NIKUELIMISHANA SIO KWA KUVUNJIANA HESHIMA NA KUITANA MAJINA YA AJABU NYIE VIJISALAFI UCHWARA MAVI KUNUKA TAKATAKA LAAANA MYIE MDASHIDA SANA DAAW YENU NI KUVUNJIA HESHIMA WATU😂😂
Ni ajabu Sana baada ya Sheikh Abdallah humayd Allah amuhifadh kutoa bayana ya sawa ila watu wasiopenda haqi Kama nyie mnashkilia Jambo lakuwa ety kuwavunjia heehima masheikh wenzie, je nikuulize ww na wenye fikra Kama zako mwaweza kututajia matus gan aloyasema ktk kbaynisha kwake? Ala ww unaesema Ana matus sheikh wetu mbona ww umetoa maneno machafu Sana ktk comment yako? Je inakuwaje unaumizwa na matus Hali yakuwa ww ndo mwalimu wa matus? Bali nyinyi mnaosema katkana hatma yake ndo mnaporomosha mitus ya hovyo kabisa hii ni kuonyesha mnachuki tuh Bali hampo tayali kufata ubaynifu manaloangalia Ni Hilo tu bas.
Sasa wewe na mtume nani anajua?kasema uma wewe unasema waislam acheni ujinga kwenye dini huu ndio uma wa mwisho uma ni wote mnaelimu ndogo sana wajinga nyinyi
Hakuna shaka yoyote juu ya "definition" ya shaykh huyu anayejiita salafi. Yupo sahihi kiukweli. Lakini uadilifu wa kielimu hawana. Kwani wanapomuongelea mtu walieamua kumchukia humzulia na hata wafuasi wao kumtusi. Pia wanapoamua kumfanyia Rududi mtu pasina hoja za msingi hufanya jambo:"comments turned off " hii ni kuonyesha namna gani wamekosa uadilifu. "Be aware "Hiyo si sawa kwani wamejitukuza nafsi zao na wanasema uongo hali yakuwa wanajua .
Dilele usitutajie maimamu tafsiri hadithi kama ulivyo kwani huyo imam swanaan ni mtume?hakuna hadithi ya mtume inayozungumzia makundi ya waislam au madhahab..sasa twende makundi matatu ya answaar sunna..salafi swalihin..na majadida..hao kundi moja au makundi matatu na lipi sahihi?😊😊
Shekhe abdallah humaidi anakupa hadithi kama dalili lakini shekh izudiin anawaeleza anavyo elewa yeye sasa tufate maneno ya Mtume anayoyatoa Abdallah ama numfate izudiin
Weee
Allah atuongoze katika hakki
Sheikh Izzudin yuko sahihi.
Tatizo haki iko kwenu tu.Na Radi ni sehemu kubwa ya lbada.Sh.Izudin hakutaja maiti.Maswahaba wenyewe walitafautiana kwenye mapokezi ya makundi 73.Mfano Mimi nna kunuti wewe huna tayari makundi mawili.Mmoja wao hapo ni motoni?
Tumekuelewa shekh wetu izzuddin wala hatuna shaka
Atapoteza majaheel hana maa na
Ahaa uyumufti WA mubetayar akilizake hayamaneno au alipasha kdg ndo akakaa hapo na kuanza kupotosha jamaani ebu wanuseni midomo awamaghurafiy subuhanallah Allah amuongoze Sisi na wao ktk kuifahamu haki na kuifata na kudumunayo
ان للمتقين مفازا
Nauliza nani alimpa mimbar huyo kibonzo wa mwembe tayari?..Huyo hafai hata madrasa ya chekechea.
Wewe hata hekima hauna sijui nini umesoma cartoon wewe..waita sheikh mbele za huma kua akili wewe
Mtume ali taabiri tu watu kama wewe Maana baba yenu ndio alio mshikia mtume shingo aka mwabia afanya uwadilifu Mpaka sasa hakuna hoja Huyu muhuni anae pija watu raddi daily na mskiti wake una line 4 kelele nyingi tu
Kwani wingi wa watu ndio yaonyesha ni haqi? Ndio nyinyi wa kupima haqi kwa wengi wa watu kumbe @@abdiabdu7179
Karkosi huyu😂😂😂
Ingekua mzazi wako ambiwa ivo ingekua Sawa kwako?? Tueni na adabu kwnza na ilo ndio wengi tumefeli nako kaxi hukmu tuu ka izo pepo Nixa babu zetu
Acheni ujinga kwenye Dini ya Allah na michezo ya kitoto 😢
Huyu mufti wa nyali angekuwa binti tungemuoza mufti wa mwembetayari
Brother mbona utukane shekhe nenda umuombe msamaha bro cz utakuja simamishwa siku moja uulizwe mbona ulimtusi mjaa wangu ? Mashekhe wamepewa elimu na Allah na warithi wa mtume mbona uvuke mpka bro hakuna shekhe atakaye tutia peponi wala moto ni kutuonyesha to njia ya pepo na njia ya moto so tuwache kujigawanya
Amesoma kwa masharifu Tarim hadhramaut
Munarudisha uislamu nyuma.makafiri watasemaje wakiona viongozi wa kiislamu kazi yao kusutana kama wanasiasa wa kenya.
