Video není dostupné.
Omlouváme se.

KUREKEBISHA MANENO YA MWIMBAJI YUSUF ABDI WA MOMBASA __ 🎙️SHEIKH ABDALLAH HUMEID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 01. 2024
  • KUREKEBISHA MANENO YA MWIMBAJI YUSUF ABDI WA MOMBASA __ 🎙️SHEIKH ABDALLAH HUMEID
    🛑
    ‪@dawatul-salafi129‬ 👈👈 SUBSCRIBE 💫
    🛑
    This channel is deals with Qur-an and Sunnah in salafi ummah 💫
    🛑
    • KUREKEBISHA MANENO YA ...
    🛑
    • MAJIBU YA SHUBHA YA AB...
    🛑
    • KWA NINI DR ISLAM HAK...
    🛑
    USISAHAU ku subscribe na kugusa alama ya kengele ili uwe wa kwanza Kila tunapo achia video mpya 💫
    SUBSCRIBE 👉👉 ‪@dawatul-salafi129‬ 💫
    🛑
    Support this channel in order to upload more video 💫
    🛑

Komentáře • 70

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU Před měsícem

    Allah anaweza kytuondosha soote na alete viumbe wapya

  • @user-gz5qu5qy1y
    @user-gz5qu5qy1y Před 7 měsíci +5

    Wallah siku ya Qiama kuna kazi kubwa sana

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila1709 Před 5 měsíci +1

    Mnatabia mbaya sana alafu mnafata mikumbo ya masheikh wenu

  • @Imanx602
    @Imanx602 Před 5 měsíci +2

    Wah..jamani muungane, msutuumize sisi subhanallah. I love both sheikhs. They are both strong in their own way. They should sit together to guide us. Humeid nilikuwa nadhani nimYemeni hata kiswahili hakijui.... Very dissaponted in him. I listen to suratul Maryam daily by Abdallah Humeid. He has to come back from this. Sheikh Yusuf simwimbaji. He reaches some people who need to be reached... Kama ni mazoezi, kama ni sadaka, kama ni vijana wa mtaa... Common guy.. mwatuuwa na mwatutengenisha bure. Simameni pamoja. We need our leaders united.

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před 2 měsíci

      Haki lazima ibanishwe. Yusuf Abdi ni muimbaji anae sifu makafiri

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 4 měsíci +2

    Alhamdulillah sasa watu wameanza kuona hili kundi la kiwahabi salafiya wachwara ni project za America kuuharibia uislamu jina

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 Před 6 měsíci +2

    Twamjuwa vzr Sheikh Yuusuf Abdi ....elewa vzr alichokikusudia....hufai hata kuitwa sheikh....Nadhan ww ndio mwimbaji na mropokaji!!...kama ww ni miongoni mwa eti wasomi,basi umma uko hatarini😢😢😢

  • @user-zf9ee1us6p
    @user-zf9ee1us6p Před 2 měsíci

    ALHAMDULILLAH KWA NEEMA YA UISLAM, ILA MASALAFI MNGEKUWA NA NAFASI YA KUCHAGUA WANAOBAKI KTK UISLAM NA WANAOTOKA, MNGETUPOKONYA NA UISLAM WENYEWE ILI MBAKIE NINYI PEKEE.

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU Před měsícem +1

    Yan sufi huyo ni mjinga wa mwisho anaetegemea watu kua bila wao hatuishi mbwa yeye hafikirii vizuri anahisi allaah hawezi kuumba watu wengine ni nani

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah4002 Před 6 měsíci +3

    Wambie wasuudia khabari hizi sio shekh yusuf abdi na wafanya makosa kumita mwimbaji kwaajili yakutowa nashidi kwa sauti mzuri hawo wanasoma qurani kwasauti mzuri tuwaite waimbaji fanya hishima nadini wacha hassad na shekh yusuf abdi

  • @jannathezhez
    @jannathezhez Před 6 měsíci +1

    Walevi suufi

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila1709 Před 5 měsíci +1

    Nyie kama wanaume mumfate mumkosoe akiwepo

  • @NyimboAli
    @NyimboAli Před 7 měsíci +4

    Mambo mengine siyakupost darsa hii ya kawaida tu huyu mtu hakukosea
    Chuki tu zimeenezwa

    • @RamadhaniShembillu
      @RamadhaniShembillu Před 7 měsíci +1

      Wataka kupostiwe nini Sasa, wewe hujui ndomana huoni kosa

  • @Mapyatv
    @Mapyatv Před 6 měsíci +1

    Sijui nisemebola ambaye hajasoma maana mnashindwa kukaa kuelekezana mnaponda

  • @abubakarmohamed4944
    @abubakarmohamed4944 Před 7 měsíci +4

    Masheikh wa kikweli hawatoani makosa mitandaoni. Na sioni kosa hapo

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah4002 Před 6 měsíci

    Kawaida ya ilmu chache nikuboboka mwacheni aboboke

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 Před 7 měsíci +2

    Hajakosea kabisa yaani .waislamu tumelalaaa .NA HII NI KW SABABU YA NYIE MUNAOJIITA SALAF KUPINGA JIHAD .MNALAZA AKILI ZA WAISLAMU.
    MTUME HAKUWA ZUZU BHANA! QUR AN ILIFUATWA ,SUNNA ZILIFUATWA NA MAENDELEO YALITAFUTWA.
    HAJAKOSEA KABISA HUYO MNAYEMSEMA MUIMBAJI.

