Gwajima "AVURUGA" BUNGE, Akinukisha BALAAA....Mwigulu ASHINDWA Kujivumiliaaaaaaaaa

Sdílet
Vložit

Komentáře • 210

  • @uhurunamaendeleo6127
    @uhurunamaendeleo6127 Před 17 dny +20

    Mweshimiwa Mwigulu wewe unapenda kodi zaidi kuliko mali ghafi za nchi yetu. Amwelewe Mch Gwajima anachoongea. Rell imeshajengwa kwa gharama na uwezekano wa kupunguza gharama ndo imeisha. Gwajima Mungu Akubariki sana.

  • @paulsimon9871
    @paulsimon9871 Před 13 dny +5

    Vichwa smart Bungeni ni pamoja na Gwajima, Luhaga Mpina hawa jamaa hawaogopi sura ya mtu wanaongeaga fact siku zote hakuna uchawa, Super Gwajima

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 19 dny +12

    Kama mimi ni mwenyekiti Mwigulu kaaa chini unapoteza muda wa Gwajima

    • @mzengimarkus34
      @mzengimarkus34 Před 15 dny +3

      Kama kichwa kibovu cha Mwigulu kitatumika kuongoza hata mkoa moja tu ndani ya Nchi hii, hali itakuwa mbaya zaidi.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 21 dnem +9

    INAFIKIRISHA SANA....MBONA MH. ZITTO ALISHAYASEMA HAYO MIAKA ILIYOPITA....SERIKALI YA CCM IKAZIBA MASIKIO!

  • @obadiamhagama1281
    @obadiamhagama1281 Před 17 dny +4

    Nice tunahitaji maono ya Nchi ili tusiwe omba2 kwa nchi nyingine

  • @shirimaoliva7695
    @shirimaoliva7695 Před 8 dny

    Nimekuelewa mchungaji Gwajima ,, ni raha Hofu ya Mungu uwepo pia Bungune

  • @alphoncehanura6697
    @alphoncehanura6697 Před 5 dny

    Tanzania mara nyingi tunakurupuka tu ... Zitto aliyasema vizuri sana zaidi hata ya Gwajima,moja kupeleka sgr Mwanza badala ya Kigoma kwenye mzigo mwingi toka Drc,
    Pili ilikuwa hiyo ya Liganga na Mchuchuma alitumia neno "fungamanisho" la reli na chuma, lakini serikali isiyo na maono ya mbali.

  • @mtengelamtengela1496
    @mtengelamtengela1496 Před 13 dny +1

    Hongera Gwajima kuwa upande wa wananchi

  • @TheKaswahili
    @TheKaswahili Před 18 dny +5

    Nakubaliana na hoja ya Mheshimiwa Gwajima

  • @mugishadavidsengati5119
    @mugishadavidsengati5119 Před 15 dny +5

    Gwajima is very super smart Mungu akusimamie Mtumishi anakili sana huyu jamaa maono ya miaka mingi hutuongoza kujua tunachotaka kufanya

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 21 dnem +8

    Huyu mwigulu ndio majizi yanapinga Kila kitu hatukutaki wewe

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Před 21 dnem +3

    Daah gwajima nomaa sana verry verry verry

  • @MsafiriMleza-gu4py
    @MsafiriMleza-gu4py Před 12 dny +1

    Gwajima super sana

  • @DrpeterTngayanimo
    @DrpeterTngayanimo Před 6 dny

    Gwajima uko. Sahihi sana mtumishi baadae nitakuita mbunge.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 5 dny

    Kwa jima apewe hii nafasi ya mwigula😀👍🏿

  • @rosecmabula5080
    @rosecmabula5080 Před 15 dny

    Aiseeee gwaji boy kama gwaji boy Mungu akuweke baba huna baya dhamila yako inaonekana ni njema Sema tu Kuna watuuuu hawapendi ukweli kwasababu wao wanakula na kuvaaa na kuishi na kwenda wanapotaka na kufanya wanalo taka bila kujali mwananchi mliopa kodi na tozo ambazo iliyamkini wangezilipa wao