kaa chini usome kisha utaelewa, hii ndio njia ya kuuhfadhi uislamu na kuwakhofisha walinganizi waovu na waongo
@@nassifsuleiman9860 Hii ni suna au faradhi ya nani ndugu yangu soma kwanza elewa mtume MUHAMMAD S. A. W hakuwai kuwa na dharau, kejeli au kujikweza kujiona bora zaidi kuliko wengine na hakuwai kufanya ukosoaji kwanjia hii mnayoitumia ninyi zaidi alikuwa anatumia njia ya kukufuata na kukunasihi kwa hekima na busara na ndio maana hata watu walipendezwa na tabia zake na kisha kuslimu. Jee hiki anacho fanya huyu shekh kitaleta umoja au mtafaruku? Jee Tabia hii itawavutia watu wasio waislam kuslimu? Kila muwamba ngoma huvutia kwake ni ipi ilikuwa desturi ya mtume MUHAMMAD S. A. W katika kunasihi waislam na wasio waislam? Jee alifanya nasaha zake kama anavyo fanya shekh huyu? Shida ni kundi wala sio uislam na hili ndilo tatizo linalo tutafuna. Kama analengo zuri asiwe na hiana aandae au aombe mnaqasha na shekh anae hisi kufanya nae mjadala Wa elimu. Sio kurushiana maneno mitandaoni ni haramu na haifai kwakuwa alie ongea bado yuko hai amfuate kabla ya kutoa radii zake mitandaoni. Mtume MUHAMMAD S. A. W hakuwai kufanya ukosoaji kwa mwislam mwenzako akiwa hayupo tena kupitia mitandao ya kijamii kama hii ya sasa, Kama alifanya hivi shekh wenu aendelee na kupiga marungu yake.
Abdallah humeidi watafuta Kiki.umekuwa kama wanasiasa kila ukipanda mimbar wawasuta masheikh wenzio.kama mtu amekosea fanya muonane mujadiliane.sio kusuta masheikh wenzio kwa media.
WCha kueleweke sheikh Abdullah humeid tunafaidika saana
Ukiharibu lazima uwekwe sawa,
Huyu mufti wa mwembe tayari agekuwa bora wa dereva wa matatu. Hi daawa haiwezi kabisa
Wewe waiweza jahil?
Somesheni nanyie kama munajuwa kweli acheni kuwakosowa walimu
Kwaiyo unamaanisha hawasomeshi na kusomesha mpk iwepo youtube?
Bismillah
Nampongeza sana huyu sheikh izudin anajuwa sana kuelimisha dini najuwa ujumbe umefika ndiyo maana watu wanakosowa huku wakificha sura zao kwa kutokujiamini ni dhairi kama ni wavunja dini hawa paka wanaoficha sura zao ni wingi kama huyu aliefanya hichi
kwahyo ukidhihirisha uso wko ndio upo ktk haqqi, weye mbona sura yako umeificha kwahyo maneno yako ni ya kipuuzi tu baki nayo mwenyewe
Duuuh! Hili jahil la kisufi kweli mtume katofautisha,makundi ya kinasawara na kiyahudi na umati wangu walomkubali yey watatofautiana,sasa hili jahili la kisufi hizudini unasemaje kakae chini usome,unaptosha umma
Iliambiwa kuwa itafika zama watu ambao hawana ilmu wataonekana ndio wana ilmu na wenye ilmu wataonekana hawana......ndio hawa vijana wa kisasa wao wajifanya wajuwa sanaaa. Na pia zitafika zama kutatokea mashekhe wa kugawanya umahh ndio hawa vijana wa kileo...... dilele ukae usikize mawaidha ya watu ambao huwapendi kisha utafute kuwakosowa......bro toa darsa kulingania umahhh sio wewe kujifanya ndio kuwa wajuwa sana ama msafi huna kasoro ama makosa.......... badilli ya kutengeza akhera yako waharibu
Baba hatuna haja na umoja feki. Hatuchanganyi asali na sumu tukanwa kama nyie.
