Mweshimiwa Mwigulu wewe unapenda kodi zaidi kuliko mali ghafi za nchi yetu. Amwelewe Mch Gwajima anachoongea. Rell imeshajengwa kwa gharama na uwezekano wa kupunguza gharama ndo imeisha. Gwajima Mungu Akubariki sana.
Tanzania mara nyingi tunakurupuka tu ... Zitto aliyasema vizuri sana zaidi hata ya Gwajima,moja kupeleka sgr Mwanza badala ya Kigoma kwenye mzigo mwingi toka Drc, Pili ilikuwa hiyo ya Liganga na Mchuchuma alitumia neno "fungamanisho" la reli na chuma, lakini serikali isiyo na maono ya mbali.
Aiseeee gwaji boy kama gwaji boy Mungu akuweke baba huna baya dhamila yako inaonekana ni njema Sema tu Kuna watuuuu hawapendi ukweli kwasababu wao wanakula na kuvaaa na kuishi na kwenda wanapotaka na kufanya wanalo taka bila kujali mwananchi mliopa kodi na tozo ambazo iliyamkini wangezilipa wao
Mweshimiwa waziri ni sawa.Je hayo maono yanakuwa reviewed.Ni lazima ifanye kwa muda husika.Ukweli watendaji vitu vingi viko kwenye makatasi tu.Tujitahidi tufanye kwa vitendo na kwa sahihi.Asante
Asakofu,ninakukubali sana. Kuna siku za nyuma,Mchora Katuni mmoja magazetini,aliwahi kumchora Omba omba maalufu nchi aliyekalia Kigoda cha Dhahabu huku akiomba,"Saidia Masikini. Dhahabu,akiomba,"SAIDIA MASIKIN".Ndipo Mzungu akatokea na kumpa shs:Elfu tano na akam'badilishia kile Kigoda cha dhahabu na kumpatia kiti kikubwa cha "plastiki".Hapa ndipo Askofu anajitahidi kuwaeleza Viongozi wahusika nchini kwa hekima ya Ustaarabu wa hali ya juu. Viongozi,kwanini hatuoni mbali na kuzidi kutenda Uongozi wetu kimazowea kama jana na juzi?Msiwe kama Matonya Omba omba maarufu nchini. Asante kipanya hotuba.zako katika tamsilia ya katuni zinajitokeza kuwa endelevu.Zitatuamsha.
IQ za watu huwa zinatofautiana sana na ndiomana kuna fast leaners na slow leaners mfano huyo jamaa pale ni dhahiri kwamba IQ yake ni ndogo sanaaa hasa kwenye kufikiri (critical thinking) nadhani anachokiweza zaidi huyo mjomba licha ya nafasi yake ilivyo kubwa ni kubuni tozo kusifia na kutetea vitu vinavyotufanya tuendelee kubaki nyuma. Kwa mfano mimi ni mjinga darasani mjinga mwenzangu anakopi kila nachokiandika, je yatosha kunifanya nijisifie mimi ni mjanja wakati kila mtihani nafeli? Jibu ni no viongozi wetu wengi thinking capacity is a big problem.
You're right Mr Gwajima BUT some project could take longer than what you think if you want to rely on resources from home. Some project have to be done first and pay the huge bill but will be compensated by getting back from the sale of what you're talking about. Remember steel project would have be done by another contractors not the ones who built the railways. You're right but if there is steel, nothing has been lost. We can still get the steel and sale to get our money back and use for other project. Some projects don't need to wait. Have to be done ASAP and feel the pain and eat fruits later.
Serikali ijayo itakuwa moto sana. Askofu Gwajima hayuko peke yake. Wapo wengi. Waliokuwa wakipata nafasi ni wale ambao hata viwanda vya pamba havipo. Mipango mibovu. TUNATAKA TUME HURU NA KATIBA.
Maono gani mlio nayo sas,akuna m'mbunge mwenye maono apo. Nyie asingepita Magufuli apo pasingekuwa na chochote,akuna inchi yoyote ambayo inachukulia mfano kwa inchi ya Tanzania,nyie ndo mnachukulia mfano kwa inchi zingine.