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f Před 19 dny +1

    Mweshimiwa waziri ni sawa.Je hayo maono yanakuwa reviewed.Ni lazima ifanye kwa muda husika.Ukweli watendaji vitu vingi viko kwenye makatasi tu.Tujitahidi tufanye kwa vitendo na kwa sahihi.Asante

  • @EdwineMuebrania-bc6ov
    @EdwineMuebrania-bc6ov Před 10 dny

    A guy is very smart and intercultural .very good Mr gwajima

  • @isackmsuya3556
    @isackmsuya3556 Před 17 hodinami

    Sema baba wapone

  • @onesmoeliasi3269
    @onesmoeliasi3269 Před 10 dny +1

    Gwaji ni smart sana ni mtu na nusu wachache wanaweza kumuelewa

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 Před 21 dnem +4

    Zito kabwe aliyasema mapema,ni utashi wa maono ya viongozi hapa tulifeli

  • @placidchaka214
    @placidchaka214 Před 21 dnem +3

    Asakofu,ninakukubali sana.
    Kuna siku za nyuma,Mchora Katuni mmoja magazetini,aliwahi kumchora Omba omba maalufu nchi aliyekalia Kigoda cha Dhahabu huku akiomba,"Saidia Masikini. Dhahabu,akiomba,"SAIDIA MASIKIN".Ndipo Mzungu akatokea na kumpa shs:Elfu tano na akam'badilishia kile Kigoda cha dhahabu na kumpatia kiti kikubwa cha "plastiki".Hapa ndipo Askofu anajitahidi kuwaeleza Viongozi wahusika nchini kwa hekima ya Ustaarabu wa hali ya juu.
    Viongozi,kwanini hatuoni mbali na kuzidi kutenda Uongozi wetu kimazowea kama jana na juzi?Msiwe kama Matonya Omba omba maarufu nchini.
    Asante kipanya hotuba.zako katika tamsilia ya katuni zinajitokeza kuwa endelevu.Zitatuamsha.

  • @user-eo4pv8zy2o
    @user-eo4pv8zy2o Před 14 dny +6

    "Ninapo changia muda unaisha Itabidi niombe kanuni muda Unapo pungua inakuwaje" gonga like

  • @PhabianYasih
    @PhabianYasih Před 8 dny

    Maono ya nchi yako kwenye katiba tu, kwa sababu ndiyo dira ya kutuongoza hajlishi kiongozi atatoka chama gani

  • @PeterJacksom
    @PeterJacksom Před 15 dny +1

    Hapo kwele pastor

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 Před 14 dny +1

    Anachosema gwajima wapinzani walisema San kipind wapo bungen laki wakakaz makalio hapo hamn kitu wazee wangu ,mbuzi na gitaa

  • @DicksonSamwel-uj7iu
    @DicksonSamwel-uj7iu Před 18 dny

    Gwajima ahsante unamaono makubwa sn, Mwigulu atulie

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Před 11 dny +1

    IQ za watu huwa zinatofautiana sana na ndiomana kuna fast leaners na slow leaners mfano huyo jamaa pale ni dhahiri kwamba IQ yake ni ndogo sanaaa hasa kwenye kufikiri (critical thinking) nadhani anachokiweza zaidi huyo mjomba licha ya nafasi yake ilivyo kubwa ni kubuni tozo kusifia na kutetea vitu vinavyotufanya tuendelee kubaki nyuma. Kwa mfano mimi ni mjinga darasani mjinga mwenzangu anakopi kila nachokiandika, je yatosha kunifanya nijisifie mimi ni mjanja wakati kila mtihani nafeli? Jibu ni no viongozi wetu wengi thinking capacity is a big problem.

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 18 dny +1

    Wazir hapo amna kitu anapiga porojoo tuu hapo uyo jaman anawaza kupiga ela tu na kula bata basss amna kitu hapoo

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m Před 8 dny

    You're right Mr Gwajima BUT some project could take longer than what you think if you want to rely on resources from home.
    Some project have to be done first and pay the huge bill but will be compensated by getting back from the sale of what you're talking about.
    Remember steel project would have be done by another contractors not the ones who built the railways.
    You're right but if there is steel, nothing has been lost. We can still get the steel and sale to get our money back and use for other project. Some projects don't need to wait. Have to be done ASAP and feel the pain and eat fruits later.

