C❤mashaallaah sheikh hilali mwaudhu yako nikama chakula hata inashinda chakula mana yake moyo wangu ina zidi kupenda kila mara niki sikia allaah.akupe jannaa til firdaus..ya rabbi ameen
Mimi ni Mkristo, lkn nafarijika sana ninaposikiliza mafundisho ya huyu mtumishi wa Mungu, Sheikh Bilali Kipozeo. Allah ampe siku nyingi za kuishi duniani ili wengi tunufaike na mafundisho yake.
Mashaallah jamani Kama kweli wewe una Imani ya dini au hofu ya mwezi mungu tumpe shekh wetu sadaka kwa ajili ya allah
C❤mashaallaah sheikh hilali mwaudhu yako nikama chakula hata inashinda chakula mana yake moyo wangu ina zidi kupenda kila mara niki sikia allaah.akupe jannaa til firdaus..ya rabbi ameen
Allah aendele kutupa tawfiq tutekeleze Mambo ya dini
assalam alayikum shukran kwa darsa
Mimi ni Mkristo, lkn nafarijika sana ninaposikiliza mafundisho ya huyu mtumishi wa Mungu, Sheikh Bilali Kipozeo. Allah ampe siku nyingi za kuishi duniani ili wengi tunufaike na mafundisho yake.
Shukurani sheikh wetu
AKA .Mzee wa mizigo.
😊😊😊😊
Mashallah
Allah Akbar.
Allah akbar
Allah Akbar
Allah azidi kukupatiya umri mrefu insha,allah
❤
Nimependa ❤
Hilali siyo Bilali, samahani
Fundi kipozeo unajua Saaana
Yaani hayaja ku touch😢
Vp hukumu ya wanawake kufanya biashara sokoni na kuchanganyana na wanaume,nataka kufahamu inshaallah
Haraam
Mashallah
❤❤❤❤❤mashallah