Hivi vyie CCM Bado mnataka mwigulu nchemba aendelee kutuongoza watanzania wote 2025..nk inaonyesha pamoja na elimu aliyokua nayo Bado hajamsaidi nifinyu wakuwaza😢😢😢 au kuona
Nimesikiliza mpaka mwisho mchungaji kaongea pont sana ila najiuliza picha iliotambulisha mbona haiendani na kilichoongelewa mtoapost akili yako iko vizuri kweli au una mtindio wa ubongo
Sifaham kama mweheshimiwa mwigulu anafaham anacho sema gwajima? Kama kungekua na mipàngo ya mda mrefu Reliyetu mpya kwa sasa ingekua inasafirisha mizigo! Imezimwa kwa sababu ya maroliiiiiiiiiii wananchi msifikirie hatujui?
Wewe Mwigulu unajigamba tu hakuna kitakacho fanyika ni kusema hana lo lote Mwigulu hapendi hata kujifunza. Mwigulu ajidai anajua kila kitu. Wewe ulisha kaa Kenya si unajigamba tu Umeisha kwenda kwa Kagame ujione.Hivi kwa Game aje kukopi nini hapa ukienda kila Inchi zinazo tuxunguka watucheka sana huku Mwigulu akijidai. Ukiongea na wale waliopiga hatua ukijidai hivyo atakuambia nini zaidi ya kukudanganya kuwa wanakopi wakopi nini?
Sikia jina mwigulululu aina ya mizizi inayoota maeneo ya chooni , pale alipojisaidia mtu kichakani pia huota iyo mizizi mwingulu! , majina mengine laana tusiwaite watoto jmn😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Gwajima unauwezo mkubwa sana wa kufikilia Mungu akutangulie sana Na hii nchi huwa haipendi kutumia viongozi wenye maono kama gwajima sijui kwann? Ukweli ni kwamba Taifa hili likitambuwa michango ya kina gwajima nakufanyia kazi mawazo yake hili taifa litaimalika sana. Tukubali kushauliwa Tukubali kubadilika Sasa wewe mwigulu kwani ukipokea ushauli mzuri wa gwajima utapungukiwa nin?
Ndugu yangu Mwigulu, unaweza ukawa na manati ukamwona ndege ukamtungua na manati. Lakini je, ulipanga kumpiga ndege wa kula au kungulu? Kila kitu kwa mipango. Usiwafundishe wakazi wa Ubungo Kibangu kuvua pweza wakati hawana bahari badala ya wakazi wa Mafia ingawa wote wako pwani. Wataalamu wa mipango wanajua hilo.
Huyu ndio anafaa kuwa rais wa nchi hii siku moja! Kila mara amezungumzia maono! Yaliyoko kwenye makaratasi ni ya muda mfupi! Ila ukinunua nje kuna faida kwa wanunuzi!
Mweshimiwa Mwigulu wewe unapenda kodi zaidi kuliko mali ghafi za nchi yetu. Amwelewe Mch Gwajima anachoongea. Rell imeshajengwa kwa gharama na uwezekano wa kupunguza gharama ndo imeisha. Gwajima Mungu Akubariki sana.
Vichwa smart Bungeni ni pamoja na Gwajima, Luhaga Mpina hawa jamaa hawaogopi sura ya mtu wanaongeaga fact siku zote hakuna uchawa, Super Gwajima
Kama mimi ni mwenyekiti Mwigulu kaaa chini unapoteza muda wa Gwajima
Kama kichwa kibovu cha Mwigulu kitatumika kuongoza hata mkoa moja tu ndani ya Nchi hii, hali itakuwa mbaya zaidi.
INAFIKIRISHA SANA....MBONA MH. ZITTO ALISHAYASEMA HAYO MIAKA ILIYOPITA....SERIKALI YA CCM IKAZIBA MASIKIO!
Nice tunahitaji maono ya Nchi ili tusiwe omba2 kwa nchi nyingine
Nimekuelewa mchungaji Gwajima ,, ni raha Hofu ya Mungu uwepo pia Bungune
Tanzania mara nyingi tunakurupuka tu ... Zitto aliyasema vizuri sana zaidi hata ya Gwajima,moja kupeleka sgr Mwanza badala ya Kigoma kwenye mzigo mwingi toka Drc,
Pili ilikuwa hiyo ya Liganga na Mchuchuma alitumia neno "fungamanisho" la reli na chuma, lakini serikali isiyo na maono ya mbali.