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba Před 14 dny +1

    Mch,Gwajima Mungu akubariki,ni lazima kuwa na umoja na mpango wa viwanda uendelezwe.

  • @JohnMacha-cd9cc
    @JohnMacha-cd9cc Před 15 dny

    Gwajima hongera kwa mawazo mazuri bungeni mipango hiyo ndiyo haswa inayohitajika

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před 17 dny

    Kumbe Gwajima anajua mambo ya Mnya'az Mngu!!😊

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 21 dnem +9

    Mwigulu we ni mjinga tu mpiga madili tu swala hapo ni umwisho wa matumizi ya makaa ya mawe

  • @AfidhiHassani-vu1th
    @AfidhiHassani-vu1th Před 10 dny

    Ubarikiwe Sana mwanamaono

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Před 18 dny +1

    Mungu ni mwema, Tupo na Wasio na UPEO, FIKRA FUUPI.

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Před 17 dny +1

    Gwajima ameendelea kuishi kweny uafrika kwanza ana madini mengi kichwani,bimukubwa afanye kuacha kugombea tunampitisha mchungaji fasta

  • @JohnsonNdavi
    @JohnsonNdavi Před 9 dny

    Tanzanias president( gwajima )

  • @evaristcm2734
    @evaristcm2734 Před 21 dnem +7

    Serikali ijayo itakuwa moto sana. Askofu Gwajima hayuko peke yake. Wapo wengi. Waliokuwa wakipata nafasi ni wale ambao hata viwanda vya pamba havipo. Mipango mibovu. TUNATAKA TUME HURU NA KATIBA.

  • @mkushiinafricatvonline3309

    Gwaji boy ni bora kuliko mawaziri mia, naona mwigulu anajing'atang'ata tu itabidi badae ajisikilize alichokuwa anaongea atajidharau kweli

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 17 dny

    Uko vizuri Mch! I salute you!❤

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Před 17 dny +1

    Sipati picha inchi iwe na viongozi wajuu kama gwajima,majaliwa,makonda,sabaya,Dr.asha migiro duuu Tanzania itapaa kwa haraka

  • @KevinJohn-tf4gv
    @KevinJohn-tf4gv Před 10 dny

    Maono gani mlio nayo sas,akuna m'mbunge mwenye maono apo.
    Nyie asingepita Magufuli apo pasingekuwa na chochote,akuna inchi yoyote ambayo inachukulia mfano kwa inchi ya Tanzania,nyie ndo mnachukulia mfano kwa inchi zingine.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 Před 18 dny +1

    Bila viongozi bora Tanzania itaangamia

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Před 16 dny +1

    mara nchi yetu haina maono ya mdamrefu,mara haijawahi kuwa na maoni

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 14 dny +1

    Tanzania aina mfano wowote inaviongoz wa ovyo sana

  • @giftlwae953
    @giftlwae953 Před 9 dny

    Uwenda mipango hipo, lakin bado matendo. Kwaiyo tupendelee matendo zaid kuongea ongea

  • @aronesamson3692
    @aronesamson3692 Před 12 dny +1

    Wazili.unaongea nn bwana Aiseee hatutakiwi kua hapa tulipo fika punguzeni wizi ili tupige hatua hii Nchi ni tajili mno

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 14 dny +1

    Mzee gwajima huwawez hao mafisad.wao wamekaa kutekeleza matakwa ya wamagharib tuu.cc waafrika ni watumwa wa wzungu.😂😂

  • @arnoldbenedict3894
    @arnoldbenedict3894 Před 19 dny +6

    Hii akili kubwa ya mheshimiwa Gwajima waziri tutolee kelele zako

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 19 dny

    Gwajima wewe kiboko sana nimekupenda

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 Před 21 dnem +3

    Sema ukweli wewe, HATUPO PAZURI 😂😂

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před 18 dny +1

    Gwajima ni kichwa

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 20 dny

    Gwajima sema tu napa ni katiba mpya Ili kuweka mambo sawa.