Kwaiyo unataka ktk hii din kila mtu azungumze la kwake kwa ufahamu wake?
Kullu hizbin bimaa ladayhim farihoon
Mnaendekeza ujinga wenu nyie mtakuwa mmetumwa na mayahudi
Huyu mkosoaji anahitaji kusoma zaidi. Watu wanachambua lugha sana mpaka wanapotea. Umma wa mtume ni upi katika hadithi hii.. mbona inajieleza katika simplest form. Umma wa mayahudi na manaswara si umma wa mtume wetu.. hao wamedandia umma kwasababu walikua na mitume wao. Mtume umma wake ni baada ya kupewa utume. Wakiwamo makafiri na walioamini. Sasa hapo ndipo makundi yatakapotoka. Na kundi lake la uislamu ni moja tu na ndio sahihi. Sheikh Izzudin yuko sahihi.
Kwa hiyo khawarij walio muuwa Ali walikuwa sahihi kaka?
Mashia wako sahihi na wanamtukana Aisha na kumpagaza uchafu?
Na mawahabi pia wako sahihi??
Na wewe maa shaa Allah muelewa sana kuliko ulamaa, ambao shkh wako mufti wa mwembe tayari hawataki!!! Mbona hoja zako dhaifu unaona sasa???
Kwa kweli kejeli,matusi na dharau haziwezi kuwa sunna na tutahadhari sisi tunaojigamba kuwa masalafi.Ni daawa gani hii?
Hakuna itu kma hiyo manhaj yaukweli ni salafi
Mimi hakuna kitu na chukia kama nifaq na chuki na hasad..na kusema hivi na kusudia hawa wanaojita Masalafi kina Qassim mafuta Abdalla Humeid na wengineo...wao siku zote hawa na kazi ila kuangika picha za Madaaii..nakuwa kejeli kwa matusi na huku wakidai kuwa picha ni Haramu...Jamani ndugu zangu katika imani nisaidieni kuhusu hili...Jee kweli ni sawa hivyo Jamaa?
هو سماكم المسلمون
Afu baadae,akikosea wahabi,ooh hajui lugha,si twajua hyo ni sabqu llisaan,lkn nyie bwanaaa,akikosea wahabi oooh koosaaa😂,balaa zito saiv tukonalo waislamu
Mbona wewe huonyeshi sura zako. Na wewe ilmu yako ni mada za wengine tu mizozo tu huna mengine
Sasa mimi swali langu kila siku sipati jibu.. kama kurekebishana kwanini iwe mitandaoni?hii haileti manufaa kwetu ila kueneza chuki baina ya mashekhe, sasa huu ni usalafi gani aliofanya mtume wetu kuitana majina ambayo hayawafurahishi wenzio..hapo hata wewe huna usalafi kuita watu mufti wa mwembe tayari, shekhe wa jamaica, mashekhe wavivu etc mtume aliyafanya yote haya? Isitoshe sote binadam hakuna alokamilika..subhanallah twaelekea wapi sisi? 😢 wasiokuwa waislamu wanatucheka.
Nani kaomba maiti wewe??
Huyu Dilele Anaonekana anavuta bangi Chooni kisha anaenda towa waadhi msikitini
Wacha ukumbavu hishima kuwa masheekh wewe ndiyo una vuta bangi ya kisumu
Kuna haki gani ya kutumia picha ya mtu mwingine na kuitumia ,, ya kwako haionekani, ndo haki hio ,,,
@user-yt2qs7vv9v sawa,, yeye kaweka,, wewe una haki gani kuitumia picha yake,,,? Tena kwa hoja ya kumkejeli na kumdhihaki kwa mambo ya kiimani,,
@user-yt2qs7vv9v sawa,, yeye kaweka,, wewe una haki gani kuitumia picha yake,,,? Tena kwa hoja ya kumkejeli na kumdhihaki kwa mambo ya kiimani,,
Kitu cha kushangaza ndugu zetu nyinyi hamtaki kuonekana kwenye video mnaongea huku mmeficha sura zenu lkn hapohapo mnaemradi mmemuweka anaonekana kwenye video kwani isingetosha kuwekatu sauti yake kama wewe ambaye umeweka tu sauti yako kwahiyo wewe unaitakidi VP kuhusu kudhihiri mtu katika video
Hii nidalili kua wewe hujielewi wewe mtume ulimuona mbona unamjua au abubaakir ulimuona omar hamza nk mbona husemi unaka haq au sura za mtu huoni kua nidalili kua watu hawaki umaalifu ispkua haq inayofikishwa au pinga kwa dalili sio vituko vya picha sasa ukiona picha sura ndo haq? Khaa?😮
Kwahiyo Salafi, Salafi Jadida, na Ansari sunna nilipi hapo alilokusudia Mtume lapeponi😂
Naam kulingana na maneno ya shekhe letu hayo makundi yako sawa yote, mbona wewe unakejeli maneno ya shekhe??? Ama wote wako sawa ispokuwa masalafy??? Mnaona upumbavu wa masufi????