Hongera Gwajima kuwa upande wa wananchi
Nakubaliana na hoja ya Mheshimiwa Gwajima
Gwajima is very super smart Mungu akusimamie Mtumishi anakili sana huyu jamaa maono ya miaka mingi hutuongoza kujua tunachotaka kufanya
Huyu mwigulu ndio majizi yanapinga Kila kitu hatukutaki wewe
Daah gwajima nomaa sana verry verry verry
Gwajima super sana
Gwajima uko. Sahihi sana mtumishi baadae nitakuita mbunge.
Kwa jima apewe hii nafasi ya mwigula😀👍🏿
Aiseeee gwaji boy kama gwaji boy Mungu akuweke baba huna baya dhamila yako inaonekana ni njema Sema tu Kuna watuuuu hawapendi ukweli kwasababu wao wanakula na kuvaaa na kuishi na kwenda wanapotaka na kufanya wanalo taka bila kujali mwananchi mliopa kodi na tozo ambazo iliyamkini wangezilipa wao
Mweshimiwa waziri ni sawa.Je hayo maono yanakuwa reviewed.Ni lazima ifanye kwa muda husika.Ukweli watendaji vitu vingi viko kwenye makatasi tu.Tujitahidi tufanye kwa vitendo na kwa sahihi.Asante
A guy is very smart and intercultural .very good Mr gwajima
Sema baba wapone
Gwaji ni smart sana ni mtu na nusu wachache wanaweza kumuelewa
Zito kabwe aliyasema mapema,ni utashi wa maono ya viongozi hapa tulifeli
Asakofu,ninakukubali sana.
Kuna siku za nyuma,Mchora Katuni mmoja magazetini,aliwahi kumchora Omba omba maalufu nchi aliyekalia Kigoda cha Dhahabu huku akiomba,"Saidia Masikini. Dhahabu,akiomba,"SAIDIA MASIKIN".Ndipo Mzungu akatokea na kumpa shs:Elfu tano na akam'badilishia kile Kigoda cha dhahabu na kumpatia kiti kikubwa cha "plastiki".Hapa ndipo Askofu anajitahidi kuwaeleza Viongozi wahusika nchini kwa hekima ya Ustaarabu wa hali ya juu.
Viongozi,kwanini hatuoni mbali na kuzidi kutenda Uongozi wetu kimazowea kama jana na juzi?Msiwe kama Matonya Omba omba maarufu nchini.
Asante kipanya hotuba.zako katika tamsilia ya katuni zinajitokeza kuwa endelevu.Zitatuamsha.
"Ninapo changia muda unaisha Itabidi niombe kanuni muda Unapo pungua inakuwaje" gonga like
Maono ya nchi yako kwenye katiba tu, kwa sababu ndiyo dira ya kutuongoza hajlishi kiongozi atatoka chama gani
Hapo kwele pastor
Anachosema gwajima wapinzani walisema San kipind wapo bungen laki wakakaz makalio hapo hamn kitu wazee wangu ,mbuzi na gitaa
Mhhh fact tupu hapa mkuu
Wakakaza nn mkuu????
@@mtengelamtengela1496 home kand
Gwajima ahsante unamaono makubwa sn, Mwigulu atulie
IQ za watu huwa zinatofautiana sana na ndiomana kuna fast leaners na slow leaners mfano huyo jamaa pale ni dhahiri kwamba IQ yake ni ndogo sanaaa hasa kwenye kufikiri (critical thinking) nadhani anachokiweza zaidi huyo mjomba licha ya nafasi yake ilivyo kubwa ni kubuni tozo kusifia na kutetea vitu vinavyotufanya tuendelee kubaki nyuma. Kwa mfano mimi ni mjinga darasani mjinga mwenzangu anakopi kila nachokiandika, je yatosha kunifanya nijisifie mimi ni mjanja wakati kila mtihani nafeli? Jibu ni no viongozi wetu wengi thinking capacity is a big problem.
Wazir hapo amna kitu anapiga porojoo tuu hapo uyo jaman anawaza kupiga ela tu na kula bata basss amna kitu hapoo
You're right Mr Gwajima BUT some project could take longer than what you think if you want to rely on resources from home.
Some project have to be done first and pay the huge bill but will be compensated by getting back from the sale of what you're talking about.
Remember steel project would have be done by another contractors not the ones who built the railways.
You're right but if there is steel, nothing has been lost. We can still get the steel and sale to get our money back and use for other project. Some projects don't need to wait. Have to be done ASAP and feel the pain and eat fruits later.