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Před 17 dny

    Daaa gwajima wew ni kichwa sana sio kilaza una umagufuri fulani

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 Před 10 dny

    Mwigulu anazingua

  • @markoesombo8440
    @markoesombo8440 Před 21 dnem +1

    Yale Mchungaji anavyosema ju ya mchuchuma na liganga Nzito Zubaheri Kabwe alivinzungumuza tangu zamani kama miaka inne.

  • @KevinJohn-tf4gv
    @KevinJohn-tf4gv Před 10 dny

    Wanachukuwa mali zenu for free tena wanakuja kuwauzia kwa bilioni, stupid leaders

  • @user-sm1on2ef5g
    @user-sm1on2ef5g Před 14 dny

    Safi sana baba yangu

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather282 Před 8 dny

    Nimekupenda mchungaji

  • @NUSRARAMADHAN-wm5qy
    @NUSRARAMADHAN-wm5qy Před 17 dny

    Gwajima ni kiumbe atari sana

  • @user-cb3iu1fn8u
    @user-cb3iu1fn8u Před 14 dny

    Good are dia mbunge wetu wa kawe

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 21 dnem +1

    Hivi vyie CCM Bado mnataka mwigulu nchemba aendelee kutuongoza watanzania wote 2025..nk inaonyesha pamoja na elimu aliyokua nayo Bado hajamsaidi nifinyu wakuwaza😢😢😢 au kuona

  • @goodluckjackson5564
    @goodluckjackson5564 Před 21 dnem +3

    Ugombee Urais mwaka 2025

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před 21 dnem +3

    Akili ikihamiya tumboni inakuwa ugonjwa ccm ni wapumbavu wote

  • @paulsimon9871
    @paulsimon9871 Před 13 dny +1

    Mwigulu alikua anaongea nini labda 😂 mzee wa trat na trap hana jipya huyu mzee

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs Před 7 dny

    I am not this guy's fan, but kaongea ukweli mtupu...( na sio leli ni reli, na sio Palis ni paris). Naona "R" zinamshinda

  • @eliudykaimu
    @eliudykaimu Před 14 dny

    Nimesikiliza mpaka mwisho mchungaji kaongea pont sana ila najiuliza picha iliotambulisha mbona haiendani na kilichoongelewa mtoapost akili yako iko vizuri kweli au una mtindio wa ubongo

  • @carolinenakirutimana1559

    Wakaaji wa Dar -Es Salam wana mabalabala ya ajabu. Polike ya inchi mbalimbali za africa ni maajabu.

  • @PaulBeta
    @PaulBeta Před 16 dny

    Super man

  • @YasintaRaphael
    @YasintaRaphael Před 10 dny

    Gwajima mtu alliyeiona kesho

  • @thetruth8979
    @thetruth8979 Před 16 dny

    gwajima umelisahau jimbo lako barabara hazipitika

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose Před 10 dny

    Sifaham kama mweheshimiwa mwigulu anafaham anacho sema gwajima? Kama kungekua na mipàngo ya mda mrefu Reliyetu mpya kwa sasa ingekua inasafirisha mizigo! Imezimwa kwa sababu ya maroliiiiiiiiiii wananchi msifikirie hatujui?

  • @simonerasto6044
    @simonerasto6044 Před 14 dny +1

    GWAJIMA... THE NEXT PRESIDENT

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 14 dny

    Wewe Mwigulu unajigamba tu hakuna kitakacho fanyika ni kusema hana lo lote Mwigulu hapendi hata kujifunza. Mwigulu ajidai anajua kila kitu. Wewe ulisha kaa Kenya si unajigamba tu Umeisha kwenda kwa Kagame ujione.Hivi kwa Game aje kukopi nini hapa ukienda kila Inchi zinazo tuxunguka watucheka sana huku Mwigulu akijidai. Ukiongea na wale waliopiga hatua ukijidai hivyo atakuambia nini zaidi ya kukudanganya kuwa wanakopi wakopi nini?

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 18 dny

    Mwigulu ni mwongo! 2025 ndio nini? Kitu gani kimefanyika? 2025 inaisha na nyingine ndio inafikiwa ya 2050. Hona hoja ya kumpinga Dr. Gwajima.