Huku unaambiwa umma wote peponi na huku wanakandamiza masalafy??? Ehee waelewa hapo??? Ama chali pingli wewe pia???
HATA KAMA NIKUELIMISHANA SIO KWA KUVUNJIANA HESHIMA NA KUITANA MAJINA YA AJABU NYIE VIJISALAFI UCHWARA MAVI KUNUKA TAKATAKA LAAANA MYIE MDASHIDA SANA DAAW YENU NI KUVUNJIA HESHIMA WATU😂😂
Ni ajabu Sana baada ya Sheikh Abdallah humayd Allah amuhifadh kutoa bayana ya sawa ila watu wasiopenda haqi Kama nyie mnashkilia Jambo lakuwa ety kuwavunjia heehima masheikh wenzie, je nikuulize ww na wenye fikra Kama zako mwaweza kututajia matus gan aloyasema ktk kbaynisha kwake? Ala ww unaesema Ana matus sheikh wetu mbona ww umetoa maneno machafu Sana ktk comment yako? Je inakuwaje unaumizwa na matus Hali yakuwa ww ndo mwalimu wa matus? Bali nyinyi mnaosema katkana hatma yake ndo mnaporomosha mitus ya hovyo kabisa hii ni kuonyesha mnachuki tuh Bali hampo tayali kufata ubaynifu manaloangalia Ni Hilo tu bas.
Sasa wewe na mtume nani anajua?kasema uma wewe unasema waislam acheni ujinga kwenye dini huu ndio uma wa mwisho uma ni wote mnaelimu ndogo sana wajinga nyinyi
Hakuna shaka yoyote juu ya "definition" ya shaykh huyu anayejiita salafi. Yupo sahihi kiukweli. Lakini uadilifu wa kielimu hawana. Kwani wanapomuongelea mtu walieamua kumchukia humzulia na hata wafuasi wao kumtusi. Pia wanapoamua kumfanyia Rududi mtu pasina hoja za msingi hufanya jambo:"comments turned off " hii ni kuonyesha namna gani wamekosa uadilifu. "Be aware "Hiyo si sawa kwani wamejitukuza nafsi zao na wanasema uongo hali yakuwa wanajua .
Ayo matusi yenu ndo sunna?
muna stahiki hamutaki kusoma Wala kusomesha
Dilele usitutajie maimamu tafsiri hadithi kama ulivyo kwani huyo imam swanaan ni mtume?hakuna hadithi ya mtume inayozungumzia makundi ya waislam au madhahab..sasa twende makundi matatu ya answaar sunna..salafi swalihin..na majadida..hao kundi moja au makundi matatu na lipi sahihi?😊😊
Ww pia taja imamu kama unaweza ama utulie
Wewe una Ujinga kweli
Uislamu hauswihi makundi makundi... Nyinyi wasenge mwatenganisha waislamu Kuma za mama zenu laanatullah... Nyinyi ndo mwatufanya waislamu kutengana
Watukana na maneno machafu mama za watu tena mwogope Allah tofauti zako kwa misimamo yako isikutie kwenye dhambi bratha.
Lugha ya mjinga hua ni matausi😂
Kunafaida GN kutukana mcheallah nduguzangu hii ni ishara ya ujinga uliopo juuyako Allah akuongoze
@@mohamedshariff9156 so na wewe unawa-support wanavo gawa waislamu makundi makundi
@@yussufhamad3721 so na wewe unawaunga mkono jinsi wanavo gawa waislamu makundi makundi