Mch,Gwajima Mungu akubariki,ni lazima kuwa na umoja na mpango wa viwanda uendelezwe.
Gwajima hongera kwa mawazo mazuri bungeni mipango hiyo ndiyo haswa inayohitajika
Kumbe Gwajima anajua mambo ya Mnya'az Mngu!!😊
Mwigulu we ni mjinga tu mpiga madili tu swala hapo ni umwisho wa matumizi ya makaa ya mawe
Ubarikiwe Sana mwanamaono
Mungu ni mwema, Tupo na Wasio na UPEO, FIKRA FUUPI.
Gwajima ameendelea kuishi kweny uafrika kwanza ana madini mengi kichwani,bimukubwa afanye kuacha kugombea tunampitisha mchungaji fasta
Tanzanias president( gwajima )
Serikali ijayo itakuwa moto sana. Askofu Gwajima hayuko peke yake. Wapo wengi. Waliokuwa wakipata nafasi ni wale ambao hata viwanda vya pamba havipo. Mipango mibovu. TUNATAKA TUME HURU NA KATIBA.
Gwaji boy ni bora kuliko mawaziri mia, naona mwigulu anajing'atang'ata tu itabidi badae ajisikilize alichokuwa anaongea atajidharau kweli
Uko vizuri Mch! I salute you!❤
Sipati picha inchi iwe na viongozi wajuu kama gwajima,majaliwa,makonda,sabaya,Dr.asha migiro duuu Tanzania itapaa kwa haraka
Maono gani mlio nayo sas,akuna m'mbunge mwenye maono apo.
Nyie asingepita Magufuli apo pasingekuwa na chochote,akuna inchi yoyote ambayo inachukulia mfano kwa inchi ya Tanzania,nyie ndo mnachukulia mfano kwa inchi zingine.
Bila viongozi bora Tanzania itaangamia
mara nchi yetu haina maono ya mdamrefu,mara haijawahi kuwa na maoni
Tanzania aina mfano wowote inaviongoz wa ovyo sana
Uwenda mipango hipo, lakin bado matendo. Kwaiyo tupendelee matendo zaid kuongea ongea
Wazili.unaongea nn bwana Aiseee hatutakiwi kua hapa tulipo fika punguzeni wizi ili tupige hatua hii Nchi ni tajili mno
Mzee gwajima huwawez hao mafisad.wao wamekaa kutekeleza matakwa ya wamagharib tuu.cc waafrika ni watumwa wa wzungu.😂😂
Hii akili kubwa ya mheshimiwa Gwajima waziri tutolee kelele zako
Gwajima wewe kiboko sana nimekupenda
Sema ukweli wewe, HATUPO PAZURI 😂😂
Gwajima ni kichwa
Gwajima sema tu napa ni katiba mpya Ili kuweka mambo sawa.
Daaa gwajima wew ni kichwa sana sio kilaza una umagufuri fulani
Mwigulu anazingua
Yale Mchungaji anavyosema ju ya mchuchuma na liganga Nzito Zubaheri Kabwe alivinzungumuza tangu zamani kama miaka inne.
Wanachukuwa mali zenu for free tena wanakuja kuwauzia kwa bilioni, stupid leaders
Safi sana baba yangu
Nimekupenda mchungaji
Mungu akutiee nguvu
Gwajima ni kiumbe atari sana
Good are dia mbunge wetu wa kawe
Hivi vyie CCM Bado mnataka mwigulu nchemba aendelee kutuongoza watanzania wote 2025..nk inaonyesha pamoja na elimu aliyokua nayo Bado hajamsaidi nifinyu wakuwaza😢😢😢 au kuona
Ugombee Urais mwaka 2025
Afai
Akili ikihamiya tumboni inakuwa ugonjwa ccm ni wapumbavu wote
Mwigulu alikua anaongea nini labda 😂 mzee wa trat na trap hana jipya huyu mzee
I am not this guy's fan, but kaongea ukweli mtupu...( na sio leli ni reli, na sio Palis ni paris). Naona "R" zinamshinda
Nimesikiliza mpaka mwisho mchungaji kaongea pont sana ila najiuliza picha iliotambulisha mbona haiendani na kilichoongelewa mtoapost akili yako iko vizuri kweli au una mtindio wa ubongo
Wakaaji wa Dar -Es Salam wana mabalabala ya ajabu. Polike ya inchi mbalimbali za africa ni maajabu.