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před 21 dnem +7

    Mwigulu jambazi hili silipendi

  • @giftlwae953
    @giftlwae953 Před 9 dny

    Matendo ni vyema kuliko kuliko maneno. Viongozi wafanye kama mabubu ili wafanye

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa Před 19 dny

    Hili bunge hili duuuh Aya sawa Mimi nipo sina Cha kusema zaidi ya hili Kwa kweli.....

  • @damaschengula1433
    @damaschengula1433 Před 13 dny

    Ngwajima yupo sawa nashangaa kiongozi anapinga nini, ukweli na havifungamani.

  • @user-rj6uh3rm8d
    @user-rj6uh3rm8d Před 10 dny

    Kwan ww haukuwepo kwenye hayo maono yaliyomo ?!?! mbn kama unakwepa lawama

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 Před 14 dny

    Haya yote Gwajima kayakopi kutoka kwa Zito Kabwe alisha yaongeabhaya miaka kadhaa iliyopita.

  • @MariamBunyenyi
    @MariamBunyenyi Před 9 dny

    Mwigulu nchemba 2025 out wakikuchagua basi singida mazuzu

  • @ZachariaNicodemas
    @ZachariaNicodemas Před 13 dny

    Sikia jina mwigulululu aina ya mizizi inayoota maeneo ya chooni , pale alipojisaidia mtu kichakani pia huota iyo mizizi mwingulu! , majina mengine laana tusiwaite watoto jmn😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @OmariGamuya-dz2oo
    @OmariGamuya-dz2oo Před 10 dny

    This is very very true

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Před 10 dny

    Mwiguru unachemka sana

  • @christinewomanoffaith5479

    Gwqjima ana akili sn ila ndo hivyo

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep Před 11 dny

    Gwajima unauwezo mkubwa sana wa kufikilia Mungu akutangulie sana
    Na hii nchi huwa haipendi kutumia viongozi wenye maono kama gwajima sijui kwann?
    Ukweli ni kwamba Taifa hili likitambuwa michango ya kina gwajima nakufanyia kazi mawazo yake hili taifa litaimalika sana.
    Tukubali kushauliwa Tukubali kubadilika
    Sasa wewe mwigulu kwani ukipokea ushauli mzuri wa gwajima utapungukiwa nin?

  • @rajabumwagalazi8786
    @rajabumwagalazi8786 Před 7 dny

  • @luciandamiano3279
    @luciandamiano3279 Před 12 dny

    Gwajima maombii leo

  • @kamadollar.
    @kamadollar. Před 11 dny

    Anabaki anapiga kelele za maono maono badala ya kujata straight VIONGOZI WASIO WAADIRIFU. Watu wana jua na wa mechoka.

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 Před 13 dny

    Maono yetu ni kuiba tupatapo nafasi hayo ndio maono yetu.

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh573 Před 10 dny

    Ndugu yangu Mwigulu, unaweza ukawa na manati ukamwona ndege ukamtungua na manati. Lakini je, ulipanga kumpiga ndege wa kula au kungulu? Kila kitu kwa mipango. Usiwafundishe wakazi wa Ubungo Kibangu kuvua pweza wakati hawana bahari badala ya wakazi wa Mafia ingawa wote wako pwani. Wataalamu wa mipango wanajua hilo.

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Před 11 dny

    Muongo www mwigilu Munafikiii tuuuwww

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo Před 9 dny

    Nimeonakofia ya Mzee kicheche starting Makoti😂😂😂

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Před 10 dny

    Tatizo ni ukosefu wa viwanda na technology

  • @EdwardMasalu-fk5se
    @EdwardMasalu-fk5se Před 20 dny

    Sawa gwajima kwakueliisha,wambie ukweli,tunakupata,

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 18 dny

    Huyu ndio anafaa kuwa rais wa nchi hii siku moja! Kila mara amezungumzia maono! Yaliyoko kwenye makaratasi ni ya muda mfupi! Ila ukinunua nje kuna faida kwa wanunuzi!

  • @KabagambeKagaruki
    @KabagambeKagaruki Před 16 dny

    Maono hayo hafif sana

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 Před 19 dny

    Unapoteuliwa kuwa waziri usifhani kwamba unajua kila jambo.kubali kushauriwa.mawazo ya wengi yananguvu.