    • @neemafatu471
      @neemafatu471 Před 7 měsíci +1

      ENDELEENI KULINDA UFALME KWA MSAADA WA MAREKANI NA MAYAHUDI TU MAENDELEO MMESHIKIWA NA MAKAFIRI

  • @suleim505
    @suleim505 Před 5 měsíci +2

    Kwa hakika hakuna mwanadamu ambae ni mkamilifu: hata wewe uliueposti hii voice una mapungufu, pia namimi ninayo mengi sana, lakini jaribu kutumia kile ulichojaliwa katika hiyo elimu kwa namna ivyostahiki,, unawakosea waislamu wenzio: PIA YAPO MAMBO YA MSINGI YA KUELEZEA NA SIYO KUWASEMA WATU MNAKERA: PIA MNAUHARIBU UISLAMU... sisi tunasoma kwenu sasa nini tuakisoma kutokakwenu?

    • @bekadsatuola9621
      @bekadsatuola9621 Před 4 měsíci

      Banae hii ni dini sio utawala anae kosea ambiwe saidna abubakar aliambiwa na alitaka kuambiwa atakae kosea hambiwee

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf Před 7 měsíci

    Allah SA atupe hidaya badili tuwatie ndugi zetu katika dini ya uislamu sisi twapijilizana wahabi mara sufi mara pamba twagawanywa na sisi twafuata. Kwa nini tupigane mitandaoni?

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Před 4 měsíci

    huyu ana HASAD

  • @suleali4915
    @suleali4915 Před 4 měsíci

    Natamani hawa wapuuzi vyombo vya dola viwazime mdomo

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Před 7 měsíci +3

    huyu mbwa hafai hata kusikilizwa mshenzi huyu

    • @dawatul-salafi129
      @dawatul-salafi129  Před 7 měsíci +1

      Mbwa nani

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 7 měsíci

      @@dawatul-salafi129 humjui mbwa alozungumza happyekwa kejeri na kuadharau wenzake? na kuabandika vifuniko wenzake kwa dharau?

    • @ausatmwangi6464
      @ausatmwangi6464 Před 4 měsíci +1

      Huyu humeid ndio tunamuita mbwa haswa mbwa koko

  • @dodokibbah3513
    @dodokibbah3513 Před 7 měsíci +1

    Kama mwimbaji mbona mwamtilia manani,zindukeni jamaa sio kila saa twakosoana tuu😢

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 4 měsíci

    Huyu humeid haweza raddi ata mtu akinya mavi yake chooni 😂😂

  • @AbuumukhtaarTz
    @AbuumukhtaarTz Před 7 měsíci +1

    Wewe Abdallah Humeid huna akili hata kidogo, nadhani kuanzia wewe mpaka mwalimu wako ni wajinga sana na elimu yenu haina manufaa hata kidogo, yaani baada ya kuwalingania waovu waache unaanza kuwagawanya watu kwenye umoja wao. Hivi kuna aya au hadithi inayosema tufarakane? Na kama haipo wewe unafata kitabu gani na hadithi gani. Nyingi mnao jiita masalafi ni wapumbavu sana .

  • @baarutmazrui5186
    @baarutmazrui5186 Před 7 měsíci

    Waha jamaa wanakula ndumu?

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila1709 Před 5 měsíci

    Ndonjia ya kukosoa hio aliyoifanya mtume Muhammad s.a.w. nyie ndosababu ya dini ya Allah kudharauliwa na makafiri. Yan mnaelim hamjaelimika mmezidi kuwa wajinga

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 Před 7 měsíci

    Mbona hivi jamani kama huna lakusema afadhali ujiunge na anushud uwe munshid kuliko kujitolea maneno hayana kitwa wala maguu

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji Před 7 měsíci

    Hapa hapana sabbu ya kuradd na ww bwanamkubwa alimradi tu. Hizi ni chuki binafsi

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 7 měsíci

    huyu anaye tukan waatu ni shetani au unweza kumuita mbwekaji huyu ssawa na mbwa sijengine ni hasadi muto wajahanam ndo mashukiyo yako

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl Před 7 měsíci +3

    Huyuu Abdallah humeid ni mlevi nyinyi hamujui tu ,maana sifa ya walevii kwanza hupenda sifaa kisha huponda wengine 😂😂😂 yaani huyu ni mlevi kabisaa . anaongeaa pumbaa tupuu

    • @dawatul-salafi129
      @dawatul-salafi129  Před 7 měsíci +4

      Kila panapo makosa lzma pakosolewe ndo ulivyo uislam sio kunyamza kimya ndugu

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl Před 7 měsíci +1

      Uwongoo huwoo sio uislamu munaoufanya nyinyi Bali hizo ni njia za walevii wapuuuzi nyie

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl Před 7 měsíci +1

      Uwachafue waislamu wenzako alafu useme ndio uislamu! Munataka kumdanganya nani ? Nyinyi ni walevi tu

    • @muhammedomaryshembilu8539
      @muhammedomaryshembilu8539 Před 7 měsíci +3

      Hata mtume swalalah aleyh wasalama aliitwa mjinga

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 7 měsíci

      sio mlevi tu bali jibwa mwitu, ni mshenzi mbwa hili halifai

  • @ZuberiGau
    @ZuberiGau Před 4 měsíci +1

    Siku zote mtu wahaki lazima achukiwe

  • @sadofaraji5999
    @sadofaraji5999 Před 4 měsíci

    Siyo maneno machafu bali huo ndio ukweli,yaani hata dawa twategemea kwao.