Ustaadh hiyo kusema "hubal hubal" naona kama ni shirki/Kufru ukizingatia jina la Hubal ni moja ya jina la Masanamu yalokua yakiabudiwa kipindi cha ujahiliwa
lakini nawaomba Radhi ...kuna jambo hapa kwa video sikupendelea kila shekih Akitupa mafunzo mazuri kuna mtu moja hutoa kidole kimoja akimwekea sheikh juu ya utosi ...hili jambo sikulipendelea naomba tuwe na hishma na Adabu tunapopewa mafunzo .
Masha-allah sheikh
Ina lillahi wa Ina ilayhi rajiuun. Allah akuweke pema penye wema
Inna lillahy wainna ileyhi raajiun
Mungu akulaze pahala pema shekhe letu
Allahuma ghrillahum warham waskahum fyil Janah😭😭😭
Allahumaghfirlahu warhamhu waskinhu fil jannat
Aamiin Yaa Rabbilaalamin
Mashaallah Allahubariq maalim yusuf.
Allah akurahamu akukundulie kabri lako....
Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir 🙏
MAASHA ALLAH,
SHUKRAN KWA ELIMU NA UKUMBUSHO WAKO KWETU,
Ma shaa Allah. Jazaka Allah, menufaika sana.
"من فسّر القرآن برأيه فليتبوأ مقعده من النار
وهل هو فسر القرآن برأيه تلاعبا أم أنه قام بتأليف الحمد بأخذ قسطا من آيات الحكيم؟؟؟
Masha Allah
Mashaallah sheikh wetu Yusuf Bin Ali tunakupenda sana Allah akurehemu naakupe umri mrefu amin
Amin
Mashaaalah!
Twaibu jazakAllah Kheir Nakuona Sheikh Izudin yuwateka kweli watu wanjege nyumba Alhamdulillah nime faidika xana shukran from Saudi Arabia
Shukran jazzakallah kheiry
mashaAllah Jazakh Allah kheir
Masha Allah mwana wechu
Masha Allah kwa darasa zuri
Mashaallah. Asante mungu kwaupendo wake kwetu.shukran shekh
sheikh Allah akulipe kila la kheri hapa Duniyani na Akhera Ameen
Jazakallahu kheir Sheikh
Mashallah tende
Shukran
Allah amrehemu
Twayyibuuu
Na hebu afanye heshima huyu anapiga sheikh kichwani
As,alaykum? Uyo jamaa anae mgusa shekh kichwa hatpendi co vzuri awache tabia iyo
Hapana sio vibaya ni kama amemgusa Kwenye moyo kwa kile akisemacho wala Si vibaya mi naona!
Ya nilisikia tenda nzur
Hahaha abdulatifa
Ehee sio vibaya
Mimi nilikuwa napenda tangu nipo mdogo. Ya tende zinatia nguvu pia, Ata kwq mama mjamzito nzur zinapunguza uchungu pia
Heeeeh mpwaka mpwaka mpwaa
mpwaka mpwaka pwa Sina mbavu
Waarabu hawana majina
Maneno ya kizungu
As salaam alaykum warahmatullah wabaraqatuh naomba contact za sheikh yusuf it's urgent shukran
Sawa
Haha Twaib HUBA HUBA HUBAA SANTA FROM SAUDI ARABIA
Asalam aleikum. Hichi kiswahili chanipiga chenga kidogo jamaa wengo inaaman
pancreas
sheikh nataman niw mm katk elim ila mung akupe umr mref
Ustaadh hiyo kusema "hubal hubal" naona kama ni shirki/Kufru ukizingatia jina la Hubal ni moja ya jina la Masanamu yalokua yakiabudiwa kipindi cha ujahiliwa
Mhogo Mchungu
kweli hili mm pia sikuona nimaneno ya sawa ....lazma tukasome tujue
Kama ila si hakika
Shukran shekh allah akubariki
Kuna kitu kinanigera mm mb huyu ustadh akinena kitu cha kutekesha kuna jama hukusa hukusa kichwa cielewi mm?
lakini nawaomba Radhi ...kuna jambo hapa kwa video sikupendelea kila shekih Akitupa mafunzo mazuri kuna mtu moja hutoa kidole kimoja akimwekea sheikh juu ya utosi ...hili jambo sikulipendelea naomba tuwe na hishma na Adabu tunapopewa mafunzo .
hata hyo twayibuu
Kuna watu hawana heshima hapo kabisa
Wewe shida yako nini juu ya hilo. Sikiliza ufaidike
Nadhani hilo nikatika utamaduni wawo hata Sheikh naona hakukerika kwa hilo, sasa tukuwe na husn dhani kwa ndugu zetu
Je tende za kwenye mifuko inafaa
Twaaaibu
Nna maswali nataka niulize tafadhali tia namba yako ya simu
Sasa mpwaka mpwaka pwa maana yake ni nini Sielewi😢
tende ya debe Ndio ipi?
Tende za debe huwa zipo kwenye debe la rangi kama za sufuria halaf huwa zinapatikana kwa vipimo vya kilo kumi kumi kwenye Hilo debe.
Huu
Sasa ipi tende bora kwa afya ya mwanadam
Barani
Ajwa date
Huba Huban ndiyo nini
Masha Allah
Mashaallah shukurani sana sheikh Allah akubariki sana