Super man
Gwajima mtu alliyeiona kesho
gwajima umelisahau jimbo lako barabara hazipitika
Sifaham kama mweheshimiwa mwigulu anafaham anacho sema gwajima? Kama kungekua na mipàngo ya mda mrefu Reliyetu mpya kwa sasa ingekua inasafirisha mizigo! Imezimwa kwa sababu ya maroliiiiiiiiiii wananchi msifikirie hatujui?
GWAJIMA... THE NEXT PRESIDENT
Wewe Mwigulu unajigamba tu hakuna kitakacho fanyika ni kusema hana lo lote Mwigulu hapendi hata kujifunza. Mwigulu ajidai anajua kila kitu. Wewe ulisha kaa Kenya si unajigamba tu Umeisha kwenda kwa Kagame ujione.Hivi kwa Game aje kukopi nini hapa ukienda kila Inchi zinazo tuxunguka watucheka sana huku Mwigulu akijidai. Ukiongea na wale waliopiga hatua ukijidai hivyo atakuambia nini zaidi ya kukudanganya kuwa wanakopi wakopi nini?
Mwigulu ni mwongo! 2025 ndio nini? Kitu gani kimefanyika? 2025 inaisha na nyingine ndio inafikiwa ya 2050. Hona hoja ya kumpinga Dr. Gwajima.
Mwigulu jambazi hili silipendi
Matendo ni vyema kuliko kuliko maneno. Viongozi wafanye kama mabubu ili wafanye
Hili bunge hili duuuh Aya sawa Mimi nipo sina Cha kusema zaidi ya hili Kwa kweli.....
Ngwajima yupo sawa nashangaa kiongozi anapinga nini, ukweli na havifungamani.
Kwan ww haukuwepo kwenye hayo maono yaliyomo ?!?! mbn kama unakwepa lawama
Haya yote Gwajima kayakopi kutoka kwa Zito Kabwe alisha yaongeabhaya miaka kadhaa iliyopita.
Mwigulu nchemba 2025 out wakikuchagua basi singida mazuzu
Sikia jina mwigulululu aina ya mizizi inayoota maeneo ya chooni , pale alipojisaidia mtu kichakani pia huota iyo mizizi mwingulu! , majina mengine laana tusiwaite watoto jmn😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
This is very very true
Mwiguru unachemka sana
Gwqjima ana akili sn ila ndo hivyo
Gwajima unauwezo mkubwa sana wa kufikilia Mungu akutangulie sana
Na hii nchi huwa haipendi kutumia viongozi wenye maono kama gwajima sijui kwann?
Ukweli ni kwamba Taifa hili likitambuwa michango ya kina gwajima nakufanyia kazi mawazo yake hili taifa litaimalika sana.
Tukubali kushauliwa Tukubali kubadilika
Sasa wewe mwigulu kwani ukipokea ushauli mzuri wa gwajima utapungukiwa nin?
❤
Gwajima maombii leo
Anabaki anapiga kelele za maono maono badala ya kujata straight VIONGOZI WASIO WAADIRIFU. Watu wana jua na wa mechoka.
Maono yetu ni kuiba tupatapo nafasi hayo ndio maono yetu.
Ndugu yangu Mwigulu, unaweza ukawa na manati ukamwona ndege ukamtungua na manati. Lakini je, ulipanga kumpiga ndege wa kula au kungulu? Kila kitu kwa mipango. Usiwafundishe wakazi wa Ubungo Kibangu kuvua pweza wakati hawana bahari badala ya wakazi wa Mafia ingawa wote wako pwani. Wataalamu wa mipango wanajua hilo.
Muongo www mwigilu Munafikiii tuuuwww
Nimeonakofia ya Mzee kicheche starting Makoti😂😂😂
Tatizo ni ukosefu wa viwanda na technology
Sawa gwajima kwakueliisha,wambie ukweli,tunakupata,
Huyu ndio anafaa kuwa rais wa nchi hii siku moja! Kila mara amezungumzia maono! Yaliyoko kwenye makaratasi ni ya muda mfupi! Ila ukinunua nje kuna faida kwa wanunuzi!
Maono hayo hafif sana
Unapoteuliwa kuwa waziri usifhani kwamba unajua kila jambo.kubali kushauriwa.mawazo ya wengi yananguvu.